WANACHAMA WAPYA 193 WAPOKELEWA KWA KIAPO CHA CHADEMA KATA YA MKINGA_MH.AIDA KENANI

Пікірлер: 33

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga188 күн бұрын

    Dada Mungu akubariki sana

  • @andrewassey5108
    @andrewassey510815 күн бұрын

    Aida uko vizuri sana hongera

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa594315 күн бұрын

    Safi sana sasa wtz waanza kujielewa.

  • @hamisimorogoro3732
    @hamisimorogoro373215 күн бұрын

    Chama la Wana safi sana

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni967615 күн бұрын

    Safi sana hongera sana

  • @samuelshunashu7705
    @samuelshunashu770515 күн бұрын

    Kadi za ccm ni makaratasi nani anayataka ? Njoo CHADEMA Up the kadi za KIDIGITAL

  • @neemanziku5403
    @neemanziku540314 күн бұрын

    Karibuni Sana Mungu awabariki

  • @othmanali5362
    @othmanali536214 күн бұрын

    Wapi hiyo

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk15 күн бұрын

    VemaaaaaAaaa✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i15 күн бұрын

    Safi sana

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc15 күн бұрын

    Lakini ktk baadhi ya maeneo ccm hawana chao, Mwenyekiti mbowe karibu sana huku Namtumbo songea na Nanyumbu Tuwaamushe hawa walio ktk usingizi mzito.

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h15 күн бұрын

    Wananchi wanaokuwa naulewa kama hawa mungu wape uelewa nawengine walioko gizani

  • @walterngowi5835
    @walterngowi583516 күн бұрын

    Hapo habar imekwisha tiyar 💪💪

  • @EzekielLaizer-hj3ri
    @EzekielLaizer-hj3ri16 күн бұрын

    Na mimi niapisheni jamani @katibampya ni ss

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x15 күн бұрын

    ✌️🙏🙏🙏

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo65914 күн бұрын

    ASANTE SANA DADA AIDAN KHENANI

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan297115 күн бұрын

    Msigwa mmoja chadema wamekomba 193 duh

  • @josephwaigama-sb8hz
    @josephwaigama-sb8hz15 күн бұрын

    Jamani njooni mara nyamongo tunawasubili sana chama che2

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha639315 күн бұрын

    Mheshimiwa Aida unafaa kuwa Speaker wa bunge.!

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq15 күн бұрын

    Tokeni huko jehanamu mje tuijenge tanzania Hawa ccm wanawadanganya nyinyi munakonda Kwa kukamuliwa Kwa Kodi wao wananenepa tukatae

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo12 күн бұрын

    Hiyo nyoni nooma

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z13 күн бұрын

    Hayo ni maigizo tu

  • @danielkanso
    @danielkanso14 күн бұрын

    Naona Tarime na Rukwa wamefanya vyao kongole kwao

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc15 күн бұрын

    Watanzania ni mtihani umsslini umetubadilisha kuwa malumpeni, kila atakaekuja ni boss na anafaa kwa wakati huo 4:17

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z13 күн бұрын

    Watu wanahtaj kadi za vyama kwa ajili ya ulaji tu

  • @michaelchombo8956
    @michaelchombo895615 күн бұрын

    Watapokea kadi za ccm,ccm imekwisha

  • @user-wl9ev2mb5s
    @user-wl9ev2mb5s16 күн бұрын

    Chadema ndio tumaini pekee la watanzania wengi

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    14 күн бұрын

    Tuzilinde rasimali zetu kwa wivu mkubwa kwa ajili ya future generations

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca760214 күн бұрын

    Wote watoto hao hawajui wanachokifanya

  • @tanzanite9944
    @tanzanite994416 күн бұрын

    Siamini huu Ujinga wa kupewa Kadi wengi hata hawajui maana yake maana siku akija SAMIA tuu woote walioapa watapokra kadi za CCM pia.

  • @epimackjohn461

    @epimackjohn461

    16 күн бұрын

    Kama wewe huamini waachie wao ndo wameamua na wana maana wanayoijua wenyewe , SAMIA hasimamii misimamo itokayo kwenye mioyo ya watu .

  • @petermogha7025
    @petermogha702511 күн бұрын

    Hapo hawajanunulia igekuwa CCM ujesikia