General Ndacha chapa kazi ya Mungu Unanibariki sana kaka
@andrungure46894 жыл бұрын
Good morning y'all Bro dacha, you are the Christian prince of Kenya 🇰🇪 keep up n God bless.
@susansenga754
4 жыл бұрын
Ksbisaaaaa ndasha ni Christian prince and daved wood kkkkkkkk moto buuuuu jina hilo lina choma saaaaana jina la yesu
@Quilant749
4 жыл бұрын
Yesssssss Christian peace ni more fire
@fatmafa1896
4 жыл бұрын
Amen be blessed in Jesus mighty name amen
@evelynlundberg1981
4 жыл бұрын
J
@linusmoris84974 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor Ndacha , endelea kumwinua YESU wetu
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Hakuna hajaa yakumwinua Yesuu, ww si muisraelii na kamaa wabishaa letee hojaa
@dorothdorothwanjala82224 жыл бұрын
Imeandikwa Kila ulimi utakiri kwamba Kristo ni Bwana na Kila goti litapigwa mbele za Bwana(MUNGU). Walimuua Yesu Kristo wakadhani wameshinda kumbe injili inaendelea.🇰🇪💪💪💪 Mungu wa Eliyah
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Sasa Washangilia kifoo cha Mungu wakoo ambaye ukisoma katika Matendo 13:6,alikuwa mrongo tenaa mchawi
@zedianagasper9475
3 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 hujaelewa somo kasome tena
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
@@zedianagasper9475 mm naelewa Bible kuliko ww, niambie mahalii ganii sijaelewa maana bibilia yotee naitambua
@shishshikoh49794 жыл бұрын
Ndacha umepewa elimu kutoka mbinguni...Mungu aendelee kukutumia ndio walio gizani wamjue Yesu ...
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Yes we know Jesus is the messenger of only one God
@danndinguri9284
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 Jesus came to save the world from sin that we may not perish bt have eternal life he came to bring the kingdom of God Jesus preached the gospel and it must be preached for people to know the truth which will set them free,.. Jesus is Lord
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Hata huoniii hayaa kumwambia Mwenzako hivyoo, kweliii wewe una akilii shish Shikoh, kuna mtuu aliyekosa Akili dunianiii kweliii, hata wendazimu wako na akilii kama bibilia inavyosema
@frankmpembu10424 жыл бұрын
NDASHA songa mbele usikate tamaa, hata mitume na manabii walikutana na changamoto mbalimbali kutoka kwa hao wana wa shetani, lakini NENO lilisimama hata leo, GOD BLESS you Ndasha. From Tanzania
@susansenga754
4 жыл бұрын
Twakuombea kila kwa yesu wetu ndacha .akuepushie kila jambo mbaya ..damu ya yesu ikugunike kila kona ufanyapo mkutano ... na mungu azidi kukutia nguvu kila siku
@abubakarzamir6276
4 жыл бұрын
Moto unakuwakia ikiwa kama hautatubia ukarudi kwa ALLAH muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
YESU Nabii wa Allah
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
@@susansenga754 Amen
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 tangu lini
@harunyusuf42294 жыл бұрын
Barikiwa sana usihofu bwana yu nawe,kuna taji ya uzima wa milele mbele yako,nilikua muisilamu na nikampokea yesu,mambo yangu yote yako sawa,namuinua huyu Yesu kwa uku wake na Ni nasema bila hofu wala haya yakwamba YESU NDIYE NJIA na hakuna mwengine.AMEEN.zidi kumuinua huyu yesu.
@DavisWangodi
4 жыл бұрын
amen
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
Basi ww murtad si uliondoe hilo jina la wastaarabu la kiislamu uitwe majina zenu za ukafiri?! Wadhani ni sifa kujitangaza eti uliritadi? Hata hukufaa kuwa mwislamu,inna lillahi wa inna illaihi rajiun
@harunyusuf4229
4 жыл бұрын
@@nooordubem2802 JESUS IS LORD AND SAVIOUR OF MY SOUL name means nothing to me,so UKAFIRI doesn't exist in my heavenly dictionary I forgive you.
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
@@harunyusuf4229 forgive yourself for getting lost because of lack of knowledge. God is the saviour of every soul of every living creature in this world,can't you just use your small brain that God gave you? Jesus also depended on God to save him that day the jewish wanted to kill him,who is he to save your soul yet he also prays freedom from God?...kafiri hana akili bora waimbe kama wazimu kanisani
@positivevibez1553
4 жыл бұрын
He was set free from Muhammad a mare womaniser who married a six year old Aisha, a sexual addict who has no morals
@kingp75944 жыл бұрын
Ndacha don't fear be strong and courageous for God is with you wherever you go
@dorothdorothwanjala8222
4 жыл бұрын
Wapakwa mafuta wa Mungu hupiganiwa na Baba hakuna siku wamewahi kushindwa. Maana Yesu Kristo mwenyewe alishinda . Sema ukweli uwaume na uwaweke huru
@shishshikoh4979
4 жыл бұрын
Amen
@kibojewee2710
4 жыл бұрын
@@dorothdorothwanjala8222 : hana lolote huyo
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
Ukweli unauma sana
@senorinamtei82024 жыл бұрын
Fanyeni Kazi watu wa Mungu nipo Tanzania nawaombea wotee Ndacha,Kasinah na timu yoote
@chachawambura40304 жыл бұрын
watching from Tanzania. Huwa nampenda sana huyu mchungaji, anawashika pabaya hao jamaa.
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
chacha wambura anawashika hatar kumbe Quran yenyewe inawakataa duuu
@josephmuchina30514 жыл бұрын
May God give Ndasha and his team more grace to overcome the forces of wickedness to be able to preach the good news which destroys the works of Satan.They shall know the truth and the truth shall sent them free!
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Which truth shall they know, do you have any evidence to prove your innocence
@casaica29933 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mwalimu Ndacha...
@linusmoris84974 жыл бұрын
Jamani wote wanaofuatilia mjadala huu, niwaombe Kila mmoja kwa wakati wake....pata muda, piga goti, waombee Hawa watu: Ndacha, Kasina, na wanatimu wote, kwa sababu wanafanya kazi kubwa na shetani hapendi kuwaona kabisa!...wana Vita kubwa sana sana! Mungu awasaidie sana
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
Amen amen very true 💯😍😍
@judithmoturi34022 жыл бұрын
Shule ya Mungu kweli ni haki mungu akubariki mwalimu ndacha 🙏🙏
@omwoyoonchweri69334 жыл бұрын
Great work brother Ndacha, God is on our side.....don't fear those who ONLY destroy the flesh ...
@sarahmichael75383 жыл бұрын
Anza na herufi kubwa unapoandika jina la Yesu au Mungu... tafadhali sana!
@mosesokendo54683 жыл бұрын
Dasha you are doing a good job Mungu akubariki ulifanya mimi nkabatizwa
@harunyusuf42294 жыл бұрын
KENYA FOR JESUS CHRIST, AMEN!!!👍👍👍
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
Amen amen very true glory to God
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
Kenya n Africa in general is for Muhammad s.a.w...and Jesus Christ is for Israel,Note that n mark it n put it in your evil skull
@mwleliakimnyama6846
4 жыл бұрын
Yeees christ
@maxwellolenyo6733
4 жыл бұрын
@@nooordubem2802 Mohammed is dead and waiting to be judged by Jesus!
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
@@maxwellolenyo6733 Ww na Jesus nanii mchawaii soma matendo 13:6Walipokwisha kupita katikati ya kisiwa chote mpaka Pafo, wakaona mtu mmoja, mchawi, nabii wa uongo, Myahudi jina lake Bar-Yesu;
@zahaljamal45204 жыл бұрын
Wewe serikali wacha kukandamiza wanzako wanahubiri ukweli yesu ndio mdosi
@latenightforextrader3494 жыл бұрын
1 Peter 3:15 mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu;lakini kwa upole na kwa hofu
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Rafikii wajua nimewachunguza sanaa nyinyi wakristo, yaani bibilia ni lenuu lakiniii hamulifuatiii, mukitolewa Aya ndaniii ya bibilia munaleta ubishii na kutafutaa ayaa zengine ambazo zinawalengaa, jee, hzi ayaa zengine mwataka kinaa nanii wazifuatee? Kama mathayo 26:39,Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. Jee,Mungu hakujibuu dua ya Yesuu?
