Sheikh nakuomba nitafuti Mariamu kwa Ajili ya Allah
@saidasaidjuma35053 жыл бұрын
Imenifanya machoz yatoke kwa furah na wallah.......mashallah mashallah mashallah kika la khery kwa marym
@sidkas23183 жыл бұрын
Katika watu nawaheshimu ni wahadhiri Kazi hii ni kubwa na ngumu mpaka Allah akuchague sio wote wanaiweza....Wanahitaji support aina zote Allah atawafanyia uwepesi
@julioshomy11013 жыл бұрын
hongera dada mariam kwa kuingia ndan ya dini ya haki mbele ya Allah
@abdullahhashimu2380
3 жыл бұрын
Sio kuingia bali ni kurudi ktk dini yake ya awal
@issakaroli1517
3 жыл бұрын
@@abdullahhashimu2380 masikini Allah amwekeye wepesi Allah amlinde na ukafili Allah amlinde na ufakili popote Ulipo Usihau Dini ya Allah uiheshimu sana na uifuate iyi dunia tunapita
@mubarakgajjali9003
3 жыл бұрын
mashallaah mashallaah
@abuutwalhatlabu5914
3 жыл бұрын
masheikh huyu bnt ajaolewa ebu fanyeni utaratibu tumnusuru huyu bnt
@fatmaobo1613
3 жыл бұрын
@@issakaroli1517lllpl
@shaibumanda57643 жыл бұрын
Mazinge na mashekh wenzako mnafanya kazi ngum Sana Sana Allah atawalipa mashekh
@ramadhanihudhaifani43763 жыл бұрын
Mimi nawaombea kila la kheiri katika kazi yenu ya kuitangaza na kuineza dini ya haki na ya kweli ya Allah,mashehe wetu. Allah Awalipe Jannah Firdaus,Amiin!
@hassanmsipi4094
3 жыл бұрын
Allahumma Aaaamin
@lovvy854
3 жыл бұрын
Ameeen yarrabil alamin 🤲 insha'Allah
@halimaramadhan2975
3 жыл бұрын
Amiin Thumma amiin
@fbfungameza35973 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa umri kwa kazi ya mwenyezi mungu unayofanya hakika wewe ni mwalimu .
@bundatelcom27343 жыл бұрын
Wasalam haleekm mashekh. Nawapata. Nendeni basi na sehem nyingine. Mkaitangaze din. Bunda kule ndani ndani hawajuhi chochote: mkipiga kambi miezi mi3. Mtawakomboa😢😢😢
@ayshakayeko2043
3 жыл бұрын
Sana tu ilawafadhili pia wajitokeze kuwaunga mkono wanajitoa sn
@bundatelcom2734
3 жыл бұрын
@@ayshakayeko2043 nikweli usemayo mimi uko nimekaa sana; walaaah unakuta mtu ajui chochote kuusu uislam. Toka ninejifunza na kuuelewa mahisi wenzangu wamepotea 😢😢😢 nani wa kuwakomboa kama syo hao mashek 😢😢😢😢. .. kijiji akina hata mtu mmoja muislam, daah uuu,msibaaa
@asmaali8733
3 жыл бұрын
Q
@abumasoud19963 жыл бұрын
mariam hongera tumekupata kukuona kutoke uholanzi.mungu akusaidie furaha na amani.
@abuualban56393 жыл бұрын
Nimefurah sana kuona huyo msichana aliye slim jins ambavyo amejaa na tabasam na namna ambavyo wamemlaki hao wanawake wengine, Allah atulipe kwa nia zetu.
@yussufyussuf99973 жыл бұрын
Hongr dada angu mariam kuingia ktk uislam na ni umeokoka na moto wa jahannam........real more
@abdallahahmedmmary2253 жыл бұрын
Allahu akbaru bora limeanza hili jambo an niliomba wanaosilimu wapate jins ya kupata elimu likianzinshwa hilo nami ntachangia inshaallah
@abdulbogoyo12433 жыл бұрын
HAKUNA WATU NAWAHESHIMU KATIKA HII DUNIA KAMA HAWA WAHADHIRI WANAOITANGAZA DINI YA ALLAH ☝️
@saiditanzania6184
3 жыл бұрын
pfesa mazinge mungu akupe umli mrefu wakuwakumbusha wasilaamu
Mashallah sheikh Mazinge, Mariam na waislamu wote Allah awalipe kila la kheri hapa duniani na kesho akhera
@lovvy854
3 жыл бұрын
Ameeen yarrabil alamin 🤲 insha'Allah
@babyhamisi5331
3 жыл бұрын
Ameen ameen ameen
@oman7710
3 жыл бұрын
Allahumma amiiin
@helenamusa432
3 жыл бұрын
Aamiin pamoja nasie
@ibrahimgeorge6164
3 жыл бұрын
To
@mussahassan10993 жыл бұрын
Mashallah mungu na cc atujalie mwisho mwema waislamu sote kwa ujumla🤲🏻🤲🏻
