Dada wawili wasilimu wakristo na waisilamu tunaabudu Mungu mmoja au tofauti maswali yaulizwa
Жүктеу.....
Пікірлер: 54
@sophiajuma6798 Жыл бұрын
I m proud to be AMUSLIM 🙏 MashaAllah Masheikh wetu mnafunza vizuri sana mpaka wanaelewa.
@Sal.0 Жыл бұрын
AllahuAkbar! Wallahi hawa wasichana wawili, khususan Rehma2, ameni lizaa kwa ku silimu kwake.!Alhamdulillah! Ya Allah wa bariki na kuwa linda, hawa Wasichana, ki viyote na Rehma zako! Ameen. WaIslamu waJenga, wapokeyeni kama Dhahabu! Well done Team. Barik Allah feekum! Very good session leo! BILA kum SUJUDIA Mungu, basi haujam tambua na kum ABUDU Mungu wa PEKEE!
@abcfisheries2865
Жыл бұрын
SubhanAllah! Mafundisho Bora kabisa! Sijui wengine wana ngojea kwenda motoni?
@hamzayesu2017 Жыл бұрын
Kazi mzuri.... Allah atusamehe madhambi yetu sote in sha Allah...!!!
@CollinsMaingi-tq6th Жыл бұрын
Napenda sana haya mafundisho, tuwaombeni walimu wetu muje maeneo ya Mazeras muwafunze watu waijue dini ya haki na kweli. Waslimu na waongoke waingie kesho peponi, inshaallah.
@Idysalim Жыл бұрын
Salim ni kweli, ongeza masiku uwafunze Hawa mandugu zetu In-Sha-Allah, Allah awape wepesi wa kuelewa. Kazi nzuri mnayo fanya Allah ndo pekeyake atawalipa Ameen ya Rabb
@CollinsMaingi-tq6th Жыл бұрын
Am proud to be a Muslim.
@BakariAbeid-gp7iv7 ай бұрын
Mashekhe wetu mun'gu awabariki awajazi kheri Kwa kuihubi dini yamun'gu
@aishahazary4097 Жыл бұрын
Bismillah Maasha Allah ..ALLAH afanye daawa hizi ziwe ni asbabu ya kuingia kwenu peponi wahadhir wetu vipenzi.Tunawapenda na kuwaombea kila iitwapo leo.Mnafundisha kwa ustadi wa hali ya juu sana.Hadi nawaonea wivu kutokana na thawabu mnazovuna kutoka kwa RABBY wenu mlezi.
@abcfisheries2865 Жыл бұрын
Mafundisho BORA Kabisa! Wasichana wawili ka slimu! AllahyAkbar! Very emotional. I feel like hugging the second girl, MashaAllah! Ya Allah, wa barik na huwa hifadhi hawa wasichana wawili na wegineo! Ameen. TabarakAllah team Salim!
@aishaally6602 Жыл бұрын
SUBHANAH ALLAH am so happy kwahawa wadada kusilimu ALLAH awaongoze
@mosmart4718 Жыл бұрын
MaashaAllah uzuri wa Kiislamu ni the Koran has an answer to every question without zigzagging. It’s definitely the straight path.?
@Idysalim Жыл бұрын
Waiting for the next part In-Sha-Allah
@tumajunior6080 Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Allah akuhifadhi shekh salim na kila yenye kheri ww na msomaji wako ☝💪🤲🤲🤲👌👌👌🥰🥰
@aishaally6602 Жыл бұрын
ALLAHUMA BARIK ALLAH awazidishie elmu muzidi kuwaonyesha watu haki
@khaleedomaralislamgidua2726 Жыл бұрын
Masha Allah Salumu Ngugi Wanyoike na Yusuf Wambugu miamba kweli kweli. Hakika nikitazama wahadhiri wangu wawili favourite kabisa Yusuf wambugu Salumu Ngugi Wanyoike huwa nawaidhika mno. Allah awajaalie kheri muende mbele katika harakati za da'awah In sha Allah.
Mashaa llah Yan napata furaha nikiona familia inaongezeka Allah awalipe kheri
@halimahbwelele694 Жыл бұрын
MashaAllah Tabaraka Allah Alhamdullilah Allahu Akbar 🥰🥰
@cabdisiciid6504 Жыл бұрын
Manshallah sister Allah will accept his repentance
@mzackibra5856 Жыл бұрын
Takbir mnafanya kazi kubwa mno, Hakika Allah awalipe
@jumanjenga7682 Жыл бұрын
Masha Allah Ustaz
@bahatikenia39 Жыл бұрын
Mashaalah
@Zsdaughter Жыл бұрын
Mpatie Maiki !! Anayo🤣🤣🤣. May Allah reward our brothers them and their families. Ameen.
@mahmoudnoor9034 Жыл бұрын
Masha Allah takbir!! Allahu Akbar ☝️❤️❤️
@abcfisheries2865
Жыл бұрын
AllahuAkbar!
