Qasim awanyoosha wakristo na kuwapa majibu assistant Pastor mwanamke atulia dagoretti Kikuyu kiambu

Пікірлер: 106

  • @aisharashd3467
    @aisharashd3467 Жыл бұрын

    Mashallah shekh wetu qassim allah akujaze afya njema na akulinde akuifadhi inshallah

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Жыл бұрын

    Maa shaa Allah mashekh wetu Jazaakallah khayrii

  • @mosmart4718
    @mosmart4718 Жыл бұрын

    Welcome back Sheikh Kassim. We have dearly missed you for a while. I hope all is well with you and your family. May Allah bless you all our daacis

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Aamiin amiin amiin

  • @rashidjilani9366
    @rashidjilani9366 Жыл бұрын

    Mashaallah mungu azidi kuwapa afya na awapushie shari muzidi kutuelimisha.

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 Жыл бұрын

    Kazi nzuri nakupata in daressalam city

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Жыл бұрын

    Allahu akbar!,, tumuombee mama yetu pia aone haki na apate kuifuata

  • @ibrahimbarisa9510
    @ibrahimbarisa9510 Жыл бұрын

    Mashaalah sheikh kasim ni hatar kweli

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi9659 Жыл бұрын

    Masha Allah Mola awape thawabu ya kazi mnafanya mashehe wetu.

  • @maherzain615
    @maherzain615 Жыл бұрын

    MashaAllah. sheikh Qassim nampenda ana tabasam time zote. na masheikh zetu wte Allah awalipe khery

  • @mohameddeeqhalane9420
    @mohameddeeqhalane9420 Жыл бұрын

    Masha alaah greating all dawa team sheikh saalim sheikh khaasim sheikh ali sheikh hasan all

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын

    Takbiriii Takbiriii karibuni ktk uislam ndugu zetu. Mashekhe wetu hongereni Allah atawalipa in shaa Allah.

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly6304 Жыл бұрын

    Mashalwah mungu mkubwa shukran mashalwah kwa kazi ya alwah mungu atakulindeni ishaalwah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Maashallah tabarakallah mashehezetu

  • @khadijayusuf7968
    @khadijayusuf7968 Жыл бұрын

    Mashallah masheh wetu allah awajaalie kila la kher

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 Жыл бұрын

    Mashaallah jazu nzuri Allah awape nguvu na afya inshaallah

  • @mufid707
    @mufid707 Жыл бұрын

    Allah'hu Akbar Allah'hu Akbar

  • @HusseinAli-fx1ld
    @HusseinAli-fx1ld Жыл бұрын

    Sheikh Qassim tumemiss daawah yako. Allah akuhifadhi akupe siha njema. Akuongeze fahamu elimu na busara yq kufanya daawah

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Aamiin amiin amiin

  • @ibrahimmussa7478
    @ibrahimmussa7478 Жыл бұрын

    Welcome back Kassim

  • @hafsakirao398
    @hafsakirao398 Жыл бұрын

    Masha'Allah ❤. Umepa madam dose mpaka akatulia kama maji ya mtungi akiskiza huku moyo ukimuuma😂. Allah awazidishie hekma katika kazi yenu.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Allahu Akibar

  • @Sal.0
    @Sal.0 Жыл бұрын

    AllahuAkbar. MashaAllah Team, Karuiki, Ali, na Salim pia! Muna jeruhi watu na SADAKA!😅😅. Ustad Kasim, ume furaisha watu leo! Ati "dont try this at home"! 😂😂. Malaki 3:10 ina ongelea habari za ZAKA, ambao ni SADAKA la CHAKULA, inatolewa ONCE a YEAR, ku pelekwa GRANARY for Masikini! Angalia MALIPO na pia BARAKA, yaku towa SADAKA la CHAKULA, katika: Luka 14:13-14 " But when you give a Banguet, invite the POOR, the CRIPPLED, and the LAME, and the BLIND, 14 and you will be blessed! Although they (the poor) cannot repay you, you will be REPAID on the RESSURECTION of the good!" SADAKA kwa WA NYONGE ni GURANTEE wa uxima wa Milele! Mchungaji aki kula MALI ya WA NYONGE, then MOTO ya JAHANAM inam ngojea, PAMOJA na supporters wake! REMEMBER this! Well done Team!

