Watu watatu wafariki baada ya kuvamiwa na wahuni kwenye jumba la Sunbeam jijini Nairobi

Imebainika Kuwa Watu Watatu Walipoteza Maisha Yao Siku Ya Jumanne Wiki Iliyopita Baada Ya Kuvamiwa Kwenye Jumba La Kibiashara La Sunbeam Jijini Nairobi. Uvamizi Huo Uliotekelezwa Na Wahuni Walioingilia Maandamano Ya Kupinga Mswada Wa Fedha Mwaka 2024, Ulisababisha Kuporwa Na Kuteketezwa Kwa Jumba La Sunbeam. Familia Ya Bernard Mungai, Mmoja Wa Wafanyibiashara Aliyepoteza Maisha Imezungumzia Machungu Na Masikitiko Ya Kumpoteza Mpendwa Wao.

Пікірлер: 91

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or29 күн бұрын

    Human Rights groups and LSK,, should also call press conference on this... If they don't then they are working with criminals

  • @KaraniBonge

    @KaraniBonge

    29 күн бұрын

    Sure

  • @vincentsawe611

    @vincentsawe611

    29 күн бұрын

    According to lsk and human rights,these are none issues.

  • @mimimkenya2325

    @mimimkenya2325

    29 күн бұрын

    Unfortunately, they'll never talk about this or the police who were injured or killed as if these are not human beings😢

  • @susanngigi1164

    @susanngigi1164

    29 күн бұрын

    Those people are always advocates of evil. We can't expect them to do any better.

  • @derrickbiwott9393

    @derrickbiwott9393

    28 күн бұрын

    Exactly 💯.Huyo mumama Odhiambo aangalie hii

  • @imranbasy4022
    @imranbasy402229 күн бұрын

    Ruto alisema ni Criminals mkasema Ruto ni wazimu. Sasa ona

  • @itssimplyivy

    @itssimplyivy

    29 күн бұрын

    We kwani uko kenya gani. Haujaona kwa news na videos zimekua zikicirculate vile goons wanatumwa na politicians kumake protests zikue violent? Kama bado mnaita vijana wanafight for your rights criminals then uko na shida kubwa sana

  • @esthermwaniki9091

    @esthermwaniki9091

    29 күн бұрын

    Yes evil crriminals

  • @susanngigi1164

    @susanngigi1164

    29 күн бұрын

    I'll shout to the whole world from the rooftops that all these posing as peaceful protesters were actually all criminals. For now we are hearing many well-prepared scripts of how the government hired goons to infiltrate those peaceful protests so that they can make the Gen Zees look bad but I maintain the plot was hatched from the other direction. In a bid to show supporters and especially from Mount Kenya that they made a mistake in voting for William, someone was prepared to stoop this low. It doesn't matter how bad the finance bill was but couldn't they be contented with the few amendments that were made while they sought audience with the state over the issue?!

  • @TiredKenyan

    @TiredKenyan

    29 күн бұрын

    Are you stupid?? This is not maadamano, this is a criminal act. Maandamano is allowed in Kenyan law, and if they police wanted, they can ensure its peaceful

  • @Patoh254Somie

    @Patoh254Somie

    29 күн бұрын

    ​@@itssimplyivyvijana wagani wakora hao unaiba mali ya mkenya mwenzako ukijiita genz ghasia hao.....demo zilikua peacefull until akina Babu Owino wakaanza mambo zao

  • @danielsitati543
    @danielsitati54329 күн бұрын

    Let the rights groups also come forward and condemn these hooligans. We hope that they'll not blame the police on this!

  • @KaraniBonge

    @KaraniBonge

    29 күн бұрын

    Mm nashangaa watu wanalaumu police hawalaumu wahuni walikua wakiibia watu

  • @membasamuel4218

    @membasamuel4218

    29 күн бұрын

    They won't trust me and if they do the police will be blamed for inaction

  • @susanngigi1164

    @susanngigi1164

    29 күн бұрын

    They already had their script premeditated on how they would blame the police and "government-hired" goons on this. They always know what protests would bring and they psychologically prepare early.

  • @mugishajeanclaude2949
    @mugishajeanclaude294929 күн бұрын

    Hii ni ujinga wanaiba alafu wanauwa Ohh God my God comfort this family 🙏

  • @wamytree8944
    @wamytree894429 күн бұрын

    kila mtu aliye onekana kwa kamera akifanya uhuni au kuvunja sheria hio tuesday ashtakiwe na ahukumiwe. hawa watu hawafai kukua huku nje na sisi tunao heshimu sheria za kenya

  • @derrickbiwott9393
    @derrickbiwott939328 күн бұрын

    Where's is this so called LSK AZIMIO BRANCH

  • @wamytree8944
    @wamytree894429 күн бұрын

    wezi ndio wamejaa kenya. law abiding citizens tutaenda wapi sasa?

