WACHENI KUISHI KWA NONGWA,UTASIKIA HAWA KHULAFI, UISLAMU SI KUKATA KANZU NA KUFUGA NDEVU TU KIPOZEO
Жүктеу.....
Пікірлер: 78
@zumbeshauri8114 Жыл бұрын
Kipozeo tangu nikujue mwaka 94 mpaka leo nakuelewaga wallah
@saidlindukwa6288 Жыл бұрын
Sheikh Hilal shaweji is my Boy ni hafidhil hadiith huyo kichwa hicho.wanaomdharau eti sababu ana mada za wanawake kila wakati ala kumbe hamjui thamani ya wanawake kwetu wanaume
@saidrakwe8727 Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu shegh hilali ila jamii inufaike
@jimjam4148 Жыл бұрын
MASHA ALLAH.
@theosaimon6933 Жыл бұрын
Nampenda sana shekhe kipoozeo? Mimi kama mkristo nikipita nikutane na mawaidha ya huyu mwamba ntasikiliza hadi mwisho ananifurahishaga sana na nimefurahi kweli jamaaa huwa nafurahi tu nikimwona hata asipoongea lolote ?uishi miaka mingi kipoozeo
@zandys4686
Жыл бұрын
karibu sana pia katika kumjua Allah na kuusoma uislamu, hakika utafurahi sana
@shamisahmed1425
Жыл бұрын
Hilo la kumpenda Shekhe si haba umepiga hatua....!
@theosaimon6933
Жыл бұрын
@@shamisahmed1425 don't take me different bro acha mawazo ya kijinga nasikiliza vituko vyake sooo plz put off your mind in the dump
@shamisahmed1425
Жыл бұрын
@@theosaimon6933 May Allah have mercy on you to stop insulting...!
@salmamaliki3378
Жыл бұрын
Mungu akuongoze siku Moja uwe nae mskitin ishaallaah
@yusufsadic2930 Жыл бұрын
Masha Allah nikwl hiyo wao najua siku 3 .40 NaFazail Amal
@KaziZetu-td1qd Жыл бұрын
Dah! Astaghfirullah..
@haridyhillaryndembo1946 Жыл бұрын
TULIOKUELEWA TUMEKUELEWA SHEIKH ILA WENYE DHANA ZAO MBAYA HAWATOACHA KUKUKOSOA NA KUKUREKEBISHA JAPO UMETOA UDHURU KUWA HAUMAANISHI KUDHOOFISHA SUNNA ZA MTUME
@aloycebabene6239 Жыл бұрын
Kama kuna shekhe mwenye akili kubwa huyu jamaa ni kiboko.
@makolokatanda44564 ай бұрын
Leo shekhe umenipa elmu kubwa kwakwel
@magustubabu8547 Жыл бұрын
Allah akbar
@allysuleiman517 Жыл бұрын
Sasa mbona nyie muna ng'ang'ania maulidi tu
@babuloliondo74 Жыл бұрын
Muwe nashima na mauraamaa adabu kwanza msirete bang mbaya vijana wenzangu
@MohamedAli-rl8cl Жыл бұрын
umeongea kweli, zaidi ya wengi wao ni kula hata pesa za yatima kwenye vituo.
@abuufayaadh8270
Жыл бұрын
Ukiwa na nyumba ya kioo usiwarushie mawe wenye nyumba za udongo!!! Maana wakiamua kukuvurumishia mawe utaharibikiwa zaidi. Nasema hivyo kwa sababu ukifanya tathmini utakuta wenye kula pesa za mayatima nk ni wa upande huo huo anaoutetea huyo Kipoozeo na shahidi nyingi zipo na vituo vingi ni vya wafuasi wa upande huo huo.
@iddimohamed254 Жыл бұрын
Kwan kipozeo siku izi anaenda maulidini c alikua Mtu wa suna uyu ama apo ni wapi..?
