Wafanyibiashara Nairobi na Kisumu wakadiria hasara kubwa

Siku moja baada ya malumbano baina ya polisi na waandamanaji jijini Nairobi na Kisumu, wafanyibiashara wanakadiria hasara ya thamani isiyojulikana huku hali ya kawaida ikirejelea. Miongoni mwa walioathirika sana wakiwa ni wahudumu wa matatu ambao kwa siku nzima walilazimika kusitisha shughuli za usafiri na serikali ya kaunti ya Nairobi ambayo ilipata hasara baada ya waandamanaji kuharibu mali jijini

Пікірлер: 40

  • @mzitoseta2967
    @mzitoseta2967 Жыл бұрын

    Na mambo bado

  • @epictozmediagroupemg3219
    @epictozmediagroupemg3219 Жыл бұрын

    Na Githeri Media should report about Tasia ...

  • @jacksonmusyoka8837
    @jacksonmusyoka8837 Жыл бұрын

    Uyo Ako na magari 50 achunguzwe,must be a cartel

  • @xxtegamerxxroblox9843

    @xxtegamerxxroblox9843

    Жыл бұрын

    Mimi niko na matatu 45, na karibu zote ni za loan, ata wewe unaweza kuwa na mingi ata kuliko mimi

  • @georgegg1079
    @georgegg1079 Жыл бұрын

    Mbona tulie kuhusu hasara, huu ni mwiba wa kujidunga

  • @Minrichardsamuel

    @Minrichardsamuel

    Жыл бұрын

    Thank you

  • @henryandakofoundation
    @henryandakofoundation Жыл бұрын

    Mazunguzo gani haya ambayo Supreme Court haikumaliza?

  • @starlife3550
    @starlife3550 Жыл бұрын

    Serikali ishughulike ama tuweke maandamano ya wiki mzima

  • @tysonbrian1558
    @tysonbrian1558 Жыл бұрын

    This issue between Ruto and Raila should end..kenya need peace and low food prices so that everyone can enjoy living in Kenya.

  • @gideonkipkoech9987
    @gideonkipkoech9987 Жыл бұрын

    nyinyi , azimio tv mbona hamku report Ile ya tasia?

  • @epictozmediagroupemg3219

    @epictozmediagroupemg3219

    Жыл бұрын

    True

  • @trendinggossip8692

    @trendinggossip8692

    Жыл бұрын

    Tasia kuna nini

  • @SabastianOmuse-tv7cs
    @SabastianOmuse-tv7cs Жыл бұрын

    Awsome

  • @CharlesOuru-gj1gp
    @CharlesOuru-gj1gp Жыл бұрын

    mm kama mtu wa azimio la umoja mzee raila ako sawa coz maisha imetukalia ngumu

  • @lucykilonzo7674
    @lucykilonzo7674 Жыл бұрын

    Nani alikuwa anatupa teargas?

  • @somoreearly5814

    @somoreearly5814

    Жыл бұрын

    Si ni hwa majamaa wa D+😅

  • @lucykilonzo7674
    @lucykilonzo7674 Жыл бұрын

    It's healthy,hii ni kazi ya sonko tunajua

  • @magos887
    @magos887 Жыл бұрын

    Railla need to be taken to court and pay all the damage’s

  • @haronobuya4676
    @haronobuya4676 Жыл бұрын

    Hasara, tumlaumu nani, think of Kenyan young generations, Ruto na Raila

  • @georgesagwe6703
    @georgesagwe6703 Жыл бұрын

    This is devilish.Raila will pay from God himself

  • @mzitoseta2967
    @mzitoseta2967 Жыл бұрын

    Polisi ni wajinga sana na kama wataendelea hivi

  • @boosternet8785
    @boosternet8785 Жыл бұрын

    Na Monday pia ni holiday weeee

  • @lazarusmidumbi2222
    @lazarusmidumbi2222 Жыл бұрын

    when they steal,we need to talk,fooling in deed

  • @JohnNyambu-jb6dq
    @JohnNyambu-jb6dq Жыл бұрын

    7

  • @mzitoseta2967
    @mzitoseta2967 Жыл бұрын

    Kama sio polisi kukubali kutumika vibaya maandamano ilikwa very peaceful

  • @vincentsawe611
    @vincentsawe611 Жыл бұрын

    A devil at its peak

  • @muindimwololo7635
    @muindimwololo7635 Жыл бұрын

    Wajaluo tumewazoea kusubua na vurungu kalonzo junet karua olekina watu wao wakuandamana raila jipange na watu wako

  • @lucykilonzo7674

    @lucykilonzo7674

    Жыл бұрын

    Ndia

  • @alexanderanyika6536
    @alexanderanyika6536 Жыл бұрын

    Kisumu is no longer a city

  • @eunicejefwa1935
    @eunicejefwa1935 Жыл бұрын

    Watalaumu waandamanaji,lkn ukweli ni wangewaacha wakafanya maandamano bila kuwachokoza hawangefanya hivyo.

  • @timothykinoti7768

    @timothykinoti7768

    Жыл бұрын

    Uongo...Kenya haijawahi kua na maandanonclean...thieves take this opportunity to destroy.... supermarket embakasinziliibiwa jioni after vitu zimesttle..why?

  • @ketanelson7368
    @ketanelson7368 Жыл бұрын

    Let us all swallow our pride and set constrictive talks about how to end this situation once and for all

  • @henryandakofoundation

    @henryandakofoundation

    Жыл бұрын

    Which talk? I thought mzee na lorry ya evidence aliambiwa na Supreme Court hiyo ni hot air.

  • @jacksonmusyoka8837

    @jacksonmusyoka8837

    Жыл бұрын

    No need of talks Wacha tupigane...mm nataka vita.justice is not in supreme court but wonna be the sword 🗡️

  • @henryandakofoundation

    @henryandakofoundation

    Жыл бұрын

    @@jacksonmusyoka8837 piga kabisaa, as long as we have rule of law.The government will not be bowed.

  • @henryandakofoundation

    @henryandakofoundation

    Жыл бұрын

    @@jacksonmusyoka8837 wasting time.

  • @jacksonmusyoka8837

    @jacksonmusyoka8837

    Жыл бұрын

    @@henryandakofoundation omba tusipatane..rule of law is in our hands

  • @fly69jamual62
    @fly69jamual62 Жыл бұрын

    Guys, let's be real, this always happened when Raila loses in every elections, it's in the record PERIOD!