VIJANA Wapigwa 'CHANGA la MACHO' Kwa AJIRA FEKI - "WALITUAMBIA MSHAHARA ni LAKI 3"

VIJANA Wapigwa 'CHANGA la MACHO' Kwa AJIRA FEKI - "WALITUAMBIA MSHAHARA ni LAKI 3"
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 45

  • @rehemamkalawa3801
    @rehemamkalawa38012 жыл бұрын

    Naomba kujua level zao za elimu hawa wanafunzi! 😂😂😂 Hawa global alliance wamesambaa mno,na wanawapenda kweli wanafunzi!

  • @samwelsanga5339
    @samwelsanga53392 жыл бұрын

    Hahahaha global in motion alliance wezi kishenz hawa jmaa na n wazur mnoo kuwaotea wanafunz hasa hawa wa first yr,kuwen makin vijana mnapigwa😄😄

  • @mtuwagu7121
    @mtuwagu71217 ай бұрын

    Oooh my God watapeli sana global motion Mungu tyu ndo atawalipa acheni kudanganya watoto wa watu😅

  • @emmanuelkiwango6638
    @emmanuelkiwango66382 жыл бұрын

    Pole

  • @jamesgerald7192
    @jamesgerald71922 жыл бұрын

    Apo tatizo ni Akili kuwaza kuajiriwa,, vijana tujiajiri jamani mbona tunaweza.

  • @pitargamba9208

    @pitargamba9208

    2 жыл бұрын

    Utajiajiri nisaidie njia maana nami ni mhanga nimesoma ajira hamna nimeonekana mzigo kwenye familia ya kwetu. Kilichokuwepo nilisomea kikaisha nimerudi tupu yani niponipo tu.

  • @samwelsanga5339

    @samwelsanga5339

    2 жыл бұрын

    Ujengewe sanamu yako mkuu umetisha sana

  • @shamsamuhammad3677

    @shamsamuhammad3677

    2 жыл бұрын

    aah hikamun noma sawa mm mwenyew nishashauriwa sanaa mpk leo bado wanifatilia sina hata muda nao

  • @jamesgerald7192

    @jamesgerald7192

    2 жыл бұрын

    @@pitargamba9208 umesomea nn

  • @martinmaryogo3676

    @martinmaryogo3676

    2 жыл бұрын

    asee james, niko na kipesa kidogo hapa nipe mchongo wa kujiajir frusa gan iko pow!?

  • @saidmanjuti7441
    @saidmanjuti74412 жыл бұрын

    Wajabu dada anguuu wew mbona majanga sana

  • @mtuwagu7121
    @mtuwagu71217 ай бұрын

    Kahama usiseme vijana wanatapeliwa kila kukicha eeh Mungu turehemu waja wako

  • @veronicathomas9422
    @veronicathomas94222 жыл бұрын

    Yaan Hawa global motion wametapel weng Sana box dogo hlo wanataka utoe lak tano kwanza

  • @mayalayella7663
    @mayalayella76632 жыл бұрын

    My godness mimi mwenyw walinishawish nikagoma washenz

  • @fetychina3273
    @fetychina32732 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @selesitinramashan7
    @selesitinramashan72 жыл бұрын

    Wanauza madawa ya presha kisukari nk wakati wao wakiumwa wanakwenda hospitali kutibiwa

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo63142 жыл бұрын

    Yani hyo hali iliwahi mtokea mwanangu na walidanganywa hivyo na waliambiwa watoe 60000 na walitoa walikuwa kama watoto 8 vile , nilifatilia had police walikamatwa matokeo yke wakaachiwa tu.

