Wafanyabiashara walia maji kutuama soko la Mwanakwerekwe C

Wafanyabiashara wa soko la muda la Mwanakwerekwe ‘C’ visiwani Zanzibar wameiomba serikali kuwawekea miundombinu mizuri ya kufanya biashara katika kipindi cha mvua za masika zinazoendelea kunyesha nchini kote ili wawezekufanya biashara zao.
Ombi hilo limetokana na mvua hizo kusababisha maji kutuama sokoni hapo na kufanya mazingira ya biashara kuwa magumu.
#AzamTVUpdates #AzamNews #UTV #Mwakakwerekwe #Zanzibar

Пікірлер: 4

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis98252 жыл бұрын

    Soko Ili Lilikuwa La Mchongo Halmashaur Ilikurupuka Tu Kuwapeleka Hapo Sema Sasa Hv Wanaleta Siasa

  • @musachande7300
    @musachande7300 Жыл бұрын

    Tunawashikuru kwa kutuliya mitajii yetu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Majanga haya nayo

Келесі