@thuvakonde2584
3 жыл бұрын
Allahummah Ameen
@lovvy854
3 жыл бұрын
Allahuma Amin
@oman7710
3 жыл бұрын
Allahumma amiiin Yarabb
@halimaramadhan2975
3 жыл бұрын
Amiin yaa Rabb
@helenamusa432
3 жыл бұрын
Aamiin
@saidomarwanje85053 жыл бұрын
Asalam alaikum warahamathullah wabarakathullah professore mazinge mwenyezi Mungu akulinde
@sumahtanzania49912 жыл бұрын
Usitadhi mazinge mungu akupe afya njema na hitaji la moyo wako shehe wetu nakupenda kwa ajili ya Allah
@rufaihassan22733 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili Allah (s.w)
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
Nimefurahi mpaka nimelia wallay kwa ukarimu wa waislam walivyo mpokea huyu bint masha Allah
@matorahusseni9363 жыл бұрын
Allah akujaalie pepo ya juu ya firdaus shekh mazinge
@mulhathaji923
3 жыл бұрын
Na mie namuombea ivo ivo
@zubedarichard23113 жыл бұрын
Nmetoa machozi wallah mashaallah Kwa marium
@ibrahimhaji35753 жыл бұрын
Masha Allah, shekh mazinge Mungu azidi kukuweka bado tunakuhitaji na bado tunahitaji kujifunza mengi kutoka kwako. Mungu atujaalie mapenzi baina yetu waislamu wa bara na visiwani, nchini na mabarani. Mungu akupe afya njema na nguvu uzidi kulingania Dini ya Allah. Tunakupenda sana waislam
@aishahussen76983 жыл бұрын
mashaAllah mashaAllah takbir Allah akbar Allah azidi kukupa moyo dada maryam,ustadhi mazinge Allah azidi kukupa hikma Amiin
@asiakinia93443 жыл бұрын
Allahumma amiin jazaka llahukhaira shehe wetu mazinge Allah atuongoze kwa sote
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Ameen
@neemahassan57264 ай бұрын
Mashaallah shekhe mazinge Allah awajalie afya njema wote munao fanya kuitangaza dini Allah awajalie subra Katka kazi zenu na Allah amjarie mariamu kuingia Katka uisilam apate Mume mwema
@aishaaisha96363 жыл бұрын
Sheikh Mazinge,,,Mungu akujaalie,, akulinde na akupe nguvu uzidi katika kuitangaza dini.inshallwah Mungu atakuongoza
@iddisongolo73943 жыл бұрын
Nimekuelewa vzuri sana shekhe,ulivo mwambia dada hapo asifate waislamu,bali afate uislam!!
@swalehkiuga1673 жыл бұрын
Maashallah huyo Dada nimemwelew sana natamani ningemjua zaid
@hassanmsipi4094
3 жыл бұрын
Wacha uroho mufti utamnusuru!???
@dullyyesu9036
3 жыл бұрын
@@hassanmsipi4094 😂😂😂😂
@salehsaleh548
3 жыл бұрын
😀😀😀
@maherzain615
3 жыл бұрын
@@hassanmsipi4094 😃😃😃
@abdulsaid45793 жыл бұрын
takbir.......ndg yng mazinge wewe kweli kiboko. manake una majibu y kila suali utakaloulizwa.... Mwenyezi Mungu amekujaalia sana....jazakallahu khair 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🤝🏿👊🏿🤲🏿👍🏿
@balozibalozi44833 жыл бұрын
MashaAllah mashaAllah mashaAllah hakika hii dini ina raha saana na ya khaki machozi yamenitoka jinsi wanawake wa kiislaam walivyompokea mwanamke mwenzao hakika ni raha na upendo wa hali ya juu!
@aminaabdallah77023 жыл бұрын
Mungu yakusamehe kila jambon mbaa yakupe Imani yadini yakisilamu
@kibibimwamoto35843 жыл бұрын
Mashallah Allah amzidishie kila la kheir Allah ampe mume wa kiislamu Allah amjalie kizazi vhema kinacho ambatana na uislam
@werehadija1533 жыл бұрын
Hongera sana dada Mariam Allah akuzidishie heri.Hata mimi nimejawa na furaha
@moridohome47903 жыл бұрын
Subhannallah Allah atuongoze tuwetunatoa lnshaallah
@maxmilian25113 жыл бұрын
ASSALAM ALEYKUM SISI TULOKUA MBALI NA NINYI TUNAOMBA MUTUWEKEE NAMBA MAALUM YA KUWASILISHA MICHANGO YETU NA ILI KUTUEPUSHA NA MATAPELI IWE INATAJWA NA MASHEIKH MLIOPO IN SHAA ALLAH..!