  • @F.j84

    @F.j84

    Жыл бұрын

    Walai nimecheka hadi basi vile Christian wanavoitetea sadaka

  • @mzackibra5856
    @mzackibra5856 Жыл бұрын

    Takbir takbir kaz nzur ya Allah

  • @bahatikenia39
    @bahatikenia39 Жыл бұрын

    Mashaalah sheikh Qassim huyo mama leo umempa full doze yaani sindano imeingia haswa mpaka akakaa kimya

  • @ramadhanborudiba6267
    @ramadhanborudiba6267 Жыл бұрын

    MASH ALLAH karibu sheikh qasim,may GOD reward u both

  • @Sal.0

    @Sal.0

    Жыл бұрын

    It is Team Work. Karuiki, Ali, Salim, Qasim, cameraman, and another young bearded Gentleman who is also filming using a Mobile Phone! May Allahswt, bless the whole Team! Karanja and Idriss are missing today.

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Жыл бұрын

    Masha Allah 💞💞💞💞💞

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA11 ай бұрын

    ALLAHU AKBAR ❤️💞🤲🤲🤲

  • @mohamedbaridhwan3017
    @mohamedbaridhwan3017 Жыл бұрын

    25:02 at that point guy on the left started having logic overload!!!

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Жыл бұрын

    Wanyooshen mpaka wataelewa Inshaallah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын

    Hatariii bilbia inawageuka.

  • @andikadirali9738
    @andikadirali97385 ай бұрын

    MashaAllah

  • @qassimsothe7808
    @qassimsothe7808 Жыл бұрын

    Allahu akbarr

  • @josemu870
    @josemu8704 ай бұрын

    Barikiweni

  • @issamohamedi9225
    @issamohamedi9225 Жыл бұрын

    MashaaAllah masheikh ila sheikh Qasim we kiboko sana

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent7796 Жыл бұрын

    Mashallah sheikh Qasim wlc back

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Жыл бұрын

    Maasha Allah.Tulikumiss mno shehe Kasim.Unafundisha nakunyoosha kiswahili kama shehe Yarit.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Жыл бұрын

    MashaAllah ALLAHU AKBAR

  • @maherzain615
    @maherzain615 Жыл бұрын

    لاإله إلا الله محمد رسول الله

  • @elpibedeoro215
    @elpibedeoro215 Жыл бұрын

    Ma shaa Allah....Sheikh Kassim ..vitabu tu...

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 Жыл бұрын

    Nowonder wanawake waliambiwa wanyamaze..huyo dada...eeeish

  • @morehermadeosman4977
    @morehermadeosman4977 Жыл бұрын

    My Muslim brothers use this emoji🤲instead of this 🙏🙏(🙏 this represents Buddhism)

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Masha Allah point taken

  • @mohamedbaridhwan3017
    @mohamedbaridhwan3017 Жыл бұрын

    Yaani zile aya zote wanazozitoa kujitetea zawachongea. Maajabu kuwa bado hawaoni wala hawazinguki wala Hawabadiliki.

  • @suleimanabdull1958
    @suleimanabdull1958 Жыл бұрын

    Wallah uislam neema jamaa keshapewa qur’aan kama bado Salim nijulishe haraka sana namba yangu unayo.

  • @shurlaally1686
    @shurlaally1686 Жыл бұрын

    Sheikh Qasim maashallah tumekumiss kwa viwanja

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Amerudi viwanjani

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 Жыл бұрын

    Sheikh Qasim Long time bana ❤

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Amerudi viwanjani

  • @stoispapi2380

    @stoispapi2380

    Жыл бұрын

    @@salimdaawah123 kiswahili take nyepesi tu hadi inaeleweka na wengi.

  • @Nur-al-islamchannel

    @Nur-al-islamchannel

    10 ай бұрын

    ​@@salimdaawah123Halafu aya ya biblia yenye inasema nawe utasherekea katika idi yako pamoja na wajane,maskini ,mayatima

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    10 ай бұрын

    @@Nur-al-islamchannel 16:14 kumbukumbu la torati pia Hosea 9:5

  • @Nur-al-islamchannel

    @Nur-al-islamchannel

    10 ай бұрын

    @@salimdaawah123 Asanti Ustadh wangu halafu nafuatilia sana hii mafundisho kwa sababu In Shaa Allah siku moja nataka niingie nilinganie uislamu

  • @muhammadmwangi5236
    @muhammadmwangi5236 Жыл бұрын

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...maa shaa Allah ndani ya ndunyu

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @Nur-al-islamchannel

    @Nur-al-islamchannel

    10 ай бұрын

    ​@@salimdaawah123Asalaamualeikum Ustadh Salim.....mh ni Muislamu na ningependa unisaidie na aya ya Quran yenye inasema mwezi,jua yote ni alama ya kuwepo kwa Mwenyezi Mungu

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Жыл бұрын

    tatizo la wakristo ni nini lakini,Yesu kwa bibilia anasema sadaka wapewe maskini mtu anakuja anaanza kupinga mkiambiwa wakristo Paulo kawapoteza wanakataa

  • @mufunyiibrahim3655
    @mufunyiibrahim3655 Жыл бұрын

    Huyo ametumwa kuharibu mkutano

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo69 Жыл бұрын

    Wale wanaji fanya wana fuata Yesu, ni huyu Mama Sami, Macho4! Huyu !Mama ni a perfect example ws ma pretenders!

