Uvira

Katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, wakaazi wa mji wa Uvira katika mkoa wa Kivu Kusini wamekaidi maagizo ya viongozi wao yanayohusu hatua za kupambana na kuenea kwa virusi vya Corona, katika mji huo uliokumbwa na mafuriko mabaya hivi karibuni. Mmwandishi wetu Mitima Delachance ametembelea eneo hilo hivi karibuni na kutuandalia video hii. #kurunzi 27.04.2020

Пікірлер: 5

  • @bundukitv1322
    @bundukitv13224 жыл бұрын

    Poleni ndugu wa UVIRA..... Halafu hivi na ninyi waandishi huwa mnawasaidia hao wahanga? Au mnapiga picha Tu??? Kwakweli inatia huruma Sana.

  • @bnkundwa
    @bnkundwa11 ай бұрын

    Cassava is an event.

  • @kingbashar4293
    @kingbashar42934 жыл бұрын

    😭😭😭😭Wallahi kwetu uvira!!

  • @user-py8ic1jf3p
    @user-py8ic1jf3p6 ай бұрын

    Poleni sana

  • @Kiswahili

    @Kiswahili

    6 ай бұрын

    Ahsante kwa ujumbe wako

Келесі