Wafanyibiashara Nairobi na Kisumu wakadiria hasara kubwa
Siku moja baada ya malumbano baina ya polisi na waandamanaji jijini Nairobi na Kisumu, wafanyibiashara wanakadiria hasara ya thamani isiyojulikana huku hali ya kawaida ikirejelea. Miongoni mwa walioathirika sana wakiwa ni wahudumu wa matatu ambao kwa siku nzima walilazimika kusitisha shughuli za usafiri na serikali ya kaunti ya Nairobi ambayo ilipata hasara baada ya waandamanaji kuharibu mali jijini
Пікірлер: 40
Na mambo bado
Na Githeri Media should report about Tasia ...
Uyo Ako na magari 50 achunguzwe,must be a cartel
@xxtegamerxxroblox9843
Жыл бұрын
Mimi niko na matatu 45, na karibu zote ni za loan, ata wewe unaweza kuwa na mingi ata kuliko mimi
Mbona tulie kuhusu hasara, huu ni mwiba wa kujidunga
@Minrichardsamuel
Жыл бұрын
Thank you
Mazunguzo gani haya ambayo Supreme Court haikumaliza?
Serikali ishughulike ama tuweke maandamano ya wiki mzima
This issue between Ruto and Raila should end..kenya need peace and low food prices so that everyone can enjoy living in Kenya.
nyinyi , azimio tv mbona hamku report Ile ya tasia?
@epictozmediagroupemg3219
Жыл бұрын
True
@trendinggossip8692
Жыл бұрын
Tasia kuna nini
Awsome
mm kama mtu wa azimio la umoja mzee raila ako sawa coz maisha imetukalia ngumu
Nani alikuwa anatupa teargas?
@somoreearly5814
Жыл бұрын
Si ni hwa majamaa wa D+😅
It's healthy,hii ni kazi ya sonko tunajua
Railla need to be taken to court and pay all the damage’s
Hasara, tumlaumu nani, think of Kenyan young generations, Ruto na Raila
This is devilish.Raila will pay from God himself
Polisi ni wajinga sana na kama wataendelea hivi
Na Monday pia ni holiday weeee
when they steal,we need to talk,fooling in deed
7
Kama sio polisi kukubali kutumika vibaya maandamano ilikwa very peaceful
A devil at its peak
Wajaluo tumewazoea kusubua na vurungu kalonzo junet karua olekina watu wao wakuandamana raila jipange na watu wako
@lucykilonzo7674
Жыл бұрын
Ndia
Kisumu is no longer a city
Watalaumu waandamanaji,lkn ukweli ni wangewaacha wakafanya maandamano bila kuwachokoza hawangefanya hivyo.
@timothykinoti7768
Жыл бұрын
Uongo...Kenya haijawahi kua na maandanonclean...thieves take this opportunity to destroy.... supermarket embakasinziliibiwa jioni after vitu zimesttle..why?
Let us all swallow our pride and set constrictive talks about how to end this situation once and for all
@henryandakofoundation
Жыл бұрын
Which talk? I thought mzee na lorry ya evidence aliambiwa na Supreme Court hiyo ni hot air.
@jacksonmusyoka8837
Жыл бұрын
No need of talks Wacha tupigane...mm nataka vita.justice is not in supreme court but wonna be the sword 🗡️
@henryandakofoundation
Жыл бұрын
@@jacksonmusyoka8837 piga kabisaa, as long as we have rule of law.The government will not be bowed.
@henryandakofoundation
Жыл бұрын
@@jacksonmusyoka8837 wasting time.
@jacksonmusyoka8837
Жыл бұрын
@@henryandakofoundation omba tusipatane..rule of law is in our hands
Guys, let's be real, this always happened when Raila loses in every elections, it's in the record PERIOD!