VIPI UTAOGA JANABA

Ғылым және технология

Пікірлер: 227

  • @fatumahirbotuke1663
    @fatumahirbotuke16635 жыл бұрын

    Ma shaa Allah shukran jazak Allahu kheir sheikh naipenda sana mawaidha yako Allah akujalie kila LA kheri

  • @Mjukuuwabibi17

    @Mjukuuwabibi17

    3 ай бұрын

    Jazak Allah kheir

  • @fazkirtube1329
    @fazkirtube13295 жыл бұрын

    JazakhaAllah mungu akuzidishie elmi zaidi...ustadh

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan73454 жыл бұрын

    Allah akulipe kila la kher kwa jihad yko ktk Dini

  • @chafumirro5617
    @chafumirro56175 жыл бұрын

    Mawaidha na comedy ndani yake safi sana shekhe

  • @aimanaiddy1313
    @aimanaiddy13135 жыл бұрын

    Shukurani shee wetu mungu akuzidishi rehema juu yako kwakutuma mawaidha mazuri

  • @lailahasan2200
    @lailahasan22004 жыл бұрын

    Nimejifunza, nimeelewa... Jazakallah khaira.... Inshaallah

  • @stevewanga957
    @stevewanga9575 жыл бұрын

    Shukran kwa ufundisho wako.... Maisha marefu sheikh

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta68135 жыл бұрын

    Sh.Izzudeen .....Baarakallahu fik💙⚘

  • @mwachidzopoposalimpopo8890
    @mwachidzopoposalimpopo88903 жыл бұрын

    ALLAH akupe umri mrefu nakupenda sana shk wetu😘😘😘😘

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft5 жыл бұрын

    Shukran maalim kwa ukumbusho mzuri,Allah akujaze kher nying sana

  • @abubakarymwandusaabubakary5722
    @abubakarymwandusaabubakary57224 жыл бұрын

    Allah akulipe kwamafunzo mema

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed18713 жыл бұрын

    Asalam Aleikum warahmatullah wabarakatu...shukran lek yaa sheikh kwa mawaidha haya.nimejifunza kitu.Allah akulipe kwa nia yako yaa rabby 🙏

  • @dr.hamiduibrahim1307
    @dr.hamiduibrahim13075 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu wallah! MB zangu hazikwenda bure

  • @amerkombo6693
    @amerkombo66935 жыл бұрын

    Masha Allah mada nzuri sana

  • @abdulazizmohamed3715
    @abdulazizmohamed37155 жыл бұрын

    Allah akuzidishie akupe umri mrefu ili tupate faida nyingi kutoka kwako

  • @sharifmohd4572

    @sharifmohd4572

    3 жыл бұрын

    Kilalakheir shekh mungu ukupe umr mref

  • @aishaabdulrahman8364
    @aishaabdulrahman83644 жыл бұрын

    Mashallah umefanya uzuri kutueleza wazi nawala usiogope kutufahamisha wazi lazma tujue kila kitu

  • @uthmanali6903
    @uthmanali69035 жыл бұрын

    Jazaka Allahu kher Sheikh

  • @jamilamunisi1480
    @jamilamunisi14805 жыл бұрын

    Shukran sana Allah akujalie kheri

  • @user-ib8vb4kh3f
    @user-ib8vb4kh3f Жыл бұрын

    Mashaallah mungu akupe maisha marefu ustaz wet

  • @allanricardo8944
    @allanricardo89443 жыл бұрын

    wallah shukran sana kwa mawaidha nzuri imenielimisha sana ila hapo tupu kwa tupu mbavu zangu shekhe somo nzuri sana jazak kheri mashallah

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka95255 жыл бұрын

    Shukran Sanaa sheikh wetu kwa mafunzo muhimu katika jamii .in Sha Allah Mola Akujaze kheir r

  • @mariamaalouf6120

    @mariamaalouf6120

    5 жыл бұрын

    Mamh

  • @mariamaalouf6120

    @mariamaalouf6120

    5 жыл бұрын

    Jmm

  • @ibrahimsheha215

    @ibrahimsheha215

    5 жыл бұрын

    @@mariamaalouf6120 hahah

  • @khamisially2992
    @khamisially29922 жыл бұрын

    Wallah nikikuskiliza lazma nicheke.😁😁😁..Mashaallah hasbiyallah Allah akupe kheir daima🥰

  • @mbarakaathumani3035
    @mbarakaathumani30355 жыл бұрын

    Allah akutunze mufti

  • @kassimali511
    @kassimali5114 жыл бұрын

    Maasha - Allah Jazak - Allahu kheir.