@emmanuelmlule91014 жыл бұрын
Kila goti litapiga na kila ulimi utakili Yesu mfalme wa wafalme.
This islam is stress oh they don't want people to know the true
@johniemarsha281
3 жыл бұрын
Wao utaka washinde hatuwezi abudu Muhammad sisi...
@carolinekemunto2632 Жыл бұрын
Amen mwalimu Ndacha ubarikiwe sna n mungu awaongoze n roho wke kwa kueneza injili y mwenyezi mùngu
@thelioness42593 жыл бұрын
Injili ooo Iende Mbele Iende Mbele Injili ya Yesu Iende Mbelee Ndio Mana Ndio Mana Tuna Sema Iende Mbelee 🎶💪🏾✝️ 🙇🏻♀️ 🙌🏾 🙏🏼 😇
@diamodgeorge70294 жыл бұрын
Ata paulo mtume wa MUNGU alipitia hayo ,usikue na shaka MUNGU ambaye unahubili ndiye aliye uba kila kitu na YESU ndiye mwokozi wetu wa dunia yote .Mwalimu ndasha endelea kuchambua vitambu na kuhubili habai njema naye MUNGU hakuna siku atakuacha. mimi niko sehemu ya weiteithie THIKA watu wamekataa mafundisho ..... Niombi langu MUNGU akujalie siku moja ikiwezekana ukuje ili kuwafundisha watu habali njema.
@zuwenahamoud7792
4 жыл бұрын
Diamod george
@godisgreat1845
4 жыл бұрын
Paulo mtume wa mungu gani unajua kuwa paulo ni mnadhrayo kabila la wapagani wa antokia na ndie muanzilishi wa ukristo mwache atoe andiko yesu anasema yeye ni mkristo mnamsingizia tu kwa vile nyie kondoo hamuwezi kutafakari loloye
@chachamwita83504 жыл бұрын
Ndacha wewe endelea kuchapa kazi ya Mungu amekusimamia Ubarikiwe sana .kutoka Tanzania
@mwalimupatrick4323
4 жыл бұрын
Achana wane washike vitabu zao
@patrickmbelenzi4934 жыл бұрын
Police wapewa hongo hili wakatize mkutano na waisila JESUS CHRIST IS THE KING OF KINGS
@kibojewee2710
4 жыл бұрын
Nani kakwambia?
@robertnyakundi66314 жыл бұрын
God be on our side mchungaji. You can see wapinga KRISTO niwe wengi lakini MUNGU yupo
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
Ndiposha John the Baptist rebuked them calling them children of vimpre
@marcymurangga16754 жыл бұрын
hakika ukweli unauma waislamu wameamua kwenda polisi kwa sababu ya ukweli ndacha usiogope kwa maana mtetezi wetu yuhai simama imara na yesu ataketetea
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
Amen YESU ampiganie
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Ni ukweliii ganii ndacha amesema, kama si urongoo ni ninii huo, Yesu hajawahi kuongea kiswahiliii wala kizungu, na Yesuu hawajui musijisumbue buree
@mwanaishamlima2047
3 жыл бұрын
Ndachandio kawaleta police baada ya kuishindwa kwa hoja
@mohamdmohamd4842
Жыл бұрын
Marcy Murangga ..Andiko kwa Bibilia..kwa Upumbavu wenu ndio mimi Najisifu (Hayo ni Maandiko) na huyo alikuwa Paulo kuwaita Wakristo Wajinga..Sio Mimi. Sikiliza Vizuri inasemekana kuwa Permit Ime WithDraw.. Sio Waislamu. Ndio maana nikatumia hayo Maandiko kwa Bibilia.. kwa jinsi ya Akili yako.
@janenjenga56394 жыл бұрын
Police akijua ukweli anamtumikia Yesu bila shaka.ndacha bwana yesu atazidi kuwatia nguvu na team.
@mimisijaelewsabatoyakwelin92463 жыл бұрын
Ndacha usikate tamaa Mungu atakupiganiy usishituke na hao apo ni shetani tu ameikaa ndani yabo ili injili ya Mungu isiendeley alakini shetani hana mamulaka ju ya watu wa Mungu alie hai Yesu yupo alikuwepo na atakuwepo milele na milele na kila goti litapigwa mbelezak na kila ulimi utakiri kuwa yeye ni mufamle wa wafalme kwa iyo jivuniy kuwa uko combo cake hakika utavikwa taji la uzima tumeaidiw uzima wa milele so usikate tama mwalimu nakufatiliy vizur nikiwa Saudia Arabia. hawa waislam si watu wazur hata kidogo sisi tunaish nao macheh wakubwa sisi njo tunajuw vingi zaidi na uhakik kabisa kuwa aha viumbe ni shetani tu iko ndanimwao nanj anawatumiy kama gisi anavyotak.
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Ndasha endelea kuchapa injili mpaka wakae sawa ata ukiuwawa usijali duniani apa sio petu tunapitaaa ata kina yohan waliyapitia aya lkn wameandaliwa makao ya milele so usijali tangaza jina lake tutashinda tuuu maana yy ndo mfalme Yesu awapiganie sana mna malipo makubwaaa mmeandaliwa mbinguni kwa baba
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Hhhhhhhhh, kati ya mkristo na muislamu nanii shujaa, tusidanganyanee bureee, waislamu ndio wataingia peponi na wala hawaogopi kufaa
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
@@deusmichael5455 Hhhhh, mwenzangu acha nikwambie ni vipii Munguu awe na dhambiii, amaa nishakuelewa Mungu wenu ni Yesuu kwetuu sisi waislamu Munguu wetuu yy ndie ametuumba kwahvyo dhambi ni kwa viumbe vake ambao watendao maovu, Sasa kama ww wataenda mema ni vipii utahesabiwa umefanyaa ovuu, halafuuu kituu kinginee ni lazima utambue hataa ww ukifanyaa kazii vizuriii na kwa bidiii na masaa ya ziadaa utatarajia mshahara sawa na wale ambao hawakufanya masaa ya ziada, halafuuu kituu kinginee Michael lazimaa utambue, unaa akilii ww, na Mungu hakukupa akilii buree ilaa Kuna wengine watumia akilii zao vizuriii wengine wanapelekwa na wenzako bilaa kufikiria, leo wataka kwendaa nchii yoyote bila kukuweko na njia utawezaa kwendaa, jawabu ni laa, Sasa turudii kwa Hilo swaliii lakoo ww wataka kwendaa kwa Munguu utaendaje, lazima kukuweko na njia ya kukupeleka hukoo, ndio maana Munguu akasema ndani ya Quran 3:19,Bila shaka dini ya kweliii na uzima kwa Mungu ni uislamu, hakunaa dinii yeyote nyengine ambayo iko na uwaziii kama uislamu na ndio maana Kwa yule afanyaye mema hatalipwa Sawa ilaa kwa kile alichokitenda na vile vile afanyaye baya hatolipwa ilaa Sawa Sawa kwa ule ubaya aloutendaa, wakaribishwa Rafiki katika uislamu, dini ya upendooo na amanii, ndio maana yesu mwenyewee akasema katika Mathayo, mwabudinii Mungu wangu ambaye ni Munguu wenuu, Yesuu pia Mungu wake ni huyo huyo Mungu wakoo acheni itikadi za kipaganii. Wakaribishwa
@shadrackmbogo40094 жыл бұрын
Hawa Askali wanafaa wafutwe kazi malamoja.... it's our light kuubili injili Anywhere.... Everywhere...why this??. wakenya wapeda amani na wapeda kristo Amkeni.... Royal midia mko wapi??.Ata selekali ikisidwa maombi itatosha kufunga One week Hawa wote wakufe.
