Wanaosafirisha mizigo Afrika Mashariki walalamika

Wasafirishaji mzigo kutoka bandari ya Mombasa hadi mataifa ya ukanda wa Afrika Mashariki wanalalamikia kuongezeka kwa vikwazo vya usafirishaji mizigo ambavyo vimepelekea kukwama kwa mizigo katika barabara kuu ya mombasa kuelekea nairobi. Baadhi ya trela zimekwama katika sehemu ya kupimia mizigo katika eneo la dongo kundu kwa zaidi ya wiki moja sasa. Wanadai hali hii imewaacha wakikadiria hasara huku baadhi ya wateja wao wakitishia kuondoka nchini.

Пікірлер: 27

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin34023 ай бұрын

    HALAFU MUNATAKA KUWA SINGAPORE. UZEMBE, UZEMBE, USHENZI UNARUDISHA NYUMA UCHUMI.

  • @thomasmutero1911

    @thomasmutero1911

    3 ай бұрын

    Sio uzembe kaka ni hongo

  • @Coachbill254
    @Coachbill2543 ай бұрын

    KENHA nikupenda tu hongo

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b3 ай бұрын

    Mchungaji WA ngombe hawezi ongoza binadamu,aliona ata hizo Lori hajui maana zake , wakenya na ujuwaji wao waliamua kuchagua wachungaji WA mifugo, sasa oneni vile inchi unayumbayumba,lakini ukifika NI mambo ambayo inahusidhia Joe biden ,ruto anajua Sana kufatilia kama sasa Haiti ,GMO LGBTQ na retrangement anafanya vizuri Sana plus taxes

  • @mkenyamzalendo4130
    @mkenyamzalendo41303 ай бұрын

    Kenya sio nchi tena

  • @Pablo19986

    @Pablo19986

    3 ай бұрын

    Ufisadi sio

  • @rosemarymungai2415
    @rosemarymungai24153 ай бұрын

    What is kenya gaining by sabotaging other neighbouring countries cargo !! if you don't feel well doing business with them just tell them you're not ok with their business and give them reasons !

  • @adamkitara3014
    @adamkitara30143 ай бұрын

    Kenya utapeli mwingi sana

  • @user-py9sr5zx4v
    @user-py9sr5zx4v3 ай бұрын

    Vp Mgomo wa Madaktari Umeisha?

  • @elphaskiplagat6461
    @elphaskiplagat64613 ай бұрын

    Its true

  • @omararale7962
    @omararale79623 ай бұрын

    Corruption corruption corruption

  • @kariuki5308
    @kariuki53083 ай бұрын

    How do they intend to pay Euro-bond if they keep sabotaging businesses that bring in revenue.

  • @kibetcollins4963
    @kibetcollins49633 ай бұрын

    Government should be serious and keep off killing Her economy by poor management and poor service delivery. @murkomen @ president Ruto

  • @MansaMusa001
    @MansaMusa0013 ай бұрын

    This is both annoying and frustrating. It shouldn't be happening in this day and age.

  • @ronaldodyra5799
    @ronaldodyra57993 ай бұрын

    Hii ndiyo serikali ya mama mboga na bodaboda in action. Tunabadilisha maisha yenyu...😢😢😢 What is the logic of delaying cargo na kuongeza ushuru then you think you are gaining...

  • @gakahuruko2331
    @gakahuruko23313 ай бұрын

    Port incompetence is destroying business

  • @monixmoni5307
    @monixmoni53073 ай бұрын

    Pengine hunjapeana kitu kidogo

  • @BernardoKibunja-yw6nc
    @BernardoKibunja-yw6nc3 ай бұрын

    Vopo

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala77183 ай бұрын

    TIMES IS MONEY....I DON'T KNOW AND WHY AFRICANS, ESPECIALLY, TANZANIANS....THEY DON'T KNOW THE IMPORTANT OF TIME'S AND HOW TO USE IT

  • @jesusbrother7684
    @jesusbrother76843 ай бұрын

    Sasa sehemu yenyewe ina itwa “DONGO KUNDU” 😅! Lazima mizigo ikwame 😂! Una jua maana ya “DONGO KUNDU 🤣?

  • @aamaasm2141

    @aamaasm2141

    3 ай бұрын

    Wewe ni mtu wa bara hujuui nana yake mchanga mwekundu kwa kiswahili

  • @danielmussa6944
    @danielmussa69443 ай бұрын

    Davido anawashitaki media za kenya,wakenya wanazomea otile,wasafirishaji wanataka kusepa what a confused nation you are jiran😅