  • @ZakyaMaarifa
    @ZakyaMaarifa2 ай бұрын

    MashaAllah shukran shekhe kwa mafunzo haya nimejifunza

  • @nasramuddy1956
    @nasramuddy19563 жыл бұрын

    Mashaalla mung akujaaliye maisha marefu 🙏🙏🙏🙏

  • @hazelbrown4712
    @hazelbrown47124 жыл бұрын

    Aibu na Maskitiko Makubwa kuna Baadhi ya Wanawake mpaka leo hawajitwahirishi hawaogi wakimaliza Siku za zao.. wanaoga tu kama kawaida ila hawaogi kwa Ajili ya kumaliza Periods.

  • @Omar_Sharif_Ali

    @Omar_Sharif_Ali

    4 жыл бұрын

    Watapata mboko siku ya kiama

  • @adilmohamed1784

    @adilmohamed1784

    3 жыл бұрын

    Ni wajibu kwetu kuelemishana kama wajua hawajuwi

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana21155 жыл бұрын

    Shukuran Sheh wetu Allah ukuripe kira laheli

  • @zainabuhmbabazi4928
    @zainabuhmbabazi49285 жыл бұрын

    Manshallah jazakallah khayr shekh

  • @omaiim4014
    @omaiim40144 жыл бұрын

    Ahsante sana sheh wetyu tumekuelewa

  • @oscarbravoug6430
    @oscarbravoug64304 жыл бұрын

    Ati mume huawa mayahudi 😂😂😂😂😂(kubonyeza)

  • @jumangomuo9301
    @jumangomuo93015 жыл бұрын

    kwakweli hustadh nnapenda sana unavyo changanua mada

  • @salmasaidi2875

    @salmasaidi2875

    4 жыл бұрын

    Sanaa mashaa ALLAH

  • @amirifundi4831

    @amirifundi4831

    4 жыл бұрын

    Masha allaah

  • @mukhusinmbagwa
    @mukhusinmbagwa5 жыл бұрын

    Allah akujalie kheri shekh

  • @sibamanakhamishusseindurch1020
    @sibamanakhamishusseindurch10202 жыл бұрын

    Jazakallahu sheikh wetu kwa elimu

  • @khamisially2992
    @khamisially29922 жыл бұрын

    Allah akulipe kwa yale uyafundishayo shekhe wetu kipnz

  • @oyay2821
    @oyay28215 жыл бұрын

    Duhh!!! Maelezo kamili

  • @johannahakim8470
    @johannahakim84703 жыл бұрын

    Masha Allah Sheikh nimesikiya kama ni mapya naskuru Allah akulipe kila lakweri

  • @ismashishsmith143
    @ismashishsmith1433 жыл бұрын

    Shukran jazak allahu kheir sheikh

  • @nasrimathias1880
    @nasrimathias18804 жыл бұрын

    Verry nice good brass sheikh THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @sureyomary7950
    @sureyomary79504 жыл бұрын

    Amiin

  • @khadijahkhdoo6387
    @khadijahkhdoo63875 жыл бұрын

    😂😂😂😂🙈🙈 asante sanaa

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale68775 жыл бұрын

    Allah akuzidishie helimo na akulinde kila lashari, pia akupe nguvo ya kutukumbusha waislamo

  • @zulficarbacarsuale6877

    @zulficarbacarsuale6877

    5 жыл бұрын

    Huo ndio wislam kuombea hery kwa allah

  • @rizikisebe890
    @rizikisebe8905 жыл бұрын

    Shukran

  • @hidayajuma5020
    @hidayajuma50205 жыл бұрын

    mashallah mashallah mashallah mashallah

  • @husseinhaidhurojr5469
    @husseinhaidhurojr54694 жыл бұрын

    Hahahaha umenichekesha shekhe ila lizungumzie na hili wake zetu sisi wengine wanapaka vipodoz ambavyo huleta kero mda wakuua wayahud huleta karaha yaharuf

  • @jauzatmusuya5413
    @jauzatmusuya54135 жыл бұрын

    je, mwanamke wakiisilamu kutunisha kichwanisawa?

  • @abdallahmgalla6244
    @abdallahmgalla62444 жыл бұрын

    Allah akupe afya njema

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume3 жыл бұрын

    Somo zuri sana shekhe sasa nimeelewa na mimi namna ya kuoga

  • @ismailokoth6822
    @ismailokoth68224 жыл бұрын

    Allah ibariq!

