Келесі
- 16:34
- 148 М.
- 00:11
- 42 МЛН
- 6 күн бұрын
- 00:16
- 61 МЛН
- 20 күн бұрын
- 00:49
- 43 МЛН
- 25 күн бұрын
- 00:25
- 3,2 МЛН
- 8 күн бұрын
- 17:37
- 79 М.
- 46:59
- 155 М.
- 12:02
- 20 М.
- 37:12
- 431 М.
- 17:20
- 39 М.
- 1:30:54
- 5 М.
- 0:41
- 1,2 МЛН
- 24:07
- 437 М.
- 0:49
- 553 М.
- 0:57
- 2,9 МЛН
Пікірлер: 227
Ma shaa Allah shukran jazak Allahu kheir sheikh naipenda sana mawaidha yako Allah akujalie kila LA kheri
@Mjukuuwabibi17
3 ай бұрын
Jazak Allah kheir
JazakhaAllah mungu akuzidishie elmi zaidi...ustadh
Allah akulipe kila la kher kwa jihad yko ktk Dini
Mawaidha na comedy ndani yake safi sana shekhe
Shukurani shee wetu mungu akuzidishi rehema juu yako kwakutuma mawaidha mazuri
Nimejifunza, nimeelewa... Jazakallah khaira.... Inshaallah
Shukran kwa ufundisho wako.... Maisha marefu sheikh
Sh.Izzudeen .....Baarakallahu fik💙⚘
ALLAH akupe umri mrefu nakupenda sana shk wetu😘😘😘😘
Shukran maalim kwa ukumbusho mzuri,Allah akujaze kher nying sana
Allah akulipe kwamafunzo mema
Asalam Aleikum warahmatullah wabarakatu...shukran lek yaa sheikh kwa mawaidha haya.nimejifunza kitu.Allah akulipe kwa nia yako yaa rabby 🙏
Nimejifunza kitu wallah! MB zangu hazikwenda bure
Masha Allah mada nzuri sana
Allah akuzidishie akupe umri mrefu ili tupate faida nyingi kutoka kwako
@sharifmohd4572
3 жыл бұрын
Kilalakheir shekh mungu ukupe umr mref
Mashallah umefanya uzuri kutueleza wazi nawala usiogope kutufahamisha wazi lazma tujue kila kitu
Jazaka Allahu kher Sheikh
Shukran sana Allah akujalie kheri
Mashaallah mungu akupe maisha marefu ustaz wet
wallah shukran sana kwa mawaidha nzuri imenielimisha sana ila hapo tupu kwa tupu mbavu zangu shekhe somo nzuri sana jazak kheri mashallah
Shukran Sanaa sheikh wetu kwa mafunzo muhimu katika jamii .in Sha Allah Mola Akujaze kheir r
@mariamaalouf6120
5 жыл бұрын
Mamh
@mariamaalouf6120
5 жыл бұрын
Jmm
@ibrahimsheha215
5 жыл бұрын
@@mariamaalouf6120 hahah
Wallah nikikuskiliza lazma nicheke.😁😁😁..Mashaallah hasbiyallah Allah akupe kheir daima🥰
Allah akutunze mufti
Maasha - Allah Jazak - Allahu kheir.
MashaAllah shukran shekhe kwa mafunzo haya nimejifunza
Mashaalla mung akujaaliye maisha marefu 🙏🙏🙏🙏
Aibu na Maskitiko Makubwa kuna Baadhi ya Wanawake mpaka leo hawajitwahirishi hawaogi wakimaliza Siku za zao.. wanaoga tu kama kawaida ila hawaogi kwa Ajili ya kumaliza Periods.
@Omar_Sharif_Ali
4 жыл бұрын
Watapata mboko siku ya kiama
@adilmohamed1784
3 жыл бұрын
Ni wajibu kwetu kuelemishana kama wajua hawajuwi
Shukuran Sheh wetu Allah ukuripe kira laheli
Manshallah jazakallah khayr shekh
Ahsante sana sheh wetyu tumekuelewa
Ati mume huawa mayahudi 😂😂😂😂😂(kubonyeza)
kwakweli hustadh nnapenda sana unavyo changanua mada
@salmasaidi2875
4 жыл бұрын
Sanaa mashaa ALLAH
@amirifundi4831
4 жыл бұрын
Masha allaah
Allah akujalie kheri shekh
Jazakallahu sheikh wetu kwa elimu
Allah akulipe kwa yale uyafundishayo shekhe wetu kipnz
Duhh!!! Maelezo kamili
Masha Allah Sheikh nimesikiya kama ni mapya naskuru Allah akulipe kila lakweri
Shukran jazak allahu kheir sheikh
Verry nice good brass sheikh THE BIGGEST BOSS NASRI
Amiin
😂😂😂😂🙈🙈 asante sanaa
Allah akuzidishie helimo na akulinde kila lashari, pia akupe nguvo ya kutukumbusha waislamo
@zulficarbacarsuale6877
5 жыл бұрын
Huo ndio wislam kuombea hery kwa allah
Shukran
mashallah mashallah mashallah mashallah
Hahahaha umenichekesha shekhe ila lizungumzie na hili wake zetu sisi wengine wanapaka vipodoz ambavyo huleta kero mda wakuua wayahud huleta karaha yaharuf
je, mwanamke wakiisilamu kutunisha kichwanisawa?
Allah akupe afya njema
Somo zuri sana shekhe sasa nimeelewa na mimi namna ya kuoga
Allah ibariq!