  • @Sal.0

    @Sal.0

    Жыл бұрын

    KWELI kabisa! Juzi alifundishwa na Biblia ku finika Kichwa NA kuto ruhusiwa ku hubiri, LAKINI bado ame kuja hapa ku punga Biblia, HALAFU ana sema ni 'mkristo'! Na PIA ali fundishwa, ku vaa BUIBUI kama MARIUM, lakini bado hataki!

  • @thekingdragon8358

    @thekingdragon8358

    Жыл бұрын

    @@Sal.0 hawasomi bibilia kuifata wanaipinga kiaina

  • @walidrubeya9946
    @walidrubeya9946 Жыл бұрын

    Jamaa amekula corner adai amepigiwa simu.. kimeumanaaa 🤣🤣🤣

  • @mohameddeeqhalane9420
    @mohameddeeqhalane9420 Жыл бұрын

    Raha

  • @ibrahimbarisa9510

    @ibrahimbarisa9510

    Жыл бұрын

    Mashaalah sheikh kasim ni hatar kweli

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Жыл бұрын

    Qassim nakubali

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Masha Allah shukuran

  • @thekingdragon8358
    @thekingdragon8358 Жыл бұрын

    duh ukiristo ni mzigo usio na thamani kabisa

  • @mahadabdi4870
    @mahadabdi4870 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @sharmakeabdi6068
    @sharmakeabdi6068 Жыл бұрын

    Sheikh amee semaa nabi cise cw amee sifia bora kuliko mohamed kuwa kitaabu Ambayo ali pema haayo ni makosa sheikh

  • @BURHANKENYA
    @BURHANKENYA Жыл бұрын

    Ndugu zangu fanyeni jambo takbir

  • @HusseinAli-fx1ld
    @HusseinAli-fx1ld Жыл бұрын

    Twende vitu,

  • @mosmart4718
    @mosmart4718 Жыл бұрын

    ma sheikh ee please tell the few Muslims be respectful and be quite because this people don’t know their holy book. We need to show respect that Islam carries as some of them would be Muslims.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Inn shaa Allah we will tell them most of Christians are just innocent inheritance May Almighty Allah guide them to islam

  • @KATOPE1

    @KATOPE1

    Жыл бұрын

    Well said Allah barium🙏🏿

  • @morehermadeosman4977

    @morehermadeosman4977

    Жыл бұрын

    @@KATOPE1 use this emoji next time 🤲🤲(this is 🙏🙏 for Buddhism)

  • @KATOPE1

    @KATOPE1

    Жыл бұрын

    @@morehermadeosman4977 in sha allah thanks for correction

  • @samxx411
    @samxx411 Жыл бұрын

    Naapa kwa Mwenyezi Mungu wangu ALLAH (SW), Hizi elimu wanazopewa ndugu zetu wakristo kuhusu mafundisho, wasipofahamu na kuyasikiliza basi Mungu sijui atawahukumu vipi?? Mwenyezi Mungu anasema katika Quran ''Siku nitaadhibu adhabu haikupatapo kuadhibiwa", sasa leo unaambiwa yesu si Mungu wewe unasema Mungu, unaambiwa yesu muislam wewe unamsingizia Mungu tena mwana wa Mungu...Jamani, Jamani tusome maandiko kwa makini tuwe open mind tupate kufahamu maandiko vizuri.

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Жыл бұрын

    Yesu sio mwislamu

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Жыл бұрын

    Nyie mnaona ana elimu kwa sababu anadili na watu wasioijua biblia mwambie aweke debate atafte wenye elimu ya biblia uone kama ataweza

  • @samxx411

    @samxx411

    Жыл бұрын

    @@mobutu3884 hakuna mkristo anaeijua biblia ikisha asisilimu labda awe na lengo maalum. Maana maandiko mengi ya katika biblia ambayo amesema yesu yeye mwenyewe hayapo tofauti na uislamu ila hao waandishi ndio wanampingana na yesu na nyinyi mnawafata hao hamufati mafundisho ya yesu

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Жыл бұрын

    @@samxx411 hayo maandiko yaliyopo kwenye Biblia na yaliyopo kwenye Quran ni yapi yalitangulia?

