Inaonekana hii story ni nzuri sana ILA PRESENTER ndio tatizo...!
@florianntulo57312 жыл бұрын
Wakati naanza kuitazama hii vidio nilijua ni Tanzania, dada anaongea kiswahili kuzuri sana, hongera sana dada,, ni wakati mwafaka kuindeleza lugha yetu
@user-ix1yb5di5x4 ай бұрын
Bien bien mi naishi mji wa kolwezi namshukuru sana uyo mzee kwa kaji ile eko nafanya merci.
@ik39342 жыл бұрын
This is a good material but the presenter need to be more active especially on his tone!!
@estermgata96172 жыл бұрын
Mr. Bonnie Fete, I think it will be beneficial for you to trace who your dad is or was. Then take that information to the embassy responsible (Is it Italian? France?). Ask for any type of assistance that they can offer to you and your family. Usually, these countries they don't let their citizens to suffer
@joelnondo74407 ай бұрын
Uyu presenter haujui....kupresente vizuri
@augustiyadi40852 жыл бұрын
If father was Italian, France it will be hard to coprate, because this story reflects to my grandfather land because there was fmly living in that country land earlys 1810to1945 befor my grandfather take over the place, and so the left their elder son behind because time was war around the world 🗺 actually it was hard to find his fmly back... Anyway his one he came back for him.. And this man God will bless him and if not him then through his children... Stay strong man... Blessed tag 📺.
@agnettakamugisha49842 жыл бұрын
Kweli "Kusaidiana ni upendo"❤❤❤
@sidrasidra86162 жыл бұрын
Masha Allah ana binti mzuri🥰
@nuruworldinsight29572 жыл бұрын
Asanteni sana Tanganyika TV kwa habari moto moto za kuelimisha ! Nimeku MFUASI WENU MZURI SANA ! Salama kutoka Tanzania
@matsarigi29862 жыл бұрын
Mash Allah mama ni mrembo mno❤️
@jolemerci21552 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Asante kwa bidii mutangazaji
@fatoumaahmed76702 жыл бұрын
Bravo Mr bon courage
@tinaa66712 жыл бұрын
She is so beautiful lady ❤️🥰🥰🥰
@bonifacechiuri2136
2 жыл бұрын
Exactly she can wonder in modelling world.
@user-uh8bk5mj6e2 жыл бұрын
Sasa mkichukua story hii mziki ndio tunaudkia kuliko sauti ya msimuliaji lirekebisheni hilo
@user-ts4zn1sx7h15 күн бұрын
Saf sana watangazaj watanganyika tv mnaupiga mwingi sana
@josephkenga56272 жыл бұрын
Aende wapi hapo alipo ndio kwake na kwao, ardhi ndio utajiri mkubwa, na hao wako na mchanganyiko wa damu za mwaafrika;paradiso ni Africa, uzunguni hangepata hata kipande cha ardhi aite kwake;
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
huyu dada akienda ulaya na kuvaa vile vinguo vya asili yao anakuwa mzungu kabisa kama wa huko
@zainabually29682 жыл бұрын
Mashaallah binti mrembo yupo uko maisha ya kijijin
@esthernaya6489
2 жыл бұрын
Hahaha uamini warembo wako kijijini tu
@balekelayiandre47355 ай бұрын
mon ami boni fête courage
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
Wakishaamia africa wanakuwa waafrica kwetu hatuna rangi nyeupe wala nyeusi wote tuko sawa
@enochdavidtv86362 жыл бұрын
#Felicitations, Timenel kedal
@Japhet.B2 жыл бұрын
Vieux nabiso, respect papa ✊🏾
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Mwambie Demuzungu akuoneshe kwao Dieu au bienve aukami
@jolemerci21552 жыл бұрын
Wewe kazi ni nzuri ku wa gunduwa watu hawa nakufata kutoka omani ila nami ni mu Congo mani bukavu
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
Kwa waarabu ni kuzuri na nasikia wanadharau mtu mweusi sana?
