Qasim awanyoosha wakristo na kuwapa majibu assistant Pastor mwanamke atulia dagoretti Kikuyu kiambu
Жүктеу.....
Пікірлер: 106
@aisharashd3467 Жыл бұрын
Mashallah shekh wetu qassim allah akujaze afya njema na akulinde akuifadhi inshallah
@faudhiasaidi3669 Жыл бұрын
Maa shaa Allah mashekh wetu Jazaakallah khayrii
@mosmart4718 Жыл бұрын
Welcome back Sheikh Kassim. We have dearly missed you for a while. I hope all is well with you and your family. May Allah bless you all our daacis
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Aamiin amiin amiin
@rashidjilani9366 Жыл бұрын
Mashaallah mungu azidi kuwapa afya na awapushie shari muzidi kutuelimisha.
@husseingabo5497 Жыл бұрын
Kazi nzuri nakupata in daressalam city
@jamilaomari2444 Жыл бұрын
Allahu akbar!,, tumuombee mama yetu pia aone haki na apate kuifuata
@ibrahimbarisa9510 Жыл бұрын
Mashaalah sheikh kasim ni hatar kweli
@abdilatifhashi9659 Жыл бұрын
Masha Allah Mola awape thawabu ya kazi mnafanya mashehe wetu.
@maherzain615 Жыл бұрын
MashaAllah. sheikh Qassim nampenda ana tabasam time zote. na masheikh zetu wte Allah awalipe khery
@mohameddeeqhalane9420 Жыл бұрын
Masha alaah greating all dawa team sheikh saalim sheikh khaasim sheikh ali sheikh hasan all
@nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын
Takbiriii Takbiriii karibuni ktk uislam ndugu zetu. Mashekhe wetu hongereni Allah atawalipa in shaa Allah.
@ambarnelly6304 Жыл бұрын
Mashalwah mungu mkubwa shukran mashalwah kwa kazi ya alwah mungu atakulindeni ishaalwah
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashallah tabarakallah mashehezetu
@khadijayusuf7968 Жыл бұрын
Mashallah masheh wetu allah awajaalie kila la kher
@fatumjumaa5563 Жыл бұрын
Mashaallah jazu nzuri Allah awape nguvu na afya inshaallah
@mufid707 Жыл бұрын
Allah'hu Akbar Allah'hu Akbar
@HusseinAli-fx1ld Жыл бұрын
Sheikh Qassim tumemiss daawah yako. Allah akuhifadhi akupe siha njema. Akuongeze fahamu elimu na busara yq kufanya daawah
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Aamiin amiin amiin
@ibrahimmussa7478 Жыл бұрын
Welcome back Kassim
@hafsakirao398 Жыл бұрын
Masha'Allah ❤. Umepa madam dose mpaka akatulia kama maji ya mtungi akiskiza huku moyo ukimuuma😂. Allah awazidishie hekma katika kazi yenu.
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Allahu Akibar
@Sal.0 Жыл бұрын
AllahuAkbar. MashaAllah Team, Karuiki, Ali, na Salim pia! Muna jeruhi watu na SADAKA!😅😅. Ustad Kasim, ume furaisha watu leo! Ati "dont try this at home"! 😂😂. Malaki 3:10 ina ongelea habari za ZAKA, ambao ni SADAKA la CHAKULA, inatolewa ONCE a YEAR, ku pelekwa GRANARY for Masikini! Angalia MALIPO na pia BARAKA, yaku towa SADAKA la CHAKULA, katika: Luka 14:13-14 " But when you give a Banguet, invite the POOR, the CRIPPLED, and the LAME, and the BLIND, 14 and you will be blessed! Although they (the poor) cannot repay you, you will be REPAID on the RESSURECTION of the good!" SADAKA kwa WA NYONGE ni GURANTEE wa uxima wa Milele! Mchungaji aki kula MALI ya WA NYONGE, then MOTO ya JAHANAM inam ngojea, PAMOJA na supporters wake! REMEMBER this! Well done Team!
