Amen mtumishi watu tunabadilika kutokana namafundisho mnayoyatoa
@jeskadoto50022 жыл бұрын
Past n kwel usemalo mungu akubark sana Ila nkumbuke kwa maombi maan at a Mimi nataman mungu anfungulie na anibark npate mwenzi mwema
@joannyaboke2067 Жыл бұрын
True pastor David
@lidyabaraza90995 жыл бұрын
I believe and i receive in the Mighty Name of JESUS AMEN Ubarikiwe sana
@fatemajohn31955 ай бұрын
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa somo zuri
@miriamquite76655 жыл бұрын
Thank you pastor 👏👏👏
@ramasonyo27275 жыл бұрын
najifunza sana mchungaji mungu akubariki kwa kuwa najikuta naweza kuyahanle mahusiano yangu kwa namna ipasayo na yakumpendeza mungu
@rkhamis17715 жыл бұрын
Ahsante Pr, MUNGU na akubariki
@JustinJames-bp1wg Жыл бұрын
Asante sana pester nilikua kwenye atua hyo nashukur San Kwa ujumbe wako amina
@eliviaevodius93834 жыл бұрын
Asante pastor mbarga
@MsafiriPhinias-xd8ox3 ай бұрын
Nabalikiwa na mahubili
@MaleaTumaini7 ай бұрын
Mungu na azidi kukutumia siku zote mtumishi wa Mungu
@Simplepleasures94 жыл бұрын
Amina, hakika Yesu ndio chanzo cha Safari njema
@danielmacharia67943 жыл бұрын
Wah
@user-rf5ld3ux7w Жыл бұрын
Amin mtumish ubarikiwe san
@JohnJohn-ql2kf7 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@monjoo_tzmonjoo57713 жыл бұрын
Utarikiwe sana mchungaji
@chantalshimi96195 жыл бұрын
Safi sana Mchungaji. Nimebarikiwa sana🙏
@sabrinakenya23535 жыл бұрын
Hakika umenena ukweli; Amani ya Bwana wetu yesu iwe pamoja nanyi siku zote.
@johnedward81035 жыл бұрын
be blessed pastor
@judithcherono25955 жыл бұрын
Amen umeniupili iyo point ni yangu kutoka Dubai,Sabato njema
@davidmmbaga3350
5 жыл бұрын
Judith Cheroto amen
@sirilimtili6439
5 жыл бұрын
Amina
@winnieigunda7619 Жыл бұрын
Ubalikiwe mtumishi was Mungu nakupata sana
@MwanjiMasige-le5ug8 ай бұрын
❤ Amina paster
@godsongirl97405 жыл бұрын
ubarikiwe pastor
@rosepeter89964 жыл бұрын
😂😂🙏🙏🙏barikiwa sana mchungaji mahubiri yako yamenifaa siku ya leo💞💞🙏🙏
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
rose Peter Amen
@user-xs1kf3gf8v Жыл бұрын
Mungu akubaliki
@chrispinimpepo74475 жыл бұрын
MCHUNGAJI UMENIGUSAA BHANA ONGELAA
@junekemunto90355 жыл бұрын
Watching love frm turkana county kenya nyc i rem kuwa si kila alie na nyundo ni fundi
@barakasassi33045 жыл бұрын
amen PR d mbaga
@angelamassawemassawe2983 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@erickperesi51922 жыл бұрын
Barikiwa saana mchungaji, japo nilitaka kukuuliza kwa upande wa huduma zako za vitabu mbona huku mkoa wa kagera umetusahau saana?
@lutemahindiakaje50465 жыл бұрын
Asante
@lathocelalathocela36033 жыл бұрын
Barikiwa🙏🙏🙏🙏🙏
@thobiasnzanie51253 жыл бұрын
Amen
@evertheobald1811 Жыл бұрын
❤❤❤
@gloriouswaeni48904 жыл бұрын
Praise God... Nina Swali kwako mchungaji... Hivi Ukipata kijana a nakupenda na ni mcha mungu na pia hard working but unashindwa kumpenda sababu ya height... Can you still get married and live happily???
@Pr_Stanley_JB.
3 жыл бұрын
Hi
@user-fz9le6md1k7 ай бұрын
Kupitia semina hii akanipe aliye sahihi
@samueljr91055 жыл бұрын
Wanakula zaidi sababu hawajatolea jasho hapo ni kweli kabisa
@mshindivictor1690
5 жыл бұрын
Asante
@priscamallya85695 жыл бұрын
Hakika unatuelimishaa
@milkanangi21792 жыл бұрын
Thanks
@edsonbenjamin84163 жыл бұрын
Nashukuru mung kwakunipa nafas ya kusikiliza masomo yako ubalikiwe pasta mbaga.
