VIJANA WAWILI WATEKWA na WATU WASIOJULIKANA DAR - SIKU ya 11 HAWAJAONEKANA - MOCHWARI -POLISI HAWAPO
VIJANA WAWILI WATEKWA na WATU WASIOJULIKANA DAR - SIKU ya 11 HAWAJAONEKANA - MOCHWARI - POLISI HAWAPO...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 121
Au jamani wale wanaoiba watu Na kuwatoa viungo wamekuja Tanzani jamani. Hayo mambo yalitokea Kenya Vinatishaa poleni sana mungu awasaidie wapatikane.
@aishaalbalushaishabalush8291
2 күн бұрын
sio kenya tu na tanzania yalikuepo awam ya kikwete watu waliuzwa sana viungo hadi ma albino waliuzwa sana na watanzania watoto kwa wakubwa wamepotea sana
@HanifaOman-oo4pl
Күн бұрын
Subuhanallah.
@user-cd8pq6bu8q
Күн бұрын
Hakuna ni police ukiwa unanunua simu za wizi au mwizi BC wanakuchukua na hautoonekana Kaka angu alikuwa ananunu simu za wizi hatujamuona miezi 3 ila nguo simu zimekutwa chalinze na alifatwa na gari la police 😢i@@aishaalbalushaishabalush8291nchi inatunyoosha
Inshaaallah Biidhini lahi Qareem hapo tusomeni ALBADIRI Watawaachia wenyewe Inshaaallah🙏Allah awalinde
Pole mama mungu atatusaidia ataonekana kua na subra waulizeni hao vijana wenziwao watakupa ushirikiano
Nchi iko vibaya sababu ya haki kutoweka na sisi wananchi tumeruhusu haya jb ni moja tu kushirikiana mfano aliyesema kuwapoteza yule alitakiwa atupe majb yote ilituwajue watekaji ni akina nani? Mungu tusaidie kazi tunayo binadamu wabaya sn
@ireneshao7950
Күн бұрын
Maombi ni muhimu mno nchi Iko kubaya utu umeondoka chuki tuu imetawala
@AwaziRajab
Күн бұрын
Sielewi Kwanini Aya Mambo Yanakua Asikali Wamesomea Upelelezi Kwanini Aya Mambo Yako Nchini
@demicratia4071
Күн бұрын
Polisi wangewasaidia kuulizia polisi stations nyingine kuliko wa mama kuhangaika hivyo jamani
Nimtihani wakidunia ,ila vijanawetu wanasiri nyingi wanazoshiki bila wazaz kujua ,ila Mungu atusaidie nahii mitihani ,Amiin
Poleni sana wazazi wenzetu mtt anauma sana sana
YAA RABBY TULINDE TULINDIE WATU WETU PIA Na sote
Watu wasiojulikana wanatokea wakati wa uchaguzi
@josephineokama2200
Күн бұрын
ndo ushangae sasa jamani
@rosetreffert4179
Күн бұрын
Wakati ule walikuwa msingizia shujaa wetu
Mama samia tusaidie😢😢😢😢
Jamani tuna kwenda wapi tAnzania ni aibu kubwa sana tuishi maisha ya hofu Kwa nini nini
Hee mungu hii dunia sijuwi tunaekerekea wapi Mana Kira siku majanga yani ukirara ndani ukiamka sarama mshukuru mungu mana binadamu tumekuwa kama wanyama mauwaji yamezidi watu wanatekwa onvo ivi mungu akushusha raana tutasema anatuonea au mana tumezidi jamani
Pole dada nakupoterewa na mwanao mpendwa
Na ss raia tujifunze mkiona gar inawachukua watu kwann msihoji kwann msipige kelele jmn? Hv watapotea wengi mana ss kwa sisi hatuna ushirukiano
Subuhanallah. Wasiojulikana. Ila Mungu anawajua. Nawao sikuyao ipo mojatu. Watamjua tyalowaumba kujakutekawenzao huku Duniani ukali wake. Kwakuwazurumu watu nafsizao Duniani. Sijui wanajiamini nini maana nawao punzinzao amemiliki Mungu. Tu nimmoja. Sasa nae mungu akiamua.lake sijui nyue mtasemaje. Msiyojulikana
Pole sana swali ssna fanya nyiradi amka ucku usimame
Tujitaidi pia kuchunguza tabia za watoto wetu hasa vijana tufahamu wanashuulika na nn ili kuwe na mwanzo mzuri wakuanzia, tusiilaumu tu serikali😢😢😢
@HanifaOman-oo4pl
Күн бұрын
Hapana hawawatu spesho wanaifanyahi kazi kunakitutu tz hapo. Nasiyo waalifu hawawanachukua watowowotetu
@user-ih1pk1vs4q
Күн бұрын
Tusilaumu tu hilo ndy oni lako ni sawa lkn inshu yetu sisi ni watekaji hata kama hao vijana wanamakosa sheria zipo wapelekwe police sio kwenda kuwaua mm naamini yote hayo tatapita tu haya yote ni nchi bado inajitafuta ktk kujitafuta mengi tunashudia ukiangalia hata viongozi wetu wa kiafrika hawachaguliwi kuongoza nchi ball kuiba ni wezi sn wote wakubwa kwa wadogo so nichangamoro sn kunawakati nafikiri bora kuwa na Rais wa mkataba mwanauchumi tunampa tunachokitaka anauwezo anapewa nchi lkn nchi inakuwa mikononi mwa jeshi na mkataba ukiisha hajafanya aliyotuahidi afungwe iliwasikimbilie sn Ikulu kwani hiko wanaenda kuiba tu hawana kz nakujigeuza miungu taboa hoi tunayo sn waafrika pumbavu zet.u
@wilbertkemeli8869
Күн бұрын
Hapo unaona kwa akili zako umetoa maoni? Hii nchi ngumu sana kwakweli!