@ibnqassim7002 Жыл бұрын
Mtu huwa mjinga tuh ata akiwa ni professor ile hali yupo nje ya uislamu Bali pia Alie ktk uislamu huwa mjinga tuh mpka akawa katika Sunna za mtume swalallaah alayhi wasalaam
@mussakantumba824 Жыл бұрын
Hawa wanaojiita, Salafi no shida Sana Kila kitu wao Ni kuponda tu
@isihaqarajabu8374 Жыл бұрын
Kufuga ndevu nisunna ambayo wengi wanaiweza sema watu hawataki kufuata sunna za mtume lkn mtoto yatima unavyosema wengne hata mlo kwao nitabu lkn ndevu wanafuga kwahio unaponda sunna kupitia yatoto yatima ,mtihn San
@haridyhillaryndembo1946
Жыл бұрын
Vichwa vingine kuelewa ni xhida😄😄
@sadiqselengu4197
Жыл бұрын
Angekuwa anakejeli ama kuponda asingekuwa nazo maana nae kafuga.. Jitahidi kumuelewa anachozungumzia bila kuweka chuki ktkt jambo unalotaka utamuelewa
@gilbertkalanda9354 Жыл бұрын
Mie si Muislamu, Ila huyu Bwana ndio viongozi tunawataka. Dini ni upole na ushawishi
@jumannemuhammad6827 Жыл бұрын
Sasa mbna shekh munajisema wenyew mnachagua sunnah za kuzifanya na vitu vingne mnafanya vya bidaa.
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Comedian mpaka wakristo wanajua
@ramadhanimtetu7246 Жыл бұрын
Masheikh Wa Mchongo tupo wengi tuu
@MB-yq3ty Жыл бұрын
Anamaanisha nini huyu kwamba hawezi suna ya ndevu na kupunguza kuburuta mavazi kwa wanaume? Ama nini mbona kejeli kejeli tu. Hivi kweli watu wahimiza ndevu na mavazi tu basi huu ni uwongo na upingaji anataka watu wasio fuga ndevu wajisikie amani na wapo sawa wakiulizwa waseme sisi tunashughulikia mayatima.
@abiabi9353
Жыл бұрын
Hiyo nikweli mwahabi wanajulikana zaidi kwa kuhimiza kufuga ndevu,kukata kanzu,kupinga maulidi tu.lkn siyo maarufu kwa kuhimiza umoja,adabu ujirani mwema au kulea mayatima
@MB-yq3ty
Жыл бұрын
@@abiabi9353 Usibugizwe vitu ambavyo huna ushahidi navyo. Kuhusu mayatima kila MTU anautaratibu wake wengine wanavituo wengine watoa kwa siri si kamq vituo flani hivi watu warundika watoto wa watu kisha inaanza ombaomba ya tumbo lake ni mbaya zaidi kama huna uwezo bora uhudumie mmoja kuliko kuwafanya mitaji. Ndevu ya suna imekushindeni nini nyinyi ni Mmajusii? na kuna ya kupunguza nguo kwa wanaume imekushindeni nini hasa mnaposhindwa hoja mnakimbilia ooh wahabi huu ni umasikini wa maarifa
@abiabi9353
Жыл бұрын
@@MB-yq3ty Haha nafurahi unavyosema suna ya ndevu inakushindeni. Yano nyinyi suna yandevu ndiyo issue kubwa kulikuwa kuhimiza kulea mayatima,kuliko kuhimiza umoja,kuliko kumtangaza mtume. Kwahiyo nyinyi mnahimiza kulea mayatima kwasiri lkn kupinga maulidi na kufuga ndevu ndo mnafanya kwa dhahiri? Yani nyinyi mawahabi mnataabu sana.sijui uwezo wenu wskuelewa mambo ni mdogo kiwango gani
@MB-yq3ty
Жыл бұрын
@@abiabi9353 Makhurafi anzeni basi na mambo ambayo ni rahisi msiparue videvu vyevu mkawa hamna tofauti na wake zenu na kanzu zisiburuze chini basi sio hijabu za wanawake hizo. Sisi tunaitia katika umoja wa kweli kutokana na qur an na Sunnah sio kwenye uzushi.
@MB-yq3ty
Жыл бұрын
@@abiabi9353 Eti swala limekuwa nyinyi ndo mwasaidia yatima ndo mnachokifanya duniani Wallah Mcheni Allah kwa Msaada upi hasa hebu mvitangaze kwenye maredio tusiki maana sisi hatuoni hayo isipokuwa kama watu wengine tu.
@abuufayaadh8270 Жыл бұрын
Sheikh Kipozeo tatizo lako unataka kuonekana mzuri kwa watu fulani ,kwa hiyo ili wakuone kweli ni mzuri umeona njia nzuri ni kuwaponda watu wa sunna ili kuwafuhisha hao jamaa. Lakini hakuna utakachovuna zaidi ya wao kukuchukia zaidi hata kama si leo wala kesho, amini mwenye kumkasirisha Allah kwa ajili ya kumfurahisha kiumbe basi Allah atamchukia na atawafanya hao hao watu watamchukia.