  • @thegratenjambinimurungah1219
    @thegratenjambinimurungah121929 күн бұрын

    Poleni mum and your children. May a good Samaritan visit you. It shall be well....

  • @BROTHERBEN-ic4uk

    @BROTHERBEN-ic4uk

    28 күн бұрын

    Y don't you be one of good samaria. Start with you stupid person

  • @DavidNyamongo-un1sc
    @DavidNyamongo-un1sc29 күн бұрын

    Journalists,raila, human rights activists,the assmio LSK should condemn this

  • @mremmm5902

    @mremmm5902

    29 күн бұрын

    Naskia kulia saasa hii n mambo gani

  • @DavidNyamongo-un1sc

    @DavidNyamongo-un1sc

    29 күн бұрын

    @@mremmm5902 wewe kojoa ulale,usilie

  • @Patoh254Somie

    @Patoh254Somie

    29 күн бұрын

    @@DavidNyamongo-un1sc the president should arrest all those fools who stole and were burning Kenyans property in the name of peaceful Demo

  • @danielsitati543
    @danielsitati54329 күн бұрын

    Oh no. My God! Comfort the widow and the now orphan daughter! Condolences

  • @sharersale6480

    @sharersale6480

    28 күн бұрын

    Orphan? Kwani mama si mzazi??

  • @charleswahome7721
    @charleswahome772129 күн бұрын

    endeleeni kusifu takataka eti gen zee nonsense

  • @sjsm8578

    @sjsm8578

    29 күн бұрын

    Hao ni Gen Z kweli? Tumia akili saa zingine si kuibeba tu. Ndio maana tuliibiwa 7 trillion na Uhuru na mkanyamaza while he raped you

  • @esthermwaniki9091

    @esthermwaniki9091

    29 күн бұрын

    Media is to blame they split the Screens to support destruction now we are burying our own Kenya against kenya

  • @Fexxy69

    @Fexxy69

    29 күн бұрын

    Kojoa hulale😂

  • @susanngigi1164

    @susanngigi1164

    29 күн бұрын

    We tried warning our people that going to the streets was not honourable but wakasema their protest was peaceful. There's nothing peaceful in any protest where the devil has already claimed his territory. Hawa mavijana I no longer care what their agenda is. Am off their cause! 🚶🚶🚶

  • @alextercisio

    @alextercisio

    28 күн бұрын

    True ni takataka tu

  • @susanngigi1164
    @susanngigi116429 күн бұрын

    Mimi.after watching this episode I have no more support or sympathy for Gen Zees. Their cause could have been noble but after seeing that criminals were infiltrating their protests why did they insist on pressing on with the marches?! Ama wacha tu tuseme wao wenyewe bado ndio mikora?! ☹️☹️☹️

  • @mremmm5902

    @mremmm5902

    29 күн бұрын

    Kabisa

  • @sharersale6480

    @sharersale6480

    28 күн бұрын

    There were no protests on Thursday because of these criminals and you folks are now doing what the government wants, turning against people demonstrating for a better Kenya.

  • @alextercisio

    @alextercisio

    28 күн бұрын

    Wao ni criminals

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed244928 күн бұрын

    Jamani SS mwandamana ama waiba Mali za watu na kuwaa watu kuchoma Mali za umaa😢😢 jamani waizii wauliwe kabisa

  • @user-dd2ut8ef1z
    @user-dd2ut8ef1z25 күн бұрын

    Pole sana

  • @user-ti6dl5xv1l8
    @user-ti6dl5xv1l829 күн бұрын

    Polisi wangewakilisha hapo lakini bahati mbaya. Poleni sana familia. RIP

  • @abdiahaji5653
    @abdiahaji565329 күн бұрын

    When your leaders call it a spade don't cool it a spoon.😎. Condolences to the family

  • @user-sc8mp6tc3n
    @user-sc8mp6tc3n29 күн бұрын

    Real shame to Kenyans mkimaliza haribu kesho msike kwetu

  • @user-dt6yw2qr8n
    @user-dt6yw2qr8n29 күн бұрын

    Wah God help us

  • @mmilly8952
    @mmilly895229 күн бұрын

    😢😢😢😢Pole kwa mjane aki Wooiye... Hao wahuni wa stakiwe aki. 😭😭

  • @josephmwaniki7171
    @josephmwaniki717129 күн бұрын

    sad, the goverment must not relent on these goons, despite what toothless LSK says