@myoutubecom-gg7sb Жыл бұрын
MashaAllah
@josemu8702 ай бұрын
Barikiweni sana 😢
@hassanabdi9993 Жыл бұрын
Takbir
@stoispapi2380 Жыл бұрын
Allahu Akbaar
@mohammadsarai3373 Жыл бұрын
Maashaallah tabaraka rakhmaan.ALLAH awaifadhi
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@mohamedsaleh3457 Жыл бұрын
Mashaallah
@jamilaomari2444 Жыл бұрын
Takbir!
@omarjeylan4113 Жыл бұрын
Rahma means Mercy.
@mangeraalbert7982 Жыл бұрын
Takibir Allah Akbar,
@CollinsMaingi-tq6th Жыл бұрын
Taqbir...
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Ustad alisema kweli kabisa! SAHADA, uzito wake ni Tukufu mnoo! Na hio ndio PASSPORT la ku karibia Jannat! Very emotional Shahada from the second girl! Very heavy indeed! Alhamdulillah! BarikAllah team!
@ibruzah0015 ай бұрын
Headquarter iko KISII...😂😅😅 Wakisii wako na maneno
@aminaabdallah7702 Жыл бұрын
Kijana ??? heri na baraka katika mwaka mpia mungu nafanya anaviotaka kuna nchi hapo afrika inahitwa Mali Kuna binti moja akajafunguwa watoto tisa ka Mara moja hilo ndo ukubwa na ajabu za mwezimungu duniani
@adrisshagi12552 күн бұрын
Asalamu aleykum. Nige penda uwa ulize . Wakati Una Sema. Una jua İBRAHİM ALEYHI SALAAM. WANA SENA NA SIKIA. MUSA ALEYHI SALAM WANA SEMA NA SIKIA. YESU WANA SEMA NA JUA. Walikuwa wakati wa yesu ??
@salimdaawah123
2 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
@mangeraalbert7982 Жыл бұрын
Nataka number ya hyu kerubo, nimuunge mkono ajue tuko wengi kutoka kisii, tafadhali ni qatar
@Sal.0
Жыл бұрын
Na uko na ROHO pia, kama huyo Wazimu wa Kisii, vile andiko la biblia lime sema??
@beardedalade Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣wakristo wengine wanafanyanga ukiristo ikae comedy tu...
@SalimHumud26 күн бұрын
Somo hao wamepigwa muhuri hata ukiwaonya hawaonyeki
@muhammedbakari2867 Жыл бұрын
Kwan ninan asiejuwa kuwa ukiristo sio din bali ni mila za kizungu na ndio maana hawana hoja wanapokutana na mashehe wetu..Allah awape umri mashehe wetu waendelee kuwaokowa Hawa jamaa maana shetan amewateka..
@tupasesamuel2109 Жыл бұрын
Question: sasa kama mungu sio mwanaume au mwanamke mungu ni nini?
@salimdaawah123
Жыл бұрын
4:24 the book of John Yesu anasema Mungu ni roho na roho hakuna ya kiume au ya kike
@ustadhfarouq7729
Жыл бұрын
Mungu ni roho,haonekani,hana mwili wala nyama, mungu hazai wala hakuzaliwa,yeye ni muumbaji,kama vile ww uko na roho lkn haionekani.Ndivyo mungu yuko hvyo yeye ni roho na haonekani.
@abdul-majidndegwa6607 Жыл бұрын
Sheikh Bibilia ya Kiarabu kuna Allah . Gideon bible Kuna Allah pia.... all bibles translate the name of God to Allah
Пікірлер: 54
I m proud to be AMUSLIM 🙏 MashaAllah Masheikh wetu mnafunza vizuri sana mpaka wanaelewa.
AllahuAkbar! Wallahi hawa wasichana wawili, khususan Rehma2, ameni lizaa kwa ku silimu kwake.!Alhamdulillah! Ya Allah wa bariki na kuwa linda, hawa Wasichana, ki viyote na Rehma zako! Ameen. WaIslamu waJenga, wapokeyeni kama Dhahabu! Well done Team. Barik Allah feekum! Very good session leo! BILA kum SUJUDIA Mungu, basi haujam tambua na kum ABUDU Mungu wa PEKEE!
@abcfisheries2865
Жыл бұрын
SubhanAllah! Mafundisho Bora kabisa! Sijui wengine wana ngojea kwenda motoni?
Kazi mzuri.... Allah atusamehe madhambi yetu sote in sha Allah...!!!
Napenda sana haya mafundisho, tuwaombeni walimu wetu muje maeneo ya Mazeras muwafunze watu waijue dini ya haki na kweli. Waslimu na waongoke waingie kesho peponi, inshaallah.
Salim ni kweli, ongeza masiku uwafunze Hawa mandugu zetu In-Sha-Allah, Allah awape wepesi wa kuelewa. Kazi nzuri mnayo fanya Allah ndo pekeyake atawalipa Ameen ya Rabb
Am proud to be a Muslim.
