Wakristo wasilimu baada ya kujua manabii wote Yesu,Musa, Ibrahim na Muhammad walikuwa waisilamu

Пікірлер: 113

  • @suleimanabdull1958
    @suleimanabdull19582 жыл бұрын

    MashaaAllah,Ningependa kuona Mama wa kiislamkujitokeza haraka kuwastiri na kuwakaribisha dadazetu pindi wakislim tu

  • @jamalathman6219
    @jamalathman62192 жыл бұрын

    Karibu Dada yetu kwenye dini ya haki uisilamu mashallah,allah akuongoze

  • @jasminenjelekelaa6543
    @jasminenjelekelaa65432 жыл бұрын

    Alhamdulillah ma sha Allah karibuni ndugu zetu katika dini ya Allah. Allah ailinde imani yenu.Amiin.

  • @abulhassanchannel2741
    @abulhassanchannel2741 Жыл бұрын

    Masha Allah ,,Tabaaraka LLah

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb2 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @eshaomar9343
    @eshaomar93432 жыл бұрын

    Mashaallah ,mwenyezngu awazidishie nguvu ya kumpigia jihad n atuongoze site waislam wote thingies jannatunnaim.Amin

  • @mwanapilikaiama4013
    @mwanapilikaiama40132 жыл бұрын

    Kazi nzuri mwenyezimungu akuzidishiie ishaallah

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Жыл бұрын

    Mashallah Allah awaongoze

  • @kingoscovic909
    @kingoscovic9092 жыл бұрын

    M. a brother keep going

  • @onetap8009
    @onetap80092 жыл бұрын

    Karibuni kwenye dini ya Haki ya Allah

  • @mrok284
    @mrok2842 жыл бұрын

    Thank you for good debate. Allah awape baraka na kusonga mbele. Amin

  • @jamalathman6219
    @jamalathman62192 жыл бұрын

    Mashallah karibu ndugu kwenye dini ya haki uisilamu,allah akuongoze upate wafunza wasiobahatika kua waisilamu

  • @thureyaabuu5783
    @thureyaabuu57832 жыл бұрын

    Mashallah nimefurahi kw kuitambua dini ya haki dadangu Mungu atuongoze sote inshallah

  • @fatumazuberi4755
    @fatumazuberi47552 жыл бұрын

    Mungu awalinde mashekh zetu

  • @nassrubushoot5750
    @nassrubushoot57502 жыл бұрын

    MashaAllah barakallahu fiykm brother's in Faith

  • @mussamohamedmohamed9629
    @mussamohamedmohamed96292 жыл бұрын

    Mashaa Allah,,Allah awaongoze wenzetu walio iona haq ilaa yaumil'qiyama

  • @yassinhussein8066
    @yassinhussein80662 жыл бұрын

    Shekhe mungu akupe umri mrefu, tutembelee mji wetu wa isiolo pia Allah (SW) aturahisishie sote Insha Allah

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Aameen ameen ameen

  • @newsworldonlinetv7742

    @newsworldonlinetv7742

    2 жыл бұрын

    SI mje Nairobi CBD..mbona isili mara isiolo

  • @arbebarile9524
    @arbebarile95242 жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @user-mb2ob6kg8z
    @user-mb2ob6kg8z2 жыл бұрын

    mashaala

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 жыл бұрын

    Mashallah Allah 💕

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi10972 жыл бұрын

    Masha allah

  • @abubakarhaji5343
    @abubakarhaji53432 жыл бұрын

    Mungu akupe umri mrefu shekhe

  • @omarjama6660
    @omarjama66602 жыл бұрын

    M Allah

  • @morehermadeosman4977
    @morehermadeosman4977 Жыл бұрын

    Hope mlifwatilia Yule mkaka aliyesilimu

  • @mvungijuma2025
    @mvungijuma20252 жыл бұрын

    Kutoka Moro raha sana

  • @missrukia9661
    @missrukia96612 жыл бұрын

    Mashallhaaa mashekhe wetut

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Masha Allah May Almighty Allah bless you and your family and everything you're doing May Almighty Allah put baraka on it

  • @hassansumera7818
    @hassansumera78182 жыл бұрын

    Jazakum llah khair.

  • @mrok284
    @mrok2842 жыл бұрын

    Twambie inassssemaje Isaiah. Raha Sana Wallahi.