@user-rf5ld3ux7w Жыл бұрын
Amin mchungaji
@mwanamwende36515 жыл бұрын
Ni kweli kabisa pasipo yesu hatuwezi lolote
@hillarymollel1862
5 жыл бұрын
Hakika
@anithamami8133
3 жыл бұрын
Hillary Mollel uuurl
@maligisadotto86315 жыл бұрын
Hivi kuapa wakati wa kufunga ndoa imetokana na neno au agizo lipi kwenye Biblia? Kwani ninachofahamu Yesu Kristo alikataza kuapa katika Mathayo 5:34 Lakini mimi nawaambia, msiape kabisa, ama kwa mbingu, kwa sababu ni kiti cha enzi cha Mungu, 35 au kwa ardhi, kwa sababu ndipo mahali pake pa kuwekea miguu, au kwa Yerusalem kwa sababu ndio mji wa Mfalme Mkuu. 36 Msiape kwa vichwa vyenu kwa sababu hamwezi kugeuza hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi. 37 Ukisema 'Ndiyo' basi iwe 'Ndiyo'; na ukisema 'Hapana' basi iwe 'Hapana'. Lolote zaidi ya haya hutoka kwa yule mwovu. Lakini pia katika Yakobo 5:12 Zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, ama kwa mbingu, au kwa dunia au kwa kiapo kingine chochote. Bali mkisema 'ndiyo' iwe ndiyo, na mkisema 'hapana' hapana.
@MbayoProtais4 жыл бұрын
Jamani mkishasikia mahubiri ninawakaribisheni mpate wimbo wa injili kzread.info/dash/bejne/g36c2bmho5CbgNo.html Yesu kristo awe nany
@lissajeruto53733 жыл бұрын
Ameen
@eddahnyongesa70205 жыл бұрын
Ubarikiwe pst kwa mawaidha yako mazuri
@bethakalilookitnice6695
5 жыл бұрын
I like it
@bethakalilookitnice6695
5 жыл бұрын
baba vizuri pastor
@petermaganga9105
4 жыл бұрын
Pr nimebalikiwa sana na somo la Leo nimejifunza kitu
@rhinakiza4 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂😂💃💃💃
@beatricesimon50143 жыл бұрын
Ameen Ameen
@enockmasigwa4 жыл бұрын
Kila wakati wayeyusha kiroho Maulana akubariki ndo uzidi kutupasha ya mbinguni
@focustz44085 жыл бұрын
Good
@witneshawa116
5 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho .Maana salam tu nusu saa
@focustz4408
5 жыл бұрын
@@witneshawa116 salam ndefu ndio nn
@kelvinkasiano20005 жыл бұрын
Anayejua jina analotumia huy mch. Insta tafadhal aniambie
@drwinnie7145
5 жыл бұрын
Kelvin Kasiano pastor David mbaga
@kelvinkasiano2000
5 жыл бұрын
@@drwinnie7145 shukrani
@mbiutv
Жыл бұрын
Pastor _David_mmbaga
@montteyfloki39533 жыл бұрын
Yani ukimfatilia huyu jamaa alafu ukashindwa kupata changes ktk maisha.....unahitaji nguvu ya ziada ya maombi
Пікірлер: 74
Asante pastor nataman nipate mweza wangu na mm
much respect to you pastor mbagga!
Amen mtumishi watu tunabadilika kutokana namafundisho mnayoyatoa
Past n kwel usemalo mungu akubark sana Ila nkumbuke kwa maombi maan at a Mimi nataman mungu anfungulie na anibark npate mwenzi mwema
True pastor David
I believe and i receive in the Mighty Name of JESUS AMEN Ubarikiwe sana
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa somo zuri
Thank you pastor 👏👏👏
najifunza sana mchungaji mungu akubariki kwa kuwa najikuta naweza kuyahanle mahusiano yangu kwa namna ipasayo na yakumpendeza mungu
Ahsante Pr, MUNGU na akubariki
Asante sana pester nilikua kwenye atua hyo nashukur San Kwa ujumbe wako amina
Asante pastor mbarga
Nabalikiwa na mahubili
Mungu na azidi kukutumia siku zote mtumishi wa Mungu
Amina, hakika Yesu ndio chanzo cha Safari njema
Wah
Amin mtumish ubarikiwe san
Ubarikiwe sana pastor
Utarikiwe sana mchungaji
Safi sana Mchungaji. Nimebarikiwa sana🙏
Hakika umenena ukweli; Amani ya Bwana wetu yesu iwe pamoja nanyi siku zote.
