VIJANA WAWILI WATEKWA na WATU WASIOJULIKANA DAR - SIKU ya 11 HAWAJAONEKANA - MOCHWARI -POLISI HAWAPO

VIJANA WAWILI WATEKWA na WATU WASIOJULIKANA DAR - SIKU ya 11 HAWAJAONEKANA - MOCHWARI - POLISI HAWAPO...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 121

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen2 күн бұрын

    Au jamani wale wanaoiba watu Na kuwatoa viungo wamekuja Tanzani jamani. Hayo mambo yalitokea Kenya Vinatishaa poleni sana mungu awasaidie wapatikane.

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    2 күн бұрын

    sio kenya tu na tanzania yalikuepo awam ya kikwete watu waliuzwa sana viungo hadi ma albino waliuzwa sana na watanzania watoto kwa wakubwa wamepotea sana

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    Күн бұрын

    Subuhanallah.

  • @user-cd8pq6bu8q

    @user-cd8pq6bu8q

    Күн бұрын

    Hakuna ni police ukiwa unanunua simu za wizi au mwizi BC wanakuchukua na hautoonekana Kaka angu alikuwa ananunu simu za wizi hatujamuona miezi 3 ila nguo simu zimekutwa chalinze na alifatwa na gari la police 😢i​@@aishaalbalushaishabalush8291nchi inatunyoosha

  • @yassirsamir5110
    @yassirsamir5110Күн бұрын

    Inshaaallah Biidhini lahi Qareem hapo tusomeni ALBADIRI Watawaachia wenyewe Inshaaallah🙏Allah awalinde

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298Күн бұрын

    Pole mama mungu atatusaidia ataonekana kua na subra waulizeni hao vijana wenziwao watakupa ushirikiano

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q2 күн бұрын

    Nchi iko vibaya sababu ya haki kutoweka na sisi wananchi tumeruhusu haya jb ni moja tu kushirikiana mfano aliyesema kuwapoteza yule alitakiwa atupe majb yote ilituwajue watekaji ni akina nani? Mungu tusaidie kazi tunayo binadamu wabaya sn

  • @ireneshao7950

    @ireneshao7950

    Күн бұрын

    Maombi ni muhimu mno nchi Iko kubaya utu umeondoka chuki tuu imetawala

  • @AwaziRajab

    @AwaziRajab

    Күн бұрын

    Sielewi Kwanini Aya Mambo Yanakua Asikali Wamesomea Upelelezi Kwanini Aya Mambo Yako Nchini

  • @demicratia4071

    @demicratia4071

    Күн бұрын

    Polisi wangewasaidia kuulizia polisi stations nyingine kuliko wa mama kuhangaika hivyo jamani

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman634017 сағат бұрын

    Nimtihani wakidunia ,ila vijanawetu wanasiri nyingi wanazoshiki bila wazaz kujua ,ila Mungu atusaidie nahii mitihani ,Amiin

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3deКүн бұрын

    Poleni sana wazazi wenzetu mtt anauma sana sana

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514Күн бұрын

    YAA RABBY TULINDE TULINDIE WATU WETU PIA Na sote

  • @HamisiForogo
    @HamisiForogo2 күн бұрын

    Watu wasiojulikana wanatokea wakati wa uchaguzi

  • @josephineokama2200

    @josephineokama2200

    Күн бұрын

    ndo ushangae sasa jamani

  • @rosetreffert4179

    @rosetreffert4179

    Күн бұрын

    Wakati ule walikuwa msingizia shujaa wetu

  • @navioma4882
    @navioma4882Күн бұрын

    Mama samia tusaidie😢😢😢😢

  • @GamanielKatani-nw8ll
    @GamanielKatani-nw8llКүн бұрын

    Jamani tuna kwenda wapi tAnzania ni aibu kubwa sana tuishi maisha ya hofu Kwa nini nini

  • @KhadijaKiwambu-qx8qh
    @KhadijaKiwambu-qx8qh2 күн бұрын

    Hee mungu hii dunia sijuwi tunaekerekea wapi Mana Kira siku majanga yani ukirara ndani ukiamka sarama mshukuru mungu mana binadamu tumekuwa kama wanyama mauwaji yamezidi watu wanatekwa onvo ivi mungu akushusha raana tutasema anatuonea au mana tumezidi jamani