Mashekhe wetu mun'gu awabariki awajazi kheri Kwa kuihubi dini yamun'gu
Bismillah Maasha Allah ..ALLAH afanye daawa hizi ziwe ni asbabu ya kuingia kwenu peponi wahadhir wetu vipenzi.Tunawapenda na kuwaombea kila iitwapo leo.Mnafundisha kwa ustadi wa hali ya juu sana.Hadi nawaonea wivu kutokana na thawabu mnazovuna kutoka kwa RABBY wenu mlezi.
Mafundisho BORA Kabisa! Wasichana wawili ka slimu! AllahyAkbar! Very emotional. I feel like hugging the second girl, MashaAllah! Ya Allah, wa barik na huwa hifadhi hawa wasichana wawili na wegineo! Ameen. TabarakAllah team Salim!
SUBHANAH ALLAH am so happy kwahawa wadada kusilimu ALLAH awaongoze
MaashaAllah uzuri wa Kiislamu ni the Koran has an answer to every question without zigzagging. It’s definitely the straight path.?
Waiting for the next part In-Sha-Allah
Mashaallah Mashaallah Allah akuhifadhi shekh salim na kila yenye kheri ww na msomaji wako ☝💪🤲🤲🤲👌👌👌🥰🥰
ALLAHUMA BARIK ALLAH awazidishie elmu muzidi kuwaonyesha watu haki
Masha Allah Salumu Ngugi Wanyoike na Yusuf Wambugu miamba kweli kweli. Hakika nikitazama wahadhiri wangu wawili favourite kabisa Yusuf wambugu Salumu Ngugi Wanyoike huwa nawaidhika mno. Allah awajaalie kheri muende mbele katika harakati za da'awah In sha Allah.
ماشاءاللہ جزاك اللهُ خیرا الشیخ
Allahu Akbar.... jazakumullahi kheyran mashekhe wetu ❤❤❤
MashaAllah mashekhe zetu
Mashaa llah Yan napata furaha nikiona familia inaongezeka Allah awalipe kheri
MashaAllah Tabaraka Allah Alhamdullilah Allahu Akbar 🥰🥰
Manshallah sister Allah will accept his repentance
Takbir mnafanya kazi kubwa mno, Hakika Allah awalipe
Masha Allah Ustaz
Mashaalah
Mpatie Maiki !! Anayo🤣🤣🤣. May Allah reward our brothers them and their families. Ameen.
Masha Allah takbir!! Allahu Akbar ☝️❤️❤️
@abcfisheries2865
Жыл бұрын
AllahuAkbar!
MashaAllah
Barikiweni sana 😢
Takbir
Allahu Akbaar
Maashaallah tabaraka rakhmaan.ALLAH awaifadhi
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Aamiin amiin amiin sote
Mashaallah
Takbir!
Rahma means Mercy.
Takibir Allah Akbar,
Taqbir...
Ustad alisema kweli kabisa! SAHADA, uzito wake ni Tukufu mnoo! Na hio ndio PASSPORT la ku karibia Jannat! Very emotional Shahada from the second girl! Very heavy indeed! Alhamdulillah! BarikAllah team!
Headquarter iko KISII...😂😅😅 Wakisii wako na maneno
Kijana ??? heri na baraka katika mwaka mpia mungu nafanya anaviotaka kuna nchi hapo afrika inahitwa Mali Kuna binti moja akajafunguwa watoto tisa ka Mara moja hilo ndo ukubwa na ajabu za mwezimungu duniani
Asalamu aleykum. Nige penda uwa ulize . Wakati Una Sema. Una jua İBRAHİM ALEYHI SALAAM. WANA SENA NA SIKIA. MUSA ALEYHI SALAM WANA SEMA NA SIKIA. YESU WANA SEMA NA JUA. Walikuwa wakati wa yesu ??
@salimdaawah123
2 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
Nataka number ya hyu kerubo, nimuunge mkono ajue tuko wengi kutoka kisii, tafadhali ni qatar
@Sal.0
Жыл бұрын
Na uko na ROHO pia, kama huyo Wazimu wa Kisii, vile andiko la biblia lime sema??
🤣🤣🤣🤣wakristo wengine wanafanyanga ukiristo ikae comedy tu...
Somo hao wamepigwa muhuri hata ukiwaonya hawaonyeki
Kwan ninan asiejuwa kuwa ukiristo sio din bali ni mila za kizungu na ndio maana hawana hoja wanapokutana na mashehe wetu..Allah awape umri mashehe wetu waendelee kuwaokowa Hawa jamaa maana shetan amewateka..
Question: sasa kama mungu sio mwanaume au mwanamke mungu ni nini?
@salimdaawah123
Жыл бұрын
4:24 the book of John Yesu anasema Mungu ni roho na roho hakuna ya kiume au ya kike
@ustadhfarouq7729
Жыл бұрын
Mungu ni roho,haonekani,hana mwili wala nyama, mungu hazai wala hakuzaliwa,yeye ni muumbaji,kama vile ww uko na roho lkn haionekani.Ndivyo mungu yuko hvyo yeye ni roho na haonekani.
Sheikh Bibilia ya Kiarabu kuna Allah . Gideon bible Kuna Allah pia.... all bibles translate the name of God to Allah