'Waha ni Wafanyabiashara na Wana hela' - Mkuu wa Wilaya Kasulu Kigoma

"Uchumi wa Kasulu unategemea sana kilimo na biashara na Nature ya kabila la Waha ni wafanyabiashara na wengi wamejaaliwa kuwa na fedha. Unapozungumzia Kigoma kama mkoa na umapozungumzia 'centre' ya biashara ni Kasulu. Kwahiyo Kasulu kuna mzunguko mkubwa sana wa biashara na mzunguko mkubwa sana wa fedha zipo taarifa kwamba hata wanaofanya biashara sehemu zingine huwa wanakuja kufanya majumuisho ya biashara zao Kasulu. Unapozungumzia maendeleo ya kibiashara Kigoma huwezi kuiacha Kigoma" Mh. Col. Isaac Antony Mwakisu, Mkuu wa wilaya ya Kasulu, Kigoma.

Пікірлер: 10

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison68632 жыл бұрын

    Namheshimu mkuu wa wilaya yetu KASULU KIGOMA 🇹🇿🙏🔥,, chapa kazi kijeshi jeshi"wazi afande"hongera KASULU unazidi kuitetea,,bigup kwa kipindi hiki

  • @mathewisdory216
    @mathewisdory2162 жыл бұрын

    Exactly, Ha people are honest,hardworking,educated and full of talents. That's why most of them are rich.

  • @WILLIAMSEBASTIEN
    @WILLIAMSEBASTIEN2 жыл бұрын

    Facts kabisa, impact ambayo wameleta Tanzania wanastihili wapewe sifa zao .

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict53782 жыл бұрын

    Yes

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 Жыл бұрын

    Mwakisu barabara ya Heru juu kwenda Mpakani Burundi kupitia Muyama muitizame... vizuri. Pili fungueni Barabara ya Kasulu Titye. Na ikiwezekana Fungueni Titye Uvinza. Mkuu wetu jipange SGR ya kwenda Burundi iwe na station mjini Kasulu......

  • @geofreyfabian310
    @geofreyfabian310 Жыл бұрын

    They tell you what to do but how to do utajua 2

  • @tonymasy8872
    @tonymasy88722 жыл бұрын

    We mdada umepasfia nyumbanii hadii mwenyew nmezdi kupapendaa japo ni ome

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 Жыл бұрын

    Kwa faida ya wengi Kasulu inapakana na Burundi tu.wilaya zinazopakana na Ruanda zipo Mkoa wa Kagera.

  • @alexjacob3255
    @alexjacob32552 жыл бұрын

    Ssfi

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    *Mwami= Mfalme/King *Ntare= Simba/ Lion Hongera Afande ! Kasulu yampata Kiongozi mwenye maono na mbunifu! Bila shaka, Kigoma inakwenda kunyanyuka!