@zouzou2849
3 жыл бұрын
Waleikum salam warahmatullah wabarakatu naam hata mimi nikiwa ufaransa tunahitzji swawabu kama hizi huku hatuna jamani nimehawi kupeleka sadaka ya zakatul fitri walenirudisha nayo na wakanipa wawo wakanambia nyinyi hamna chochote sisi njo wakuwapa wallah nema tunayo ila hatuna uwaminifu wa afrika wengi matapeli wanatumia uwongo ya rabbi
@fahadfaraj6474
3 жыл бұрын
@@zouzou2849 kabisa yani waswahili tunaendekeza mnoo njaa utapeli mwingi sana
@abuualban5639
3 жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 namba zao wameweka hapo hadi ya mazinge
@mckoba24283 жыл бұрын
Mashaallah marry yupo mbali tungefanya nusra
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Alhamdulillah mashaa allah karibu dada kwenye uislaam dini ya kweli mungu azidi kukupa maisha marefu mazinge 🤲🙏
@JumanneShabani-lp7gf
3 жыл бұрын
Mashaallah
@mushikwaclaude36903 жыл бұрын
Sheikh mazinge Allah akupe mwisho mwema nafwatiliyaga sana mihadhara unayo ifanya Allah azidi kukulinda na mitihani ya duniani na Muomba Allah atujaliye na sisi woote ambao hatujajaliwa na neema Allah aliyo kupatiya atuwezeshe na sisi piya kutokana nakuipenda dunia piya Allah asikuondowi duniani kabla huja wacha ujuzi wako kwa wa nafunzi wako ili duniani mihadhara ya kusilimisha wasiyo iendeleye. Allah na mabalaa ya duniani
@fatmamshangama98243 жыл бұрын
Nimejikuta tu nalia tena kwa hisia kali nilipoona hio video allaah akujaalie dada nangu au mdg angu
@ibnhassan9980
3 жыл бұрын
Tatizo tulilo nalo mara baada ya kusilimu namna ya kusoma mfano hai nenda mpiji magohe mtaa wa kibesa eneo la msikiti wa makuti
@khalidsalmin76823 жыл бұрын
ASSALAAM ALYKUM ALHAMDULILLAH.... MASHAALLAH kwa kila la kheri ALLAH S.W ametujaaliya neema na fadhila kuwepo katika uislamu YAARABBIIY Mjaalie sheikh Mazinge pepo iliyo bora na ya juu pamoja na waislam sote na kila umpendae kwa upendo wako ALLAH S.W na rehma zako ALHAMDULILLAH AMIN AMIN....
@lovvy854
3 жыл бұрын
Ameeen yarrabil alamin 🤲 insha'Allah
@Ukhtyzuhura3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah Tabaraqallah Hongera mdg wetu karibu katika dini ya haki
@AhmedSaid-xz3kj3 жыл бұрын
Jazakallah kheir sheikh mazinge
@richardsineno67203 жыл бұрын
MAASHAALLAAH Dada kaonyesha wazi kwamba ALLAH ni mmoja,maoni yangu ni kwamba mkalimani wa lugha ya ishara mumemficha haonekani moja kwa moja na wako watu wengi ambao ni mabubu na viziwi wanaotaka kujua Bwana Mazinge anasema nini.
@ust.shamsaalkindiya48323 жыл бұрын
Mashaallah barakallahu fiki mamy kwa kuingia katika dini ya Allah na Allah akupe taufiki na thabat duniani na akhera yaa Rabil’alamina 🤲🤲🤲
@jamilaoman7207
3 жыл бұрын
Amina
@arqamibnarqam.7185
3 жыл бұрын
@@jamilaoman7207 Amiina yaa rabbal a'lamiina 😭
@jumakhamis2263 жыл бұрын
Ma sha ALLAH shekh mazinge ALLAH AKUPE MAISHA MAREFUUU
@husnaodhiambo68483 жыл бұрын
Mashallah Allahu Akhbar
@halimamwakucha26373 жыл бұрын
Allah awape nguvu, Afya pmoja uzima muish kwa miaka mingi hil muweze kuwatoa wtu gizan
@hamzaulanda37923 жыл бұрын
Hongera dada Allah akusimamishe vizr kwenye dini ya kiislam
@abdirashidsuraw33803 жыл бұрын
Mungu awalinde na awalipe siku ya qiyama
@user-eg1dr6so4c
3 жыл бұрын
Ameen
@babyhamisi53313 жыл бұрын
Ana sauti nzuri Sana mariam mashaAllah tabarakaAllah Allah amuongoze katika kheir
@supumoto68193 жыл бұрын
USTADH mazinge ma sha ALLAH Kwa ufaswaha wako na akuzidishie hekima ILI da'wa izidi Kua mzuri
@abubakarmpole40003 жыл бұрын
Mungu amsamehe madambi yake, Sheikh wetu pia Mungu ampe umri mrefu azidi kutufaidhisha, amiin
@hidayaisimairy15533 жыл бұрын
YA RABII walipe kila LA kher wahadhiri wote wa kiislam, waepushe na husda na qadar za watu,wape mwisho mwema YA RABII, NA SISI PIYA YA RABII tuongoze njia iliyo nyooka
@user-os9ul5iu5y
3 жыл бұрын
Amiin
@faizanassor63363 жыл бұрын
Mashallah takbiriii
@user-eg1dr6so4c
3 жыл бұрын
Allahukbar
@shaibumanda57643 жыл бұрын
Mazinge umeangauka sana kuipambania din ya Allah
@hajitindi16783 жыл бұрын
Mazinge unafanya yanayo mpendeza mungu wetu mlez
@saliynahnassoro84063 жыл бұрын
Mashallah mashallah Allah awajaalie kheli viongoze wetu wa dini na awalipe pepo wao pmj ns sis
@jamalathman62193 жыл бұрын
Shukran sheikh mazinge Allah akulipe pepo,pamoja na Huyo Dada alesilimu mungu amuongoze amfanyie wepesi kuifahamu dini ya uisilamu.
@mamyomar12413 жыл бұрын
Aslm alkm, shekh mazonge. Mimi naomba No yako binafsi.