@saloomesoso9263
4 жыл бұрын
Wakufe ama waokoke😂😁
@mfungahothman4519
4 жыл бұрын
Shadrack Mbogo á
@evelynlundberg1981
4 жыл бұрын
J
@bernardmochoge35364 жыл бұрын
Pastor NdachaF, i admire ua fast knowledge by ta grace,,,pepelusha vitu,,,,bblessed
@marcymurangga16754 жыл бұрын
polisi wanini nahali maandiko ndiyo yanayosomwa?mkiambiwa waislamu mnakimbia mnasemaeti labda mimi ndion nilikimbia mbona hapo walimu wanakojewa mkutano uanze mnaleta polisi ili kuusimamishs mkutano makafiri nyie wafuga majini hmtaki injili ya kweli hata mfanye nini bado NENO la MUNGU litaendea kusambazwa kote ulimwenguni
@johnkata90394 жыл бұрын
usiogope mwalimu Ndacha,songa mbele na ukweli wa Yesu. only truth shall set them free.
@abcdg19953 жыл бұрын
Legendary Greetings darling Agape love Brethrens keep telling them the truth painful gospel of Jesus Christ
@nancyabura7434 жыл бұрын
Ata mkutano ufungwe ,neno litaenea ,Jina LA yesu litahamakai milele
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Kati ya Yesu na Munguu nanii afaa atukuzwe? Shetaniii asikudanganyeni bureee, sifa zote zamstahilii Munguu pekee
@amblozambloz88124 жыл бұрын
Hapo ndio shetani ameonekana live.....hao ndio wale polisi walilipwa wakasema kuwa yesu allibwa na wanafunzi wake wakiwa wamelala..
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jonahmburu9738
4 жыл бұрын
Ambloz bin Richards kabisa
@hirammbugua7593
3 жыл бұрын
trueee
@shadrackmbogo40094 жыл бұрын
Wapinga kristo ole wenu....kazi yeni Ni kuusa bangi corruption Ni yenu,kuvuja ma benki setu Ni nyinnyi,wezi wakubwa Ni nyinnyi...mumelaaniwa pomoja na ukoo wenu.wee mzee mnzima badala ya kisimama na kazi ya mungu unaleta ujinga na upusi kujitafutia hongo hapa hupati ng'oo.
@zahaljamal45204 жыл бұрын
Kaka ndacha usimuovope huyo serikali yesu. Ndio mdosi asikubabaishe eti amekuja na kifua mpotezee yesu ndio nimdosi
@shishshikoh49794 жыл бұрын
Waislam tumewangoja mtuletee kitabu Cha torati,zaburi na injili ,mkaleta polisi..😂😂...Sasa ishaeleweka kuwa kitabu Cha torati ya waisalm ni polisi..😂..aibu Sana waislam...kujeni kwa Yesu bado anawaita
@1bosscow2
4 жыл бұрын
Hahaha.
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Yesu (rehma za mwenyezi mungu ziwe juu yake) ni Nabii wa mwenyezi mungu, Mana Yesu ni muislam na sio mungu na hana chembe ya kuitwa mungu bali mwenyezi mungu alimpatia maneno yenye hekima yaani injili
@shishshikoh4979
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 ni wapi Yesu alisema yeye ni muislam???acha usanii Nani...😂😂😂...mtu wa kwanza kusilimu alikuwa Mohamed alafu akasilimisha Bibi yake khadijah alafu akasilimisha majini na shetani...Apo Yesu ako wapi...???acha zako wewe
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Asante, bwana Wanjiku Amani ya muumba iwe nawe. Hapo tayari umeshaweka mada mbili mezani Je Yesu ni muislam? na Je Muhammad ni wa kwanza kusilimu ama sio? Pia Ni jambo la kheri tunapoongea tukapeana maandiko ili tufahamiane kwa hekima kwanini kwa hekima Timotheo 1 4:12 - 13 na ndio utaratibu katika uislam MADA YA KWANZA JE YESU NI MUISLAM? Mathayo 11:29 Halafu nitakujibu kama Muhammad alikuwa wa kwanza kusilimu ama sio ili tusichanganye mada Naanza katika kitabu unachoamini ili ukitaka aya ndani ya quran tutafahamishana. Naomba usome halafu unitumie maneno ya Aya hiyo. Tafadhali naomba tuongee kwa hekima na busara na kutengeneza urafiki baina yangu na yako. Asante
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Khaaaaaaaaa waislam mmeniacha hoi 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀sio kwa police awa daaah aibu sana
@t7zkc5tpxgim284 жыл бұрын
Hiyo ni aibu sana walimu badala ya kwenda kwa mkutano mwaendea serikali? kwani Mungu wenu alikufa mkamsahau?
@emmanuelcantozy71563 жыл бұрын
GOD bless u plaster
@t7zkc5tpxgim284 жыл бұрын
AMEN, Mungu awabariki sana watumishi
@izoomwenyewe15472 жыл бұрын
Every ear will hear the word of God and no one will say they didn't know or hear the word of God in the judgement day. Neno la mungu litasimama milele. May the grace of God be with this team of this great people working for the glory of God.
@zahaljamal45204 жыл бұрын
Kizazi cha asikari kilicho msulubisha yesu hawataki injili isonge mbele hawataki kukiri kuwa yesu ndiye mwana wa mungu mushindwe kwa nguvu za mwana wa mungu aliye hai atakuja kwa mawingu na kila jicho litamuona hata wale waliomsulubisha na watu wote waseme Amina
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Mbinguni hakuna dini,hizo dini zimeazishwa hapa tu duniani,, Lkn dini ya ukweli Ni UPENDO kwa watu wote...
@BIBLIANURUYADUNIA
4 жыл бұрын
Adiko
@chenzhenlee76334 жыл бұрын
Jamani inauma lakini haya yanayo mkuta Mwalimu na team yake yalitokea kwa wale ambao walimtangaza Yesu Kristo waliuwawa Mungu yuko pamoja nae hata kuwa kitu na kama inafika basi ni kwa mapenzi ya Mungu Mwalimu Ndacha usikate tamaa na usihofu simama kwa ujasiri na Yesu hayuko mbali na wewe atakupigania
@judithmoturi34022 жыл бұрын
So sad for sure wapinga kristo bado wako hai may God guard you 🙏
@victorymedia-cw8tz3 жыл бұрын
mungu wao aliogopa sana juu yeye Lucifa hasiye kuwa na uwezo
@dennisonderinyantika92354 жыл бұрын
To God be the glory . Yesu ainnuliwe kwa yote. mtumishi endeleza ujumbe kwa lugha na mataifa yoooooote . hata iwe ushuuda kwa wanaoikataa sasa. #iwachomeiwaokoe
@knowledgekamanga10114 жыл бұрын
Pastor Ndacha ,, endeleya kuyinuwa bendera ya YESU
@saitotisapiyo71674 жыл бұрын
Ati asante bwana kwakwa wewe ni mwema hahaha.
@GilesKhamis Жыл бұрын
Wewe polisi acha kuchezea wahubir wa neno la Mungu,unataka kufanana na makaisali , pole sana !!!!.... lakini jua unachezea upanga ukatao kuwili !!!.....utaondoka mapemaaaa
@Quilant7494 жыл бұрын
Abduools polisi wa nini kwani allah ameenda wapi
@threebrothers..
3 жыл бұрын
Umenichekesha swali lako😅😅
@user-od2vu2hs3h8 ай бұрын
Very good ndacha am happy.
@sammymasinde3732 жыл бұрын
Kazi nzuri
@johniemarsha2813 жыл бұрын
The government amekula hongo sana hio tumbo sio ya kawaida.hata sisi ni sirikali.
@latenightforextrader3494 жыл бұрын
something more 1:timothy:2:8 Basi nataka wanaume wasalishe kila mahali,huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira Wala majadiliano
@bujiiclassic19643 жыл бұрын
Mungu ni mwema kwa kila Jambo Na azid kukuinua Mr ndacha
@rashidkalimbo24513 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Anasema, IKIWA MNASEMA KWELI BASI YATAMANINI MAUTI. Subirini KIFO kiwapate hali ya kuwa hamjamjua Mungu ni nani.... SubhanaAllah.