  • @SistaSelemani
    @SistaSelemaniКүн бұрын

    Pole dada nakupoterewa na mwanao mpendwa

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3deКүн бұрын

    Na ss raia tujifunze mkiona gar inawachukua watu kwann msihoji kwann msipige kelele jmn? Hv watapotea wengi mana ss kwa sisi hatuna ushirukiano

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4plКүн бұрын

    Subuhanallah. Wasiojulikana. Ila Mungu anawajua. Nawao sikuyao ipo mojatu. Watamjua tyalowaumba kujakutekawenzao huku Duniani ukali wake. Kwakuwazurumu watu nafsizao Duniani. Sijui wanajiamini nini maana nawao punzinzao amemiliki Mungu. Tu nimmoja. Sasa nae mungu akiamua.lake sijui nyue mtasemaje. Msiyojulikana

  • @user-ny2fu8bu2u
    @user-ny2fu8bu2u16 сағат бұрын

    Pole sana swali ssna fanya nyiradi amka ucku usimame

  • @sadamissa5687
    @sadamissa5687Күн бұрын

    Tujitaidi pia kuchunguza tabia za watoto wetu hasa vijana tufahamu wanashuulika na nn ili kuwe na mwanzo mzuri wakuanzia, tusiilaumu tu serikali😢😢😢

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    Күн бұрын

    Hapana hawawatu spesho wanaifanyahi kazi kunakitutu tz hapo. Nasiyo waalifu hawawanachukua watowowotetu

  • @user-ih1pk1vs4q

    @user-ih1pk1vs4q

    Күн бұрын

    Tusilaumu tu hilo ndy oni lako ni sawa lkn inshu yetu sisi ni watekaji hata kama hao vijana wanamakosa sheria zipo wapelekwe police sio kwenda kuwaua mm naamini yote hayo tatapita tu haya yote ni nchi bado inajitafuta ktk kujitafuta mengi tunashudia ukiangalia hata viongozi wetu wa kiafrika hawachaguliwi kuongoza nchi ball kuiba ni wezi sn wote wakubwa kwa wadogo so nichangamoro sn kunawakati nafikiri bora kuwa na Rais wa mkataba mwanauchumi tunampa tunachokitaka anauwezo anapewa nchi lkn nchi inakuwa mikononi mwa jeshi na mkataba ukiisha hajafanya aliyotuahidi afungwe iliwasikimbilie sn Ikulu kwani hiko wanaenda kuiba tu hawana kz nakujigeuza miungu taboa hoi tunayo sn waafrika pumbavu zet.u

  • @wilbertkemeli8869

    @wilbertkemeli8869

    Күн бұрын

    Hapo unaona kwa akili zako umetoa maoni? Hii nchi ngumu sana kwakweli!

  • @binsherbal6089

    @binsherbal6089

    Күн бұрын

    We Sada kua na Akili japo kidogo na kama huna la kusema ni Bora ufunge Bakuli lako. Hata kama tabia za Vijana ni mbaya na iwe wameiba kweli, ni jukumu la Polisi kuwapeleka Mahkamani na sio kuwapoteza kama hivo. Nchi yetu inaendeshwa Kwa kumfuata Sheria. Inaonesha hujui Uchungu wa Mwana wewe pumbavu zako wewe.

  • @dignakanje4508
    @dignakanje45082 күн бұрын

    Serikali jmn nchi imekuwa nahofu kwamambo yautekaji.Tusaidieni jmn watu wamekuwa sio waoga jmn.Tutatakwisha,tusaidie jmn wananchi wenu.Mama Samia tusaidie watanzania wako.