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Basi nikuzuri sababu hawana tabia kama ya watu weusi hawanywi pombe haibi hawagombane hawatembeleane balabala nzuri hawana milima ao bondé ni nchi inatulia ina nyooka ila hawaesabu mutu mweusi kuwa ni mtu wa najuwa mtu mweusi ni nyama kati ya wa nyama ao ni mashine ao ni punda hawataki mutu aji teteye haki yake ikiwa ni mweusi wakifanya kosa hawataki ijulikane wa najuwa wawo niwatakatifu kuliko wote duniani
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
@@jolemerci2155 nakata ati ni watakatifu dununiani. Kama ni watakatifu Mbona wanadhulumu mtu mweusi na wamupati haki yake. Wanamtumia mtu mweusi kama mnyama. Hawa ni watu katili na siwatu wazuri wakuwafanyia kazi. Bahati yako nikuwa Oman iko watu wengi toka Zanzibar wanaongea kiswahili
@mamialsawafi8020
2 жыл бұрын
@@jolemerci2155 rudi congo kale nyama ya nyani pumbavu ulitumwa uende maana weusi hawadhulum na hawauwani ngedere ww mnyamafu mla nyani ndio mana mmekaa kama majambazi
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
@@mamialsawafi8020 pole. Mami hapana kumjibu mjinga. Hawa walidanganyika kwa wafaransa na wabelgik sababu ya kifaransa sasa wako tu na mashida mingi na akili zimeenda. Je suis Zanzibari, biensûr je parle kiswahili, anglais,italian. Espanõl et français. Dont use your energy for such stupid Bayaka. Je sais bien Congo. Asil 60% wanazungumza kiswahili lakin ukiwa Kinshasa wanasema kiswahili sio cha congo na sasa wanataka kujiunga na sisi east africa. Polon sana kwa watu wajinga kama hawa.
@wowo15462 жыл бұрын
yeye mke wake na watoto wako wapi?🏡🎊🎉🇨🇩
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
Mpigie sim yake. Téléphonez á lui.
@Mamiseti72 жыл бұрын
Uyu dada mzuri jmn
@williamfelly78102 жыл бұрын
Mtagazaji unafaa kazinzuri; lakini ujitaidi kuwa namutazamo ingine juya Peau noir na peau blash. Wazungu niwatu kama wewe; kuko ba intelligent naba moin intelligent. Kamavile ba noire kuko ba intelligent naba moins intelligent. Aussi ufanye utafiti juya question general na question personell wakati unafaa interview nawatu. Unafaa kazinjema kaka. Kwamazuri zaidi, fanya utafiti mingi juya maswali.
Ww nae punguza makasiliko ukiwaona ww uko inatosha asafiri kisa kuona hizo pua zao 😅😅😅🤣 Ukirud tuletee mmoja tuwafananishe
@MoussaMoussa-hp4bs2 жыл бұрын
Whoa she's so cute
@allansk1035
2 жыл бұрын
She is mixed wtf
@rayaalhabsi17252 жыл бұрын
Masha Allah kizuri kweli
@heraldloshi18642 жыл бұрын
Ah! Kumbe kaolewa!! Samahani sana.
@kwibejanvier21402 жыл бұрын
Yani bro una maswali yakijinga sana
@vayokhamakhama4081
2 жыл бұрын
Sana
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Sana huyo upepo
@shamimhayat76372 жыл бұрын
Mzuri sana mashaaalah wapi huko mkoa gani
@user-kr7ut7bj5x5 ай бұрын
Mzee wa zamani huyo:Mkatolika wa damu..
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Namfaam kabla nikingali mdogo nilimuonaga kabla sijaja Tanzania naona kazeeka sasa
@jerryjuma13392 жыл бұрын
yaani ndugu zetu wang'@mbo yaani mkionaga mtu mweupe yaani sijui mnakuaje, hao ni watu wakawaida Kama wewe ivyo basi hiyo ngozi nyeupe isikutishe my friend
@mamanetsesastuces6902 жыл бұрын
Waou! Uyo mzee bonne fête siyo tena muzungu. Anakuwa mweusi tout fait
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Home juwa kali sana2 tuu
@deejeydaev2 жыл бұрын
Content mbovu mnoooo sasa ndio nini kutuwekea beat badala ya interview.. total waste of MB
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
Wacha ujinga. May be you dont understand kiswahil na français. Nous sommes tout çava pas de problém.