@F.j84
Жыл бұрын
Walai nimecheka hadi basi vile Christian wanavoitetea sadaka
@mzackibra5856 Жыл бұрын
Takbir takbir kaz nzur ya Allah
@bahatikenia39 Жыл бұрын
Mashaalah sheikh Qassim huyo mama leo umempa full doze yaani sindano imeingia haswa mpaka akakaa kimya
@ramadhanborudiba6267 Жыл бұрын
MASH ALLAH karibu sheikh qasim,may GOD reward u both
@Sal.0
Жыл бұрын
It is Team Work. Karuiki, Ali, Salim, Qasim, cameraman, and another young bearded Gentleman who is also filming using a Mobile Phone! May Allahswt, bless the whole Team! Karanja and Idriss are missing today.
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
Masha Allah 💞💞💞💞💞
@UMMYYFATMA11 ай бұрын
ALLAHU AKBAR ❤️💞🤲🤲🤲
@mohamedbaridhwan3017 Жыл бұрын
25:02 at that point guy on the left started having logic overload!!!
@mnyongeiddi2454 Жыл бұрын
Wanyooshen mpaka wataelewa Inshaallah
@nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын
Hatariii bilbia inawageuka.
@andikadirali97385 ай бұрын
MashaAllah
@qassimsothe7808 Жыл бұрын
Allahu akbarr
@josemu8704 ай бұрын
Barikiweni
@issamohamedi9225 Жыл бұрын
MashaaAllah masheikh ila sheikh Qasim we kiboko sana
@ndikumanainnnocent7796 Жыл бұрын
Mashallah sheikh Qasim wlc back
@aishahazary4097 Жыл бұрын
Maasha Allah.Tulikumiss mno shehe Kasim.Unafundisha nakunyoosha kiswahili kama shehe Yarit.
My Muslim brothers use this emoji🤲instead of this 🙏🙏(🙏 this represents Buddhism)
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Masha Allah point taken
@mohamedbaridhwan3017 Жыл бұрын
Yaani zile aya zote wanazozitoa kujitetea zawachongea. Maajabu kuwa bado hawaoni wala hawazinguki wala Hawabadiliki.
@suleimanabdull1958 Жыл бұрын
Wallah uislam neema jamaa keshapewa qur’aan kama bado Salim nijulishe haraka sana namba yangu unayo.
@shurlaally1686 Жыл бұрын
Sheikh Qasim maashallah tumekumiss kwa viwanja
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Amerudi viwanjani
@stoispapi2380 Жыл бұрын
Sheikh Qasim Long time bana ❤
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Amerudi viwanjani
@stoispapi2380
Жыл бұрын
@@salimdaawah123 kiswahili take nyepesi tu hadi inaeleweka na wengi.
@Nur-al-islamchannel
10 ай бұрын
@@salimdaawah123Halafu aya ya biblia yenye inasema nawe utasherekea katika idi yako pamoja na wajane,maskini ,mayatima
@salimdaawah123
10 ай бұрын
@@Nur-al-islamchannel 16:14 kumbukumbu la torati pia Hosea 9:5
@Nur-al-islamchannel
10 ай бұрын
@@salimdaawah123 Asanti Ustadh wangu halafu nafuatilia sana hii mafundisho kwa sababu In Shaa Allah siku moja nataka niingie nilinganie uislamu
@muhammadmwangi5236 Жыл бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...maa shaa Allah ndani ya ndunyu
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@Nur-al-islamchannel
10 ай бұрын
@@salimdaawah123Asalaamualeikum Ustadh Salim.....mh ni Muislamu na ningependa unisaidie na aya ya Quran yenye inasema mwezi,jua yote ni alama ya kuwepo kwa Mwenyezi Mungu
@shabamuhidin634 Жыл бұрын
tatizo la wakristo ni nini lakini,Yesu kwa bibilia anasema sadaka wapewe maskini mtu anakuja anaanza kupinga mkiambiwa wakristo Paulo kawapoteza wanakataa
@mufunyiibrahim3655 Жыл бұрын
Huyo ametumwa kuharibu mkutano
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Wale wanaji fanya wana fuata Yesu, ni huyu Mama Sami, Macho4! Huyu !Mama ni a perfect example ws ma pretenders!