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
Eti Watu Wasunna Uwe Na Hadhwari. Watu Wasunna Wanajisema. Au Wanasema. Mtu Husifiwa Na Kujisifia.
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
@@abuufayaadh8270 Kujisifia Hakupo Ila Watu Wema Wooote. Hukificha Nahawana Majigambo
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
@@abuufayaadh8270 Kivyovyo Wewe Namimi Nawengine Niwapokeaji Tu. Hao Unaosema Makhalifa Ndio Waliopokea Kwa Waliopokea Hakuna Ujanja Katika. Isipokuwa Utawakaa Wapokeaji Fulani Usiowataka Wewe. Nautawakubali Wapokeaji Fulani Unaowataka wewe.
@abuufayaadh8270
Жыл бұрын
@@nurdinmfamau3493 Mbona hueleweki unazungumzia nini? Nimekueleza kwamba kusema wanasuna siyo kujisifia kama ulivyo sema wewe. Nikakuonesha dalili ya kufaa kusema wanasuna/wanasuna/ watu wa sunna nk. Pili nikakuuluza wewe kusema mimi ni Mwislamu nikujisifu? Hebu jibu hizi hoja vizuri kabla ya hayo ya makhalifa na mengineyo.
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
@@abuufayaadh8270 Itategemea Useme Au Niseme Mimi Muislamu. Kwajambo Lipi. Tunao Wapo Waislamu Wengi. FANAUDHU BILLAH Tuliobakia Na Uislamu Huo Wamimi Ni Muislamu. Watu Wema Waza Sizamani Sanaaaa. Walikuwa Wakitosha Kuwajua Kuwa Hawa Ni Waislamu Kwazile Sira Natabia Zao Njema. Sio Sisi Majivuno Nakuwaona Wengine Hawajui. Nala Si WachaMungu Bali Niwa WachaMungu. Ogopa Kitu Kinaitw "ANA" Mimi' Umimi.
matatizo unayo wewe unayeona mtatizo hata pasipo....na matatizo!!
@saidkondo5112
Жыл бұрын
@@khalidkassimmadoa9329 katika dini hakuna jambo la kudharauriwa ,au mtu hasemwi kwa jitihada zake za kheri katika dini, anapopwaya mwenzio wewe zibaa kaza, lakini naomba kujua unamaarifa kidogo na dini?
@omaryramdhani9823
Жыл бұрын
Wewe ndio uzinduliwe SI yeye ,huyu yupo makini mno kama hutaki basi, yapo meengi yakukataza yalo mabaya kama mnakheri mngeanza kwayo watoto wenu watembea uchi tena wakinyama zinaa ndio fasheni hamyasemi wahabi wakubwa ninyi
@alhajimshewa1982 Жыл бұрын
huyukipozeo nimtumpuuzi
@alfanimashaka6135 Жыл бұрын
Hakuna shee hapa
@abuufayaadh8270 Жыл бұрын
Kama unakubabali kufuga ndevu ni sunna na kukata kanzu ni sunna ya nini kuwasema wanaipambania ? Je wao kuna mahala wamesema kwamba kuwasaidia mayatima,wajane nk hayana maana? Au wanasema dini inaishia kwenye hizo sunna tu? Hao jamaa unaowasema chunguza ni vituo vingapi vya mayatima wanavyo viendesha nchini!! Madrasa,vyuo,Mashule na huduma nyingi za kijamii zimeenea!!
@jamalishoo3802
Жыл бұрын
Maswali kama haya waulize na wale waupande wapili
@abuufayaadh8270
Жыл бұрын
@@jamalishoo3802 Fafanua kidogo ili tukuelewe zaidi na tupate faida
@iddimohamed254
Жыл бұрын
Mi nashangaa Mtu wa sunna anaenda maulidini msiba huu....
@sudisalehe192 Жыл бұрын
Maulid na kulisha yatima lipi ni kheri ,je mtume gani kasheherekea maulid
@shabanligaya152
Жыл бұрын
Soma dogo acha ushabiki
@user-wt8uo4sj6t
11 ай бұрын
Swali lako halina maana
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
comedian katka ubora wake
@shuaibalula9003 Жыл бұрын
Mashekhe sikuhizi wanafwata palipo na msosi
@munyumunyama8365 Жыл бұрын
Mtu mpuuz mpuuz tu kipozeo
@isihaqarajabu8374 Жыл бұрын
Hizo hela mlizotumia hapo kwenye maulid mngepeleka kwa watoto yatima unafikir nithawab kias gan mngepata?nyie ndo mnafanya vitu ambavyo vipo kinyume mnawaacha watoto yatima wanateseka halaf hata aib hamna
@yaziduhamisi4096
Жыл бұрын
Faida iliopatikana hapo sio ndogo
@haridyhillaryndembo1946
Жыл бұрын
Na ww bila hio shughuli ungekomenti wapi? Yatima wa fikra😄😄
@yaziduhamisi4096
Жыл бұрын
Bando uloweka hapo ungesaidia yatima ungepata faida kiasi gan
@husenimmussa6479
Жыл бұрын
Wewe umelea wangap?