@sophiaamimo77303 жыл бұрын
Am so proud of u pastor u are GOD send
@kelvinmichae7284 жыл бұрын
Mungu akubariki ndacha
@joseamariech48034 жыл бұрын
Ndacha naomba pia ukuje west pokot pia mungu akubariki
@caleboloo4894 жыл бұрын
Hii kazi wakati mwingine huwa mgumu sana. Lakini Mungu aliyewatuma atawapigania katika hali zote
@statius3194 жыл бұрын
Keep the light going,God is soon coming brother,God be with you all the time,all the days till eternity and beyond eternity
@simonbenson13912 жыл бұрын
Thanks man of YAHSHUA for this wisdom,listening to these people,although they did not approach this meeting of the Yahweh with respect You understand why Prophet Eliyah called fire upon the soldiers of King Ahab,
@josephkiswili19554 жыл бұрын
Haya Yana fanyika hapa Kenya au .Mimi sielewii?.. Hawa wanao pinga injili ni ma urgent washetani washidwe kwa jina YESU . .
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
Amen amen
@lulanjamd38864 жыл бұрын
Yesu Kristo ni Yeye yule Jana Leo na hata milele.Amani ya kweli iko kwa Yesu Kristo enyi Ndugu zangu waislamu na wote msiomkiri Kristo tafadhali mkilini yeye ili awape uweza wa kuwa wana wa Mungu baba aliye hai Amen.
@donaldmwahalende48414 жыл бұрын
Kazi hii itahubiriwa kwa machoz inatakiwa watu wasiogopa vipgo na kwa ajili ya kristo
@nicodemusaboki47894 жыл бұрын
Jesus christ will wait as long as is necessary till all muslims receive the good news of gospel. To accept or to reject it is not in question
@kevinowino47643 жыл бұрын
Ndacha unaonekana mwenye anajuwa Mambo ya mungu. Unasema huyu yesu ni mungu na huyu yesu alikufa wakati yesu alikufa na yesu ndiye mungu nani Ali control dunia wakati mungu akafa ebu saidia
@olumjoseph57344 жыл бұрын
polisi alikuja kusimamisha mada badala ya waislamu. hii ni kali, yaani mashehe wakwama msikitini wanatuma polisi ambaye hana hoja msingi, hahahha
@hirammbugua75933 жыл бұрын
hata ukimwangalia hakai soldier,ni matapeli tu.
@wanjerijoseph62234 жыл бұрын
mujungaji hubili njili ya yesu mungu akupe ujasili
@davismwamachi11453 жыл бұрын
2timoty 2:9…. usihofu Yesu huwa kazini siku zote .Amina.
@arestidesshematheodore57164 жыл бұрын
Uyo ndio ndacha mtamtaka tu!
@evangelistbena37744 жыл бұрын
Kweli watu hawapendi ukwelii.....!!!!!!!
@maxwellolenyo67334 жыл бұрын
Kenya ni ya yesu Kristo hatuta abudu majini wala miungu!!!!
@johniemarsha2813 жыл бұрын
Wanataka tumwabudu Muhammad,sisi twamjua yesu....
@suleimanali83174 жыл бұрын
wezenu wa Sunday America ya kusini wameruhusu padri kua na mke kitabu kimoja ila madui,kweli shetani kiti chake cha enzi kipo kanisani
@patricklukas8758
4 жыл бұрын
Swala la kuoa au kuto kuoa ni maamuzi ya mtu na ile waliiweka ni sheria ya kanisa si yamungu kwahiyo wakiivunja wanatengua maamuzi ya ya wanadamutu
@davisrotich1164 жыл бұрын
mwalimu twanga injili maana neno lake litadumu milele kisha huyo tumbo tumbo mwambie atosheke namshahara wake kama vile maandiko yanavyo sema amenona hongo tu bure kabisa yeye
@bettykerushi11624 жыл бұрын
Enda mbele na injili ndugu yangu ingawa mashambulizi ni mengi,taji utapata
@shomariamurihassani16702 жыл бұрын
Kwani huyu mwenye kofia na tumbo kubwa kama mwanamke mwenye mimba shida yake ni nini?
@susansenga7544 жыл бұрын
Jina la yesu ni fire then linachoma kama shindano nani kama yesu ????
@mosesoduor2213 жыл бұрын
SHAME ON THEM
@enocklukas81114 жыл бұрын
Hayo maamuzi mliyoyafanya waislamu yakuleta police yanasababisha kazi ifanyike kwa nguvu zote maana hamjamkomesha ndacha Bali mmemtibua mungu yesu kristo
@kelvinmichae7284 жыл бұрын
hii mihadhara waislam ndo walianza wakaanza kuzunguka maeneo mengi wakiwadanganya wakristo at Yesu si Mungu Walfanikiwa kusilimisha wakristo wengi ambao walkua legelege ktk iman Ndipo wakristo walpo amua kuisoma kuruan na kuwafundisha wakristo. Waislam wenyewe ndo waltuchokoza Leo imewafika wameenda polsi
@simonbenson13912 жыл бұрын
Be encouraged servant of Yahweh and of YAHSHUA MESSIAH
@emmanuelcantozy71563 жыл бұрын
Pole i mean pastor
@shadrack14123 жыл бұрын
Watu wa pilato.😃 wasiomuamini Yesu hao.wametumwa
@leadyl57572 жыл бұрын
Amen ndacha
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Waislam 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣police wa nn sasa kweli shetani yupo kazini mwacheni ndasha akomboe ulimwengu mbishane kwa hoja na sio police aibu yenu iyoo tunasema kila siku waislam ni mapepo mmemlipa uyo mzee apo ili aje kualibu mkutano 😂😂😂😂😂😂😂😂aibuuuuuuuuu mnakimbiaaa
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Hapana, Utakuwa unakosea kusema waislam ni mapepo, je waweza nipa ushahidi ili nami niwe nanyi malaika niondokane na mapepo?
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 ushahidi gan tena ikiwa mnaswali na majini viumbe vilivyo laaniwa majina yao ndo majina yenu vitabu vyao ndo vitabu vyenu waganga wao ndo wenu nn tena apo?muislam gan apandishi?kila muislam mapepo wamejaa kichwani ww embu nipishe mimi waganga wotee ni waislam majini wotee ni waislam
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 Asante Dada Janet Mimi Na wewe tunafundishana na hatuzozani maana nataka nijue ni imani ya kweli sasa unaposema bila kutoa maandiko unakuwa haupo sahihi kwasababu utaniaminisha Mimi vipi katika imani ya kweli maana mtu atakaposoma ulichosema naye atakiweka kichwani. La kwanza Umesema juu ya majini huswali na waislam Hakuna muislam mwenye kuabudu majini, mizimu, mapango chochote isipokuwa mwenyezi mungu mmoja aliyeumba kila kitu. Na muislam mwenye tatizo la majini basi husomewa quran maana ni tiba iliyokamili, Kwasababu haya nimeyafanya sana kwa watu wenye kusumbuliwa na majini na wanapona maradhi hayo. Dada Janet unaposema kuhusu waganga usizungumzie waislam Maana wapo waganga wenye imani ya uislamu na imani ya ukristo sasa haimaanishi uislam ama ukristo unafundisha ushirikina, naomba tutumie akili katika kusema jambo. Ama uniambie Kuwa hakuna waganga wenye imani ya kikristo yaani ni sawa nimkute mtu anazini halafu niseme haya ndio mambo wanayofanya wakristo hapana itakuwa unakosea ama umkute muislam Mambo yaliyomabaya yamekatazwa ila sisi binadamu inabidi tukumbushane juu ya maovu duniani na hii ilikuwa ni desturi ya manabii Kwasababu umesoma quran nipe aya juu ya waislam wanaabudu majini? Na hili si wewe wa kwanza kusema dada Janet Tafadhali naomba tuelimishane kwa njia ya WhatsApp kama inawezekana
@jacksonmusyoka8837
4 жыл бұрын
Rashidi ni jina ya jini
@evelynlundberg1981
4 жыл бұрын
.
