Watu 5 wakamatwa wakipanga kuiba benki, Nairobi

Polisi hapa Nairobi wanawazuilia washukiwa watano waliokuwa wakipanga njama ya kuiba pesa katika tawi la benki ya Prime eneo la Kamukunji. watano hao walifumaniwa walipokuwa wanachimba ukuta wa benki hiyo kutoka orofa ya kwanza baada ya kukodi vyumba vya kulala katika eneo la burudani lililo pembezoni mwa benki hiyo.

Пікірлер: 59

  • @franknjoroge8930
    @franknjoroge89302 жыл бұрын

    Thats a legend, heri kuiba bank kuliko kuhangaisha wananchi kuwaibia kuku na simu

  • @rosekadzokillian9700

    @rosekadzokillian9700

    2 ай бұрын

    🤔🤔🤔🙄🙄

  • @chemoimetkpatrick5829
    @chemoimetkpatrick58292 жыл бұрын

    Better hawa than wenye wanaua watu.

  • @danielkyalo5666
    @danielkyalo56662 жыл бұрын

    Wah!Heri wao wanatumia akili ndio waibe!

  • @ashaomina8094
    @ashaomina80942 жыл бұрын

    Hongera sana police mna fanya kazi na bidii sa,na mungu awa linde sana

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    Ata polisi wenyewe niwezzi majahasusi wauwaji wakubwa niwao ndio uchangiya Sana visa vyote ivo

  • @bettymwangi9069
    @bettymwangi90692 жыл бұрын

    They are better...than those killing innocent souls

  • @christineokwiri4720

    @christineokwiri4720

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @happytimes9747
    @happytimes97472 жыл бұрын

    Hapo ndio nilifungua bank account yangu hao wasiachiliwe pls. Huyo alisha iba akatoka na bond sasa anatafuta pesa ya kutupa kesi bahati mbaya kwake nzuri kwetu ameshikwa

  • @florencembone4513
    @florencembone45132 жыл бұрын

    But hawajaiba kitu.nedeni mshike wenye kuua watu na kutupa mtoni.

  • @blessedfamily816
    @blessedfamily8162 жыл бұрын

    I totally prefer them than those killing innocent souls....

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli72242 жыл бұрын

    Kumbe simara yakwanza

  • @matts6894
    @matts68942 жыл бұрын

    When will they descend on Kemsa ones?

  • @mskimtai5258

    @mskimtai5258

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @phillsnafuna5962
    @phillsnafuna59622 жыл бұрын

    Tutaskia tu wameachiliwa hii ni kenya

  • @godi3430
    @godi34302 жыл бұрын

    ii strategy wangeaaply tactics za Professor

  • @gracenzomo9386
    @gracenzomo938628 күн бұрын

    Hustlers 😮

  • @luciahmwai567
    @luciahmwai5672 жыл бұрын

    Wapewe kazi na serikali waache wizi

  • @karanjagladys7781
    @karanjagladys77812 жыл бұрын

    Walikuwa wamefanya hesabu ya life nivire mkosi imewapata better wao kuliko wenye wanaua watoto watajilike

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian97002 ай бұрын

    Bado hawo WA Mombasa washikwe

  • @Dun_m
    @Dun_m2 жыл бұрын

    Wow

  • @lucymwai7645
    @lucymwai76452 жыл бұрын

    Kwanini huwa wana patiwa (bond) akuje tu kuangaisha watu. Haki mahakama zetu akuje utafitii mwengine. Sio mtu wakiimba anashaliwaa tu.

  • @janeselineselinejane4377
    @janeselineselinejane43772 жыл бұрын

    Ngojeeni waimbe muwakamate

  • @beirut9750
    @beirut97502 жыл бұрын

    98 % kikuyu2% wengine wajaze

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    Jaluo🤣🤣

  • @daughterzion8886

    @daughterzion8886

    2 жыл бұрын

    @@lovvy854 mugo ni mkamba

  • @Jane-uw9ow

    @Jane-uw9ow

    2 жыл бұрын

    @@daughterzion8886 wee sio mkamba

  • @ruclaingachogu9518
    @ruclaingachogu95182 жыл бұрын

    Hii ndio matokeo mahakama ikiwaachilia kwa dhamana

  • @lucymwai7645

    @lucymwai7645

    2 жыл бұрын

    Umeongea ukweli mutupu

  • @danielmurathe9282
    @danielmurathe92822 жыл бұрын

    Wizi bila umabavu. Shinda iko wp?

