Uvira
Katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, wakaazi wa mji wa Uvira katika mkoa wa Kivu Kusini wamekaidi maagizo ya viongozi wao yanayohusu hatua za kupambana na kuenea kwa virusi vya Corona, katika mji huo uliokumbwa na mafuriko mabaya hivi karibuni. Mmwandishi wetu Mitima Delachance ametembelea eneo hilo hivi karibuni na kutuandalia video hii. #kurunzi 27.04.2020
Пікірлер: 5
Poleni ndugu wa UVIRA..... Halafu hivi na ninyi waandishi huwa mnawasaidia hao wahanga? Au mnapiga picha Tu??? Kwakweli inatia huruma Sana.
Cassava is an event.
😭😭😭😭Wallahi kwetu uvira!!
Poleni sana
@Kiswahili
6 ай бұрын
Ahsante kwa ujumbe wako