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi28754 жыл бұрын

    Jazzakallahu khayir yaa Shaikh

  • @maarufabdul128
    @maarufabdul1284 жыл бұрын

    Shukran sheikh

  • @mammykaso4136
    @mammykaso41365 жыл бұрын

    Shekh jee mwanamke yuwaruhusiwa kunyoa nywele Zahara kichwani

  • @ashasimai1630

    @ashasimai1630

    4 жыл бұрын

    Asante kwa ufafanuzi wako shehe

  • @Keed-Mullah
    @Keed-Mullah3 ай бұрын

    Nimeona sana wakizungumza ila sikupata ufafanuzi mzuri kama huu Alhamdulillah 🤝🙏

  • @user-vb2sh3tj7u
    @user-vb2sh3tj7u9 ай бұрын

    Ahsante shekhe kwa mawaidha mazuri

  • @salama2625
    @salama26254 жыл бұрын

    Jazakhallah khaira sheikh

  • @zinabzinabo8916
    @zinabzinabo89162 жыл бұрын

    Shkuran jazillah Allah akupee uzima utufunze zaidi y apa

  • @iptisamalnabhani6303
    @iptisamalnabhani63033 жыл бұрын

    Huyu Shaikh anajua kutoa mawaidha mashaallah

  • @teekaydrcongo8076
    @teekaydrcongo80765 жыл бұрын

    Asante sana sheeh

  • @mbaroukrajab
    @mbaroukrajab Жыл бұрын

    Allah akulipe kila la kheri sheikh wetu

  • @shabaniashabani3423
    @shabaniashabani34235 жыл бұрын

    Ishall

  • @his-queenaisha7086
    @his-queenaisha70865 жыл бұрын

    Shukran kwa mawaidha

  • @daressalaamtanzania2736

    @daressalaamtanzania2736

    3 жыл бұрын

    Slm lykm Samahani umeolewa?

  • @his-queenaisha7086

    @his-queenaisha7086

    3 жыл бұрын

    @@daressalaamtanzania2736 ndio

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis29243 жыл бұрын

    Maashaallaah maashaallaah asant nimefahamu

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura3 жыл бұрын

    Jazakhallahu khairaa ustadh

  • @captaineussuph5940
    @captaineussuph59405 жыл бұрын

    Man sha Allah

  • @daudmwita285
    @daudmwita2855 жыл бұрын

    Shukraaan sheh

  • @zainaburajabu2863
    @zainaburajabu28635 жыл бұрын

    Nakukubali sana mwalim fundisha

  • @swahibamussa2347
    @swahibamussa23474 жыл бұрын

    Mashallah nimekifunza kitu

  • @user-sm1wk5cg6n
    @user-sm1wk5cg6n5 ай бұрын

    Jazaakallahu khayrah,lakin nina swali shekh,nifasi ni nini?

  • @anksusiabdurashid114
    @anksusiabdurashid1143 жыл бұрын

    Allaah Kareem Shukran

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan47485 жыл бұрын

    Thanks

  • @awadhgugu317
    @awadhgugu3174 ай бұрын

    Shekhe nani alikabwa koo akatokwa na mani badala ya choo😅😅😅😅😅

  • @abdillahsultan7775
    @abdillahsultan77755 жыл бұрын

    Je Sheih wale ambao hawajaowa wakiwa na matamanio wakapiga punyote; je? hapa nifafanulie cjw sawa

  • @farhiya2205

    @farhiya2205

    5 жыл бұрын

    Utaoga janaba mwenzangu...sababu utakua umetokwa na manii hapo,pia umejishika tupu kwa kujimalizia tama ulo kua nayo hadi ukamwaga nisawa na kuonana kimwili na mwanamke

  • @mohamedlali1821

    @mohamedlali1821

    5 жыл бұрын

    @@farhiya2205 mn

  • @mzongemzonge5340
    @mzongemzonge53403 жыл бұрын

    Innshaalaah sheh Mungu Akuhaafuu

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe51725 жыл бұрын

    MaashAllah vizuri, Alhamdulilah, InshAllah heri, saumu ni ya Allah tu

  • @faudhiahamad8202

    @faudhiahamad8202

    3 жыл бұрын

    Muhim maji yafike

  • @nzigepeter5465
    @nzigepeter54655 жыл бұрын

    Hahahaha,,,,,,,,ati eagle's nail

  • @mansourkombo587
    @mansourkombo587 Жыл бұрын

    Shukran kw elim yako nmepta kujuwa mamb nlikuwa siyajuw

  • @user-nb5yl3id7k
    @user-nb5yl3id7k8 ай бұрын

    Masha allah akuhifadhi

  • @zobidaal4423
    @zobidaal44235 жыл бұрын

    Eti mapliti shekhe unavituko wewe😂😂

  • @minaminaa1669

    @minaminaa1669

    5 жыл бұрын

    😊😀

  • @abullahkabaka8774

    @abullahkabaka8774

    3 жыл бұрын

    😀😀

  • @nyokamuddy4194
    @nyokamuddy41945 жыл бұрын

    Mwenyez Mungu akulipe kwa hili

  • @ayububakari8513

    @ayububakari8513

    5 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @wardamunguakulindenashaliz2556
    @wardamunguakulindenashaliz25564 жыл бұрын

    Mungu akulinde

  • @salimumuro4661
    @salimumuro46614 жыл бұрын

    Ahsante sheikh mie nataka kuoga nifasi Leo naomben mnisaidie dua us kukoga nifas jaman

  • @salimumuro4661

    @salimumuro4661

    4 жыл бұрын

    Ni mke Wang lakn anayetaka kukoga nifas

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    ​@@salimumuro4661 unatia Nia ya kujisafisha na nifasi alafu unaoga kama unavyooga hedhi au janaba

  • @RASHIDALI-xr1gs
    @RASHIDALI-xr1gs3 жыл бұрын

    Wallah shukran kw hili

  • @minakilua1169
    @minakilua11695 жыл бұрын

    Mashaallah........