@gerrardmmandama94182 жыл бұрын
Great job
@lisaozokalonji76552 жыл бұрын
Journaliste émission yako iko sawa lakini uko kama unatete mekeya Mzungu sana eti Mzungu ni mtu waakali sana unamaanisha nini? kuna wazungu awajuwi kitu! Monsieur bonne fête iko très gentil na siyo kila mzungu
@noelashaoona
2 жыл бұрын
Kabisa
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Yanis huyu mtangazaji huwa nachukia kweli kujilinganisha rangi eti rangi nyeusi ninaishi Ufaransa nawaona waliokimbia shule wanavyotaabîa mtaani.na huyo akirudi ulaya sio mzungu kabisa.
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 huyo ni mshamba pengine ni kwasababu mazingira aliyonayo hakuna watu wa jinsi ya aina hiyo sisi kwetu mocambique zipo baadhi ya koo zetu mababu zetu walikuwa watu weupe toka portugal so na watu hawashangai ata kidogo
@Joe-tr2vk
2 жыл бұрын
@@Mpakauseme Nilifika Nampula na Montepuez mwaka 2017 ni kweli Moçambique imechanganyika na watu hawajali haya mambo ya rangi ya ngozi. Nilipapenda sana
@makondorshimora50172 жыл бұрын
Mama mcongomani na kazaliwa congo sasa anakuwaje mzungu? Huyo ni chotala wa kiafirka na kizungu na kwao ni congo
@abordecapester9086 Жыл бұрын
USA wabembe wamezaa nawazungu wengi2 nawanaogea kibembe acheni ushamb tz tunaishi n'a wengi amuja kua wajanjatu! Dunguzangu ?
@johnkuma68672 жыл бұрын
Hapa kenya hata hakuna mtu anajali rangi ya mtu. Na sivizuri kuuliza maswali mengine unauliza dada kama journalist..Watu wa rangi za huyu dada wamejaa kenya kila corner na hata hakuna mtu huinua kichwa kuwatazama. Ni wananchi wa kawaida tuu na kitu cha kawaida
@uledimtumwa2406
2 жыл бұрын
Nyie bado mnatawaliwa na Wazungu kama South Africa.
@nelsonlushasi2273
2 жыл бұрын
Hata dar wamejaa i think wacongo wana uhaba wa machotara!!!
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 kweli uko na opinion ya ajabu
@uledimtumwa2406
2 жыл бұрын
@@johnkuma6867 mpaka lugha bado ya wakoloni. Hivyo hakuna cha ajabu
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Watu wa jinsi hiyo Kenya si wengi pahala walipo wengi ni Angola, South Africa , Cape verde, Mocambique Maputo , Seashells na Madagascar, Kenya na Tanzania waliowengi ni machotara ya kiarabu na mabaniani neyi neyi kalunga kushineyi
@marlomerci50272 жыл бұрын
Hongera sana kwa hiyo atuwa bwana journaliste
@marcominja88502 жыл бұрын
Mbona mtangazaji una maswali ya kipuuzi sana, yenye mwelekeo wa bullying?
@emoalembe47902 жыл бұрын
Kuna ahina ya maswali mtangazaji anahuliza lakini yana leta baridi. Yale maswali ya kutaka kumu weka mzee bonne fête kuwa ni kumzungu.na kwamba inchi yake ni ufaransa. Hapana !
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Hata mimi huwa ananishangaza akienda Ufaransa sio mzungu huyo.ninaishi Ufaransa waliochanganya rangi sio wazungu kabisa d’inuite ni kwa nini analazimisha huyo mzee ni mzungu
@J4UPro2 жыл бұрын
safi sana ,
@victoriaritte88102 жыл бұрын
@Millard Ayo fuatilia hii story
@jolemerci21552 жыл бұрын
Bonne Fête shukuru ivo iulivo hakuna nchi nzuri kama Congo congo inakubali n'a kupokea wa geni sisi tuliko nchini hapa uarabuni tuna penda tuishi hapa ila hawataki iyo sheria haipo ila kazi kwako ni nzuri sana courage Bonne fête
@nitunda
2 жыл бұрын
Pole kabisa Ndugu Jole
@heyumi2340
2 жыл бұрын
afrika hakuna ubaguzi
@nitunda
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 Ndio
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@nitunda naam nchi za wenzetu mtihan sana
@nitunda
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 pole sana uko inchi gani?