@binsherbal6089
Күн бұрын
We Sada kua na Akili japo kidogo na kama huna la kusema ni Bora ufunge Bakuli lako. Hata kama tabia za Vijana ni mbaya na iwe wameiba kweli, ni jukumu la Polisi kuwapeleka Mahkamani na sio kuwapoteza kama hivo. Nchi yetu inaendeshwa Kwa kumfuata Sheria. Inaonesha hujui Uchungu wa Mwana wewe pumbavu zako wewe.
Serikali jmn nchi imekuwa nahofu kwamambo yautekaji.Tusaidieni jmn watu wamekuwa sio waoga jmn.Tutatakwisha,tusaidie jmn wananchi wenu.Mama Samia tusaidie watanzania wako.
Baaadae ndio tutasikia oooo,,wale walikuwa viongozi wa panya road na matukio yao tunaambiwa waliyo yafanya na baadae majirani wanajitokeza kupongeza serikali kwa kazi nzuri
Poleni sana jamani mung atafanya wepesi
Pole jamani uchunqu tunayo sikiya sisi kina mama mungu ndo yuwajuwa
Watu wanajulikana ni askari wa serikali, wakati wa magufuli ilikuwa ni kawaida ya kutekwa watu.
Mtihani
Kwa nini polisi iswe na mawasiliano na polisi nzima Kwa muda wa nusu saa wakatoa taarifa ili umma yote ishiriki kuharakisha kwa ujambazi kama huu ukomeshwe badala ya kuchukua poa tu. Polisi ni chombo cha haraka kikiwa na mtandao mkubwa wawajibike vipasavyo. Si kumwachia mzazi majukumu yote.kwa nini watu wasipige mayowe jambo kama hili linavyotokea?. Huko nangurukulu kumepelelezwa?kati ya umati mzima asitokee hata mmoja kuipiga gari picha. Mafunzo yatolewe kwa umma.
Poleni ndugu zangu yani roho zetu zipo mkononi kwa vijana wetu
Huu mchezo wa kutekana Kuna mwanang makasi ametkwa mpk leo hajulikan alipo na walikuw wawil alikuj kuchukuwa vingngt.... Walikuw na gar imekutwa mkuranga imetelekezwa .. Mm nahis vijana wanakusanywa na kutolew nje ya miji Kuna kitu wanafnyishwa sio bure kwann wote njia ya huko vitu vyao vnakutwa?????
@latifamubba100
Күн бұрын
Mpk Leo amja wapat
Mungu atamleta
Jamani Tanzania yangu tunakwenda wapi jamaniiiiiiii 😭😭😭😭
Mungu atakusaidia ataonekana kua na subra vijana wengine huwa wanakwenda ubaharia sauz afrca hawaagii
Hajuna polisi nchi hii.
Pole sana mama 😢😢
Ndo Mtaijuwa CCM Wamesema wakiwapoteza msiwatafite
Subhannallh 😢
Ukitafakari vizur utakuta hyo ni sawa na ile ya SATIVA
Eeh mwenyezi Mungu tujaalie wapatikane waki wai
Angalia mwanamke mwenzako anavyolia kwa uchungu unayaacha maviongozi majizi maslah binafsi yanatesa wanyonge jiulize wako akitekwa itakuwaje
Kutekana tekana huu ni uhuni wa kishamba ,weka bunduki chini tubishane kwa hoja maana lengo letu sote kuijenga Tanzania Moja
UKWELI HII SIKIA TU KWA MWENZAKO USIOMBE IKUKUTE KWENYE FAMILIA YAKO. LKN KWANN WANATEKWA WATU WA KAWAIDA TU KWANN ASITEKWE NA MTOTO WA KIONGOZI YEYOTE😢😢😢😢...... INAUMA SANA. KILA SIKU WATU WASIOJULIKANA HV KWELIIIII😢😢😢
Watoto wa Temeke wanaisha kutekwa kila leo yaani mtu ht km hana matukio anatekwa na police wanasema hawajawaona sasa Serikali yetu sijui inalinda nn
@shabanihamis7110
Күн бұрын
Uyo ramadhan nimesoma nae😢
@Official83640
Күн бұрын
@@shabanihamis7110 Shule gani?