@Sal.0
Жыл бұрын
KWELI kabisa! Juzi alifundishwa na Biblia ku finika Kichwa NA kuto ruhusiwa ku hubiri, LAKINI bado ame kuja hapa ku punga Biblia, HALAFU ana sema ni 'mkristo'! Na PIA ali fundishwa, ku vaa BUIBUI kama MARIUM, lakini bado hataki!
Sheikh amee semaa nabi cise cw amee sifia bora kuliko mohamed kuwa kitaabu Ambayo ali pema haayo ni makosa sheikh
@BURHANKENYA Жыл бұрын
Ndugu zangu fanyeni jambo takbir
@HusseinAli-fx1ld Жыл бұрын
Twende vitu,
@mosmart4718 Жыл бұрын
ma sheikh ee please tell the few Muslims be respectful and be quite because this people don’t know their holy book. We need to show respect that Islam carries as some of them would be Muslims.
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Inn shaa Allah we will tell them most of Christians are just innocent inheritance May Almighty Allah guide them to islam
@KATOPE1
Жыл бұрын
Well said Allah barium🙏🏿
@morehermadeosman4977
Жыл бұрын
@@KATOPE1 use this emoji next time 🤲🤲(this is 🙏🙏 for Buddhism)
@KATOPE1
Жыл бұрын
@@morehermadeosman4977 in sha allah thanks for correction
@samxx411 Жыл бұрын
Naapa kwa Mwenyezi Mungu wangu ALLAH (SW), Hizi elimu wanazopewa ndugu zetu wakristo kuhusu mafundisho, wasipofahamu na kuyasikiliza basi Mungu sijui atawahukumu vipi?? Mwenyezi Mungu anasema katika Quran ''Siku nitaadhibu adhabu haikupatapo kuadhibiwa", sasa leo unaambiwa yesu si Mungu wewe unasema Mungu, unaambiwa yesu muislam wewe unamsingizia Mungu tena mwana wa Mungu...Jamani, Jamani tusome maandiko kwa makini tuwe open mind tupate kufahamu maandiko vizuri.
@mobutu3884
Жыл бұрын
Yesu sio mwislamu
@mobutu3884
Жыл бұрын
Nyie mnaona ana elimu kwa sababu anadili na watu wasioijua biblia mwambie aweke debate atafte wenye elimu ya biblia uone kama ataweza
@samxx411
Жыл бұрын
@@mobutu3884 hakuna mkristo anaeijua biblia ikisha asisilimu labda awe na lengo maalum. Maana maandiko mengi ya katika biblia ambayo amesema yesu yeye mwenyewe hayapo tofauti na uislamu ila hao waandishi ndio wanampingana na yesu na nyinyi mnawafata hao hamufati mafundisho ya yesu
@mobutu3884
Жыл бұрын
@@samxx411 hayo maandiko yaliyopo kwenye Biblia na yaliyopo kwenye Quran ni yapi yalitangulia?
@mobutu3884
Жыл бұрын
@@samxx411 na nikukumbushe pia mwislamu yeyote atakayesoma quran kwa umakini na akasoma vitabu vyote vya hadithi kwa umakini na kuelewa na maisha ya Mohamad kwa ujumla lazima awe mtu wa kristo.
@HusseinAli-fx1ld Жыл бұрын
Halafu io jacket yako. Usibadilishe maintain ivo ivo.
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Hahaaaaa🤫🤫🤔
@morehermadeosman4977
Жыл бұрын
@@salimdaawah123 ni identity Tu😂
@janaleokesho8374 Жыл бұрын
Kutoka kitambo tunaamini mungu muumba wa vyote tangu mababu zetu dini zimetupata hapa.hakuna mahali dini inanipeleka.