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya10336 сағат бұрын

    Baaadae ndio tutasikia oooo,,wale walikuwa viongozi wa panya road na matukio yao tunaambiwa waliyo yafanya na baadae majirani wanajitokeza kupongeza serikali kwa kazi nzuri

  • @DafrozaJohn-zq8bd
    @DafrozaJohn-zq8bd15 сағат бұрын

    Poleni sana jamani mung atafanya wepesi

  • @teedullah5708
    @teedullah5708Күн бұрын

    Pole jamani uchunqu tunayo sikiya sisi kina mama mungu ndo yuwajuwa

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641Күн бұрын

    Watu wanajulikana ni askari wa serikali, wakati wa magufuli ilikuwa ni kawaida ya kutekwa watu.

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317Күн бұрын

    Mtihani

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm2 күн бұрын

    Kwa nini polisi iswe na mawasiliano na polisi nzima Kwa muda wa nusu saa wakatoa taarifa ili umma yote ishiriki kuharakisha kwa ujambazi kama huu ukomeshwe badala ya kuchukua poa tu. Polisi ni chombo cha haraka kikiwa na mtandao mkubwa wawajibike vipasavyo. Si kumwachia mzazi majukumu yote.kwa nini watu wasipige mayowe jambo kama hili linavyotokea?. Huko nangurukulu kumepelelezwa?kati ya umati mzima asitokee hata mmoja kuipiga gari picha. Mafunzo yatolewe kwa umma.

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahiКүн бұрын

    Poleni ndugu zangu yani roho zetu zipo mkononi kwa vijana wetu

  • @usher_bambi9413
    @usher_bambi9413Күн бұрын

    Huu mchezo wa kutekana Kuna mwanang makasi ametkwa mpk leo hajulikan alipo na walikuw wawil alikuj kuchukuwa vingngt.... Walikuw na gar imekutwa mkuranga imetelekezwa .. Mm nahis vijana wanakusanywa na kutolew nje ya miji Kuna kitu wanafnyishwa sio bure kwann wote njia ya huko vitu vyao vnakutwa?????

  • @latifamubba100

    @latifamubba100

    Күн бұрын

    Mpk Leo amja wapat

  • @teedullah5708
    @teedullah5708Күн бұрын

    Mungu atamleta

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620Күн бұрын

    Jamani Tanzania yangu tunakwenda wapi jamaniiiiiiii 😭😭😭😭

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298Күн бұрын

    Mungu atakusaidia ataonekana kua na subra vijana wengine huwa wanakwenda ubaharia sauz afrca hawaagii

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry16 сағат бұрын

    Hajuna polisi nchi hii.

  • @tato8979
    @tato8979Күн бұрын

    Pole sana mama 😢😢

  • @hafsasaif8004
    @hafsasaif8004Күн бұрын

    Ndo Mtaijuwa CCM Wamesema wakiwapoteza msiwatafite

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303Күн бұрын

    Subhannallh 😢

  • @aloycekomba1
    @aloycekomba1Күн бұрын

    Ukitafakari vizur utakuta hyo ni sawa na ile ya SATIVA

  • @HappyFarmhouse-bo1tc
    @HappyFarmhouse-bo1tcКүн бұрын

    Eeh mwenyezi Mungu tujaalie wapatikane waki wai

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465Күн бұрын

    Angalia mwanamke mwenzako anavyolia kwa uchungu unayaacha maviongozi majizi maslah binafsi yanatesa wanyonge jiulize wako akitekwa itakuwaje

  • @yahyaally-gy7lz
    @yahyaally-gy7lzКүн бұрын

    Kutekana tekana huu ni uhuni wa kishamba ,weka bunduki chini tubishane kwa hoja maana lengo letu sote kuijenga Tanzania Moja

  • @CECILIAMAGANGA-sk8md
    @CECILIAMAGANGA-sk8mdКүн бұрын

    UKWELI HII SIKIA TU KWA MWENZAKO USIOMBE IKUKUTE KWENYE FAMILIA YAKO. LKN KWANN WANATEKWA WATU WA KAWAIDA TU KWANN ASITEKWE NA MTOTO WA KIONGOZI YEYOTE😢😢😢😢...... INAUMA SANA. KILA SIKU WATU WASIOJULIKANA HV KWELIIIII😢😢😢

  • @Official83640
    @Official83640Күн бұрын

    Watoto wa Temeke wanaisha kutekwa kila leo yaani mtu ht km hana matukio anatekwa na police wanasema hawajawaona sasa Serikali yetu sijui inalinda nn

  • @shabanihamis7110

    @shabanihamis7110

    Күн бұрын

    Uyo ramadhan nimesoma nae😢

  • @Official83640

    @Official83640

    Күн бұрын

    @@shabanihamis7110 Shule gani?

