LIFE WISDOM : JIFUNZE HILI ILI UPATE MSAADA - JOEL NANAUKA

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 51

  • @bina2557
    @bina255719 күн бұрын

    Ubarikiwe sana kaka Joel hata mimi kuna majira nilipita peke yangu lakini hayo mazingira yalinifundisha sana kujenga uwezo wa kujisimamia mpaka leo sjawahi kurudi nyuma

  • @flemingrwela193

    @flemingrwela193

    18 күн бұрын

    Asante Sana nimejifunza kitu kikubwa Sana

  • @calvinsway5309

    @calvinsway5309

    17 күн бұрын

    Nimepata kitu hapa.

  • @SimonyMsigwa
    @SimonyMsigwa19 күн бұрын

    Nashukulu kukujua umenibadili maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana mungu akupe maisha malefu

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle928816 күн бұрын

    Kaka nimekuwa nikikufatilia sana,umenisaidia sana,hta sasa nimesimama na Mungu,wanadamu niwanafki tu yaan

  • @officialbachako
    @officialbachako17 күн бұрын

    Ni kweri kabisa ni kitu chenye hata mimi kimenitokia kipindi najifunza pikipiki alikuwa nani fundisho brother nikiwa nae hata ikizima ananielekeza lkn siku nilipo endesha pekee Ang ndo siku niliyo jua kuendesha vzl maana niligundua niko pekee Ang na niko mbali inabidi nirudi nyumbani asante

  • @Alex-wq4pg
    @Alex-wq4pg17 күн бұрын

    Nashukuru Sana kwa mafunzo...lakini kunawakati mtu nakosa kabisa sio ati nikupenda ni kukosa nafasi kabisa kunawakati na kataa tamaa kabisa

  • @Omymadam6266
    @Omymadam626615 күн бұрын

    Nimejifunza kujitegemae mm mwenyewe na kuacha kutegemea watu.

  • @ShadrackMabera
    @ShadrackMabera16 күн бұрын

    Ubarikiwe kaka Joel

  • @denisdawson6231
    @denisdawson623118 күн бұрын

    Uko sahihi Joel

  • @tfashy_hub9156
    @tfashy_hub91569 күн бұрын

    Kaka joel Naomba uongeze sauti kwa video. Sauti ipo chini sana. ❤

  • @user-je2qo8cp9e
    @user-je2qo8cp9e19 күн бұрын

    Mungu akubariki sana kaka hakika msimamiz wa maisha yetu ni sisi wenyewe.

  • @NeemaMrema-vq7kb
    @NeemaMrema-vq7kb19 күн бұрын

    Mwenye Mungu akubariki sana Mr.Joel kwakwel nimejifunza kitu kikubwa kupitia story yako naami ntaafanikiwa kuishinda hofu ndani yang🙏

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted550114 күн бұрын

    Funzo *** ona kama hamna mtu WA kukusaidia,hakika utaweka JUHUDI kwenye jambo husika ***Usiwachukie watu ambao wameshindwa kukusaidia ,wakati Wanao uwezo wa kufanya hivyo ___msaada NI hiari ✊

  • @PhinerGreyson
    @PhinerGreyson16 күн бұрын

    Asante sana kwa sababu wakat wote nikikusikiliza nahisigi kabsa wazungumza na mm unanijenga sana na nazidi kujifunza asante mollah akubariki na akuweke sana

  • @monicakauky8914
    @monicakauky891419 күн бұрын

    Nimejifunza kutokutegemea Sana watu,mambo mengine natakiwa niyafanye mwenyewe.

  • @DorethMselem
    @DorethMselem16 күн бұрын

    Asantee sana imenisaidia

  • @vanessasalema6087
    @vanessasalema608715 күн бұрын

    Amen. Be blessed

  • @beatricemwita4380
    @beatricemwita438019 күн бұрын

    Kutokutegemea watu,nilimaliza shule nikiwa Sina ramani ili nimepambana na ninamshukuru Mungu kwa hapa nilipofika japo safari Bado ni ndefu sana See me at the Top