@lehemaabdallah78643 жыл бұрын
Subuhanallah ewemola wetu tuple mwisho mwema piya Moe afya she he wetu zaidi kutukumbusha ya ahera
@sharmilarashid54013 жыл бұрын
Laa ila haillallah muhammadi rasulu llwahi .maneno mazito sheikh Allah atujalie minal faizina atupe stara ya dunia na akher ummaty muhammadi amiin insha Allah
@mrskaboma92923 жыл бұрын
Mash Allah allah akupe umri mrefu Shekh mazinge nakupenda sana Baba angu wote mnao elimisha watu wajue ipi dini ya kweli allahum Aamina 🤲🤲🤲
@sabrahtwalib51943 жыл бұрын
MaashaAllah mashekhe Allah awalipe kila kher
@walaadmarjaan75553 жыл бұрын
: Sheikh Mazinge Mashallah..wewe kiboko.
@husnakh51363 жыл бұрын
JazzakAllah kheir babaaaa
@allynassor91273 жыл бұрын
Namtaka Maryam nimuowe
@zwinsalhabsu2643 жыл бұрын
Mashaallah allah amuongoze katika njia ya kheir
@yusufmsaa56933 жыл бұрын
Mashallah allah amlipe bint huyo nakama atahtaji mume mm ni suisilam na nahitaj mke ishallah kama atakubali
@lovvy854
3 жыл бұрын
🤣
@rahmaoman5122
3 жыл бұрын
Masha Allah binti maliam
@somoeismail96653 жыл бұрын
Mashaallah nimekuelewa vyema shekh mazinge
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah
@husseinali97603 жыл бұрын
Masha Allah khr sheikh
@thuvakonde25843 жыл бұрын
Allah Akbar hongera dada Mariam
@omargargaar56113 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah Allah awahifadhi wte mlio jumuika pmoja masheikh wtu MashaAllah MashaAllah Allah awabariki kwa ukmbusho kwa ajili ya Allah
@harbisulub3 жыл бұрын
Mashallah tabaraka Allah. May Allah bless her and all that welcomed her in this beautiful way
@OoOo-rl8mk3 жыл бұрын
ALLAH KAREEM MASHAA ALLAH
@rayamohammed1303 жыл бұрын
Mashaallah Allah azid kukupeni afya masheikh wetu mupate kulingania uislam
@fatumjumaa55633 жыл бұрын
Munguawazidishie umri muzidi kutufahamsha
@fatmamsiliwa84853 жыл бұрын
Nimefurahi had najikuta nalia jimekumbuka cku nilioslim, mariyam karibu sana Uislam mzuri sana ukiifata
@aminatatu5692
3 жыл бұрын
Mansha allah
@sifahamisi58723 жыл бұрын
Shekh Allah Akulipe
@zuhuramuhanga54003 жыл бұрын
From mascat oman ninawapata vizuri masha Allah
@mozasaid38693 жыл бұрын
Mashaallah Mariam Allah amuongoze katika uislamu, Namba ipi inaweza kuwafikia michango? Wekeni namba!
@sheikhsharifmakarama3060
3 жыл бұрын
Namba zetu ni+255758251725 M-pesa na +255658333372 Tigo pesa jazakumullah khayra
@mozasaid3869
3 жыл бұрын
@@sheikhsharifmakarama3060 Amiin
@maalimrajabu16343 жыл бұрын
Hakika dini ya haki mbee za mwenyezi mungu ni uislamu
@charlesjoseph2092
3 жыл бұрын
Si kweli
@malaikawatatutv.ufunuo14.84
3 жыл бұрын
Nani kasema hayo maneno kama sio Mohammed?
@rajabmshengeli1624
3 жыл бұрын
Kweli hujakosea maana waislam tuna mwenyezmungu wengine wana Mungu..... Natukumbuke miungu ipo miiingi Kama mungu jua mungu ng'ombe etc ila ila Mwenyezmungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa nahakuna anayefanana nayeye............. Pia mwenyezmungu hatumii nguvu kuujua uwepo wake
@charlesjoseph2092
3 жыл бұрын
@@rajabmshengeli1624 Nikweli Hujakose lakini Mwenyezi Mungu Anajina lake labda ungetuambia Mungu unaemuabudu Jina lake nani?
@malaikawatatutv.ufunuo14.84
3 жыл бұрын
@@rajabmshengeli1624 Hujasoma Qur'an wewe kumbe ..miungu iko na waislamu ..kwani kwenye Qur'an husema "Sisi" na sio "Mimi* Qur'an 18:50
@asianfadhil42823 жыл бұрын
Mashaallah 😍😍
@mwanashazingas66843 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah ukhty
@raziaidd23923 жыл бұрын
Ma shaa Allah tabarakallah.nakupenda sheikh mazinge kwa ajili ya Allah
@mswakisaid23203 жыл бұрын
ALLAAH amifanyie wepesi mufike mkoa wa Mara. Huku kuna uhitaji mkubwa sana tena sana. Karibuni sana tutakuwa pamoja Inshaa ALLAAH.
@abdulitendesheki32313 жыл бұрын
Walaah! Inasikitisha sana hadi wa cristo wanatoa msaada wa kutengeneza mskiti? Allah tufanyie wepesi na utusamehe mazambi yetu.