Jazzakallahu khayir yaa Shaikh
Shukran sheikh
Shekh jee mwanamke yuwaruhusiwa kunyoa nywele Zahara kichwani
@ashasimai1630
4 жыл бұрын
Asante kwa ufafanuzi wako shehe
Nimeona sana wakizungumza ila sikupata ufafanuzi mzuri kama huu Alhamdulillah 🤝🙏
Ahsante shekhe kwa mawaidha mazuri
Jazakhallah khaira sheikh
Shkuran jazillah Allah akupee uzima utufunze zaidi y apa
Huyu Shaikh anajua kutoa mawaidha mashaallah
Asante sana sheeh
Allah akulipe kila la kheri sheikh wetu
Ishall
Shukran kwa mawaidha
@daressalaamtanzania2736
3 жыл бұрын
Slm lykm Samahani umeolewa?
@his-queenaisha7086
3 жыл бұрын
@@daressalaamtanzania2736 ndio
Maashaallaah maashaallaah asant nimefahamu
Jazakhallahu khairaa ustadh
Man sha Allah
Shukraaan sheh
Nakukubali sana mwalim fundisha
Mashallah nimekifunza kitu
Jazaakallahu khayrah,lakin nina swali shekh,nifasi ni nini?
Allaah Kareem Shukran
Thanks
Shekhe nani alikabwa koo akatokwa na mani badala ya choo😅😅😅😅😅
Je Sheih wale ambao hawajaowa wakiwa na matamanio wakapiga punyote; je? hapa nifafanulie cjw sawa
@farhiya2205
5 жыл бұрын
Utaoga janaba mwenzangu...sababu utakua umetokwa na manii hapo,pia umejishika tupu kwa kujimalizia tama ulo kua nayo hadi ukamwaga nisawa na kuonana kimwili na mwanamke
@mohamedlali1821
5 жыл бұрын
@@farhiya2205 mn
Innshaalaah sheh Mungu Akuhaafuu
MaashAllah vizuri, Alhamdulilah, InshAllah heri, saumu ni ya Allah tu
@faudhiahamad8202
3 жыл бұрын
Muhim maji yafike
Hahahaha,,,,,,,,ati eagle's nail
Shukran kw elim yako nmepta kujuwa mamb nlikuwa siyajuw
Masha allah akuhifadhi
Eti mapliti shekhe unavituko wewe😂😂
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
😊😀
@abullahkabaka8774
3 жыл бұрын
😀😀
Mwenyez Mungu akulipe kwa hili
@ayububakari8513
5 жыл бұрын
Maashaallah
Mungu akulinde
Ahsante sheikh mie nataka kuoga nifasi Leo naomben mnisaidie dua us kukoga nifas jaman
@salimumuro4661
4 жыл бұрын
Ni mke Wang lakn anayetaka kukoga nifas
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
@@salimumuro4661 unatia Nia ya kujisafisha na nifasi alafu unaoga kama unavyooga hedhi au janaba
Wallah shukran kw hili
Mashaallah........
Good job
Jazakhallah kheiran....insllah
thanks a lot
je umaliza kujamiana na mkeo kitandan na mashuka yamedondokewa naa manii au janaba wewe umepata udhu na walusiwa kulala ndan ya mashuka Yale au kitandan mle kwenye mashuka
@lutufiahamisi4159
5 жыл бұрын
lazima uyatoe
@majidihamisi774
5 жыл бұрын
Ni vyema ukayatoa ndiomana wengine hua twaweka taulo maalum kidha hulitoa
@luisjr1301
5 жыл бұрын
Arabu Sereman Sakina Arabu Sakina Arabu wazin na mkeo?
@josephinekabuka3877
4 жыл бұрын
Ni vyema ukatoa na usichelewe kufua nguo yenye shahawa na ukiisha ifua unajisi wake huisha jioni hadi jioni
Allah akustir fiddunia wal Akhira
Shehe swalilangu lipo nje yamada ilanaomba unijibu tu kutawadha nimevaa gauni llamikonomilefu lisiloweza kukunjika natiamajiivyoivyo gauniinalowa mpaka ngozi yamikono inaswihi?
Shukran brother
Je ukiwa umesuka msuko wakaida tu unaruhuswa kuog bila kufumua au mpk ufumue????
@emirmatimbwa7059
3 жыл бұрын
Haina ulazima kufumua ilimradi maji yafike kwenye ugozi kufumua nilazima pale unapotakakujitwaharsha na hedhi hapo ndo lazima
Asante kwaelimu
Jazzakanrah kheri
Shukuran sheikh umenifundisha mengi
Naomba Nieleweshwe Kiti kimoja,katika kuoga janaba wengine wanasema makopo saba mara wengine matatu lkn shekh umesema unafungulia maji kwa nilivyoelewa ata bomba la mvua unaweza kuoga kwa maana hyo cha muhimu ni maji tu yafike mwili mzima au vp???
@whardouhmidevuh9006
3 жыл бұрын
Nafikiri ni hvyo
Mwalim,akitokwa na madhii na madii? Maanake zile nyute au majimaji humtoka mume wakati flani akisimamisha.Inakuwaje pia au ni janaba pia?
@harunarubega5002
5 жыл бұрын
Hapana
Wewe shekhe wee jamaa😅😅😅😅😅
Huyu ostadh amenyooka
Nashukulu mungu kwa mawaidha
shekh umetisha