WAKAZI: KUNA WATU WANAMZIDI NGWEA, NIKKI MBISHI, SIO MKALI KWENYE FREESTYLE KULIKO WOTE
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 27
Shida ya watu hawamjui wakazi vizur na hawaelewi anachozungumza... ukimuelewa hupati shida ila una enjoy
Wakazi ukimwelewa unaenjoy interview zak
"Najua Hamuezi Kwenda Haja ndogo Mmesimama ila Mna Uwezo wa Kufanya Kila si Tunachofanya... Hata kua Raisi MWANAMKE Pia ana Haki Mradi tu awe na Vigezo Wanaume tunapata wapi..." 🎶🎯 ~Albert 'Mangwea' Keneth [1982-2013] Cc; @MwanaFA & @Lady Jaydee #MamaSamiaHassan🇹🇿 #happyngweaday 🎙️ #10Years⤵️😓
@DavidMlai-jk8jg
8 ай бұрын
staki beef na mangwea yuko juu unapogusa unapotea
Ngwear atabaki kuwa ngwear tu, hawa wengine tunawasikiza ila Kwa ngwear bado sana.. Pengo lake haliwez kuzibika kamwe.
True mbishi anawazidi at his prime, at the moment toxic na kado
Malizieni ile video full ya interview... Haikuisha ila mliikatili
Ngwair kama ronaldihno,ana free style na hits songs...ronaldihno ana skills na uwanjani mkali vile vile
@hafidhali4336
Жыл бұрын
✌
@jabirkasunzu6841
28 күн бұрын
Mtazamo
Muongo kweli wee jamaa,unamfananisha Nikki mbishi na Ngwair.
Chuki ni noma sana aiseeeee
@jabirkasunzu6841
28 күн бұрын
Mtazamo
Mwambie atupe gum ambayo anakula uku anafanya interview iyo ni upuzi
yani wewe wakaz niki wekeni nyimbo zenu zote afu me naeka nyimbo 1 yangwea. she got a gwan
Huyu br huwa anajua sana sema huwa anaongea sana
Nikki mbishi sio mkali kama ngwear kwenye free style za hapo kwa hapo
@jabirkasunzu6841
28 күн бұрын
Mtazamo
😂😂😂kum* uyu
Wakaz mshamba san
@DavidMlai-jk8jg
8 ай бұрын
kaka kabisa
Ukiona mtu ameshafaliki miaka zaidi ya 10 na bado anazungumziwa ivyo ujue uyo mtu sio poa kabisa
@hafidhali4336
Жыл бұрын
✌nakubali kaka
wakazi Mshamba sana sijawai kukuelewa unaimbaga nini stupid wapiga makelele uyo niki nyimbo yake moja2 play boy ipi nyingine
acha ujinga aseee usilazimishe Kila mtu aamini unacho sema
Huyu nae anasema niki yupo juu kuliko Ngwear!! free style,Huyi niki mpaka aandike ndio apasuke,Ngwear popote chochote,bora useme Zilaa lkn nikki uhozo2.
@stephenvenancee7131
7 ай бұрын
huna akili