  • @ashaomina8094
    @ashaomina80942 жыл бұрын

    Congratulations police good job

  • @alvinkelvotov2304
    @alvinkelvotov23042 ай бұрын

    Money heist influence😂😂

  • @anneakinyi4916
    @anneakinyi49162 жыл бұрын

    I think for that guy Ngunyi it's 80 days not 40 since he's bn arrested before. Akiachiliwa aahikwe tena will b 120dys

  • @faithligaka7619

    @faithligaka7619

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂ni mkali

  • @anneakinyi4916

    @anneakinyi4916

    2 жыл бұрын

    @@faithligaka7619 umeona sura yake? Exhibit

  • @monicamwangi3122

    @monicamwangi3122

    2 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @rennishmboya9840

    @rennishmboya9840

    2 жыл бұрын

    Yake imebidi aongezewe day count

  • @sarahmunga5885
    @sarahmunga58852 жыл бұрын

    Gikuyu 😅

  • @ruthbosibori1482
    @ruthbosibori14822 жыл бұрын

    Finya tena finya

  • @254shorttrendystories4
    @254shorttrendystories42 жыл бұрын

    Should be 80 days are over …he had been arrested before 🤣🤣ata sura ni exhibit ngai

  • @SirKelvin
    @SirKelvin2 жыл бұрын

    Sad they were arrested !!! May they be released soonest !!. The real thugs are our Mpigs !!! ...

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    What

  • @khadijamwalimu6763
    @khadijamwalimu67632 жыл бұрын

    Kaachiliwa kwa dhamana na munajua ni jambazi haya huyo ndie tena kaenda kufanya tukio hilo hilo mulilo muachia kwa dhamana haya mpeni tena dhamana atoke tena munajua mtu nijambazi alafu munamuachilia kwa dhamana lkn aneiba kuku anahukumiwa kifungo bila dhamana

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fajarfajar7855

    @fajarfajar7855

    2 жыл бұрын

    khadijah mwalimu umeonaa

  • @gracenzomo9386

    @gracenzomo9386

    28 күн бұрын

    😂😂

  • @jameswaruingi2554
    @jameswaruingi25542 жыл бұрын

    Wamefaulu aki nahitaji pesa

  • @ummuadam2423
    @ummuadam24232 жыл бұрын

    Hzo majina zao tu utajua

  • @khalidahmed8050
    @khalidahmed80502 жыл бұрын

    They're not culprits but rather victims...Hakuna kazi na maki yao inaporwa na wanasiasa with zero opportunities..They will always improvise to put food on the table..They gotta eat too

  • @MartinGacheruTuts
    @MartinGacheruTuts2 жыл бұрын

    Kuna mwenye aliwauza

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    Nihizo kelele za kuvunja ukuta ndio ziliwauza

  • @mayakatamu3608
    @mayakatamu36082 жыл бұрын

    Old men😂😂

  • @alexgitau143
    @alexgitau1432 жыл бұрын

    They will be out on bond tunajua tu , nothing will happen Covid-19 millionaires wako tu mtaa.

  • @pk-tv9wg
    @pk-tv9wg2 жыл бұрын

    Funny criminals

  • @calistersiocha2788
    @calistersiocha27882 жыл бұрын

    Siku za mwizi ni arobaini

  • @kitony

    @kitony

    2 жыл бұрын

    Wrong,arubaini is by death...they will walk out free again with bail from courts.

  • @umpump8472
    @umpump84722 жыл бұрын

    Ujinga wanadhani hatajulikana

  • @winniewayesu6876
    @winniewayesu68762 жыл бұрын

    Wow