@omarykyutta6681
Жыл бұрын
Faida na elim iliyopatikana hapo ni kubwa miongon mwa wanufaikaj had wew
Пікірлер: 78
Kipozeo tangu nikujue mwaka 94 mpaka leo nakuelewaga wallah
Sheikh Hilal shaweji is my Boy ni hafidhil hadiith huyo kichwa hicho.wanaomdharau eti sababu ana mada za wanawake kila wakati ala kumbe hamjui thamani ya wanawake kwetu wanaume
Allah akupe umri mrefu shegh hilali ila jamii inufaike
MASHA ALLAH.
Nampenda sana shekhe kipoozeo? Mimi kama mkristo nikipita nikutane na mawaidha ya huyu mwamba ntasikiliza hadi mwisho ananifurahishaga sana na nimefurahi kweli jamaaa huwa nafurahi tu nikimwona hata asipoongea lolote ?uishi miaka mingi kipoozeo
@zandys4686
Жыл бұрын
karibu sana pia katika kumjua Allah na kuusoma uislamu, hakika utafurahi sana
@shamisahmed1425
Жыл бұрын
Hilo la kumpenda Shekhe si haba umepiga hatua....!
@theosaimon6933
Жыл бұрын
@@shamisahmed1425 don't take me different bro acha mawazo ya kijinga nasikiliza vituko vyake sooo plz put off your mind in the dump
@shamisahmed1425
Жыл бұрын
@@theosaimon6933 May Allah have mercy on you to stop insulting...!
@salmamaliki3378
Жыл бұрын
Mungu akuongoze siku Moja uwe nae mskitin ishaallaah
Masha Allah nikwl hiyo wao najua siku 3 .40 NaFazail Amal
Dah! Astaghfirullah..
TULIOKUELEWA TUMEKUELEWA SHEIKH ILA WENYE DHANA ZAO MBAYA HAWATOACHA KUKUKOSOA NA KUKUREKEBISHA JAPO UMETOA UDHURU KUWA HAUMAANISHI KUDHOOFISHA SUNNA ZA MTUME
Kama kuna shekhe mwenye akili kubwa huyu jamaa ni kiboko.
Leo shekhe umenipa elmu kubwa kwakwel
Allah akbar
Sasa mbona nyie muna ng'ang'ania maulidi tu
Muwe nashima na mauraamaa adabu kwanza msirete bang mbaya vijana wenzangu
umeongea kweli, zaidi ya wengi wao ni kula hata pesa za yatima kwenye vituo.
@abuufayaadh8270
Жыл бұрын
Ukiwa na nyumba ya kioo usiwarushie mawe wenye nyumba za udongo!!! Maana wakiamua kukuvurumishia mawe utaharibikiwa zaidi. Nasema hivyo kwa sababu ukifanya tathmini utakuta wenye kula pesa za mayatima nk ni wa upande huo huo anaoutetea huyo Kipoozeo na shahidi nyingi zipo na vituo vingi ni vya wafuasi wa upande huo huo.
Kwan kipozeo siku izi anaenda maulidini c alikua Mtu wa suna uyu ama apo ni wapi..?
Mtu huwa mjinga tuh ata akiwa ni professor ile hali yupo nje ya uislamu Bali pia Alie ktk uislamu huwa mjinga tuh mpka akawa katika Sunna za mtume swalallaah alayhi wasalaam
Hawa wanaojiita, Salafi no shida Sana Kila kitu wao Ni kuponda tu
Kufuga ndevu nisunna ambayo wengi wanaiweza sema watu hawataki kufuata sunna za mtume lkn mtoto yatima unavyosema wengne hata mlo kwao nitabu lkn ndevu wanafuga kwahio unaponda sunna kupitia yatoto yatima ,mtihn San
@haridyhillaryndembo1946
Жыл бұрын
Vichwa vingine kuelewa ni xhida😄😄
@sadiqselengu4197
Жыл бұрын
Angekuwa anakejeli ama kuponda asingekuwa nazo maana nae kafuga.. Jitahidi kumuelewa anachozungumzia bila kuweka chuki ktkt jambo unalotaka utamuelewa
Mie si Muislamu, Ila huyu Bwana ndio viongozi tunawataka. Dini ni upole na ushawishi
Sasa mbna shekh munajisema wenyew mnachagua sunnah za kuzifanya na vitu vingne mnafanya vya bidaa.