@munuoisaack4184 жыл бұрын
Kwani police wa Kenya VP hawajielewi??
@kingp75944 жыл бұрын
Truth can walk naked but lies can't
@saitotisapiyo71674 жыл бұрын
Ukweli lazima ipinguwe ila tutashinda katika jina la yesu. Hapa ndo nimeamini wasilamu uwa waongo na waoga.
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Amani ya mungu iwe pamoja nawe, Sidhani kama upo sahihi ndugu katika Adam Je unafahamu Kuwa yesu ni muislam ili tutoe uwoga?
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 msxuuuuuuu toa haya ya yesu muislam kama kuingia kwenye sinagogi ata hekaluni aliingia na sinagogi la kiyahudi sio la kiislam ata saiz apa amna muislam anae weza ingia ktk sinagogi la kiyahudi ambalo Yesu kaingia yy aliingia akasimama na kutangaza injili waislam amsimami kutangaza injili kwanza amjui maana ya injili....ikiwa mama na baba wa Mohammad mpaka wamekufa awajui neno uislam VP kuusu Yesu ?tena we nyamaza kbs na ujinga wko amna nabii anae jua uislam ata mmoja toa haya kwenye vitabu vya kale tuone nani alikua muislam uyo Yesu alisema wapi kama yy ni muislam?toa ushahidi....ivi uoni aibu ata kukoment ikiwa waislam wamewazalilisha kuleta police apo inaonesha jins gan nyinyi ni mapepo na waongo
@saitotisapiyo7167
4 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 hahaha ebu mwambie lakini usi mulaumu kusoma ndo shida.
@robertmajinge Жыл бұрын
Hakika MUNGU yupo upande wenu pastor Ndacha, usikate tamaa hata mitume walikutana na vikwazo Kama hivi.
@linosjohn90204 жыл бұрын
waislam wanamjua ndacha hawawezi kuja maana tawashika penye panaumaa
Пікірлер: 769
General Ndacha chapa kazi ya Mungu Unanibariki sana kaka
Good morning y'all Bro dacha, you are the Christian prince of Kenya 🇰🇪 keep up n God bless.
@susansenga754
4 жыл бұрын
Ksbisaaaaa ndasha ni Christian prince and daved wood kkkkkkkk moto buuuuu jina hilo lina choma saaaaana jina la yesu
@Quilant749
4 жыл бұрын
Yesssssss Christian peace ni more fire
@fatmafa1896
4 жыл бұрын
Amen be blessed in Jesus mighty name amen
@evelynlundberg1981
4 жыл бұрын
J
Mungu akubariki sana pastor Ndacha , endelea kumwinua YESU wetu
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Hakuna hajaa yakumwinua Yesuu, ww si muisraelii na kamaa wabishaa letee hojaa
Imeandikwa Kila ulimi utakiri kwamba Kristo ni Bwana na Kila goti litapigwa mbele za Bwana(MUNGU). Walimuua Yesu Kristo wakadhani wameshinda kumbe injili inaendelea.🇰🇪💪💪💪 Mungu wa Eliyah
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Sasa Washangilia kifoo cha Mungu wakoo ambaye ukisoma katika Matendo 13:6,alikuwa mrongo tenaa mchawi
@zedianagasper9475
3 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 hujaelewa somo kasome tena
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
@@zedianagasper9475 mm naelewa Bible kuliko ww, niambie mahalii ganii sijaelewa maana bibilia yotee naitambua
Ndacha umepewa elimu kutoka mbinguni...Mungu aendelee kukutumia ndio walio gizani wamjue Yesu ...
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Yes we know Jesus is the messenger of only one God
@danndinguri9284
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 Jesus came to save the world from sin that we may not perish bt have eternal life he came to bring the kingdom of God Jesus preached the gospel and it must be preached for people to know the truth which will set them free,.. Jesus is Lord
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Hata huoniii hayaa kumwambia Mwenzako hivyoo, kweliii wewe una akilii shish Shikoh, kuna mtuu aliyekosa Akili dunianiii kweliii, hata wendazimu wako na akilii kama bibilia inavyosema
NDASHA songa mbele usikate tamaa, hata mitume na manabii walikutana na changamoto mbalimbali kutoka kwa hao wana wa shetani, lakini NENO lilisimama hata leo, GOD BLESS you Ndasha. From Tanzania
@susansenga754
4 жыл бұрын
Twakuombea kila kwa yesu wetu ndacha .akuepushie kila jambo mbaya ..damu ya yesu ikugunike kila kona ufanyapo mkutano ... na mungu azidi kukutia nguvu kila siku
@abubakarzamir6276
4 жыл бұрын
Moto unakuwakia ikiwa kama hautatubia ukarudi kwa ALLAH muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
YESU Nabii wa Allah
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
@@susansenga754 Amen
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 tangu lini
Barikiwa sana usihofu bwana yu nawe,kuna taji ya uzima wa milele mbele yako,nilikua muisilamu na nikampokea yesu,mambo yangu yote yako sawa,namuinua huyu Yesu kwa uku wake na Ni nasema bila hofu wala haya yakwamba YESU NDIYE NJIA na hakuna mwengine.AMEEN.zidi kumuinua huyu yesu.
@DavisWangodi
4 жыл бұрын
amen
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
Basi ww murtad si uliondoe hilo jina la wastaarabu la kiislamu uitwe majina zenu za ukafiri?! Wadhani ni sifa kujitangaza eti uliritadi? Hata hukufaa kuwa mwislamu,inna lillahi wa inna illaihi rajiun
@harunyusuf4229
4 жыл бұрын
@@nooordubem2802 JESUS IS LORD AND SAVIOUR OF MY SOUL name means nothing to me,so UKAFIRI doesn't exist in my heavenly dictionary I forgive you.
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
@@harunyusuf4229 forgive yourself for getting lost because of lack of knowledge. God is the saviour of every soul of every living creature in this world,can't you just use your small brain that God gave you? Jesus also depended on God to save him that day the jewish wanted to kill him,who is he to save your soul yet he also prays freedom from God?...kafiri hana akili bora waimbe kama wazimu kanisani
@positivevibez1553
4 жыл бұрын
He was set free from Muhammad a mare womaniser who married a six year old Aisha, a sexual addict who has no morals
Ndacha don't fear be strong and courageous for God is with you wherever you go
@dorothdorothwanjala8222
4 жыл бұрын
Wapakwa mafuta wa Mungu hupiganiwa na Baba hakuna siku wamewahi kushindwa. Maana Yesu Kristo mwenyewe alishinda . Sema ukweli uwaume na uwaweke huru
@shishshikoh4979
4 жыл бұрын
Amen
@kibojewee2710
4 жыл бұрын
@@dorothdorothwanjala8222 : hana lolote huyo
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
Ukweli unauma sana
Fanyeni Kazi watu wa Mungu nipo Tanzania nawaombea wotee Ndacha,Kasinah na timu yoote
watching from Tanzania. Huwa nampenda sana huyu mchungaji, anawashika pabaya hao jamaa.
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
chacha wambura anawashika hatar kumbe Quran yenyewe inawakataa duuu
May God give Ndasha and his team more grace to overcome the forces of wickedness to be able to preach the good news which destroys the works of Satan.They shall know the truth and the truth shall sent them free!
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Which truth shall they know, do you have any evidence to prove your innocence
Mungu akubariki sana mwalimu Ndacha...
Jamani wote wanaofuatilia mjadala huu, niwaombe Kila mmoja kwa wakati wake....pata muda, piga goti, waombee Hawa watu: Ndacha, Kasina, na wanatimu wote, kwa sababu wanafanya kazi kubwa na shetani hapendi kuwaona kabisa!...wana Vita kubwa sana sana! Mungu awasaidie sana
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
Amen amen very true 💯😍😍
Shule ya Mungu kweli ni haki mungu akubariki mwalimu ndacha 🙏🙏
Great work brother Ndacha, God is on our side.....don't fear those who ONLY destroy the flesh ...