@samxx411
Жыл бұрын
"Mungu yupo na ameleta mfumo wa maisha anaoutaka yeye ili watu wote tuufate. ili kuufata mfumo huo akaleta muongozo (guideline) ambao utakusaidia katika kuufuata huo mfumo. huo muongozo wewe kama wewe utakuwa mgumu kuweza kuusoma na kuufahamu ndio maana akaleta mitume ili watuelimishe kuufata huo mfumo kwa kutumia muongozo aliotulea..kwahivyo hivi vitabu ni miongozo ya huo mfumo na dini ni mfumo wa maisha ambao umekubaliwa na Mungu ili tuufate. "ndio yesu akasema mtu hawezi kwenda kwa baba ila kwa njia ya mimi" ina maana ili upate uzima wa milele mpaka umfate yeye
@rehemasiku7815
Жыл бұрын
Kwahiyo duniani umekuja kukaa bure tu, ukiiba, ukizini, ukifanya machafu yote hakuna atakae kuhukumu...... Ishhhhhh kweli 7KRISTO KAZI
@rehemasiku7815
Жыл бұрын
@@samxx411 swadaqta,😌👌
@mobutu3884 Жыл бұрын
Kwa nini asitafte watu wanaojua biblia wakapanga debate na sio kwenda kudili na watu wa mtaani wasiojua biblia na kuwaonea. Mimi binafsi naona elimu yake ya dini bado ni ndogo so asijione anajua coz anadili na watu wasiojua biblia.
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Hao wanaojua bibilia wako wapi wakati tunaweka mikutano wazi wazi kama unajiamini njoo wewe mwenyewe
@mobutu3884
Жыл бұрын
@@salimdaawah123 kuna siku mtakatiza tu mitaa yangu ndipo nitakapowafundisha quran ilitoka wapi, iliandikwa na kina nani na tabia zao, na yaliyowakuta wakati wanaiandika, na hata kabla ya kuitwa quran mwanzoni iliitwaje, na pia mashaka yaliyomo ndani yake nyie simnajifanya mnaitetea kwa kuficha ukweli.
@salimdaawah123
Жыл бұрын
@@mobutu3884 mtaa wako ni gani tuje huko wiki tatu
@shabamuhidin634
Жыл бұрын
@@mobutu3884 tazama youtube yusuf wambugu daawah,Salim Ngugi daawah utaona wachungaji wakitoroka,kutetea bibilia ni kama kubebe gunia la misumari ukiwa na upara
@mobutu3884
Жыл бұрын
@@shabamuhidin634 sasa hao wachungaji si moja wapo ya wale wasiojua biblia , unajua ukitaka kujadiliana vizuri lazima pia uwe umeisoma quran na hadith vitabu vingine vya kiislama kwa kifupi lazima uwe umefanya utafiti wa kutosha, sasa hao wachungaji wanaokutana nao hawana elimu yoyote ya uislam na hata biblia yenyewe ni wachanga. Kumbuka hao walimu wa kiislam wanaenda kwa sababu wameshajua udhaifu wa hao wanaokutana nao mtaani so wana style yao ya kuwabana ambayo ukiwa na elimu hawakusumbui, na sio kwamba hawa walimu wa kiislamu wakiisoma bibilia hawaielewi lahasha wanaelewa tena sana ila wanatafta mistari ya kuwaconfuse wasio na elimu.
Пікірлер: 106
Mashallah shekh wetu qassim allah akujaze afya njema na akulinde akuifadhi inshallah
Maa shaa Allah mashekh wetu Jazaakallah khayrii
Welcome back Sheikh Kassim. We have dearly missed you for a while. I hope all is well with you and your family. May Allah bless you all our daacis
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Aamiin amiin amiin
Mashaallah mungu azidi kuwapa afya na awapushie shari muzidi kutuelimisha.
Kazi nzuri nakupata in daressalam city
Allahu akbar!,, tumuombee mama yetu pia aone haki na apate kuifuata
Mashaalah sheikh kasim ni hatar kweli
Masha Allah Mola awape thawabu ya kazi mnafanya mashehe wetu.
MashaAllah. sheikh Qassim nampenda ana tabasam time zote. na masheikh zetu wte Allah awalipe khery
Masha alaah greating all dawa team sheikh saalim sheikh khaasim sheikh ali sheikh hasan all
Takbiriii Takbiriii karibuni ktk uislam ndugu zetu. Mashekhe wetu hongereni Allah atawalipa in shaa Allah.