@shabanihamis7110
Күн бұрын
@@Official83640 miburani ipo temeke hospital Barabara ya kuelekea manispaa
Pole dads
Tutauliwa. Sana maana tumezoea kila kitu tumuachie mungu
ROMA MKATOLIKI tusaidie nawewe ulikua mhanga wa hili jambo ( ulishawahi kutekwa )
Kutekana tekana ni mambo ya kishamba mbna kipindi cha Magu haya Mambo hayajakuwepo mama punguza misele nchi yako inaoza huku ww upo tu na ndege..... Kaaa uangalie shida za wananchi wako nchi inaoza hiii mama unawachekea Sana uliowapa mamlaka ya kupambana na hzi inshu 😢😢
Mbona hawawateki watu maarufu Tz?wanatekwa walalahoi
Msihangaike ni CCM ndo watekaji, nendeni lumumba chomeni moto
Mama samiya na majeshi yake hili sakata lakupotrya watu ovyo walichunguze ili litokomee maana itakuwa nchi haina amani
Inatisha kwa kweli
Mmi ndiomana polici siwapendi abadani. Watabia mbaya mbwahao
sasahivi hatuwogopi wanyama tunaogopa binadam nawosiwegineni askarijamani. yanihawanahofuya mungu
Poleni watanzania lkn sisi tunajua uko kuna amani sana inakuwaje tena mambo ayo
Mmmhhh natamani kuandika lkn Nami nina watoto nisije kuwaponza buree😢
Mmmmhhh je kwann amkuchukua namba ya gari?
Duu yamerudi tena yalee ya miaka ile Mungu tunusulu waja wako
Serkali toeni neno kwa hili.
Mmh 😢
Tanzania ebu simameni pamoja acheni uzembe hii sio Sawa selikali ya hovyo kabisa pata tokea
kama Asimwe alipatikana na hawa kupatikana inawezekana
Acha niandike kwa upole.serekali na police tunaiomba jamani.huu utaratibu wa kusema ukaripot baada ya masaa 24 ni mgumu sababu wakati unasubiri massage 24 mambo yanazidi kuharibika.kutake action mapema inaweza kuokoa roho za wengi jamani.ebu tuseme labda usiku huo huo wangeanza kutrack hiyo gari barabarani ingeweza kuwa habari nyingine.
oh magu aliteka watu na hata hao watu hawakuwa wametekwa sasahivi wanatekwa vijana wakimasikin bila sababu wanasiasa na watanzania wajinga wapo kimya wanamlaumu marehem magu kwa mema yake wao yanawaumiza
@rosetreffert4179
Күн бұрын
Yaani acha tu
Lia tu ndugu yangu lakinibusifikirie kama kuna serikali itakuunga mkono katika jambo hilo. Allah ndiye mjuzi na mweledi atatoa haki. Na wao wanachukuliwa kwenye hadhara ya shighuli kwanini wasipige makelele raia wakaivamia.
Matukio ya utekaji yamekuwa kitu cha kawaida watuwamesha zoea kwamaana uchunguzi haujawai kufanyika na majibu yakapatikana kwamaana hiyo wananchi wanamashaka na wachunguzi wa matukio hayo
Je mtamzgizia tena Magufuli?wale mliokuwa msingizia shujaa wetu eti ateka watu mshindwe kabisaa lisu na mbowemkome kumtajataja Magufuli pambane hali zetu 😢
Sasa mnauliza nini wakati sativa ashawaambia alitekwa na polisi kwa hiyo wanaoteka watu ni polisi au usalama wa Taifa
Watu wasio julikana walimteka mauzinde lakini mwenyewe anasema walikuwa na smz
😢huij. Bu ji 9 arac 5:30 5:30
Yanarudia jamn
Hii usikie kwa mwenzio tu
Sin lakusema mm juu ya hili ila magu ulale pema peponi ila mambo huko changanyiken tunakukumbuka baba
Kituo cha tandika kina laza? hapo sijaelewa
Hmmm
Hivi Polisi Bado wanaandika hivyo vijikaratasi vya mikono kwa taarifa za kupoteza watu? Duuh. Na Je, ni jukumu la Raia kuzunguka Mortuary na vituo vya polisi kutafuta watu wao? Polisi wanapaswa wao kufuatilia na kuwapa taarifa raia. Document ya kupotelewa kitu ama mtu, ingekuwa inajazwa kwa mifumo ya computer, na iwe walau wanaprint copy ya taarifa inayobaki kwa mwananchi.