be blessed pastor
Amen umeniupili iyo point ni yangu kutoka Dubai,Sabato njema
@davidmmbaga3350
5 жыл бұрын
Judith Cheroto amen
@sirilimtili6439
5 жыл бұрын
Amina
Ubalikiwe mtumishi was Mungu nakupata sana
❤ Amina paster
ubarikiwe pastor
😂😂🙏🙏🙏barikiwa sana mchungaji mahubiri yako yamenifaa siku ya leo💞💞🙏🙏
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
rose Peter Amen
Mungu akubaliki
MCHUNGAJI UMENIGUSAA BHANA ONGELAA
Watching love frm turkana county kenya nyc i rem kuwa si kila alie na nyundo ni fundi
amen PR d mbaga
Ubarikiwe mchungaji
Barikiwa saana mchungaji, japo nilitaka kukuuliza kwa upande wa huduma zako za vitabu mbona huku mkoa wa kagera umetusahau saana?
Asante
Barikiwa🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
❤❤❤
Praise God... Nina Swali kwako mchungaji... Hivi Ukipata kijana a nakupenda na ni mcha mungu na pia hard working but unashindwa kumpenda sababu ya height... Can you still get married and live happily???
@Pr_Stanley_JB.
3 жыл бұрын
Hi
Kupitia semina hii akanipe aliye sahihi
Wanakula zaidi sababu hawajatolea jasho hapo ni kweli kabisa
@mshindivictor1690
5 жыл бұрын
Asante
Hakika unatuelimishaa
Thanks
Nashukuru mung kwakunipa nafas ya kusikiliza masomo yako ubalikiwe pasta mbaga.
Amin mchungaji
Ni kweli kabisa pasipo yesu hatuwezi lolote
@hillarymollel1862
5 жыл бұрын
Hakika
@anithamami8133
3 жыл бұрын
Hillary Mollel uuurl
Hivi kuapa wakati wa kufunga ndoa imetokana na neno au agizo lipi kwenye Biblia? Kwani ninachofahamu Yesu Kristo alikataza kuapa katika Mathayo 5:34 Lakini mimi nawaambia, msiape kabisa, ama kwa mbingu, kwa sababu ni kiti cha enzi cha Mungu, 35 au kwa ardhi, kwa sababu ndipo mahali pake pa kuwekea miguu, au kwa Yerusalem kwa sababu ndio mji wa Mfalme Mkuu. 36 Msiape kwa vichwa vyenu kwa sababu hamwezi kugeuza hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi. 37 Ukisema 'Ndiyo' basi iwe 'Ndiyo'; na ukisema 'Hapana' basi iwe 'Hapana'. Lolote zaidi ya haya hutoka kwa yule mwovu. Lakini pia katika Yakobo 5:12 Zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, ama kwa mbingu, au kwa dunia au kwa kiapo kingine chochote. Bali mkisema 'ndiyo' iwe ndiyo, na mkisema 'hapana' hapana.
Jamani mkishasikia mahubiri ninawakaribisheni mpate wimbo wa injili kzread.info/dash/bejne/g36c2bmho5CbgNo.html Yesu kristo awe nany
Ameen
Ubarikiwe pst kwa mawaidha yako mazuri
@bethakalilookitnice6695
5 жыл бұрын
I like it
@bethakalilookitnice6695
5 жыл бұрын
baba vizuri pastor
@petermaganga9105
4 жыл бұрын
Pr nimebalikiwa sana na somo la Leo nimejifunza kitu
Hahaha😂😂😂😂💃💃💃
Ameen Ameen
Kila wakati wayeyusha kiroho Maulana akubariki ndo uzidi kutupasha ya mbinguni
Good
@witneshawa116
5 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho .Maana salam tu nusu saa
@focustz4408
5 жыл бұрын
@@witneshawa116 salam ndefu ndio nn
Anayejua jina analotumia huy mch. Insta tafadhal aniambie
@drwinnie7145
5 жыл бұрын
Kelvin Kasiano pastor David mbaga
@kelvinkasiano2000
5 жыл бұрын
@@drwinnie7145 shukrani
@mbiutv
Жыл бұрын
Pastor _David_mmbaga
Yani ukimfatilia huyu jamaa alafu ukashindwa kupata changes ktk maisha.....unahitaji nguvu ya ziada ya maombi
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
🙏
@jeymomutui9
Жыл бұрын
God bless you apostle