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Жыл бұрын

    @@samxx411 na nikukumbushe pia mwislamu yeyote atakayesoma quran kwa umakini na akasoma vitabu vyote vya hadithi kwa umakini na kuelewa na maisha ya Mohamad kwa ujumla lazima awe mtu wa kristo.

  • @HusseinAli-fx1ld
    @HusseinAli-fx1ld Жыл бұрын

    Halafu io jacket yako. Usibadilishe maintain ivo ivo.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Hahaaaaa🤫🤫🤔

  • @morehermadeosman4977

    @morehermadeosman4977

    Жыл бұрын

    @@salimdaawah123 ni identity Tu😂

  • @janaleokesho8374
    @janaleokesho8374 Жыл бұрын

    Kutoka kitambo tunaamini mungu muumba wa vyote tangu mababu zetu dini zimetupata hapa.hakuna mahali dini inanipeleka.

  • @samxx411

    @samxx411

    Жыл бұрын

    "Mungu yupo na ameleta mfumo wa maisha anaoutaka yeye ili watu wote tuufate. ili kuufata mfumo huo akaleta muongozo (guideline) ambao utakusaidia katika kuufuata huo mfumo. huo muongozo wewe kama wewe utakuwa mgumu kuweza kuusoma na kuufahamu ndio maana akaleta mitume ili watuelimishe kuufata huo mfumo kwa kutumia muongozo aliotulea..kwahivyo hivi vitabu ni miongozo ya huo mfumo na dini ni mfumo wa maisha ambao umekubaliwa na Mungu ili tuufate. "ndio yesu akasema mtu hawezi kwenda kwa baba ila kwa njia ya mimi" ina maana ili upate uzima wa milele mpaka umfate yeye

  • @rehemasiku7815

    @rehemasiku7815

    Жыл бұрын

    Kwahiyo duniani umekuja kukaa bure tu, ukiiba, ukizini, ukifanya machafu yote hakuna atakae kuhukumu...... Ishhhhhh kweli 7KRISTO KAZI

  • @rehemasiku7815

    @rehemasiku7815

    Жыл бұрын

    @@samxx411 swadaqta,😌👌

  • @mobutu3884
    @mobutu3884 Жыл бұрын

    Kwa nini asitafte watu wanaojua biblia wakapanga debate na sio kwenda kudili na watu wa mtaani wasiojua biblia na kuwaonea. Mimi binafsi naona elimu yake ya dini bado ni ndogo so asijione anajua coz anadili na watu wasiojua biblia.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Hao wanaojua bibilia wako wapi wakati tunaweka mikutano wazi wazi kama unajiamini njoo wewe mwenyewe

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Жыл бұрын

    @@salimdaawah123 kuna siku mtakatiza tu mitaa yangu ndipo nitakapowafundisha quran ilitoka wapi, iliandikwa na kina nani na tabia zao, na yaliyowakuta wakati wanaiandika, na hata kabla ya kuitwa quran mwanzoni iliitwaje, na pia mashaka yaliyomo ndani yake nyie simnajifanya mnaitetea kwa kuficha ukweli.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    @@mobutu3884 mtaa wako ni gani tuje huko wiki tatu

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    Жыл бұрын

    @@mobutu3884 tazama youtube yusuf wambugu daawah,Salim Ngugi daawah utaona wachungaji wakitoroka,kutetea bibilia ni kama kubebe gunia la misumari ukiwa na upara

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Жыл бұрын

    @@shabamuhidin634 sasa hao wachungaji si moja wapo ya wale wasiojua biblia , unajua ukitaka kujadiliana vizuri lazima pia uwe umeisoma quran na hadith vitabu vingine vya kiislama kwa kifupi lazima uwe umefanya utafiti wa kutosha, sasa hao wachungaji wanaokutana nao hawana elimu yoyote ya uislam na hata biblia yenyewe ni wachanga. Kumbuka hao walimu wa kiislam wanaenda kwa sababu wameshajua udhaifu wa hao wanaokutana nao mtaani so wana style yao ya kuwabana ambayo ukiwa na elimu hawakusumbui, na sio kwamba hawa walimu wa kiislamu wakiisoma bibilia hawaielewi lahasha wanaelewa tena sana ila wanatafta mistari ya kuwaconfuse wasio na elimu.

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @mohameddeeqhalane9420
    @mohameddeeqhalane9420 Жыл бұрын

    Raha

Келесі