VYANZO VINNE VYA NDOTO | Mwl.Gadielson Mfinanga
KARIBU KUSHIRIKI MAOMBI PAMOJA NASI, PIA UNAWEZA MTOLEA MUNGU SADAKA YAKO KWA NAMBA: 0717258287 -GADIELSON MFINANGA.
KWA MAOMBI NA USHAURI UNAWEZA UKAPIGA SIMU 0656878386
KARIBU KUSIKILIZA VICTORY RADIO
onlineradiobox.com/tz/vradiot...
Пікірлер: 4
Hii imenibariki sanaaaaaa
Ameen. Am much blessed🙏
Amen Amen
Mm nipo oman nimeota mara tatu bis wangu WA kiume anakuja chumbani kwangu mara ya Kwanza niliota yupo uvunguni mwamkitanda changu tukagombana saana kwenye ndoto mara ya pili niliota anakuja mikono yake kama anataka kukamata kitu hivi akanisogerea mpka nilipolaa akasogeza mikono yake mpaka karibu na shingo yangu kwenye ndoto namuona alivotaka kunigusa nikastuka nikapiga kelele mpaka mke wake akaja akajifanya kama na yeye anashangaa ndipo ndoto ikaisha jamani uchawi upo ina maana alikuwa kunikaba mara tatu namuota huyu mtu lakini Mungu mkubwa saana ananipigania