@chidydahoma30973 жыл бұрын
Allah Akbar awalipe ujira ulio kua bora zaid wahadhir wa kislam Yarabbi tujualie mwisho mema na utuingize ndani ya nyoyo zetu amiin
@linzatv27253 жыл бұрын
Ishalah mungu akulefushie maisha
@nyangeathumani55083 жыл бұрын
Allah Akbar, Allah Akbar, Allah Akbar Wallillah lihamdu
@gwakisajosephgwakisajoseph56583 жыл бұрын
😓😓balikiwa mazinde mwenyez mungu akupe maisha marefu uzidi kutufundisha
@halakediba3683 жыл бұрын
Jazaka allahu khaira
@halimaramadhan29753 жыл бұрын
Baraka llahu fik sheikh mazinge
@maulidmarjeby19543 жыл бұрын
Mwenye mawasiliano na huyu dada tafadhari
@saidr71263 жыл бұрын
Masha-allah
@tumajunior60803 жыл бұрын
Mashaallah Takbir
@fikiripazi96303 жыл бұрын
nashauri chini yawe yanatoka maandishi ya kiingereza yakitafsiri maneno ya muadhiri
@muhammadmuhammad50433 жыл бұрын
Vijana Mstirini Muislam Mwenzetu Mimi Nna Wawili Kama Atakubali Namtaka Nimstiri Muisalm Mwenzetu Awe Mja Mwema
@aminaabdallah77023 жыл бұрын
Yarabi mh hawa wezetu wanao yingia kwenye yusilamu msisahau kuwafunza jinsi yakuoga ikiwa kufanya mapezi yao na Bada yasiku Zao kumalizika kila mwezi naukijifungulia mtoto ili mwili wawo Uwe tahara kwa kusali nakusoma kuruani nakushika kila msahafu wakuani
Пікірлер: 869
Shekhe Mazinge nakupenda kwa ajili ya Allah jinsi unavoilingania dini Mashaallah tabaraka Rahmani
@lovvy854
3 жыл бұрын
Mwenyezimngu atuongoze nasisi sote insha'Allah Khair 🤲
@mohamedomaronline7459
3 жыл бұрын
Sheikh nakuomba nitafuti Mariamu kwa Ajili ya Allah
Imenifanya machoz yatoke kwa furah na wallah.......mashallah mashallah mashallah kika la khery kwa marym
Katika watu nawaheshimu ni wahadhiri Kazi hii ni kubwa na ngumu mpaka Allah akuchague sio wote wanaiweza....Wanahitaji support aina zote Allah atawafanyia uwepesi
hongera dada mariam kwa kuingia ndan ya dini ya haki mbele ya Allah
@abdullahhashimu2380
3 жыл бұрын
Sio kuingia bali ni kurudi ktk dini yake ya awal
@issakaroli1517
3 жыл бұрын
@@abdullahhashimu2380 masikini Allah amwekeye wepesi Allah amlinde na ukafili Allah amlinde na ufakili popote Ulipo Usihau Dini ya Allah uiheshimu sana na uifuate iyi dunia tunapita
@mubarakgajjali9003
3 жыл бұрын
mashallaah mashallaah
@abuutwalhatlabu5914
3 жыл бұрын
masheikh huyu bnt ajaolewa ebu fanyeni utaratibu tumnusuru huyu bnt
@fatmaobo1613
3 жыл бұрын
@@issakaroli1517lllpl
Mazinge na mashekh wenzako mnafanya kazi ngum Sana Sana Allah atawalipa mashekh
Mimi nawaombea kila la kheiri katika kazi yenu ya kuitangaza na kuineza dini ya haki na ya kweli ya Allah,mashehe wetu. Allah Awalipe Jannah Firdaus,Amiin!
@hassanmsipi4094
3 жыл бұрын
Allahumma Aaaamin
@lovvy854
3 жыл бұрын
Ameeen yarrabil alamin 🤲 insha'Allah
@halimaramadhan2975
3 жыл бұрын
Amiin Thumma amiin
Mungu azidi kukupa umri kwa kazi ya mwenyezi mungu unayofanya hakika wewe ni mwalimu .
Wasalam haleekm mashekh. Nawapata. Nendeni basi na sehem nyingine. Mkaitangaze din. Bunda kule ndani ndani hawajuhi chochote: mkipiga kambi miezi mi3. Mtawakomboa😢😢😢
@ayshakayeko2043
3 жыл бұрын
Sana tu ilawafadhili pia wajitokeze kuwaunga mkono wanajitoa sn
@bundatelcom2734
3 жыл бұрын
@@ayshakayeko2043 nikweli usemayo mimi uko nimekaa sana; walaaah unakuta mtu ajui chochote kuusu uislam. Toka ninejifunza na kuuelewa mahisi wenzangu wamepotea 😢😢😢 nani wa kuwakomboa kama syo hao mashek 😢😢😢😢. .. kijiji akina hata mtu mmoja muislam, daah uuu,msibaaa
@asmaali8733
3 жыл бұрын
Q
mariam hongera tumekupata kukuona kutoke uholanzi.mungu akusaidie furaha na amani.
Nimefurah sana kuona huyo msichana aliye slim jins ambavyo amejaa na tabasam na namna ambavyo wamemlaki hao wanawake wengine, Allah atulipe kwa nia zetu.