  • @nassorhamad48
    @nassorhamad484 жыл бұрын

    Good job

  • @abubakarmaka1621
    @abubakarmaka16212 жыл бұрын

    Jazakhallah kheiran....insllah

  • @adudud740
    @adudud7405 жыл бұрын

    thanks a lot

  • @arabuseremansakinaarabusak8443
    @arabuseremansakinaarabusak84435 жыл бұрын

    je umaliza kujamiana na mkeo kitandan na mashuka yamedondokewa naa manii au janaba wewe umepata udhu na walusiwa kulala ndan ya mashuka Yale au kitandan mle kwenye mashuka

  • @lutufiahamisi4159

    @lutufiahamisi4159

    5 жыл бұрын

    lazima uyatoe

  • @majidihamisi774

    @majidihamisi774

    5 жыл бұрын

    Ni vyema ukayatoa ndiomana wengine hua twaweka taulo maalum kidha hulitoa

  • @luisjr1301

    @luisjr1301

    5 жыл бұрын

    Arabu Sereman Sakina Arabu Sakina Arabu wazin na mkeo?

  • @josephinekabuka3877

    @josephinekabuka3877

    4 жыл бұрын

    Ni vyema ukatoa na usichelewe kufua nguo yenye shahawa na ukiisha ifua unajisi wake huisha jioni hadi jioni

  • @shahidhassan5293
    @shahidhassan52934 жыл бұрын

    Allah akustir fiddunia wal Akhira

  • @salmalaga3132
    @salmalaga31322 жыл бұрын

    Shehe swalilangu lipo nje yamada ilanaomba unijibu tu kutawadha nimevaa gauni llamikonomilefu lisiloweza kukunjika natiamajiivyoivyo gauniinalowa mpaka ngozi yamikono inaswihi?

  • @modinakshy6276
    @modinakshy62762 жыл бұрын

    Shukran brother

  • @hadiahussein9888
    @hadiahussein98884 жыл бұрын

    Je ukiwa umesuka msuko wakaida tu unaruhuswa kuog bila kufumua au mpk ufumue????

  • @emirmatimbwa7059

    @emirmatimbwa7059

    3 жыл бұрын

    Haina ulazima kufumua ilimradi maji yafike kwenye ugozi kufumua nilazima pale unapotakakujitwaharsha na hedhi hapo ndo lazima

  • @salhiayasri4246
    @salhiayasri42464 жыл бұрын

    Asante kwaelimu

  • @rajaburamadhani1191
    @rajaburamadhani11915 жыл бұрын

    Jazzakanrah kheri

  • @xasanfaroole8160
    @xasanfaroole81605 жыл бұрын

    Shukuran sheikh umenifundisha mengi

  • @elnabilbentaleb7008
    @elnabilbentaleb70084 жыл бұрын

    Naomba Nieleweshwe Kiti kimoja,katika kuoga janaba wengine wanasema makopo saba mara wengine matatu lkn shekh umesema unafungulia maji kwa nilivyoelewa ata bomba la mvua unaweza kuoga kwa maana hyo cha muhimu ni maji tu yafike mwili mzima au vp???

  • @whardouhmidevuh9006

    @whardouhmidevuh9006

    3 жыл бұрын

    Nafikiri ni hvyo

  • @farajisureman9925
    @farajisureman99255 жыл бұрын

    Mwalim,akitokwa na madhii na madii? Maanake zile nyute au majimaji humtoka mume wakati flani akisimamisha.Inakuwaje pia au ni janaba pia?

  • @harunarubega5002

    @harunarubega5002

    5 жыл бұрын

    Hapana

  • @awadhgugu317
    @awadhgugu3174 ай бұрын

    Wewe shekhe wee jamaa😅😅😅😅😅

  • @kilimaentertainment1687
    @kilimaentertainment16875 ай бұрын

    Huyu ostadh amenyooka

  • @user-ny1uv5vx5o
    @user-ny1uv5vx5o Жыл бұрын

    Nashukulu mungu kwa mawaidha

  • @omarimuavu9643
    @omarimuavu96435 жыл бұрын

    shekh umetisha

Келесі