Vijana wawili waliopotea wakati wa maandamano wapatikani kama wameuawa jijini Mombasa

Familia Zaidi Zinaendela Kujitokeza Kuripoti Kufariki Kwa Jamaa Zao Baada Ya Kupigwa Risasi Na Maafisa Wa Usalama. Mjini Mombasa Familia Ya Denis Otieno Inaomboleza Kufuatia Kifo Cha Kijana Huyo Wanayesema Hakuwa Miongoni Mwa Waandamanaji. Na Kama Anavyoarifu Francis Mtalaki Denis Alipigwa Risasi Zaidi Ya Tatu Kwenye Mgongo Hadi Kufariki.

Пікірлер: 128

  • @timothyonyango9
    @timothyonyango929 күн бұрын

    With all looks and facts KK govt is surviving through human blood 😭😭😭😭😭😭😭😭 but God will act soon on this shakahola govt.

  • @StephenWekesa-ul8il
    @StephenWekesa-ul8il29 күн бұрын

    Ruto must go

  • @HassanAthuman-lf7cz
    @HassanAthuman-lf7cz29 күн бұрын

    Serekal ndio wauwaji hata hao vjana waliuliwa na maafisa lkn mungu upona anaona

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano129 күн бұрын

    The pain of the mother is evident and I pray it won't be in vain😔

  • @MargauxNyambura
    @MargauxNyambura29 күн бұрын

    This government honestly has caused lots of families to shed tears

  • @Nicholas-yr2sq
    @Nicholas-yr2sq28 күн бұрын

    Wazazi itabidi mupange maadamano yenu siku moja 😎

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi178429 күн бұрын

    Wakati wa maandamano yenyewe hakukuwa na kazi sema tu polisi ndio wenye lawama kubwa na mauaji😢

  • @msamsa1031
    @msamsa103129 күн бұрын

    Haki gani , na uhai utawahi rudi

  • @rwenji22
    @rwenji2229 күн бұрын

    Hata kama alikuwa kwa maandamano, ni ukatili mkubwa wa serikali ya Ruto kutumia risasi za moto dhidi yao.

  • @davidthuks2128
    @davidthuks212828 күн бұрын

    Wangeua kama kumi hivi iwe funzo ya waandamanaji

  • @danlamboghini6427
    @danlamboghini642729 күн бұрын

    Pole mum

  • @wakenyaskytv6937
    @wakenyaskytv693729 күн бұрын

    Ruto stop killing our children

  • @anneorina2975
    @anneorina297529 күн бұрын

    Condolences to the family

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj29 күн бұрын

    Kesho Mungu yuwasibi wote wauwaji

  • @alicembari8190
    @alicembari819029 күн бұрын

    God will answer our prayers

  • @denniscemagik1260
    @denniscemagik126026 күн бұрын

    Parents (not necessarily concerned with this) Please, kuna watu nawajua wanafanya uhuni na ujambazi na wazazi hawana ufahamu. Mzazi anajua mtoto wake anafanya job ya ki uhaki ilhali wanao wanaficha siri na kuiba chini ya maji. Kuna wengine hata bibi zao hawajui so please, tutafute pesa kwa njia za kiukweli

  • @lynnomondi4899
    @lynnomondi489929 күн бұрын

    Ruto must go yawa....

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu764123 күн бұрын

    polesana ai jamani Tuto

  • @mercyserem1821
    @mercyserem182128 күн бұрын

    Oo mama pole 😢😢

  • @peterjowi3894
    @peterjowi389425 күн бұрын

    Francis mtalaki hapana sema rwinga, ni runinga ya citizen😂

  • @jamesmwangi9461
    @jamesmwangi946129 күн бұрын

    rutu must goo

  • @ndarochibingu
    @ndarochibingu28 күн бұрын

    Eeeh 😂😂 hasilo tawala

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian23 күн бұрын

    Hawa maaskari ka wanajulikana inafaa watembelewe cos ata wakishikwa wataachiliwa bure...wapewe tu Genzs

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu622229 күн бұрын

    Koome must go

  • @Borvia109

    @Borvia109

    28 күн бұрын

    Start from Ruto

  • @MM-gh8wb
    @MM-gh8wb29 күн бұрын

    Mtoto yupi

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies278329 күн бұрын

    This sounds very unpleasant 😢 Brutality on peaceful protesters

  • @ZawadiKalume-zb6lb
    @ZawadiKalume-zb6lb18 күн бұрын

    Hao mapolisi wachukuliwe hatuwa

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz26 күн бұрын

    Ruto hawezi badilika yaelekea are all danger in Kenya Ruto atawamaliz

  • @ExaveryDominick
    @ExaveryDominick28 күн бұрын

    Malipo hapahapa😂

  • @edwingichobi1657
    @edwingichobi165728 күн бұрын

    Swali ni je,wenye hayo magari waliochoma ndiyo waliua huo vijana kweli?Na kama hapana,mbona walichoma magari ya wenyewe basi? Asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu

  • @Borvia109

    @Borvia109

    28 күн бұрын

    Hehehe no worries hutafikiwa

  • @richardotieno7146
    @richardotieno714629 күн бұрын

    Tunalani hii kitendo inayofanyika humu Nchini ,Kama vijana Tunaona tukirudi Barabarani Kutetea haki za wenzetu walio Uwawa Kiunyama na Maafisa wa Polisi ,Ruto must Go ,

  • @gabrielngugi3553
    @gabrielngugi355322 күн бұрын

    Please this very wrong,mr president resign like koome

  • @theozansfamily1029
    @theozansfamily102929 күн бұрын

    My dad was a Corp and always against police brutality to date 😢. It's so Unfair that a Kenyan killed another Kenyan for fighting for their basic Right. The hatred between the police and raia is Evidently during the training of "makurutu"

  • @GabrielbarakaThoua-fh8ow
    @GabrielbarakaThoua-fh8ow29 күн бұрын

    Huenda aliuliwa Kwa sababu ya Jina tu "Otieno" maskini.vifo alivyosema raisi Ruto havitatokea.Mungu amlipie.

  • @FredrickOwinyo
    @FredrickOwinyo28 күн бұрын

    Bunduki haiuwi watu, watu ndio wanaua watu.

  • @user-qq5wo9vm5s
    @user-qq5wo9vm5s17 күн бұрын

    Yenye kuua lasima via wauliwe Kivimo wamepimia wengine Fia wafimiwe nayo Nawatolewe patis zao situpiwe Yenye kuitaji walio ua na Buduki Wauliwe na Buduki hivyo hivyo

  • @adtvhjnjkivvfw51
    @adtvhjnjkivvfw5128 күн бұрын

    Wauwaji umbwa😢😢😢

  • @KenJuma-tz2hg
    @KenJuma-tz2hg29 күн бұрын

    Bado wanatuua ?

  • @Tokneetoe
    @Tokneetoe29 күн бұрын

    This government kazi ni kusafirisha mwili places zingine ndio watu wasipate loved ones wao ....Githurai bado tunajua watu walipass wengi those shots could have been kwa hewa

  • @benjaminosura7665

    @benjaminosura7665

    28 күн бұрын

    Walitupwa river yala ama shakahola lazima

  • @agripinabukhala649
    @agripinabukhala64929 күн бұрын

    Ipoa wako nao

  • @SalimuNyanje
    @SalimuNyanje29 күн бұрын

    Hawana hurum n watu

  • @bensonathewa5956
    @bensonathewa595629 күн бұрын

    😢😢😢while politicians are just relaxing in there palacual homes

  • @ExaveryDominick
    @ExaveryDominick28 күн бұрын

    Malipo haphapa duniani

  • @robertoriato3654
    @robertoriato365428 күн бұрын

    Hivi serikali imewekewa wanted

  • @charleskiarii-nf5cc
    @charleskiarii-nf5cc29 күн бұрын

    Uyuu Ruto n haka Ka serekali kake

  • @mahbubmo
    @mahbubmo29 күн бұрын

    Im not saying the killings are right but what does kicking a car and destroying you fellow kenyans property got to do with your anger for the government?

  • @peterkariuki9073

    @peterkariuki9073

    28 күн бұрын

    Ruto pays the goons who do that. Ask him that question.

  • @Nicholas-yr2sq

    @Nicholas-yr2sq

    28 күн бұрын

    Rubbish

  • @mahbubmo

    @mahbubmo

    28 күн бұрын

    @peterkariuki9073 No it's a behavior, look at the past. Can't blame all your issues on ruto.

  • @user-td3oo1ye9n

    @user-td3oo1ye9n

    17 күн бұрын

    Good question....alafu mtu akiuliwa wanaannxa kulaumu police...

  • @marypatrick6667
    @marypatrick666729 күн бұрын

    Gen Z simuwatafutee Hawa wauaji..

  • @GabrielbarakaThoua-fh8ow
    @GabrielbarakaThoua-fh8ow29 күн бұрын

    Ombati Jina TU maskini

  • @georginamueni5935
    @georginamueni593528 күн бұрын

    The killer policemen know that there is God who fights for his people.