  • @shabanihamis7110

    @shabanihamis7110

    Күн бұрын

    @@Official83640 miburani ipo temeke hospital Barabara ya kuelekea manispaa

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548Күн бұрын

    Pole dads

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971Күн бұрын

    Tutauliwa. Sana maana tumezoea kila kitu tumuachie mungu

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonjeКүн бұрын

    ROMA MKATOLIKI tusaidie nawewe ulikua mhanga wa hili jambo ( ulishawahi kutekwa )

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465Күн бұрын

    Kutekana tekana ni mambo ya kishamba mbna kipindi cha Magu haya Mambo hayajakuwepo mama punguza misele nchi yako inaoza huku ww upo tu na ndege..... Kaaa uangalie shida za wananchi wako nchi inaoza hiii mama unawachekea Sana uliowapa mamlaka ya kupambana na hzi inshu 😢😢

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4plКүн бұрын

    Mbona hawawateki watu maarufu Tz?wanatekwa walalahoi

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015Күн бұрын

    Msihangaike ni CCM ndo watekaji, nendeni lumumba chomeni moto

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze4 сағат бұрын

    Mama samiya na majeshi yake hili sakata lakupotrya watu ovyo walichunguze ili litokomee maana itakuwa nchi haina amani

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskazКүн бұрын

    Inatisha kwa kweli

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5duКүн бұрын

    Mmi ndiomana polici siwapendi abadani. Watabia mbaya mbwahao

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4uКүн бұрын

    sasahivi hatuwogopi wanyama tunaogopa binadam nawosiwegineni askarijamani. yanihawanahofuya mungu

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912Күн бұрын

    Poleni watanzania lkn sisi tunajua uko kuna amani sana inakuwaje tena mambo ayo

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8nКүн бұрын

    Mmmhhh natamani kuandika lkn Nami nina watoto nisije kuwaponza buree😢

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157Күн бұрын

    Mmmmhhh je kwann amkuchukua namba ya gari?

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo77852 күн бұрын

    Duu yamerudi tena yalee ya miaka ile Mungu tunusulu waja wako

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8nКүн бұрын

    Serkali toeni neno kwa hili.

  • @Chakol682
    @Chakol682Күн бұрын

    Mmh 😢

  • @Wakateezo
    @WakateezoКүн бұрын

    Tanzania ebu simameni pamoja acheni uzembe hii sio Sawa selikali ya hovyo kabisa pata tokea

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n13 сағат бұрын

    kama Asimwe alipatikana na hawa kupatikana inawezekana

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174Күн бұрын

    Acha niandike kwa upole.serekali na police tunaiomba jamani.huu utaratibu wa kusema ukaripot baada ya masaa 24 ni mgumu sababu wakati unasubiri massage 24 mambo yanazidi kuharibika.kutake action mapema inaweza kuokoa roho za wengi jamani.ebu tuseme labda usiku huo huo wangeanza kutrack hiyo gari barabarani ingeweza kuwa habari nyingine.

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush82912 күн бұрын

    oh magu aliteka watu na hata hao watu hawakuwa wametekwa sasahivi wanatekwa vijana wakimasikin bila sababu wanasiasa na watanzania wajinga wapo kimya wanamlaumu marehem magu kwa mema yake wao yanawaumiza

  • @rosetreffert4179

    @rosetreffert4179

    Күн бұрын

    Yaani acha tu

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry17 сағат бұрын

    Lia tu ndugu yangu lakinibusifikirie kama kuna serikali itakuunga mkono katika jambo hilo. Allah ndiye mjuzi na mweledi atatoa haki. Na wao wanachukuliwa kwenye hadhara ya shighuli kwanini wasipige makelele raia wakaivamia.