Comedian mpaka wakristo wanajua
Masheikh Wa Mchongo tupo wengi tuu
Anamaanisha nini huyu kwamba hawezi suna ya ndevu na kupunguza kuburuta mavazi kwa wanaume? Ama nini mbona kejeli kejeli tu. Hivi kweli watu wahimiza ndevu na mavazi tu basi huu ni uwongo na upingaji anataka watu wasio fuga ndevu wajisikie amani na wapo sawa wakiulizwa waseme sisi tunashughulikia mayatima.
@abiabi9353
Жыл бұрын
Hiyo nikweli mwahabi wanajulikana zaidi kwa kuhimiza kufuga ndevu,kukata kanzu,kupinga maulidi tu.lkn siyo maarufu kwa kuhimiza umoja,adabu ujirani mwema au kulea mayatima
@MB-yq3ty
Жыл бұрын
@@abiabi9353 Usibugizwe vitu ambavyo huna ushahidi navyo. Kuhusu mayatima kila MTU anautaratibu wake wengine wanavituo wengine watoa kwa siri si kamq vituo flani hivi watu warundika watoto wa watu kisha inaanza ombaomba ya tumbo lake ni mbaya zaidi kama huna uwezo bora uhudumie mmoja kuliko kuwafanya mitaji. Ndevu ya suna imekushindeni nini nyinyi ni Mmajusii? na kuna ya kupunguza nguo kwa wanaume imekushindeni nini hasa mnaposhindwa hoja mnakimbilia ooh wahabi huu ni umasikini wa maarifa
@abiabi9353
Жыл бұрын
@@MB-yq3ty Haha nafurahi unavyosema suna ya ndevu inakushindeni. Yano nyinyi suna yandevu ndiyo issue kubwa kulikuwa kuhimiza kulea mayatima,kuliko kuhimiza umoja,kuliko kumtangaza mtume. Kwahiyo nyinyi mnahimiza kulea mayatima kwasiri lkn kupinga maulidi na kufuga ndevu ndo mnafanya kwa dhahiri? Yani nyinyi mawahabi mnataabu sana.sijui uwezo wenu wskuelewa mambo ni mdogo kiwango gani
@MB-yq3ty
Жыл бұрын
@@abiabi9353 Makhurafi anzeni basi na mambo ambayo ni rahisi msiparue videvu vyevu mkawa hamna tofauti na wake zenu na kanzu zisiburuze chini basi sio hijabu za wanawake hizo. Sisi tunaitia katika umoja wa kweli kutokana na qur an na Sunnah sio kwenye uzushi.
@MB-yq3ty
Жыл бұрын
@@abiabi9353 Eti swala limekuwa nyinyi ndo mwasaidia yatima ndo mnachokifanya duniani Wallah Mcheni Allah kwa Msaada upi hasa hebu mvitangaze kwenye maredio tusiki maana sisi hatuoni hayo isipokuwa kama watu wengine tu.
Sheikh Kipozeo tatizo lako unataka kuonekana mzuri kwa watu fulani ,kwa hiyo ili wakuone kweli ni mzuri umeona njia nzuri ni kuwaponda watu wa sunna ili kuwafuhisha hao jamaa. Lakini hakuna utakachovuna zaidi ya wao kukuchukia zaidi hata kama si leo wala kesho, amini mwenye kumkasirisha Allah kwa ajili ya kumfurahisha kiumbe basi Allah atamchukia na atawafanya hao hao watu watamchukia.
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
Eti Watu Wasunna Uwe Na Hadhwari. Watu Wasunna Wanajisema. Au Wanasema. Mtu Husifiwa Na Kujisifia.
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
@@abuufayaadh8270 Kujisifia Hakupo Ila Watu Wema Wooote. Hukificha Nahawana Majigambo
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
@@abuufayaadh8270 Kivyovyo Wewe Namimi Nawengine Niwapokeaji Tu. Hao Unaosema Makhalifa Ndio Waliopokea Kwa Waliopokea Hakuna Ujanja Katika. Isipokuwa Utawakaa Wapokeaji Fulani Usiowataka Wewe. Nautawakubali Wapokeaji Fulani Unaowataka wewe.