Hongr dada angu mariam kuingia ktk uislam na ni umeokoka na moto wa jahannam........real more
Allahu akbaru bora limeanza hili jambo an niliomba wanaosilimu wapate jins ya kupata elimu likianzinshwa hilo nami ntachangia inshaallah
HAKUNA WATU NAWAHESHIMU KATIKA HII DUNIA KAMA HAWA WAHADHIRI WANAOITANGAZA DINI YA ALLAH ☝️
@saiditanzania6184
3 жыл бұрын
pfesa mazinge mungu akupe umli mrefu wakuwakumbusha wasilaamu
IDHAA JAA ANNASRULLAH WALFATUH, WA' ARRAITAN NNASA YADIHULUNA FII DINNILLAH AFFUWAJAN, FASSABBIHI BIHAMMDIH RABBIKA WASTAGHFIRUH INNAHU KAANA TAUWWABAN (Q110:1-3)
@jamilaoman7207
3 жыл бұрын
👌
@arqamibnarqam.7185
3 жыл бұрын
@@jamilaoman7207 Alhamdulillah
ALLah atuwekeye wepesi Dunia tunapita 😅
Mashallah sheikh Mazinge, Mariam na waislamu wote Allah awalipe kila la kheri hapa duniani na kesho akhera
@lovvy854
3 жыл бұрын
Ameeen yarrabil alamin 🤲 insha'Allah
@babyhamisi5331
3 жыл бұрын
Ameen ameen ameen
@oman7710
3 жыл бұрын
Allahumma amiiin
@helenamusa432
3 жыл бұрын
Aamiin pamoja nasie
@ibrahimgeorge6164
3 жыл бұрын
To
Mashallah mungu na cc atujalie mwisho mwema waislamu sote kwa ujumla🤲🏻🤲🏻
@thuvakonde2584
3 жыл бұрын
Allahummah Ameen
@lovvy854
3 жыл бұрын
Allahuma Amin
@oman7710
3 жыл бұрын
Allahumma amiiin Yarabb
@halimaramadhan2975
3 жыл бұрын
Amiin yaa Rabb
@helenamusa432
3 жыл бұрын
Aamiin
Asalam alaikum warahamathullah wabarakathullah professore mazinge mwenyezi Mungu akulinde
Usitadhi mazinge mungu akupe afya njema na hitaji la moyo wako shehe wetu nakupenda kwa ajili ya Allah
Nakupenda kwa ajili Allah (s.w)
Nimefurahi mpaka nimelia wallay kwa ukarimu wa waislam walivyo mpokea huyu bint masha Allah
Allah akujaalie pepo ya juu ya firdaus shekh mazinge
@mulhathaji923
3 жыл бұрын
Na mie namuombea ivo ivo
Nmetoa machozi wallah mashaallah Kwa marium
Masha Allah, shekh mazinge Mungu azidi kukuweka bado tunakuhitaji na bado tunahitaji kujifunza mengi kutoka kwako. Mungu atujaalie mapenzi baina yetu waislamu wa bara na visiwani, nchini na mabarani. Mungu akupe afya njema na nguvu uzidi kulingania Dini ya Allah. Tunakupenda sana waislam
mashaAllah mashaAllah takbir Allah akbar Allah azidi kukupa moyo dada maryam,ustadhi mazinge Allah azidi kukupa hikma Amiin
Allahumma amiin jazaka llahukhaira shehe wetu mazinge Allah atuongoze kwa sote
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Ameen
Mashaallah shekhe mazinge Allah awajalie afya njema wote munao fanya kuitangaza dini Allah awajalie subra Katka kazi zenu na Allah amjarie mariamu kuingia Katka uisilam apate Mume mwema
Sheikh Mazinge,,,Mungu akujaalie,, akulinde na akupe nguvu uzidi katika kuitangaza dini.inshallwah Mungu atakuongoza
Nimekuelewa vzuri sana shekhe,ulivo mwambia dada hapo asifate waislamu,bali afate uislam!!
Maashallah huyo Dada nimemwelew sana natamani ningemjua zaid
@hassanmsipi4094
3 жыл бұрын
Wacha uroho mufti utamnusuru!???
@dullyyesu9036
3 жыл бұрын
@@hassanmsipi4094 😂😂😂😂
@salehsaleh548
3 жыл бұрын
😀😀😀
@maherzain615
3 жыл бұрын
@@hassanmsipi4094 😃😃😃
takbir.......ndg yng mazinge wewe kweli kiboko. manake una majibu y kila suali utakaloulizwa.... Mwenyezi Mungu amekujaalia sana....jazakallahu khair 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🤝🏿👊🏿🤲🏿👍🏿
MashaAllah mashaAllah mashaAllah hakika hii dini ina raha saana na ya khaki machozi yamenitoka jinsi wanawake wa kiislaam walivyompokea mwanamke mwenzao hakika ni raha na upendo wa hali ya juu!
Mungu yakusamehe kila jambon mbaa yakupe Imani yadini yakisilamu
Mashallah Allah amzidishie kila la kheir Allah ampe mume wa kiislamu Allah amjalie kizazi vhema kinacho ambatana na uislam
Hongera sana dada Mariam Allah akuzidishie heri.Hata mimi nimejawa na furaha
Subhannallah Allah atuongoze tuwetunatoa lnshaallah
ASSALAM ALEYKUM SISI TULOKUA MBALI NA NINYI TUNAOMBA MUTUWEKEE NAMBA MAALUM YA KUWASILISHA MICHANGO YETU NA ILI KUTUEPUSHA NA MATAPELI IWE INATAJWA NA MASHEIKH MLIOPO IN SHAA ALLAH..!