  • @imanimwashiuya223
    @imanimwashiuya22318 күн бұрын

    asante sana kaka joer na mungu akupemaisha marefu

  • @user-vx5rb6rg1v
    @user-vx5rb6rg1v14 күн бұрын

    Be blessed bro🎉

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga739419 күн бұрын

    Asante sana

  • @WINNERBOYKE
    @WINNERBOYKE19 күн бұрын

    Mwalimu ❤❤

  • @josephtesha872
    @josephtesha87219 күн бұрын

    Kaka nashkuru asanteee nimejifunzaa🙏

  • @BiregeyaSabune
    @BiregeyaSabune19 күн бұрын

    asante sana Joel mimi ni mufwasi wako wakilasiku na natamani sana venye naeza pata vitabu vyako

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    19 күн бұрын

    Nashukuru sana, karibu sana 0762 31 21 71

  • @MeshakiKisalu-dt8vo

    @MeshakiKisalu-dt8vo

    19 күн бұрын

    Mimi naomba ushauli nashindwa kujiamini nifanyeje

  • @DanielSamwel-j5k
    @DanielSamwel-j5k18 күн бұрын

    Asante sana bro joeli na mimi napitia wakati huu sasaivi Asante kwa kunifa maarifa Mungu akubariki

  • @user-gt2dg5gy2h
    @user-gt2dg5gy2h19 күн бұрын

    Nimejifunza kitu kikubwa sasa😊😊nashukuru kwa hili naamin mbaka kufika hapa kwa sababu niliowategemea wanisaidie wakaniacha 😊hii ndio iliyonivusha Sitalaum kwa yeyote atakae Acha kunisupport 🙏maisha yangu yapo mikononi mwangu

  • @rosemarysulle9288

    @rosemarysulle9288

    16 күн бұрын

    Kiukweli haya maisha simama na.Mungu,wanadamu ni hatari bora.mnyama

  • @estherkeba24
    @estherkeba2418 күн бұрын

    🙏

  • @ezekielanthony296
    @ezekielanthony29619 күн бұрын

    Exactly 🧭

  • @EdwinaJeremia-do1bs
    @EdwinaJeremia-do1bs19 күн бұрын

    Ubarikiwe sana🙏🙏

  • @humphureyurasa8424
    @humphureyurasa842419 күн бұрын

    Joel ur the great person on the earth, may God help u to stay strong forever.

  • @user-th7lj2nj4b
    @user-th7lj2nj4b19 күн бұрын

    Najiuliza kwanini nilicheleawa kukujua your the best 🙏

  • @NickGamba-ft8tl
    @NickGamba-ft8tl19 күн бұрын

    ASANTE MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi328019 күн бұрын

    Some zuri Sana coach Joel nimejifunza uko Sahihi barikiwa sana

  • @happinessosango8378
    @happinessosango837819 күн бұрын

    Umeongea ukweli kabisa .Asante kwa kunifungua nimepata kitu.

  • @eliasludamila4600
    @eliasludamila460019 күн бұрын

    Nakubal Mwamba,,upo vzr sana 🙏

  • @GraceSteven-qq5hn
    @GraceSteven-qq5hn18 күн бұрын

    Asant

  • @lodrickolaph6640
    @lodrickolaph664019 күн бұрын

    True story about me, nimejifunza kitu

  • @simplismrosso5084
    @simplismrosso508419 күн бұрын

    Asanteh sana kaka Joel nmejifunza kitu

  • @eleneosindano5633
    @eleneosindano563319 күн бұрын

    Asante sana kakaa nimejifunza kitu hapaa

  • @AmericoSimao-gq8cn
    @AmericoSimao-gq8cn19 күн бұрын

    Napokea

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain961819 күн бұрын

    Asante Kaka 🎉🎉🎉🇨🇩

  • @AbdulkadirHaji-dd4uu
    @AbdulkadirHaji-dd4uu19 күн бұрын

    Nimejifunza lakini sijaridhika na nilichojifunza. HIVI IKAWAJE BAADA YA KUJUA KUENDESHA BAISKELI? KWA RAFIKI ZAKO WALIOKUWA WANAKUCHEKA?

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle928816 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga739419 күн бұрын

    Asante sana

  • @eleneosindano5633
    @eleneosindano563319 күн бұрын

    Asante sana kakaa nimejifunza kitu hapaa

  • @adrianosimalimoto6485

    @adrianosimalimoto6485

    19 күн бұрын

    Asantee Sanaa kaka