Mashalwah mungu mkubwa shukran mashalwah kwa kazi ya alwah mungu atakulindeni ishaalwah
Maashallah tabarakallah mashehezetu
Mashallah masheh wetu allah awajaalie kila la kher
Mashaallah jazu nzuri Allah awape nguvu na afya inshaallah
Allah'hu Akbar Allah'hu Akbar
Sheikh Qassim tumemiss daawah yako. Allah akuhifadhi akupe siha njema. Akuongeze fahamu elimu na busara yq kufanya daawah
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Aamiin amiin amiin
Welcome back Kassim
Masha'Allah ❤. Umepa madam dose mpaka akatulia kama maji ya mtungi akiskiza huku moyo ukimuuma😂. Allah awazidishie hekma katika kazi yenu.
Allahu Akibar
AllahuAkbar. MashaAllah Team, Karuiki, Ali, na Salim pia! Muna jeruhi watu na SADAKA!😅😅. Ustad Kasim, ume furaisha watu leo! Ati "dont try this at home"! 😂😂. Malaki 3:10 ina ongelea habari za ZAKA, ambao ni SADAKA la CHAKULA, inatolewa ONCE a YEAR, ku pelekwa GRANARY for Masikini! Angalia MALIPO na pia BARAKA, yaku towa SADAKA la CHAKULA, katika: Luka 14:13-14 " But when you give a Banguet, invite the POOR, the CRIPPLED, and the LAME, and the BLIND, 14 and you will be blessed! Although they (the poor) cannot repay you, you will be REPAID on the RESSURECTION of the good!" SADAKA kwa WA NYONGE ni GURANTEE wa uxima wa Milele! Mchungaji aki kula MALI ya WA NYONGE, then MOTO ya JAHANAM inam ngojea, PAMOJA na supporters wake! REMEMBER this! Well done Team!
@F.j84
Жыл бұрын
Walai nimecheka hadi basi vile Christian wanavoitetea sadaka
Takbir takbir kaz nzur ya Allah
Mashaalah sheikh Qassim huyo mama leo umempa full doze yaani sindano imeingia haswa mpaka akakaa kimya
MASH ALLAH karibu sheikh qasim,may GOD reward u both
@Sal.0
Жыл бұрын
It is Team Work. Karuiki, Ali, Salim, Qasim, cameraman, and another young bearded Gentleman who is also filming using a Mobile Phone! May Allahswt, bless the whole Team! Karanja and Idriss are missing today.
Masha Allah 💞💞💞💞💞
ALLAHU AKBAR ❤️💞🤲🤲🤲
25:02 at that point guy on the left started having logic overload!!!
Wanyooshen mpaka wataelewa Inshaallah
Hatariii bilbia inawageuka.
MashaAllah
Allahu akbarr
Barikiweni
MashaaAllah masheikh ila sheikh Qasim we kiboko sana
Mashallah sheikh Qasim wlc back
Maasha Allah.Tulikumiss mno shehe Kasim.Unafundisha nakunyoosha kiswahili kama shehe Yarit.
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Masha Allah
MashaAllah ALLAHU AKBAR
لاإله إلا الله محمد رسول الله
Ma shaa Allah....Sheikh Kassim ..vitabu tu...
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Kabisa
Nowonder wanawake waliambiwa wanyamaze..huyo dada...eeeish
My Muslim brothers use this emoji🤲instead of this 🙏🙏(🙏 this represents Buddhism)
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Masha Allah point taken
Yaani zile aya zote wanazozitoa kujitetea zawachongea. Maajabu kuwa bado hawaoni wala hawazinguki wala Hawabadiliki.
Wallah uislam neema jamaa keshapewa qur’aan kama bado Salim nijulishe haraka sana namba yangu unayo.
Sheikh Qasim maashallah tumekumiss kwa viwanja
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Amerudi viwanjani
Sheikh Qasim Long time bana ❤
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Amerudi viwanjani
@stoispapi2380
Жыл бұрын
@@salimdaawah123 kiswahili take nyepesi tu hadi inaeleweka na wengi.