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu56422 жыл бұрын

    Hawa matapeli wapo tena huwa wanavizia miezi ile ambayo kuna wanafunzi ambao wameshindwa kwenda a level, wameshindwa kwenda chuo hata veta na wapo nyumbani tu

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын

    Jamani matapeli nao ni majambazi wakikamatwa wamwagiwe tindikali na familia zao

  • @Official83640
    @Official836402 жыл бұрын

    Aisee hii kampuni itakuwa imetapeli watu wengi sana wa nje hasa wadada wa Oman maana walikuwa wanarukwa akili na hii kampuni iliwaingiza maneno mno watafute watu wakuwaingiza watapa hela jaman mie nilishawishiwa kwa kufosiwa lkn msimamo wng nilikataa siwezi lipa hela Tz mwenyewe np Oman ni ujinga mtupu

  • @daynmengjamloo9719

    @daynmengjamloo9719

    2 жыл бұрын

    Yani dada mm wamenibembereza nimekataa niujinga ite pesa inazaa bora nikaee napesa zangu mbka nikilud maana3haziniwashi

  • @Official83640

    @Official83640

    2 жыл бұрын

    @@daynmengjamloo9719 wapumbavu wengi waliingia

  • @MtuSafi

    @MtuSafi

    2 жыл бұрын

    @@daynmengjamloo9719 walikuwa wanawashawishi kupitia nn sasa halafu mm sijajua wanajihusisha na Nini.

  • @daynmengjamloo9719

    @daynmengjamloo9719

    2 жыл бұрын

    @@MtuSafi yani kwa ss tuliopo ugaibuni wanakeambiya hii katuni ukifungua akaunti moja pesa yako inazaa nakuzaa kwake mbka utafute mtu umlete ndio pesa inazaa zaid kira unapo leta mtu ndio pesa yako inazid zaid

  • @MtuSafi

    @MtuSafi

    2 жыл бұрын

    @@daynmengjamloo9719 oooh ni kweli hata mm wakat nipo Oman nilikutana na Hyo kitu na niliporudi Tz nilienda kwenye kikao Chao pale Kilimanjaro hotel nikaambiwa niingize laki9 Ili niwepewe baadhi ya bidhaa nikauze kama machinga na nikiwa naleta watu kujiunga na company Yao basi mm naanza kupanda daraja la cheo..nilichofanya nikaenda Korea kusini kufuata vitu vya electronic Ili nifanye biashara now nipo good kabisa.

  • @eliudiezekieli6293
    @eliudiezekieli62932 жыл бұрын

    Mjiari nyie hamna kazi hapo wizi

  • @jacksonrwechungula9479
    @jacksonrwechungula94792 жыл бұрын

    WAPO KAGERA WILAYA YA KARAGWE wamezagaa tu wanatapeli watu

  • @geofreyj.1986
    @geofreyj.19862 жыл бұрын

    Wamenidhulumu laki 3 na nusu Hawa watu walinidanganya sana

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Mm wamenitapeli hawa sbr cku nirudi tz watanijua mm nan

  • @ummutaswaufi3980
    @ummutaswaufi39802 жыл бұрын

    Wadada wa Oman mlopigwa laki 5 mkuje mdai na nyie

  • @veronicathomas9422
    @veronicathomas94222 жыл бұрын

    Wapo dar huku wanawalagai wanafunz

  • @annahndete8961
    @annahndete8961 Жыл бұрын

    Hapana jaman watu mbona wanaendelea wengi tuuu

  • @husseinmiraji124
    @husseinmiraji1242 жыл бұрын

    Pesa za Nini mnawaomba mpumbavu wewe?

  • @fetychina3273
    @fetychina32732 жыл бұрын

    Ndio hawazitaki hizofursa warudishieni pesa zao

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat1652 жыл бұрын

    Haya mapromoshen pumbavu waongo sana

  • @deojohn2372

    @deojohn2372

    2 жыл бұрын

    Hawa matapeli washafika uku daresalam wametapakaa kweli kweli

  • @justingenda6960

    @justingenda6960

    2 жыл бұрын

    Walishafika huku Hangw Mwezi Mei mwaka huu wakawatapeli vijana wenye kutafuta ajira wakiwa wametoa fomu ya kujaza yenye namba zao. Wakatoa na namba ya simu ili kulipia ada ya fomu. Baada ya muda simu hazipstikani.

  • @nusrathmanyawa4501

    @nusrathmanyawa4501

    Жыл бұрын

    Kinacho nishangaza inamaana serekali haiwajui hawa panya road au hata kuwa sikia ili wafutiwe kibali yaani wanaudhi sana