Wakazi wabomoa vibanda na majengo Umoja Nairobi.
Fujo, vurumai na uharibifu zilitanda katika barabara ya Manyanja katika mtaa wa Umoja hapa jijini Nairobi baada ya wakazi wa mtaa huo kufanya maandamano na kubomoa vibanda na majengo kando ya barabara hiyo. Wakazi hao wanadai kuwa majengo hayo yamejengwa kwenye ardhi iliyotengewa upanuzi wa barabara, hali ambayo imesababisha msongamano mkubwa wa magari eneo hilo.
Пікірлер: 49
When any govt fails to deliver, mwananchi shall do it for the sleeping fellows.
People are very powerful. They can make you or destroy you..
Ingekua azimio wangesema ni uharibifu wa Mali ya umma,alafu watu wangekula teagas kinoma
People are starting to act where state is failing...
@Mo-wk3rg
Жыл бұрын
We should have acted from 2007
If the state cant act let the public take charge
Uchunguzi gani na anajenga kwa barabara inafaa mandamano phase 2 ipitie Hapo ndo kieleweke🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera wakenya
Huo kijana anabonga facts ma yut wanaumia huku nje alfu mtu anajenga kw barabara ajey
Wawawa😂😂😂hii Kenya watu wanaeza tia 1kg chumvi kwa skumawiki ya 5/=.kasee ashataja serikal yote,😿
Citizens have taken the power they donated from the leaders. Aggressive James Orengo always says it.
God job
Hehe. kenya sai ni vilio tu.
Kazi ya polisi.....!
Ruto atawasaidiaje na yeye ndiye mwizi mkuu wa Mashamba ?
God Almighty, Waaaa hi ni maneno gani jameni wooiyie Kenya yetu 😢
@christinepauls3950
Жыл бұрын
Kwani pia wewe umenyakua barabara pahali?
@unclemchespeaks3094
Жыл бұрын
Bado uko hai🤔🤔🤔
@eriminahmshai
Жыл бұрын
Kenya inastahili iwe nikenya yakila mtu na si yawenye wako na pesa kubabaisha watu pesa ni yako
Sasa swale mdoyi alinyanganya paka kofia yake ya Christmas....it's a terrible thing on his head
@kennedyokoth3126
Жыл бұрын
Unaangalia news ama kichwa ya Swale mdoe😂😂😂
Nani aliwapatia ruhusa kujenga kwa barabara, this corrupt government and corrupt Nairobi County Watakula hongo mpaka lini
Hiii ni kenya kweli😢😢😢😢
Good luck Kenyan
Hamu hitaji serikali chukueni chenyu ka vile Mungu alipanga ila Si kwa mipango ya mtu binafsi
😮😮😮😮lord
Nifikisheni hata 100 subscribers watu wangu ❤love you guys
@sylviawambui748
Жыл бұрын
Ok,nishakufikisha 86 nipitie nami
@dukeofrideshare
Жыл бұрын
@@sylviawambui748 hata mimi naomba subscribers tafadhali. Nitashukuru sana nikipata hata moja !
@sylviawambui748
Жыл бұрын
@@dukeofrideshare nimekufikusha 40, nipitie pia
@sylviawambui748
Жыл бұрын
Nimekupitiya na umenilenga🥰
@dukeofrideshare
Жыл бұрын
@@sylviawambui748 pole nimecheki message saa hizi. 🥰. Nimekupa pia mimi. Thanks tu sana , my dear 🥰
SI Christmas Father Christmas 🎄
What's happened in our nation???
Alafu watasema ni Raila 🙄🙄🙄🙄🙄
RUTO NDIYE MWENYEWE
Mbona hawajarusha teargas?
This is all JTM pastors work I'm sure
dynasties hakuna finyilia hustler
Wakenya wamechokaa kila mahali
Lakini polisi wanakuanga wapi
@aspdlsp2420
Жыл бұрын
@TOP SCORER Wao hutokea tu sazile wanataka kuteargas wajaluo
This started small, with one citizen. There is no stopping now, because when it was first tried, government did not speak or act against it fast enough. Why should citizens do this for themselves? Where is the government? Why should people resort to this? Who is sleeping on their job? What needs to change? Hakukuwa na intelligence? We need some corrections done, urgently, otherwise some hormones that have been excited will cause too much trouble.
@MichaelMengo
Жыл бұрын
You asked a very good question. Kenya is a funny country where certain people are above the law
@cleophaskubasu
Жыл бұрын
People are the government. It’s a Re-public 😂😂😂
@saidibrahim5931
Жыл бұрын
What about kujenga kwa barabara?
@maryannngugi3695
Жыл бұрын
@@saidibrahim5931 where was the government when that happened? Where was the chief, ass chief, nyumba kumi, sub county commander? Why must citizens do this for themselves? Where are the laws of the land? Tuko same page. Except I see failure from far, it should never have happened this way
@maryannngugi3695
Жыл бұрын
@@cleophaskubasu aki, Someone failed them. It's an evil trend. I hope it ends very soon