  • @peterjosephat6685
    @peterjosephat6685Күн бұрын

    Matukio ya utekaji yamekuwa kitu cha kawaida watuwamesha zoea kwamaana uchunguzi haujawai kufanyika na majibu yakapatikana kwamaana hiyo wananchi wanamashaka na wachunguzi wa matukio hayo

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179Күн бұрын

    Je mtamzgizia tena Magufuli?wale mliokuwa msingizia shujaa wetu eti ateka watu mshindwe kabisaa lisu na mbowemkome kumtajataja Magufuli pambane hali zetu 😢

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3yКүн бұрын

    Sasa mnauliza nini wakati sativa ashawaambia alitekwa na polisi kwa hiyo wanaoteka watu ni polisi au usalama wa Taifa

  • @SabihaRajab
    @SabihaRajabКүн бұрын

    Watu wasio julikana walimteka mauzinde lakini mwenyewe anasema walikuwa na smz

  • @sultankivumbi9255
    @sultankivumbi9255Күн бұрын

    😢huij. Bu ji 9 arac 5:30 5:30

  • @surusuru1994
    @surusuru1994Күн бұрын

    Yanarudia jamn

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658Күн бұрын

    Hii usikie kwa mwenzio tu

  • @DaheerK
    @DaheerKКүн бұрын

    Sin lakusema mm juu ya hili ila magu ulale pema peponi ila mambo huko changanyiken tunakukumbuka baba

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonjeКүн бұрын

    Kituo cha tandika kina laza? hapo sijaelewa

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalimКүн бұрын

    Hmmm

  • @alfristricks7515
    @alfristricks7515Күн бұрын

    Hivi Polisi Bado wanaandika hivyo vijikaratasi vya mikono kwa taarifa za kupoteza watu? Duuh. Na Je, ni jukumu la Raia kuzunguka Mortuary na vituo vya polisi kutafuta watu wao? Polisi wanapaswa wao kufuatilia na kuwapa taarifa raia. Document ya kupotelewa kitu ama mtu, ingekuwa inajazwa kwa mifumo ya computer, na iwe walau wanaprint copy ya taarifa inayobaki kwa mwananchi.

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157Күн бұрын

    Watu wanachukuliwaje mbele za watu ? Na hata namba msichukue mbona mnaleta kizunguzungu ,kila kitu mnalaumu police ,nyie raia mmeshindwa kuchukua namba za gari

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526Күн бұрын

    Temeke huko kuna kuna wahuni jaman aisee sijapata kuona

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4uКүн бұрын

    hichondokimabikikwasasa wamaishapelekwa uwawanakutupwaporini waliwe na. wanyama hayondo maishayetuyasasa

  • @user-wh9zj7kf7h
    @user-wh9zj7kf7hКүн бұрын

    Mlikuwa mnasema MAGUFURI karudi?

  • @anitajacob3641
    @anitajacob3641Күн бұрын

    Nchi imekuwa mbaya sasaiv tunaogopa ata kukoment

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6gКүн бұрын

    Watu walisema magufuli ndiye alikuwa mtekaji je! Leo hii anawateka nani???? Maana magufuli amefariki huu mwaka wa 3 Sasa na utekajj upo palepale.

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015Күн бұрын

    Pole sn mama hp kutakuwa na mtu kawachoma hao wtt wange iitrak iyo namba ilipo kuwa ikiiita

  • @zaytunhijja6771

    @zaytunhijja6771

    Күн бұрын

    Umeambiwa haijawah kuita

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze4 сағат бұрын

    Hii ishu serekali inajuwa kila kitu

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalanКүн бұрын

    Pole sana selekali yetu inajali kula pesa tuu na familia zao hakuna ulinzi wala za laiya wa tz mungu tuangalie kwa mala ya pili tunateseka

  • @navukalunavatanzi6227
    @navukalunavatanzi6227Күн бұрын

    Sasa mbele za watu na watu wanaangalia ifike mahali wananchi wachue hatua mkononi

  • @josephineokama2200

    @josephineokama2200

    Күн бұрын

    jamani watu wote waliokua hapo wameshindwa hata kuivamia gari kwel dar sasa hiv kuna ishu ya kukamata watu wanapelekwa kutolewa Figo inauma

