"Uvira tulilomba barabara. Kutengeneza barabara kunaleta shida sasa? " Mhe. KIZA MUHATO meya wa jiji

"Uvira tulilomba barabara na barabara inakuya. Kutengeneza barabara kunaleta shida sasa, tutakuwa tunalomba kitu kisha tukatale kitu tulilomba? " Mhe. KIZA MUHATO meya wa jiji la

Пікірлер: 5

  • @mbayomaikoakzahi9400
    @mbayomaikoakzahi940019 күн бұрын

    Tokalini raiya aka kataa kutoka kampuny irudi serekali ipi hiyo❤Vyliongozi wetu wa east kubebwatu

  • @johnsonrachidigunzi604
    @johnsonrachidigunzi604Ай бұрын

    Attendons voir

  • @muzalendovincentdepaul
    @muzalendovincentdepaulАй бұрын

    Maendeleo na Umoja. Tujenge inchi yetu. Vile vile tugombanishe adui M23 ili amani irejeye kando kando za provinces zilizokamatwa na Paul Kagame !

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf26 күн бұрын

    Vujeni izo nyumba atakaye kata sauri yake watu wanataka maendeleo

  • @vincentmlekwa9255
    @vincentmlekwa925521 күн бұрын

    Story za uongo hizo zimechosha. Kama serekali ikikusudia kufanya kazi yoyote haiwezi kuomba au kujililia kwa raia. Le sol et sous sol apparteint à l'état. Kama nia ya kujenga barabara ingekuwepo serekali inge orodhesha nyumba zitakazo bomolewa na kufidia wenye nyumba na kazi inaendelea. Habari za kulalisha fikra za raia hizo.

Келесі