Watu wanachukuliwaje mbele za watu ? Na hata namba msichukue mbona mnaleta kizunguzungu ,kila kitu mnalaumu police ,nyie raia mmeshindwa kuchukua namba za gari
Temeke huko kuna kuna wahuni jaman aisee sijapata kuona
hichondokimabikikwasasa wamaishapelekwa uwawanakutupwaporini waliwe na. wanyama hayondo maishayetuyasasa
Mlikuwa mnasema MAGUFURI karudi?
Nchi imekuwa mbaya sasaiv tunaogopa ata kukoment
Watu walisema magufuli ndiye alikuwa mtekaji je! Leo hii anawateka nani???? Maana magufuli amefariki huu mwaka wa 3 Sasa na utekajj upo palepale.
Pole sn mama hp kutakuwa na mtu kawachoma hao wtt wange iitrak iyo namba ilipo kuwa ikiiita
@zaytunhijja6771
Күн бұрын
Umeambiwa haijawah kuita
Hii ishu serekali inajuwa kila kitu
Pole sana selekali yetu inajali kula pesa tuu na familia zao hakuna ulinzi wala za laiya wa tz mungu tuangalie kwa mala ya pili tunateseka
Sasa mbele za watu na watu wanaangalia ifike mahali wananchi wachue hatua mkononi
@josephineokama2200
Күн бұрын
jamani watu wote waliokua hapo wameshindwa hata kuivamia gari kwel dar sasa hiv kuna ishu ya kukamata watu wanapelekwa kutolewa Figo inauma
dar Salam inawatu kama 12 milioni sasa kwanini wakamatwe hao2 ila hawa mijana pengine wanamatukio ya uhalifu polisi hawezi2 kuanza kukufatilia bila tatizo ila kama sio wahalifu watarudi2 ila mama aseme mwanae anafanya kazi gani ashakuaga Namatukio ya uhalifu au laaaa watu tuache kuropoko watu wanakabwa wanachomwa visu harafu polisi wakifanya kazi mnaraumu tena
@jamesmzaki6041
Күн бұрын
Watu hawajalaumu kukamatwa ila polisi wanatakiwa watoe taarifa Ili ndugu wasiwe na wasiwasi..
@Official83640
Күн бұрын
Kwahy police ndy wameruhusiwa kuficha wahalifu au kuwaua kuwa na mdomo mzuri yakija kukuta na ww uongee hivi km unaweza
sasahvi kijanawakoakitoka rohomkononi akirudiunashukuru haryana
Mama wende buza kwa Nabii kiboko ya wachawi
@fathiyahmuzney7367
Күн бұрын
Huyo kiboko ya wachawi mwiz tu hv mtu anasema kawazid waumin wake mpk dhambi halafu bado mnamuamin tu pole yenuu😂😂😂
@wilbertkemeli8869
Күн бұрын
Dah kuna watu mna roho ngumu! Hamna mtumishi pale
Serikali ya ajabu sana aibu kwa raisi
@rosetreffert4179
Күн бұрын
Rais mwenyewe kakaa kimya kama kawaida yake Tanzania ni kama hatuna Rais matukio mengi
Duuh
Tuna serikali ya AJABU HAIJAWAHI KUTOKEA, hebu kwa akili ndogo tu tujiulize ni miaka mingapi watu wanapotea kwa kutekwa na watu wasiojulikana?? hawa wasiyojulikana wanatoka wapi? wakati mwaka 2022 kuna SENSA ilifanyika na WATANZANIA wote tunajulikana kwa kazi zetu. hakuna namna yoyote serikali itajitenga kuhusiana na haya matukio ya kupotezwa raia.
Ostabey hiyo
Tanzania watu ni waoga ndo shida,na tutazidi kuumia maana woga umegeuza watu kuwa wajinga
South Africa mmeenda🙌
Waislamu tuungane tufanye jihadi
Ni mambo ya ugaidi wanawachukua vijana na kwenda kuwafundisha ugaidi😢😢😢😢
@user-ui4oh8gf8n
Күн бұрын
Watu wanaposikitika usilete mzaa.imagine angekuwa ndgyo undelete mzaa namna hiyo? Hatuna umoja ndio kwa maana yanatukuta
Aseeh hili balaaa na awamu hii MAGUFULI hayupo tena tuliaminishwa Magu ndio alkuwa mtekaji
Polisi wenyewe mashetani hao na ndo mnawafata haohao
Ndiomaisha tunayo ishi tanzania yakuana nakutekana kijinga kijinga wakidai niwatu wasiojulikana kunasiku watatajulikana