Anza na herufi kubwa unapoandika jina la Yesu au Mungu... tafadhali sana!
Dasha you are doing a good job Mungu akubariki ulifanya mimi nkabatizwa
KENYA FOR JESUS CHRIST, AMEN!!!👍👍👍
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
Amen amen very true glory to God
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
Kenya n Africa in general is for Muhammad s.a.w...and Jesus Christ is for Israel,Note that n mark it n put it in your evil skull
@mwleliakimnyama6846
4 жыл бұрын
Yeees christ
@maxwellolenyo6733
4 жыл бұрын
@@nooordubem2802 Mohammed is dead and waiting to be judged by Jesus!
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
@@maxwellolenyo6733 Ww na Jesus nanii mchawaii soma matendo 13:6Walipokwisha kupita katikati ya kisiwa chote mpaka Pafo, wakaona mtu mmoja, mchawi, nabii wa uongo, Myahudi jina lake Bar-Yesu;
Wewe serikali wacha kukandamiza wanzako wanahubiri ukweli yesu ndio mdosi
1 Peter 3:15 mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu;lakini kwa upole na kwa hofu
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Rafikii wajua nimewachunguza sanaa nyinyi wakristo, yaani bibilia ni lenuu lakiniii hamulifuatiii, mukitolewa Aya ndaniii ya bibilia munaleta ubishii na kutafutaa ayaa zengine ambazo zinawalengaa, jee, hzi ayaa zengine mwataka kinaa nanii wazifuatee? Kama mathayo 26:39,Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. Jee,Mungu hakujibuu dua ya Yesuu?
Kila goti litapiga na kila ulimi utakili Yesu mfalme wa wafalme.
Kwaiyo waislam mmekimbia mkaamua kuleta police 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👌👌👌👌Yesu oyeeeeeeeeeeeeè
@user-rf5tz5ft2y
4 жыл бұрын
This islam is stress oh they don't want people to know the true
@johniemarsha281
3 жыл бұрын
Wao utaka washinde hatuwezi abudu Muhammad sisi...
Amen mwalimu Ndacha ubarikiwe sna n mungu awaongoze n roho wke kwa kueneza injili y mwenyezi mùngu
Injili ooo Iende Mbele Iende Mbele Injili ya Yesu Iende Mbelee Ndio Mana Ndio Mana Tuna Sema Iende Mbelee 🎶💪🏾✝️ 🙇🏻♀️ 🙌🏾 🙏🏼 😇
Ata paulo mtume wa MUNGU alipitia hayo ,usikue na shaka MUNGU ambaye unahubili ndiye aliye uba kila kitu na YESU ndiye mwokozi wetu wa dunia yote .Mwalimu ndasha endelea kuchambua vitambu na kuhubili habai njema naye MUNGU hakuna siku atakuacha. mimi niko sehemu ya weiteithie THIKA watu wamekataa mafundisho ..... Niombi langu MUNGU akujalie siku moja ikiwezekana ukuje ili kuwafundisha watu habali njema.
@zuwenahamoud7792
4 жыл бұрын
Diamod george
@godisgreat1845
4 жыл бұрын
Paulo mtume wa mungu gani unajua kuwa paulo ni mnadhrayo kabila la wapagani wa antokia na ndie muanzilishi wa ukristo mwache atoe andiko yesu anasema yeye ni mkristo mnamsingizia tu kwa vile nyie kondoo hamuwezi kutafakari loloye
Ndacha wewe endelea kuchapa kazi ya Mungu amekusimamia Ubarikiwe sana .kutoka Tanzania
@mwalimupatrick4323
4 жыл бұрын
Achana wane washike vitabu zao
Police wapewa hongo hili wakatize mkutano na waisila JESUS CHRIST IS THE KING OF KINGS
@kibojewee2710
4 жыл бұрын
Nani kakwambia?
God be on our side mchungaji. You can see wapinga KRISTO niwe wengi lakini MUNGU yupo
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
Ndiposha John the Baptist rebuked them calling them children of vimpre
hakika ukweli unauma waislamu wameamua kwenda polisi kwa sababu ya ukweli ndacha usiogope kwa maana mtetezi wetu yuhai simama imara na yesu ataketetea
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
Amen YESU ampiganie
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Ni ukweliii ganii ndacha amesema, kama si urongoo ni ninii huo, Yesu hajawahi kuongea kiswahiliii wala kizungu, na Yesuu hawajui musijisumbue buree
@mwanaishamlima2047
3 жыл бұрын
Ndachandio kawaleta police baada ya kuishindwa kwa hoja
@mohamdmohamd4842
Жыл бұрын
Marcy Murangga ..Andiko kwa Bibilia..kwa Upumbavu wenu ndio mimi Najisifu (Hayo ni Maandiko) na huyo alikuwa Paulo kuwaita Wakristo Wajinga..Sio Mimi. Sikiliza Vizuri inasemekana kuwa Permit Ime WithDraw.. Sio Waislamu. Ndio maana nikatumia hayo Maandiko kwa Bibilia.. kwa jinsi ya Akili yako.
Police akijua ukweli anamtumikia Yesu bila shaka.ndacha bwana yesu atazidi kuwatia nguvu na team.
Ndacha usikate tamaa Mungu atakupiganiy usishituke na hao apo ni shetani tu ameikaa ndani yabo ili injili ya Mungu isiendeley alakini shetani hana mamulaka ju ya watu wa Mungu alie hai Yesu yupo alikuwepo na atakuwepo milele na milele na kila goti litapigwa mbelezak na kila ulimi utakiri kuwa yeye ni mufamle wa wafalme kwa iyo jivuniy kuwa uko combo cake hakika utavikwa taji la uzima tumeaidiw uzima wa milele so usikate tama mwalimu nakufatiliy vizur nikiwa Saudia Arabia. hawa waislam si watu wazur hata kidogo sisi tunaish nao macheh wakubwa sisi njo tunajuw vingi zaidi na uhakik kabisa kuwa aha viumbe ni shetani tu iko ndanimwao nanj anawatumiy kama gisi anavyotak.
Ndasha endelea kuchapa injili mpaka wakae sawa ata ukiuwawa usijali duniani apa sio petu tunapitaaa ata kina yohan waliyapitia aya lkn wameandaliwa makao ya milele so usijali tangaza jina lake tutashinda tuuu maana yy ndo mfalme Yesu awapiganie sana mna malipo makubwaaa mmeandaliwa mbinguni kwa baba
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Hhhhhhhhh, kati ya mkristo na muislamu nanii shujaa, tusidanganyanee bureee, waislamu ndio wataingia peponi na wala hawaogopi kufaa
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
@@deusmichael5455 Hhhhh, mwenzangu acha nikwambie ni vipii Munguu awe na dhambiii, amaa nishakuelewa Mungu wenu ni Yesuu kwetuu sisi waislamu Munguu wetuu yy ndie ametuumba kwahvyo dhambi ni kwa viumbe vake ambao watendao maovu, Sasa kama ww wataenda mema ni vipii utahesabiwa umefanyaa ovuu, halafuuu kituu kinginee ni lazima utambue hataa ww ukifanyaa kazii vizuriii na kwa bidiii na masaa ya ziadaa utatarajia mshahara sawa na wale ambao hawakufanya masaa ya ziada, halafuuu kituu kinginee Michael lazimaa utambue, unaa akilii ww, na Mungu hakukupa akilii buree ilaa Kuna wengine watumia akilii zao vizuriii wengine wanapelekwa na wenzako bilaa kufikiria, leo wataka kwendaa nchii yoyote bila kukuweko na njia utawezaa kwendaa, jawabu ni laa, Sasa turudii kwa Hilo swaliii lakoo ww wataka kwendaa kwa Munguu utaendaje, lazima kukuweko na njia ya kukupeleka hukoo, ndio maana Munguu akasema ndani ya Quran 3:19,Bila shaka dini ya kweliii na uzima kwa Mungu ni uislamu, hakunaa dinii yeyote nyengine ambayo iko na uwaziii kama uislamu na ndio maana Kwa yule afanyaye mema hatalipwa Sawa ilaa kwa kile alichokitenda na vile vile afanyaye baya hatolipwa ilaa Sawa Sawa kwa ule ubaya aloutendaa, wakaribishwa Rafiki katika uislamu, dini ya upendooo na amanii, ndio maana yesu mwenyewee akasema katika Mathayo, mwabudinii Mungu wangu ambaye ni Munguu wenuu, Yesuu pia Mungu wake ni huyo huyo Mungu wakoo acheni itikadi za kipaganii. Wakaribishwa
Hawa Askali wanafaa wafutwe kazi malamoja.... it's our light kuubili injili Anywhere.... Everywhere...why this??. wakenya wapeda amani na wapeda kristo Amkeni.... Royal midia mko wapi??.Ata selekali ikisidwa maombi itatosha kufunga One week Hawa wote wakufe.
