Wanaosafirisha mizigo Afrika Mashariki walalamika
Wasafirishaji mzigo kutoka bandari ya Mombasa hadi mataifa ya ukanda wa Afrika Mashariki wanalalamikia kuongezeka kwa vikwazo vya usafirishaji mizigo ambavyo vimepelekea kukwama kwa mizigo katika barabara kuu ya mombasa kuelekea nairobi. Baadhi ya trela zimekwama katika sehemu ya kupimia mizigo katika eneo la dongo kundu kwa zaidi ya wiki moja sasa. Wanadai hali hii imewaacha wakikadiria hasara huku baadhi ya wateja wao wakitishia kuondoka nchini.
Пікірлер: 27
HALAFU MUNATAKA KUWA SINGAPORE. UZEMBE, UZEMBE, USHENZI UNARUDISHA NYUMA UCHUMI.
@thomasmutero1911
3 ай бұрын
Sio uzembe kaka ni hongo
KENHA nikupenda tu hongo
Mchungaji WA ngombe hawezi ongoza binadamu,aliona ata hizo Lori hajui maana zake , wakenya na ujuwaji wao waliamua kuchagua wachungaji WA mifugo, sasa oneni vile inchi unayumbayumba,lakini ukifika NI mambo ambayo inahusidhia Joe biden ,ruto anajua Sana kufatilia kama sasa Haiti ,GMO LGBTQ na retrangement anafanya vizuri Sana plus taxes
Kenya sio nchi tena
@Pablo19986
3 ай бұрын
Ufisadi sio
What is kenya gaining by sabotaging other neighbouring countries cargo !! if you don't feel well doing business with them just tell them you're not ok with their business and give them reasons !
Kenya utapeli mwingi sana
Vp Mgomo wa Madaktari Umeisha?
Its true
Corruption corruption corruption
How do they intend to pay Euro-bond if they keep sabotaging businesses that bring in revenue.
Government should be serious and keep off killing Her economy by poor management and poor service delivery. @murkomen @ president Ruto
This is both annoying and frustrating. It shouldn't be happening in this day and age.
Hii ndiyo serikali ya mama mboga na bodaboda in action. Tunabadilisha maisha yenyu...😢😢😢 What is the logic of delaying cargo na kuongeza ushuru then you think you are gaining...
Port incompetence is destroying business
Pengine hunjapeana kitu kidogo
Vopo
TIMES IS MONEY....I DON'T KNOW AND WHY AFRICANS, ESPECIALLY, TANZANIANS....THEY DON'T KNOW THE IMPORTANT OF TIME'S AND HOW TO USE IT
Sasa sehemu yenyewe ina itwa “DONGO KUNDU” 😅! Lazima mizigo ikwame 😂! Una jua maana ya “DONGO KUNDU 🤣?
@aamaasm2141
3 ай бұрын
Wewe ni mtu wa bara hujuui nana yake mchanga mwekundu kwa kiswahili
Davido anawashitaki media za kenya,wakenya wanazomea otile,wasafirishaji wanataka kusepa what a confused nation you are jiran😅