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or29 күн бұрын

    Sorry to the family,, but majority of the people who were shot are Luos..Is it coincidence or some people are just violent.. Usicheze na maisha, maandamano iwe ya amani..

  • @Billcl8nyon

    @Billcl8nyon

    29 күн бұрын

    They are ones causing chaos and breaking into people's businesses in the name of maandamano.

  • @KenJuma-tz2hg

    @KenJuma-tz2hg

    29 күн бұрын

    Mjinga ww

  • @kenyanowtv

    @kenyanowtv

    29 күн бұрын

    The most stupid comment,you ate just a fool.

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk29 күн бұрын

    Pole mama ila naomba tu msiweze tu kulaumu na kusema hakuwa kwa maandamano Ina maana alipigiwa ndani ya nyumba wako watu walirushia askari mawe japo sijasema kijana wenyu Ni mmoja wao

  • @KenyanRapper-lo6fb

    @KenyanRapper-lo6fb

    29 күн бұрын

    Fikiria unapozungumuza kumbuka Kuna Leo na kesho🤐🙏🙏

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    29 күн бұрын

    Hawayaoni hayo na wnachoma moto vitu wnavynja maduka ya raiya wenzao n akuchoma moto ss hayp ndoaandamano gn jmn kaa

  • @Nicholas-yr2sq

    @Nicholas-yr2sq

    28 күн бұрын

    Wako hajauliwa ndio unaongea kama msenge, Ni Sisi Na nyinyi Sasa wakati umefika😎

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula501529 күн бұрын

    Shida ya wtt wenu hawfanyi maandamano ya kutaka hk bali yakuaribu nchi mana wao wnacjoma vigu moto wna iba mali za raiya wenzao nakupiaaskar mawe ss unafikir askar na yy ni mtu anajitete

  • @peterkariuki9073

    @peterkariuki9073

    28 күн бұрын

    Weee mjinga kweli. Wanaofanya hayo maasi hutumwa na serikali kuharibu maandamano.

  • @DavidNyamongo-un1sc
    @DavidNyamongo-un1sc29 күн бұрын

    Bado tutawaua wengi kesho,hii si maandamano ni uhuni tu

  • @JosephEmmanuel-eb7gj

    @JosephEmmanuel-eb7gj

    29 күн бұрын

    😢😢😢 wew ni binadam

  • @user-vz7cc3qv9f

    @user-vz7cc3qv9f

    29 күн бұрын

    We jaribu nikupate nakunyonga umfuate

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    29 күн бұрын

    Kwel uhuni tu km ni maandamano ya kudai hk kwnn wachome vitu moto kwann wavunje madukaya raiya wenzao na kuiba mali ni u huni je

  • @christinechirchir2560
    @christinechirchir256029 күн бұрын

    Ambieni hawa watoto wenu wakae kwa nyumba stay home stay safe bure mtakuwa mkilia kila siku serekali serekali akuna siku serikali itatoa watoto waende maandamano

  • @mercymulwa8917

    @mercymulwa8917

    29 күн бұрын

    Unaongea kama mtu mjinga aje?

  • @christinechirchir2560

    @christinechirchir2560

    29 күн бұрын

    @@mercymulwa8917 ni Nani analia sai ni mjinga ama viherere ndio mnalia

  • @remiomar7154

    @remiomar7154

    29 күн бұрын

    Soo uogope kufa huku ukilazimishwa maisha uishi maisha usiweza kujimudu siku yake ilikuwa imefika

  • @christinechirchir2560

    @christinechirchir2560

    29 күн бұрын

    @@remiomar7154 sasa hiyo maisha mzuri ataishi akiwa kwa kaburini?

  • @mayaspanic221

    @mayaspanic221

    29 күн бұрын

    Your second name says/explains a lot. I won't even bother to reason with you nor stoop to your level

  • @fredmariita8930
    @fredmariita893028 күн бұрын

    Ni ruto na police tu lakini MUNGU yupo mtalipia

  • @sarahmbuche5189
    @sarahmbuche518928 күн бұрын

    Huyo mkora sijui atakubali lini kuondoka kwenye kiti watu wapate amani

  • @hakeemahmed2874

    @hakeemahmed2874

    28 күн бұрын

    If Ruto aende, wote waende. Tuende elections

  • @SalimuNyanje
    @SalimuNyanje29 күн бұрын

    Hawana hurum n watu

Келесі