HAYAWI HAYAWI YAMEKUWA ZANZIBAR, KWEREKWE & JUMBI IKO HIVI
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 20
Serikali iajiri Security gurd wakuwepo kila siku ,Maintenance wakuwepo kila siku ,wafanya usafi wakuwepo kila siku 6am to 6pm ila Security masaa24 hapo kidogo mtafanya kitu cha maana
Ndani ya soko ziwepo huduma za kifedha kama Atm au bank, dispensary kwa huduma ya kwanza na Ulinzi wa kisiasa. Pia huduma za choo za kulipia ili kudumisha huduma za kijamii kwa wote.
MASHALLAH Tumesha jengewa nasi tujitahidi KUYATUNZA Pia Nafasi zipatikane kwa Bei Rafiki kwa Wafanya BIASHARA
Utakuta watu wanakojolea pembezoni mwa kuta za jingo ilo
Mungu ayanusuru haya masoko isifike baada ya mwaka 1 tu yakawa machafu. Maana lile la samaki kule Malindi washaanza kulichafua.
Semeni Unguja kuko hivi maana munatamka ZANZIBAR ili kuficha ubaguzi watu wasiojua waone na Pemba imo wakati Pemba kama jina lake pembazoni 😊😊😊
Wazanzibari wakaazi watuache wazanzibari asili tunufaike kwanza na masoko msitufanyie zogo
Hatutaki Wamachinga kila kona ya Zanzibar sasa masoko tayari.
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
Yes Watengeneze sheria ambayo mtu yeyeto akionekana na kupatikana akiwa na biashara mkononi akitembeza apigwe faini kubwa sana hata Millioni 10 ilimradi watu wasitembeze na kupanga biashara barabarani ni uchafu wa mji ,na lengo la faini sio kukomoa lengo ni Kosa lisifanyike..
Hayo ndio maendeleo tunayoyataka.Hongera serikali.
@Onlyforfun1992tube
Ай бұрын
Kwan we Mathew mzanzbar mkaazi au mzanzbar asili
@Onlyforfun1992tube
Ай бұрын
Skuiz kuna wazanzibari wakaazi Mzee jitaje tukujue haraka sana
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
@@Onlyforfun1992tube mzanzibari asili
Muacheni raisi azindueeeee
Elimu kubwa inahitajika kwa raia wanunuzi na wafanya biashara lazima Ina hitajika waaminishwe kua biashara ni usafi
Usafi Usafi Usafi hilo ndio kubwa kuliko vyote ,Serikali ni wakati wa kuajiri Campuni za Usafi na kufunga nazo mkataba ili waweze kushughulikia usafi wa masoko ,stendi za mabus vituo vya huduma za afya hilo pia linaweza kupunguza ajira kwa vijana wasio na ajira maana Campuni itaajiri vijana ambao hawana ajira na kuwapatia elimu then wafanye kazi...
Kodi yake sasa lazma ukimbie
Kwani kuna ubaya wa Tanganyika kujiita watanganyika mpaka wajiite watanzania? Na ubaya Unguja kujiita waunguja mpaka mujiite Zanzibar? Kuweni wazalendo
@NassorMohammed-oy7bc
2 күн бұрын
Usilolijua watu wa unguja ndo wanzanzibar wenyewe
@NassorMohammed-oy7bc
2 күн бұрын
Bjjv