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiir

  • @maimunafzaka880

    @maimunafzaka880

    2 жыл бұрын

    Allah akbarrrrrrrr

  • @mvungijuma2025
    @mvungijuma20252 жыл бұрын

    🇹🇿

  • @oman7710
    @oman77102 жыл бұрын

    ما شاء الله

  • @makenakendi9014
    @makenakendi90142 жыл бұрын

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers

  • @issairakoze1074
    @issairakoze10742 жыл бұрын

    Mungu Awape kila la heri

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Aameen ameen ameen sote

  • @ahmedabdirahman8611
    @ahmedabdirahman86112 жыл бұрын

    Allahu Akbar Allah akupe umri mrefu ya kuweza kufanya da'wa kma hii🇹🇷🇰🇪

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Aameen ameen ameen sote

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    Allah HUAKBAR

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    Takbiiiir

  • @assfzainab912
    @assfzainab9122 жыл бұрын

    Mungu akuongoze kaka uliye slim

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Aameen ameen ameen

  • @fatmamohd2444

    @fatmamohd2444

    2 жыл бұрын

    alhamdulilah amiin amiin amiin

  • @aleyabra4160
    @aleyabra41602 жыл бұрын

    Salim daawah nawaomben muiweke katika page yenu dibeti ya marehemu imani petro ntaiandika hapo juu kw herufi kubwa nanyi muiandike hvyo hivyo naomb ushrikiano wenu

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph14222 жыл бұрын

    Maelezo yote yaliyo ndani ya injili ya yesu . Siamini Kama kunanabii. Mwingine. Ukweli wote. Yesu amesema. . Matayo. 24: 14 yohana. 14.6. Matayo 10: 32. 33. Matayo. 25 : 30 .36. Yesu atayahukum mataifa yote duniani. Na yoyote. Asaiyefata. Maagizo yake atahukumiwa. Torati 18:18 19 yohana. 5:. 38 47 haya maandiko ni ushahidi tosha. Yoyote. Asiyemfuata. Atarajie. Jehanam. Hatayesu. Alipoaza. Kuhubiri ma Neno ya Mungu alizikuta dini. Nyingi. Ilahazikumzuia kuyanena maneno ya mungu aliyoagizwa.

  • @salimdaawah123
    @salimdaawah1232 жыл бұрын

    Our WhatsApp number is 0727431691

  • @habibadab5545
    @habibadab55452 жыл бұрын

    ماشاء الله

  • @athumanzahir8316
    @athumanzahir8316 Жыл бұрын

    Shida sio uislam yesu ndo nabii wa mwisho

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. Wwe have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven.

  • @aminaabu4482
    @aminaabu44822 жыл бұрын

    Leo ni mechelewa MashaAllah

  • @newsworldonlinetv7742

    @newsworldonlinetv7742

    2 жыл бұрын

    Hamjui Yesu ni nani nyinyi..

  • @newsworldonlinetv7742

    @newsworldonlinetv7742

    2 жыл бұрын

    Yesu mwenyewe waislamu hamumuamini..mwache kutupima. Mwanzo hamfahamu hata roho mtakatifu. Mwanzo uislamu husema yeyote amwaminie Yesu ataenda Jehanamu Mbona mwanzo mtamchukia muislamu atakayemkubali Yesu na kuokoka..hata wengine huawa kwasababu ya kumkubali kristo Kuna Mwadhini alkua Nairobi west aliokoka akatishiwa na kusomewa sijui vitabu zipi katumiwa magonjwa lakini Yesu alimwokoa .

  • @newsworldonlinetv7742

    @newsworldonlinetv7742

    2 жыл бұрын

    Mungu mwenyewe alimbadilisha ibrahimu Hadi kaitwa Abraham

  • @newsworldonlinetv7742

    @newsworldonlinetv7742

    2 жыл бұрын

    You don't know about the revelations of the Holy spirit..u don't read the bible just like that

  • @newsworldonlinetv7742

    @newsworldonlinetv7742

    2 жыл бұрын

    Mnaofaulu kuwaslimu hawajakutana na Kristo vizuri

  • @hijatumbo8709
    @hijatumbo87092 жыл бұрын

    Tunaipata wap bibilia ya lugha ya yesu Kama tulivo ipata Quran kwenye lugha ya kiarabu dhahiri wazungu wametupiga kwenye bibilia.

  • @user-hw7ce8gf6v

    @user-hw7ce8gf6v

    6 ай бұрын

    Usiku na mchana unaomba kwa kiarabu tu Au mungu wenu ni muarabu na anasikia lugha moja tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @aleyabra4160
    @aleyabra41602 жыл бұрын

    IMANI PETRO... DEBATE YA BUGURUNI DAR TZ. Mna maneno matamu yenye muongozo kwa waislamu na wakristo

  • @sophiasophia4668
    @sophiasophia46682 жыл бұрын

    Niko Nairobi mko side gani nikuje nataka kuslim

  • @music-fh8kd
    @music-fh8kd2 жыл бұрын

    Wewe yesu alikuwa wacha ujinga wee mzee

  • @ladaoladufu2773
    @ladaoladufu27732 жыл бұрын

    Saii hii muadara inaendelea ama imesimama kama inaendelea ni upande gani nimetamani Sana na nimemiss

  • @ladaoladufu2773

    @ladaoladufu2773

    2 жыл бұрын

    Unijibu plz hii muadara ni upande gani

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic53792 жыл бұрын

    Swali langu ni hili, mnampiga aje Yesu Kristo wakati mnagoja kurudi kwake, itawezekana aje umgojee mtu ambaye humjui wala kumtambua,,, kwa nini mnampa sifa sana Mohammed mkijua ni mtume tu kama wengine na hao wengen hamwapei sifa,?!?