@zouzou2849
3 жыл бұрын
Waleikum salam warahmatullah wabarakatu naam hata mimi nikiwa ufaransa tunahitzji swawabu kama hizi huku hatuna jamani nimehawi kupeleka sadaka ya zakatul fitri walenirudisha nayo na wakanipa wawo wakanambia nyinyi hamna chochote sisi njo wakuwapa wallah nema tunayo ila hatuna uwaminifu wa afrika wengi matapeli wanatumia uwongo ya rabbi
@fahadfaraj6474
3 жыл бұрын
@@zouzou2849 kabisa yani waswahili tunaendekeza mnoo njaa utapeli mwingi sana
@abuualban5639
3 жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 namba zao wameweka hapo hadi ya mazinge
Mashaallah marry yupo mbali tungefanya nusra
Alhamdulillah mashaa allah karibu dada kwenye uislaam dini ya kweli mungu azidi kukupa maisha marefu mazinge 🤲🙏
@JumanneShabani-lp7gf
3 жыл бұрын
Mashaallah
Sheikh mazinge Allah akupe mwisho mwema nafwatiliyaga sana mihadhara unayo ifanya Allah azidi kukulinda na mitihani ya duniani na Muomba Allah atujaliye na sisi woote ambao hatujajaliwa na neema Allah aliyo kupatiya atuwezeshe na sisi piya kutokana nakuipenda dunia piya Allah asikuondowi duniani kabla huja wacha ujuzi wako kwa wa nafunzi wako ili duniani mihadhara ya kusilimisha wasiyo iendeleye. Allah na mabalaa ya duniani
Nimejikuta tu nalia tena kwa hisia kali nilipoona hio video allaah akujaalie dada nangu au mdg angu
@ibnhassan9980
3 жыл бұрын
Tatizo tulilo nalo mara baada ya kusilimu namna ya kusoma mfano hai nenda mpiji magohe mtaa wa kibesa eneo la msikiti wa makuti
ASSALAAM ALYKUM ALHAMDULILLAH.... MASHAALLAH kwa kila la kheri ALLAH S.W ametujaaliya neema na fadhila kuwepo katika uislamu YAARABBIIY Mjaalie sheikh Mazinge pepo iliyo bora na ya juu pamoja na waislam sote na kila umpendae kwa upendo wako ALLAH S.W na rehma zako ALHAMDULILLAH AMIN AMIN....
@lovvy854
3 жыл бұрын
Ameeen yarrabil alamin 🤲 insha'Allah
Ma Shaa Allah Tabaraqallah Hongera mdg wetu karibu katika dini ya haki
Jazakallah kheir sheikh mazinge
MAASHAALLAAH Dada kaonyesha wazi kwamba ALLAH ni mmoja,maoni yangu ni kwamba mkalimani wa lugha ya ishara mumemficha haonekani moja kwa moja na wako watu wengi ambao ni mabubu na viziwi wanaotaka kujua Bwana Mazinge anasema nini.
Mashaallah barakallahu fiki mamy kwa kuingia katika dini ya Allah na Allah akupe taufiki na thabat duniani na akhera yaa Rabil’alamina 🤲🤲🤲
@jamilaoman7207
3 жыл бұрын
Amina
@arqamibnarqam.7185
3 жыл бұрын
@@jamilaoman7207 Amiina yaa rabbal a'lamiina 😭
Ma sha ALLAH shekh mazinge ALLAH AKUPE MAISHA MAREFUUU
Mashallah Allahu Akhbar
Allah awape nguvu, Afya pmoja uzima muish kwa miaka mingi hil muweze kuwatoa wtu gizan
Hongera dada Allah akusimamishe vizr kwenye dini ya kiislam
Mungu awalinde na awalipe siku ya qiyama
@user-eg1dr6so4c
3 жыл бұрын
Ameen
Ana sauti nzuri Sana mariam mashaAllah tabarakaAllah Allah amuongoze katika kheir
USTADH mazinge ma sha ALLAH Kwa ufaswaha wako na akuzidishie hekima ILI da'wa izidi Kua mzuri
Mungu amsamehe madambi yake, Sheikh wetu pia Mungu ampe umri mrefu azidi kutufaidhisha, amiin
YA RABII walipe kila LA kher wahadhiri wote wa kiislam, waepushe na husda na qadar za watu,wape mwisho mwema YA RABII, NA SISI PIYA YA RABII tuongoze njia iliyo nyooka
@user-os9ul5iu5y
3 жыл бұрын
Amiin
Mashallah takbiriii
@user-eg1dr6so4c
3 жыл бұрын
Allahukbar
Mazinge umeangauka sana kuipambania din ya Allah
Mazinge unafanya yanayo mpendeza mungu wetu mlez
Mashallah mashallah Allah awajaalie kheli viongoze wetu wa dini na awalipe pepo wao pmj ns sis
Shukran sheikh mazinge Allah akulipe pepo,pamoja na Huyo Dada alesilimu mungu amuongoze amfanyie wepesi kuifahamu dini ya uisilamu.
Aslm alkm, shekh mazonge. Mimi naomba No yako binafsi.