@Nur-al-islamchannel
10 ай бұрын
@@salimdaawah123Halafu aya ya biblia yenye inasema nawe utasherekea katika idi yako pamoja na wajane,maskini ,mayatima
@salimdaawah123
10 ай бұрын
@@Nur-al-islamchannel 16:14 kumbukumbu la torati pia Hosea 9:5
@Nur-al-islamchannel
10 ай бұрын
@@salimdaawah123 Asanti Ustadh wangu halafu nafuatilia sana hii mafundisho kwa sababu In Shaa Allah siku moja nataka niingie nilinganie uislamu
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...maa shaa Allah ndani ya ndunyu
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@Nur-al-islamchannel
10 ай бұрын
@@salimdaawah123Asalaamualeikum Ustadh Salim.....mh ni Muislamu na ningependa unisaidie na aya ya Quran yenye inasema mwezi,jua yote ni alama ya kuwepo kwa Mwenyezi Mungu
tatizo la wakristo ni nini lakini,Yesu kwa bibilia anasema sadaka wapewe maskini mtu anakuja anaanza kupinga mkiambiwa wakristo Paulo kawapoteza wanakataa
Huyo ametumwa kuharibu mkutano
Wale wanaji fanya wana fuata Yesu, ni huyu Mama Sami, Macho4! Huyu !Mama ni a perfect example ws ma pretenders!
@Sal.0
Жыл бұрын
KWELI kabisa! Juzi alifundishwa na Biblia ku finika Kichwa NA kuto ruhusiwa ku hubiri, LAKINI bado ame kuja hapa ku punga Biblia, HALAFU ana sema ni 'mkristo'! Na PIA ali fundishwa, ku vaa BUIBUI kama MARIUM, lakini bado hataki!
@thekingdragon8358
Жыл бұрын
@@Sal.0 hawasomi bibilia kuifata wanaipinga kiaina
Jamaa amekula corner adai amepigiwa simu.. kimeumanaaa 🤣🤣🤣
Raha
@ibrahimbarisa9510
Жыл бұрын
Mashaalah sheikh kasim ni hatar kweli
Qassim nakubali
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Masha Allah shukuran
duh ukiristo ni mzigo usio na thamani kabisa
Masha Allah
Sheikh amee semaa nabi cise cw amee sifia bora kuliko mohamed kuwa kitaabu Ambayo ali pema haayo ni makosa sheikh
Ndugu zangu fanyeni jambo takbir
Twende vitu,
ma sheikh ee please tell the few Muslims be respectful and be quite because this people don’t know their holy book. We need to show respect that Islam carries as some of them would be Muslims.
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Inn shaa Allah we will tell them most of Christians are just innocent inheritance May Almighty Allah guide them to islam
@KATOPE1
Жыл бұрын
Well said Allah barium🙏🏿
@morehermadeosman4977
Жыл бұрын
@@KATOPE1 use this emoji next time 🤲🤲(this is 🙏🙏 for Buddhism)
@KATOPE1
Жыл бұрын
@@morehermadeosman4977 in sha allah thanks for correction
Naapa kwa Mwenyezi Mungu wangu ALLAH (SW), Hizi elimu wanazopewa ndugu zetu wakristo kuhusu mafundisho, wasipofahamu na kuyasikiliza basi Mungu sijui atawahukumu vipi?? Mwenyezi Mungu anasema katika Quran ''Siku nitaadhibu adhabu haikupatapo kuadhibiwa", sasa leo unaambiwa yesu si Mungu wewe unasema Mungu, unaambiwa yesu muislam wewe unamsingizia Mungu tena mwana wa Mungu...Jamani, Jamani tusome maandiko kwa makini tuwe open mind tupate kufahamu maandiko vizuri.
@mobutu3884
Жыл бұрын
Yesu sio mwislamu
@mobutu3884
Жыл бұрын
Nyie mnaona ana elimu kwa sababu anadili na watu wasioijua biblia mwambie aweke debate atafte wenye elimu ya biblia uone kama ataweza
@samxx411
Жыл бұрын
@@mobutu3884 hakuna mkristo anaeijua biblia ikisha asisilimu labda awe na lengo maalum. Maana maandiko mengi ya katika biblia ambayo amesema yesu yeye mwenyewe hayapo tofauti na uislamu ila hao waandishi ndio wanampingana na yesu na nyinyi mnawafata hao hamufati mafundisho ya yesu
@mobutu3884
Жыл бұрын
@@samxx411 hayo maandiko yaliyopo kwenye Biblia na yaliyopo kwenye Quran ni yapi yalitangulia?