  • @saidirajabu7863

    @saidirajabu7863

    2 жыл бұрын

    Tumamgojea kwakua nimtume wetu na atakuja kuwa shuhulikia wanao muita mungu .natunamsifu sana Muhammad s.a.w. kwakua nimtu was umma huu uliopo sasa nahao wengine zamazao zishapita .ila tunawapenda kwakua wametoka kwamungu kweli

  • @kmwendemusic5379

    @kmwendemusic5379

    2 жыл бұрын

    @@saidirajabu7863 Quran inasema vipi kuhusu ujio wa Yesu, nashukuru kwa jibu lako maana sipendi ugomvi na ubishi wa Dini, umejibu vyema ila kama sisi wakristo tunatambua ujio wa Bwana Yesu duniani sio jambo ambalo litakuwa la furaha tu, maana kurudi kwake lazima kila jengo litaharibiwa, Dunia hii itabaki ukiwa hakuna kitakachobaki kimesimama ata milima, kwa kujificha mwanadamu hamna, Biblia inasadikia kuwa atarudi kuchukua walio wake na wanaomtumikia kwa roho, kweli na haki Ata wakristo sio wote watanyakuliwa ila tu wanaomwambudu kwa haki, Sasa ivi Yesu angerudi leo hii ungeenda mbinguni??

  • @kmwendemusic5379

    @kmwendemusic5379

    2 жыл бұрын

    @@saidirajabu7863 kuslimu hakumsaidia mtu yeyote kwenda mbinguni wala kuokoka tu hakumsaidii mtu kwenda mbinguni ila kuokoka na kumtumikia Mungu kwa kweli na kutii amri zake na kuishi maisha mataakatifu, sisi wakristo tunahubiriwa utakaso na habari njema za Yesu pamoja na kujiandaa kuja kwake tuwe tayari, kwa nini nyie waislaam kazi tu kumpinga Yesu wakati sisi hakuna kanisa utaingia au mkutano wowote umkute mchungaji anayesema chochote kuhusu muhammad,?

  • @saidirajabu7863

    @saidirajabu7863

    2 жыл бұрын

    We unapotosha hakuna muislamu anae mpinga isaa au yesu sisi tunawapinga hao walio badili mafundisho yake nakukufundisha huo unao uita ukiristo wakati mwenyewe hakufundisha Hilo

  • @saidirajabu7863

    @saidirajabu7863

    2 жыл бұрын

    Nimekuuliza swali dogo tuu kwann madhehebu yakikiristu Kila inchi kubwa ulaya in dhehebu lake nayesu hakuwai kufika huko

  • @sophiasophia4668
    @sophiasophia46682 жыл бұрын

    Mko wapi nataka pia mimi kuslim

  • @ramadhanmussa5373

    @ramadhanmussa5373

    2 жыл бұрын

    Upo wapi wewe ?

  • @sophiasophia4668

    @sophiasophia4668

    2 жыл бұрын

    Nairobi

  • @maimunafzaka880

    @maimunafzaka880

    2 жыл бұрын

    @@sophiasophia4668 dada natumai ulisha slim. Allah akufanyie wepesi

  • @stevensosipita2851
    @stevensosipita28512 жыл бұрын

    Danganyeni watu yesu peke yake anakuja kuukomboa ULIMWENGU na imani ndo itamfikisha mtu peponi nyie pigeni tu kelele hapo.

  • @abdulmalickupete9015

    @abdulmalickupete9015

    2 жыл бұрын

    Endelezeni kudanganyana unasali nini kama yesu kasha wakomboa

  • @music-fh8kd

    @music-fh8kd

    2 жыл бұрын

    Yesu ndio jia ya uzima na milele

  • @alikhamis6326

    @alikhamis6326

    2 жыл бұрын

    Mbona ww unaenda kanisani unaenda kanisani kufanya nn na yesu munavyosema amewekwa msalaban kwa ajili ya kusamehewa dhambi zenu

  • @stevensosipita2851

    @stevensosipita2851

    2 жыл бұрын

    @@alikhamis6326 mimi naenda kanisani hata msikini naenda kwasababu mungu yupo kila mahali imani ndo itakayomponya mtu siku ya kiama.

  • @kvfihf6324

    @kvfihf6324

    2 жыл бұрын

    @@stevensosipita2851wewe umechanga,nyikiwa huezi enda kanisani na msikitini utapasuka msamba

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari24442 жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @ameratsabiya3399
    @ameratsabiya33992 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf34312 жыл бұрын

    Allahu Akbar

Келесі