Kwa nini baadhi ya wakaazi wa Nairobi huita eneo la kibiashara (CBD) nyumbani
Ойын-сауық
Kwa kawaida wakazi wa jiji la Nairobi huishi katika mitaa iliyo nje ya eneo la kibiashara la jiji hili. Hata hivyo, kuna wale wanaoliita jiji la Nairobi nyumbani. Wengine wanaposongamana kuabiri magari ya kutoka nje ya jiji wakishafunga kazi, wao hutembea tu kuelekea nyumbani kwao.
Пікірлер: 10
Very lazy reporting.
This news Haina maana coz haieleki what was it for?
Off topic kabisa
Hunilipa 25k bedsitter na hunasema hunasave
Sasa hii news iko je
DO they care about high levels of high air pollution
😂😂😂😂ATI zero grazing
@mariambewa8104
9 ай бұрын
🤣🤣🤣
chai surely🤣🤣🤣🤣🤣
Ilikuwa meaning of cbd ama garama