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cdКүн бұрын

    dar Salam inawatu kama 12 milioni sasa kwanini wakamatwe hao2 ila hawa mijana pengine wanamatukio ya uhalifu polisi hawezi2 kuanza kukufatilia bila tatizo ila kama sio wahalifu watarudi2 ila mama aseme mwanae anafanya kazi gani ashakuaga Namatukio ya uhalifu au laaaa watu tuache kuropoko watu wanakabwa wanachomwa visu harafu polisi wakifanya kazi mnaraumu tena

  • @jamesmzaki6041

    @jamesmzaki6041

    Күн бұрын

    Watu hawajalaumu kukamatwa ila polisi wanatakiwa watoe taarifa Ili ndugu wasiwe na wasiwasi..

  • @Official83640

    @Official83640

    Күн бұрын

    Kwahy police ndy wameruhusiwa kuficha wahalifu au kuwaua kuwa na mdomo mzuri yakija kukuta na ww uongee hivi km unaweza

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4uКүн бұрын

    sasahvi kijanawakoakitoka rohomkononi akirudiunashukuru haryana

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba25282 күн бұрын

    Mama wende buza kwa Nabii kiboko ya wachawi

  • @fathiyahmuzney7367

    @fathiyahmuzney7367

    Күн бұрын

    Huyo kiboko ya wachawi mwiz tu hv mtu anasema kawazid waumin wake mpk dhambi halafu bado mnamuamin tu pole yenuu😂😂😂

  • @wilbertkemeli8869

    @wilbertkemeli8869

    Күн бұрын

    Dah kuna watu mna roho ngumu! Hamna mtumishi pale

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914Күн бұрын

    Serikali ya ajabu sana aibu kwa raisi

  • @rosetreffert4179

    @rosetreffert4179

    Күн бұрын

    Rais mwenyewe kakaa kimya kama kawaida yake Tanzania ni kama hatuna Rais matukio mengi

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937Күн бұрын

    Duuh

  • @eunho9529
    @eunho9529Күн бұрын

    Tuna serikali ya AJABU HAIJAWAHI KUTOKEA, hebu kwa akili ndogo tu tujiulize ni miaka mingapi watu wanapotea kwa kutekwa na watu wasiojulikana?? hawa wasiyojulikana wanatoka wapi? wakati mwaka 2022 kuna SENSA ilifanyika na WATANZANIA wote tunajulikana kwa kazi zetu. hakuna namna yoyote serikali itajitenga kuhusiana na haya matukio ya kupotezwa raia.

  • @chizcom4229
    @chizcom4229Күн бұрын

    Ostabey hiyo

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996Күн бұрын

    Tanzania watu ni waoga ndo shida,na tutazidi kuumia maana woga umegeuza watu kuwa wajinga

  • @user-od3ro4vw2c
    @user-od3ro4vw2cКүн бұрын

    South Africa mmeenda🙌

  • @user-zk5wp6en8q
    @user-zk5wp6en8qКүн бұрын

    Waislamu tuungane tufanye jihadi

  • @claudiangowi9628
    @claudiangowi9628Күн бұрын

    Ni mambo ya ugaidi wanawachukua vijana na kwenda kuwafundisha ugaidi😢😢😢😢

  • @user-ui4oh8gf8n

    @user-ui4oh8gf8n

    Күн бұрын

    Watu wanaposikitika usilete mzaa.imagine angekuwa ndgyo undelete mzaa namna hiyo? Hatuna umoja ndio kwa maana yanatukuta

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2txКүн бұрын

    Aseeh hili balaaa na awamu hii MAGUFULI hayupo tena tuliaminishwa Magu ndio alkuwa mtekaji

  • @beratsanoo5778
    @beratsanoo5778Күн бұрын

    Polisi wenyewe mashetani hao na ndo mnawafata haohao

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2ghКүн бұрын

    Ndiomaisha tunayo ishi tanzania yakuana nakutekana kijinga kijinga wakidai niwatu wasiojulikana kunasiku watatajulikana

Келесі