@saloomesoso9263
4 жыл бұрын
Wakufe ama waokoke😂😁
@mfungahothman4519
4 жыл бұрын
Shadrack Mbogo á
@evelynlundberg1981
4 жыл бұрын
J
Pastor NdachaF, i admire ua fast knowledge by ta grace,,,pepelusha vitu,,,,bblessed
polisi wanini nahali maandiko ndiyo yanayosomwa?mkiambiwa waislamu mnakimbia mnasemaeti labda mimi ndion nilikimbia mbona hapo walimu wanakojewa mkutano uanze mnaleta polisi ili kuusimamishs mkutano makafiri nyie wafuga majini hmtaki injili ya kweli hata mfanye nini bado NENO la MUNGU litaendea kusambazwa kote ulimwenguni
usiogope mwalimu Ndacha,songa mbele na ukweli wa Yesu. only truth shall set them free.
Legendary Greetings darling Agape love Brethrens keep telling them the truth painful gospel of Jesus Christ
Ata mkutano ufungwe ,neno litaenea ,Jina LA yesu litahamakai milele
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Kati ya Yesu na Munguu nanii afaa atukuzwe? Shetaniii asikudanganyeni bureee, sifa zote zamstahilii Munguu pekee
Hapo ndio shetani ameonekana live.....hao ndio wale polisi walilipwa wakasema kuwa yesu allibwa na wanafunzi wake wakiwa wamelala..
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jonahmburu9738
4 жыл бұрын
Ambloz bin Richards kabisa
@hirammbugua7593
3 жыл бұрын
trueee
Wapinga kristo ole wenu....kazi yeni Ni kuusa bangi corruption Ni yenu,kuvuja ma benki setu Ni nyinnyi,wezi wakubwa Ni nyinnyi...mumelaaniwa pomoja na ukoo wenu.wee mzee mnzima badala ya kisimama na kazi ya mungu unaleta ujinga na upusi kujitafutia hongo hapa hupati ng'oo.
Kaka ndacha usimuovope huyo serikali yesu. Ndio mdosi asikubabaishe eti amekuja na kifua mpotezee yesu ndio nimdosi
Waislam tumewangoja mtuletee kitabu Cha torati,zaburi na injili ,mkaleta polisi..😂😂...Sasa ishaeleweka kuwa kitabu Cha torati ya waisalm ni polisi..😂..aibu Sana waislam...kujeni kwa Yesu bado anawaita
@1bosscow2
4 жыл бұрын
Hahaha.
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Yesu (rehma za mwenyezi mungu ziwe juu yake) ni Nabii wa mwenyezi mungu, Mana Yesu ni muislam na sio mungu na hana chembe ya kuitwa mungu bali mwenyezi mungu alimpatia maneno yenye hekima yaani injili
@shishshikoh4979
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 ni wapi Yesu alisema yeye ni muislam???acha usanii Nani...😂😂😂...mtu wa kwanza kusilimu alikuwa Mohamed alafu akasilimisha Bibi yake khadijah alafu akasilimisha majini na shetani...Apo Yesu ako wapi...???acha zako wewe
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Asante, bwana Wanjiku Amani ya muumba iwe nawe. Hapo tayari umeshaweka mada mbili mezani Je Yesu ni muislam? na Je Muhammad ni wa kwanza kusilimu ama sio? Pia Ni jambo la kheri tunapoongea tukapeana maandiko ili tufahamiane kwa hekima kwanini kwa hekima Timotheo 1 4:12 - 13 na ndio utaratibu katika uislam MADA YA KWANZA JE YESU NI MUISLAM? Mathayo 11:29 Halafu nitakujibu kama Muhammad alikuwa wa kwanza kusilimu ama sio ili tusichanganye mada Naanza katika kitabu unachoamini ili ukitaka aya ndani ya quran tutafahamishana. Naomba usome halafu unitumie maneno ya Aya hiyo. Tafadhali naomba tuongee kwa hekima na busara na kutengeneza urafiki baina yangu na yako. Asante
Khaaaaaaaaa waislam mmeniacha hoi 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀sio kwa police awa daaah aibu sana
Hiyo ni aibu sana walimu badala ya kwenda kwa mkutano mwaendea serikali? kwani Mungu wenu alikufa mkamsahau?
GOD bless u plaster
AMEN, Mungu awabariki sana watumishi
Every ear will hear the word of God and no one will say they didn't know or hear the word of God in the judgement day. Neno la mungu litasimama milele. May the grace of God be with this team of this great people working for the glory of God.
Kizazi cha asikari kilicho msulubisha yesu hawataki injili isonge mbele hawataki kukiri kuwa yesu ndiye mwana wa mungu mushindwe kwa nguvu za mwana wa mungu aliye hai atakuja kwa mawingu na kila jicho litamuona hata wale waliomsulubisha na watu wote waseme Amina
Mbinguni hakuna dini,hizo dini zimeazishwa hapa tu duniani,, Lkn dini ya ukweli Ni UPENDO kwa watu wote...
@BIBLIANURUYADUNIA
4 жыл бұрын
Adiko
Jamani inauma lakini haya yanayo mkuta Mwalimu na team yake yalitokea kwa wale ambao walimtangaza Yesu Kristo waliuwawa Mungu yuko pamoja nae hata kuwa kitu na kama inafika basi ni kwa mapenzi ya Mungu Mwalimu Ndacha usikate tamaa na usihofu simama kwa ujasiri na Yesu hayuko mbali na wewe atakupigania
So sad for sure wapinga kristo bado wako hai may God guard you 🙏
mungu wao aliogopa sana juu yeye Lucifa hasiye kuwa na uwezo
To God be the glory . Yesu ainnuliwe kwa yote. mtumishi endeleza ujumbe kwa lugha na mataifa yoooooote . hata iwe ushuuda kwa wanaoikataa sasa. #iwachomeiwaokoe
Pastor Ndacha ,, endeleya kuyinuwa bendera ya YESU
Ati asante bwana kwakwa wewe ni mwema hahaha.
Wewe polisi acha kuchezea wahubir wa neno la Mungu,unataka kufanana na makaisali , pole sana !!!!.... lakini jua unachezea upanga ukatao kuwili !!!.....utaondoka mapemaaaa
Abduools polisi wa nini kwani allah ameenda wapi
@threebrothers..
3 жыл бұрын
Umenichekesha swali lako😅😅
Very good ndacha am happy.
Kazi nzuri
The government amekula hongo sana hio tumbo sio ya kawaida.hata sisi ni sirikali.
something more 1:timothy:2:8 Basi nataka wanaume wasalishe kila mahali,huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira Wala majadiliano
Mungu ni mwema kwa kila Jambo Na azid kukuinua Mr ndacha
Mwenyezi Mungu Anasema, IKIWA MNASEMA KWELI BASI YATAMANINI MAUTI. Subirini KIFO kiwapate hali ya kuwa hamjamjua Mungu ni nani.... SubhanaAllah.
