Uvira/ Ukingo Wa Hatari Za Siku Za Mwezi Kwa Wanawake ndio Lengo Kuu Lakuzinduliwa Shirika La FARAJA
Ойын-сауық
Hayo yalijiri Tariki 22/02/2020 Uvira, Shirika la FARAJA UVIRA ambalo mwanzilishi ni MARTINE JONATHAN, Limejitolea kusaidia Janga amabalo linawakumba wanawake kila mwezi, katika uzinduzi kulifanyika ugawaji wa vifaa maamulu kwa ajili yakuwasaidia wamama, wasichana kufanya usafi pindi wanapokuwa kwenye siku zao za mwezi
Пікірлер: 17
Courage
Divine lablonde kazi njema Dada .
Congratulations and good luck 👍
Happy to hear this good news for our society. Dada zetu toweni ayibu
Thank u Sofie for the work . May god bless
huyu Dada ako Sawa kwa nini asiende kuitangaza taarifa Habari pale kwa redio okapi kinshasa
Dada la blonde kingereza kizuri .
Uyu dada ni top. Anaongea language zote
Tanganyika TV iko juu
Pamoja
Uka fuaa 😂😂😂
Journalist speak English than Swahili,congratulations ....
DIVA
Queen la blonde is bilingual🙏🏽
Dah kwanini awakuleta pads zile za kawahida 🤔🤔🤔 kuliko hizo za kufua tena unavaa hadi miezi sita 🤔tufanye angalisho wasije kuleta magonjwa 🤔 hivi vitu siviamini sana
Pamoja sana da divine ni mimi Aisha Niyonzima bubai