  • @user-xx6ot2du7d

    @user-xx6ot2du7d

    29 күн бұрын

    You don't know what the game is,the same government ooerate with goons to steal and destroy properties.gikuyu mnamalizwa ni serikali yenu

  • @Patoh254Somie

    @Patoh254Somie

    29 күн бұрын

    @@user-xx6ot2du7d tribal fools

  • @josephmwaniki7171

    @josephmwaniki7171

    28 күн бұрын

    @@user-xx6ot2du7d I dont operate on hypothesis and rumour mongering

  • @ibrahimomar4514
    @ibrahimomar451429 күн бұрын

    Useless news anchots why are you telling us this news late wachenzi genz ni criminals

  • @bensonathewa5956
    @bensonathewa595628 күн бұрын

    😢😢😢very sad

  • @micaangote2138
    @micaangote213829 күн бұрын

    Pole

  • @danlamboghini6427
    @danlamboghini642729 күн бұрын

    N ndio wanaanguka kotini juu ya njaa maumbwa

  • @NancyOdongo-xi4gv
    @NancyOdongo-xi4gv28 күн бұрын

    God's grace is the Lord ❤😂🎉😢😮

  • @GathufuKali1
    @GathufuKali129 күн бұрын

    Nairobery

  • @kibetkirui3949
    @kibetkirui394929 күн бұрын

    Haki ni uchungu sana.

  • @susanngigi1164

    @susanngigi1164

    29 күн бұрын

    Haki imagine am crying until now after seeing the picture of Mungai hanging on that window. Hii sasa ita-traumatize family yake and I don't know if they'll ever recover from this. Seeing the agony that your loved one was in before he died is just tormenting. I have no words. 🙆🙆🙆

  • @NichodemusOpati-z5h
    @NichodemusOpati-z5h29 күн бұрын

    Rais William ruto anafaa asikie hayo

  • @alextercisio

    @alextercisio

    28 күн бұрын

    Afanye nini?? Si alisema ni criminals mkasema ni Uogo 😂😂

  • @labankarani6973
    @labankarani697328 күн бұрын

    Alafu mnaanza kulaumu serikali bure Na wakora ndio wanaingilia maandamano

  • @sharersale6480

    @sharersale6480

    28 күн бұрын

    Serikali ndio imewalipa hao wakora, ni nini hamuelewi na mmekewa picha hadi wakilipwa hapo kwa kanjo.

  • @fastandfurious3751
    @fastandfurious375128 күн бұрын

    How is this justified?

  • @alextercisio
    @alextercisio28 күн бұрын

    Hao ni Gen z si criminals si ruto alisema ni criminals wakenya wakasema ni uogo

  • @liverpoolfootballclub9985

    @liverpoolfootballclub9985

    28 күн бұрын

    Zakayo was very right on this.

  • @NancyOdongo-xi4gv
    @NancyOdongo-xi4gv28 күн бұрын

    God help kenyans

  • @NancyOdongo-xi4gv
    @NancyOdongo-xi4gv28 күн бұрын

    Feaaaa🎉😂❤🎉😢

  • @ibrahimomondi6171
    @ibrahimomondi617127 күн бұрын

    This was the work of government goons...

  • @davidthuks2128
    @davidthuks212829 күн бұрын

    Wakikuyu na bado mnaenda maaandamano na muona vile hawa mambwa wanaiba maduka hawajui biashara ila maandamano ya ukora

  • @salimadiyo9442

    @salimadiyo9442

    29 күн бұрын

    ukabila imetoka wapi sasa

  • @susanngigi1164

    @susanngigi1164

    29 күн бұрын

    I was so ashamed of Kikuyus doing this kind of thing even in their own towns huku wakidanganywa eti they are doing a good thing for Kenya. Nanyuki wafanyi biashara wengi walipoteza mali yao eti watu wakidai kuwa wana-target premises za "yes" politicians. Upuzi!

  • @mremmm5902

    @mremmm5902

    29 күн бұрын

    Imagin wakikuyu biashara zao ndio hizi

  • @sharersale6480

    @sharersale6480

    28 күн бұрын

    Wakikuyu ndio wlitueka kwa hii shida ya Ruto. Mtutoe basi ama tulipe ushuru hadi tukufe.

  • @alextercisio

    @alextercisio

    28 күн бұрын

    @@sharersale6480 peleka umavi uko ruto is going no where stop blaming ruto for your poverty

Келесі