Subuhanallah ewemola wetu tuple mwisho mwema piya Moe afya she he wetu zaidi kutukumbusha ya ahera
Laa ila haillallah muhammadi rasulu llwahi .maneno mazito sheikh Allah atujalie minal faizina atupe stara ya dunia na akher ummaty muhammadi amiin insha Allah
Mash Allah allah akupe umri mrefu Shekh mazinge nakupenda sana Baba angu wote mnao elimisha watu wajue ipi dini ya kweli allahum Aamina 🤲🤲🤲
MaashaAllah mashekhe Allah awalipe kila kher
: Sheikh Mazinge Mashallah..wewe kiboko.
JazzakAllah kheir babaaaa
Namtaka Maryam nimuowe
Mashaallah allah amuongoze katika njia ya kheir
Mashallah allah amlipe bint huyo nakama atahtaji mume mm ni suisilam na nahitaj mke ishallah kama atakubali
@lovvy854
3 жыл бұрын
🤣
@rahmaoman5122
3 жыл бұрын
Masha Allah binti maliam
Mashaallah nimekuelewa vyema shekh mazinge
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah
Masha Allah khr sheikh
Allah Akbar hongera dada Mariam
MashaAllah MashaAllah MashaAllah Allah awahifadhi wte mlio jumuika pmoja masheikh wtu MashaAllah MashaAllah Allah awabariki kwa ukmbusho kwa ajili ya Allah
Mashallah tabaraka Allah. May Allah bless her and all that welcomed her in this beautiful way
ALLAH KAREEM MASHAA ALLAH
Mashaallah Allah azid kukupeni afya masheikh wetu mupate kulingania uislam
Munguawazidishie umri muzidi kutufahamsha
Nimefurahi had najikuta nalia jimekumbuka cku nilioslim, mariyam karibu sana Uislam mzuri sana ukiifata
@aminatatu5692
3 жыл бұрын
Mansha allah
Shekh Allah Akulipe
From mascat oman ninawapata vizuri masha Allah
Mashaallah Mariam Allah amuongoze katika uislamu, Namba ipi inaweza kuwafikia michango? Wekeni namba!
@sheikhsharifmakarama3060
3 жыл бұрын
Namba zetu ni+255758251725 M-pesa na +255658333372 Tigo pesa jazakumullah khayra
@mozasaid3869
3 жыл бұрын
@@sheikhsharifmakarama3060 Amiin
Hakika dini ya haki mbee za mwenyezi mungu ni uislamu
@charlesjoseph2092
3 жыл бұрын
Si kweli
@malaikawatatutv.ufunuo14.84
3 жыл бұрын
Nani kasema hayo maneno kama sio Mohammed?
@rajabmshengeli1624
3 жыл бұрын
Kweli hujakosea maana waislam tuna mwenyezmungu wengine wana Mungu..... Natukumbuke miungu ipo miiingi Kama mungu jua mungu ng'ombe etc ila ila Mwenyezmungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa nahakuna anayefanana nayeye............. Pia mwenyezmungu hatumii nguvu kuujua uwepo wake
@charlesjoseph2092
3 жыл бұрын
@@rajabmshengeli1624 Nikweli Hujakose lakini Mwenyezi Mungu Anajina lake labda ungetuambia Mungu unaemuabudu Jina lake nani?
@malaikawatatutv.ufunuo14.84
3 жыл бұрын
@@rajabmshengeli1624 Hujasoma Qur'an wewe kumbe ..miungu iko na waislamu ..kwani kwenye Qur'an husema "Sisi" na sio "Mimi* Qur'an 18:50
Mashaallah 😍😍
Masha Allah tabaraka Allah ukhty
Ma shaa Allah tabarakallah.nakupenda sheikh mazinge kwa ajili ya Allah
ALLAAH amifanyie wepesi mufike mkoa wa Mara. Huku kuna uhitaji mkubwa sana tena sana. Karibuni sana tutakuwa pamoja Inshaa ALLAAH.
Walaah! Inasikitisha sana hadi wa cristo wanatoa msaada wa kutengeneza mskiti? Allah tufanyie wepesi na utusamehe mazambi yetu.
Allah Akbar awalipe ujira ulio kua bora zaid wahadhir wa kislam Yarabbi tujualie mwisho mema na utuingize ndani ya nyoyo zetu amiin
Ishalah mungu akulefushie maisha
Allah Akbar, Allah Akbar, Allah Akbar Wallillah lihamdu
😓😓balikiwa mazinde mwenyez mungu akupe maisha marefu uzidi kutufundisha
Jazaka allahu khaira
Baraka llahu fik sheikh mazinge
Mwenye mawasiliano na huyu dada tafadhari
Masha-allah
Mashaallah Takbir
nashauri chini yawe yanatoka maandishi ya kiingereza yakitafsiri maneno ya muadhiri
Vijana Mstirini Muislam Mwenzetu Mimi Nna Wawili Kama Atakubali Namtaka Nimstiri Muisalm Mwenzetu Awe Mja Mwema
Yarabi mh hawa wezetu wanao yingia kwenye yusilamu msisahau kuwafunza jinsi yakuoga ikiwa kufanya mapezi yao na Bada yasiku Zao kumalizika kila mwezi naukijifungulia mtoto ili mwili wawo Uwe tahara kwa kusali nakusoma kuruani nakushika kila msahafu wakuani