@abuufayaadh8270
Жыл бұрын
@@nurdinmfamau3493 Mbona hueleweki unazungumzia nini? Nimekueleza kwamba kusema wanasuna siyo kujisifia kama ulivyo sema wewe. Nikakuonesha dalili ya kufaa kusema wanasuna/wanasuna/ watu wa sunna nk. Pili nikakuuluza wewe kusema mimi ni Mwislamu nikujisifu? Hebu jibu hizi hoja vizuri kabla ya hayo ya makhalifa na mengineyo.
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
@@abuufayaadh8270 Itategemea Useme Au Niseme Mimi Muislamu. Kwajambo Lipi. Tunao Wapo Waislamu Wengi. FANAUDHU BILLAH Tuliobakia Na Uislamu Huo Wamimi Ni Muislamu. Watu Wema Waza Sizamani Sanaaaa. Walikuwa Wakitosha Kuwajua Kuwa Hawa Ni Waislamu Kwazile Sira Natabia Zao Njema. Sio Sisi Majivuno Nakuwaona Wengine Hawajui. Nala Si WachaMungu Bali Niwa WachaMungu. Ogopa Kitu Kinaitw "ANA" Mimi' Umimi.
Katika mashekhe wrote wewe kiboko yao
Huyu jamaaaa ,azinduliwe anazidi kupotea ndugu zangu, anamatatizo huyu
@khalidkassimmadoa9329
Жыл бұрын
matatizo unayo wewe unayeona mtatizo hata pasipo....na matatizo!!
@saidkondo5112
Жыл бұрын
@@khalidkassimmadoa9329 katika dini hakuna jambo la kudharauriwa ,au mtu hasemwi kwa jitihada zake za kheri katika dini, anapopwaya mwenzio wewe zibaa kaza, lakini naomba kujua unamaarifa kidogo na dini?
@omaryramdhani9823
Жыл бұрын
Wewe ndio uzinduliwe SI yeye ,huyu yupo makini mno kama hutaki basi, yapo meengi yakukataza yalo mabaya kama mnakheri mngeanza kwayo watoto wenu watembea uchi tena wakinyama zinaa ndio fasheni hamyasemi wahabi wakubwa ninyi
huyukipozeo nimtumpuuzi
Hakuna shee hapa
Kama unakubabali kufuga ndevu ni sunna na kukata kanzu ni sunna ya nini kuwasema wanaipambania ? Je wao kuna mahala wamesema kwamba kuwasaidia mayatima,wajane nk hayana maana? Au wanasema dini inaishia kwenye hizo sunna tu? Hao jamaa unaowasema chunguza ni vituo vingapi vya mayatima wanavyo viendesha nchini!! Madrasa,vyuo,Mashule na huduma nyingi za kijamii zimeenea!!
@jamalishoo3802
Жыл бұрын
Maswali kama haya waulize na wale waupande wapili
@abuufayaadh8270
Жыл бұрын
@@jamalishoo3802 Fafanua kidogo ili tukuelewe zaidi na tupate faida
@iddimohamed254
Жыл бұрын
Mi nashangaa Mtu wa sunna anaenda maulidini msiba huu....
Maulid na kulisha yatima lipi ni kheri ,je mtume gani kasheherekea maulid
@shabanligaya152
Жыл бұрын
Soma dogo acha ushabiki
@user-wt8uo4sj6t
11 ай бұрын
Swali lako halina maana
comedian katka ubora wake
Mashekhe sikuhizi wanafwata palipo na msosi
Mtu mpuuz mpuuz tu kipozeo
Hizo hela mlizotumia hapo kwenye maulid mngepeleka kwa watoto yatima unafikir nithawab kias gan mngepata?nyie ndo mnafanya vitu ambavyo vipo kinyume mnawaacha watoto yatima wanateseka halaf hata aib hamna
@yaziduhamisi4096
Жыл бұрын
Faida iliopatikana hapo sio ndogo
@haridyhillaryndembo1946
Жыл бұрын
Na ww bila hio shughuli ungekomenti wapi? Yatima wa fikra😄😄
@yaziduhamisi4096
Жыл бұрын
Bando uloweka hapo ungesaidia yatima ungepata faida kiasi gan
@husenimmussa6479
Жыл бұрын
Wewe umelea wangap?
@omarykyutta6681
Жыл бұрын
Faida na elim iliyopatikana hapo ni kubwa miongon mwa wanufaikaj had wew