Am so proud of u pastor u are GOD send
Mungu akubariki ndacha
Ndacha naomba pia ukuje west pokot pia mungu akubariki
Hii kazi wakati mwingine huwa mgumu sana. Lakini Mungu aliyewatuma atawapigania katika hali zote
Keep the light going,God is soon coming brother,God be with you all the time,all the days till eternity and beyond eternity
Thanks man of YAHSHUA for this wisdom,listening to these people,although they did not approach this meeting of the Yahweh with respect You understand why Prophet Eliyah called fire upon the soldiers of King Ahab,
Haya Yana fanyika hapa Kenya au .Mimi sielewii?.. Hawa wanao pinga injili ni ma urgent washetani washidwe kwa jina YESU . .
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
Amen amen
Yesu Kristo ni Yeye yule Jana Leo na hata milele.Amani ya kweli iko kwa Yesu Kristo enyi Ndugu zangu waislamu na wote msiomkiri Kristo tafadhali mkilini yeye ili awape uweza wa kuwa wana wa Mungu baba aliye hai Amen.
Kazi hii itahubiriwa kwa machoz inatakiwa watu wasiogopa vipgo na kwa ajili ya kristo
Jesus christ will wait as long as is necessary till all muslims receive the good news of gospel. To accept or to reject it is not in question
Ndacha unaonekana mwenye anajuwa Mambo ya mungu. Unasema huyu yesu ni mungu na huyu yesu alikufa wakati yesu alikufa na yesu ndiye mungu nani Ali control dunia wakati mungu akafa ebu saidia
polisi alikuja kusimamisha mada badala ya waislamu. hii ni kali, yaani mashehe wakwama msikitini wanatuma polisi ambaye hana hoja msingi, hahahha
hata ukimwangalia hakai soldier,ni matapeli tu.
mujungaji hubili njili ya yesu mungu akupe ujasili
2timoty 2:9…. usihofu Yesu huwa kazini siku zote .Amina.
Uyo ndio ndacha mtamtaka tu!
Kweli watu hawapendi ukwelii.....!!!!!!!
Kenya ni ya yesu Kristo hatuta abudu majini wala miungu!!!!
Wanataka tumwabudu Muhammad,sisi twamjua yesu....
wezenu wa Sunday America ya kusini wameruhusu padri kua na mke kitabu kimoja ila madui,kweli shetani kiti chake cha enzi kipo kanisani
@patricklukas8758
4 жыл бұрын
Swala la kuoa au kuto kuoa ni maamuzi ya mtu na ile waliiweka ni sheria ya kanisa si yamungu kwahiyo wakiivunja wanatengua maamuzi ya ya wanadamutu
mwalimu twanga injili maana neno lake litadumu milele kisha huyo tumbo tumbo mwambie atosheke namshahara wake kama vile maandiko yanavyo sema amenona hongo tu bure kabisa yeye
Enda mbele na injili ndugu yangu ingawa mashambulizi ni mengi,taji utapata
Kwani huyu mwenye kofia na tumbo kubwa kama mwanamke mwenye mimba shida yake ni nini?
Jina la yesu ni fire then linachoma kama shindano nani kama yesu ????
SHAME ON THEM
Hayo maamuzi mliyoyafanya waislamu yakuleta police yanasababisha kazi ifanyike kwa nguvu zote maana hamjamkomesha ndacha Bali mmemtibua mungu yesu kristo
hii mihadhara waislam ndo walianza wakaanza kuzunguka maeneo mengi wakiwadanganya wakristo at Yesu si Mungu Walfanikiwa kusilimisha wakristo wengi ambao walkua legelege ktk iman Ndipo wakristo walpo amua kuisoma kuruan na kuwafundisha wakristo. Waislam wenyewe ndo waltuchokoza Leo imewafika wameenda polsi
Be encouraged servant of Yahweh and of YAHSHUA MESSIAH
Pole i mean pastor
Watu wa pilato.😃 wasiomuamini Yesu hao.wametumwa
Amen ndacha
Waislam 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣police wa nn sasa kweli shetani yupo kazini mwacheni ndasha akomboe ulimwengu mbishane kwa hoja na sio police aibu yenu iyoo tunasema kila siku waislam ni mapepo mmemlipa uyo mzee apo ili aje kualibu mkutano 😂😂😂😂😂😂😂😂aibuuuuuuuuu mnakimbiaaa
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Hapana, Utakuwa unakosea kusema waislam ni mapepo, je waweza nipa ushahidi ili nami niwe nanyi malaika niondokane na mapepo?
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 ushahidi gan tena ikiwa mnaswali na majini viumbe vilivyo laaniwa majina yao ndo majina yenu vitabu vyao ndo vitabu vyenu waganga wao ndo wenu nn tena apo?muislam gan apandishi?kila muislam mapepo wamejaa kichwani ww embu nipishe mimi waganga wotee ni waislam majini wotee ni waislam
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 Asante Dada Janet Mimi Na wewe tunafundishana na hatuzozani maana nataka nijue ni imani ya kweli sasa unaposema bila kutoa maandiko unakuwa haupo sahihi kwasababu utaniaminisha Mimi vipi katika imani ya kweli maana mtu atakaposoma ulichosema naye atakiweka kichwani. La kwanza Umesema juu ya majini huswali na waislam Hakuna muislam mwenye kuabudu majini, mizimu, mapango chochote isipokuwa mwenyezi mungu mmoja aliyeumba kila kitu. Na muislam mwenye tatizo la majini basi husomewa quran maana ni tiba iliyokamili, Kwasababu haya nimeyafanya sana kwa watu wenye kusumbuliwa na majini na wanapona maradhi hayo. Dada Janet unaposema kuhusu waganga usizungumzie waislam Maana wapo waganga wenye imani ya uislamu na imani ya ukristo sasa haimaanishi uislam ama ukristo unafundisha ushirikina, naomba tutumie akili katika kusema jambo. Ama uniambie Kuwa hakuna waganga wenye imani ya kikristo yaani ni sawa nimkute mtu anazini halafu niseme haya ndio mambo wanayofanya wakristo hapana itakuwa unakosea ama umkute muislam Mambo yaliyomabaya yamekatazwa ila sisi binadamu inabidi tukumbushane juu ya maovu duniani na hii ilikuwa ni desturi ya manabii Kwasababu umesoma quran nipe aya juu ya waislam wanaabudu majini? Na hili si wewe wa kwanza kusema dada Janet Tafadhali naomba tuelimishane kwa njia ya WhatsApp kama inawezekana
@jacksonmusyoka8837
4 жыл бұрын
Rashidi ni jina ya jini
@evelynlundberg1981
4 жыл бұрын
.
Kwani police wa Kenya VP hawajielewi??
Truth can walk naked but lies can't
Ukweli lazima ipinguwe ila tutashinda katika jina la yesu. Hapa ndo nimeamini wasilamu uwa waongo na waoga.
@tymchanneltv1143
4 жыл бұрын
Amani ya mungu iwe pamoja nawe, Sidhani kama upo sahihi ndugu katika Adam Je unafahamu Kuwa yesu ni muislam ili tutoe uwoga?
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 msxuuuuuuu toa haya ya yesu muislam kama kuingia kwenye sinagogi ata hekaluni aliingia na sinagogi la kiyahudi sio la kiislam ata saiz apa amna muislam anae weza ingia ktk sinagogi la kiyahudi ambalo Yesu kaingia yy aliingia akasimama na kutangaza injili waislam amsimami kutangaza injili kwanza amjui maana ya injili....ikiwa mama na baba wa Mohammad mpaka wamekufa awajui neno uislam VP kuusu Yesu ?tena we nyamaza kbs na ujinga wko amna nabii anae jua uislam ata mmoja toa haya kwenye vitabu vya kale tuone nani alikua muislam uyo Yesu alisema wapi kama yy ni muislam?toa ushahidi....ivi uoni aibu ata kukoment ikiwa waislam wamewazalilisha kuleta police apo inaonesha jins gan nyinyi ni mapepo na waongo
@saitotisapiyo7167
4 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 hahaha ebu mwambie lakini usi mulaumu kusoma ndo shida.
Hakika MUNGU yupo upande wenu pastor Ndacha, usikate tamaa hata mitume walikutana na vikwazo Kama hivi.
waislam wanamjua ndacha hawawezi kuja maana tawashika penye panaumaa