KIFO CHA MWAMI WA ASILI YA KIBEMBE CHA UZUNISHA WENGI BÙMBÉ MATANGO ATIYA NENO

Ойын-сауық

Пікірлер: 20

  • @muliamadi859
    @muliamadi859Ай бұрын

    Pole sana ndugu zetu

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8xАй бұрын

    Eheeeeeee jamani poleni sana wapendwa mwami ameuliwaje jamaniiiiiii!!!! mshangao kweli kwani akuwa na walinzi?wabembe wivu autawafikisha muendako maana munasalitiana kweli mutashindaje huku mnageukana?

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997Ай бұрын

    Kbs ni kweli mwami awezi kufa kwa risasi

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997Ай бұрын

    Ttv nawapenda sana

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia567427 күн бұрын

    Poleni sana kutoka Tanzania 🇹🇿

  • @masumbukojamesmajaliwa8205
    @masumbukojamesmajaliwa8205Ай бұрын

    Rest in peace😢😢😢

  • @LamaribamJumbe
    @LamaribamJumbe21 күн бұрын

    Mmhhh ngumu kumeza chungu kutema😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 AISSEH

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8xАй бұрын

    Niahibu wami kuuliwa kama popo ukuu wenu uko wapi wami?

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997Ай бұрын

    Good sn

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997Ай бұрын

    Mwami kuhuwawa na risasi duuuuh wa bembe muko ovyo

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997Ай бұрын

    Kuwajulisha lundi joo siku ya mazishi ya mwami simbi naomba Tanganyika tv musikose kufika tuna waomba sn

  • @TanganyikaTV

    @TanganyikaTV

    Ай бұрын

    Tutakuwepo kabisa 🙏🏽

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997Ай бұрын

    Nawafata nikiwa fizi

  • @jonachanmijan
    @jonachanmijan13 күн бұрын

    MUJIFUNZE SIYASA NDUGU ZAGU WABEMBE kuhuwa wami niwatu ambaho wana penda kutawala kivu kwaku wahondowa ndo wana anziya kuhuwa wami wa asili muwemacho namambo ya siyasa tusije tuka sikiya kesho huna hitwa kishasa na huna henda uta pewa sumu

  • @sylvanosalumu5840
    @sylvanosalumu5840Ай бұрын

    Mwami atakufaje kwa masasi kama kuku moja tu hivi,inamaana wazee walishindwa kumpiga EKYEMBWE? Bosenga bono,abenu!!!!

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997Ай бұрын

    Good image ttv tv kubwa Duniani

  • @kizabushiri2082
    @kizabushiri208224 күн бұрын

    Tunaomba muwe mnaongea katika lugha yetu ya kibembe kwasababu watoto wetu wanafuatilia mambo ya kwetu na wanaitaji kusikia lugha yetu ya kibambe inasikika Duniani kote, sio kuongea katika lugha ya kiswaili.

  • @victorieusefulano3130

    @victorieusefulano3130

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂😂ni hatari

  • @ClaverSelemani
    @ClaverSelemaniАй бұрын

    Pole sana kwa wabembe 😢

  • @kennybruno3363

    @kennybruno3363

    Ай бұрын

    Inaumiza sana

Келесі