@mobutu3884
Жыл бұрын
@@samxx411 na nikukumbushe pia mwislamu yeyote atakayesoma quran kwa umakini na akasoma vitabu vyote vya hadithi kwa umakini na kuelewa na maisha ya Mohamad kwa ujumla lazima awe mtu wa kristo.
Halafu io jacket yako. Usibadilishe maintain ivo ivo.
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Hahaaaaa🤫🤫🤔
@morehermadeosman4977
Жыл бұрын
@@salimdaawah123 ni identity Tu😂
Kutoka kitambo tunaamini mungu muumba wa vyote tangu mababu zetu dini zimetupata hapa.hakuna mahali dini inanipeleka.
@samxx411
Жыл бұрын
"Mungu yupo na ameleta mfumo wa maisha anaoutaka yeye ili watu wote tuufate. ili kuufata mfumo huo akaleta muongozo (guideline) ambao utakusaidia katika kuufuata huo mfumo. huo muongozo wewe kama wewe utakuwa mgumu kuweza kuusoma na kuufahamu ndio maana akaleta mitume ili watuelimishe kuufata huo mfumo kwa kutumia muongozo aliotulea..kwahivyo hivi vitabu ni miongozo ya huo mfumo na dini ni mfumo wa maisha ambao umekubaliwa na Mungu ili tuufate. "ndio yesu akasema mtu hawezi kwenda kwa baba ila kwa njia ya mimi" ina maana ili upate uzima wa milele mpaka umfate yeye
@rehemasiku7815
Жыл бұрын
Kwahiyo duniani umekuja kukaa bure tu, ukiiba, ukizini, ukifanya machafu yote hakuna atakae kuhukumu...... Ishhhhhh kweli 7KRISTO KAZI
@rehemasiku7815
Жыл бұрын
@@samxx411 swadaqta,😌👌
Kwa nini asitafte watu wanaojua biblia wakapanga debate na sio kwenda kudili na watu wa mtaani wasiojua biblia na kuwaonea. Mimi binafsi naona elimu yake ya dini bado ni ndogo so asijione anajua coz anadili na watu wasiojua biblia.
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Hao wanaojua bibilia wako wapi wakati tunaweka mikutano wazi wazi kama unajiamini njoo wewe mwenyewe
@mobutu3884
Жыл бұрын
@@salimdaawah123 kuna siku mtakatiza tu mitaa yangu ndipo nitakapowafundisha quran ilitoka wapi, iliandikwa na kina nani na tabia zao, na yaliyowakuta wakati wanaiandika, na hata kabla ya kuitwa quran mwanzoni iliitwaje, na pia mashaka yaliyomo ndani yake nyie simnajifanya mnaitetea kwa kuficha ukweli.
@salimdaawah123
Жыл бұрын
@@mobutu3884 mtaa wako ni gani tuje huko wiki tatu
@shabamuhidin634
Жыл бұрын
@@mobutu3884 tazama youtube yusuf wambugu daawah,Salim Ngugi daawah utaona wachungaji wakitoroka,kutetea bibilia ni kama kubebe gunia la misumari ukiwa na upara
@mobutu3884
Жыл бұрын
@@shabamuhidin634 sasa hao wachungaji si moja wapo ya wale wasiojua biblia , unajua ukitaka kujadiliana vizuri lazima pia uwe umeisoma quran na hadith vitabu vingine vya kiislama kwa kifupi lazima uwe umefanya utafiti wa kutosha, sasa hao wachungaji wanaokutana nao hawana elimu yoyote ya uislam na hata biblia yenyewe ni wachanga. Kumbuka hao walimu wa kiislam wanaenda kwa sababu wameshajua udhaifu wa hao wanaokutana nao mtaani so wana style yao ya kuwabana ambayo ukiwa na elimu hawakusumbui, na sio kwamba hawa walimu wa kiislamu wakiisoma bibilia hawaielewi lahasha wanaelewa tena sana ila wanatafta mistari ya kuwaconfuse wasio na elimu.
MashaAllah
Raha