Watu 5 wakamatwa wakipanga kuiba benki, Nairobi
Polisi hapa Nairobi wanawazuilia washukiwa watano waliokuwa wakipanga njama ya kuiba pesa katika tawi la benki ya Prime eneo la Kamukunji. watano hao walifumaniwa walipokuwa wanachimba ukuta wa benki hiyo kutoka orofa ya kwanza baada ya kukodi vyumba vya kulala katika eneo la burudani lililo pembezoni mwa benki hiyo.
Пікірлер: 59
Thats a legend, heri kuiba bank kuliko kuhangaisha wananchi kuwaibia kuku na simu
@rosekadzokillian9700
2 ай бұрын
🤔🤔🤔🙄🙄
Better hawa than wenye wanaua watu.
Wah!Heri wao wanatumia akili ndio waibe!
Hongera sana police mna fanya kazi na bidii sa,na mungu awa linde sana
@lovvy854
2 жыл бұрын
Ata polisi wenyewe niwezzi majahasusi wauwaji wakubwa niwao ndio uchangiya Sana visa vyote ivo
They are better...than those killing innocent souls
@christineokwiri4720
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo ndio nilifungua bank account yangu hao wasiachiliwe pls. Huyo alisha iba akatoka na bond sasa anatafuta pesa ya kutupa kesi bahati mbaya kwake nzuri kwetu ameshikwa
But hawajaiba kitu.nedeni mshike wenye kuua watu na kutupa mtoni.
I totally prefer them than those killing innocent souls....
Kumbe simara yakwanza
When will they descend on Kemsa ones?
@mskimtai5258
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Tutaskia tu wameachiliwa hii ni kenya
ii strategy wangeaaply tactics za Professor
Hustlers 😮
Wapewe kazi na serikali waache wizi
Walikuwa wamefanya hesabu ya life nivire mkosi imewapata better wao kuliko wenye wanaua watoto watajilike
Bado hawo WA Mombasa washikwe
Wow
Kwanini huwa wana patiwa (bond) akuje tu kuangaisha watu. Haki mahakama zetu akuje utafitii mwengine. Sio mtu wakiimba anashaliwaa tu.
Ngojeeni waimbe muwakamate
98 % kikuyu2% wengine wajaze
@lovvy854
2 жыл бұрын
Jaluo🤣🤣
@daughterzion8886
2 жыл бұрын
@@lovvy854 mugo ni mkamba
@Jane-uw9ow
2 жыл бұрын
@@daughterzion8886 wee sio mkamba
Hii ndio matokeo mahakama ikiwaachilia kwa dhamana
@lucymwai7645
2 жыл бұрын
Umeongea ukweli mutupu
Wizi bila umabavu. Shinda iko wp?
Congratulations police good job
Money heist influence😂😂
I think for that guy Ngunyi it's 80 days not 40 since he's bn arrested before. Akiachiliwa aahikwe tena will b 120dys
@faithligaka7619
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂ni mkali
@anneakinyi4916
2 жыл бұрын
@@faithligaka7619 umeona sura yake? Exhibit
@monicamwangi3122
2 жыл бұрын
😀😀😀
@rennishmboya9840
2 жыл бұрын
Yake imebidi aongezewe day count
Gikuyu 😅
Finya tena finya
Should be 80 days are over …he had been arrested before 🤣🤣ata sura ni exhibit ngai
Sad they were arrested !!! May they be released soonest !!. The real thugs are our Mpigs !!! ...
@lovvy854
2 жыл бұрын
What
Kaachiliwa kwa dhamana na munajua ni jambazi haya huyo ndie tena kaenda kufanya tukio hilo hilo mulilo muachia kwa dhamana haya mpeni tena dhamana atoke tena munajua mtu nijambazi alafu munamuachilia kwa dhamana lkn aneiba kuku anahukumiwa kifungo bila dhamana
@lovvy854
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@fajarfajar7855
2 жыл бұрын
khadijah mwalimu umeonaa
@gracenzomo9386
28 күн бұрын
😂😂
Wamefaulu aki nahitaji pesa
Hzo majina zao tu utajua
They're not culprits but rather victims...Hakuna kazi na maki yao inaporwa na wanasiasa with zero opportunities..They will always improvise to put food on the table..They gotta eat too
Kuna mwenye aliwauza
@lovvy854
2 жыл бұрын
Nihizo kelele za kuvunja ukuta ndio ziliwauza
Old men😂😂
They will be out on bond tunajua tu , nothing will happen Covid-19 millionaires wako tu mtaa.
Funny criminals
Siku za mwizi ni arobaini
@kitony
2 жыл бұрын
Wrong,arubaini is by death...they will walk out free again with bail from courts.
Ujinga wanadhani hatajulikana
Wow