@zainabmwengela59872 жыл бұрын
Jitahidi usitafune maneno unasikika kwa shida sana
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@r14kgroup682 жыл бұрын
Congo nchi mzuri
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Wambiye Rama Rama kwa salimu
@yunusrnb52272 жыл бұрын
Hana watoto WENGINE jamani tuoe?mbna wazuri
@audaceleroi13702 жыл бұрын
mtangazaji, kuwa na maadili ban, unataka kumchukuwa mke wa mwenzako?😃😃😃
@angelageofrey9756
2 жыл бұрын
Kampenda
@audaceleroi1370
2 жыл бұрын
@@angelageofrey9756 😂😂
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Upepo huyo
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Nitembelee kwa kami nipembeni naapo unapo hoji
@agustinocharles26502 жыл бұрын
Swahili bora hiyo
@ngomafrancis16592 жыл бұрын
Mtoto wa Bonneface anaolewa tiari aho bado pia wateja wamepatikana watatu kama yuko tiari kibarua nimeambiwa kiko
@dezasumailcostaricahamis54295 ай бұрын
ba métisse banakuaka ba muzuri sana
@victoriaritte88102 жыл бұрын
Huyu mwandishi anajua anachokifanya kweli?
@devothasimbi10552 жыл бұрын
Eti mzungu na mnapongezana kutiana ujinga mzungu
@machibyajeremia96502 жыл бұрын
nitumie namba yako anaitaji kukuona kwa projects
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
Madada wenye asili ya kizungu nawapenda
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
nampenda huyo dada jamani kama hajaolewa nitumie namba yake nataka ikiwezekana nimuoe niko tanzanie🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mangofish9079
2 жыл бұрын
Lakini angekuwa mweusi uzuri usingeonekana au vipi?
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
Baadhi ya wanaume nikuwaacha tu na ulimbukeni wao😏😏😏
@richardsaikong11382 жыл бұрын
Hii ni tanzania?
@buharimwanga2842 жыл бұрын
aisee jina zuri la kiswahili nimependa kiswahili chako,si kiswahili tu bro napenda sana kuona mtu anaongea lugha asili za africa
@mussamlewa21782 жыл бұрын
Nchi gan hii
@ritagrace48822 жыл бұрын
Mwambie atafute kuna jia anaweza kusaidika
@embeteidi50232 жыл бұрын
Pia mzee bonne fete anajulikana kama mmbembe ama mfulero?
@TanganyikaTV
2 жыл бұрын
TAZAMA SEHEM YA KWANZA kzread.info/dash/bejne/fJibyqeqaMjPZLA.html
@diti48992 жыл бұрын
Huyu mwandishi?????????
@mangofish90792 жыл бұрын
Comments nyingi za kumsifu binti kuwa mtoto ni mzuri suala jee angekuwa mweusi uzuri wake ungewashtua wengi humu kama ilivyoonekana kupitia comments?
@DBrownstain
2 жыл бұрын
Acha tu nduguyangu, racism haijaiacha Africa salama bila sisi wenyewe kujua, kwanza ni ushamba wa hali ya juu. Adi mtangazaji ameshoboooka kwa uyo dada kisa ni mzungu, shame on him
@calimahad92742 жыл бұрын
Interview imejaa ujinga wa rangi... inasikitisha kuona Interview imetawala rangi za watu. Kwa hali hii Wazungu wataendelea kututawala mpaka dunia itakwisha.
@clarisssimpenzwe6298
2 жыл бұрын
Wale ata ni weusi… wazungu gani 😜😜😜😜
@williamfelly7810
2 жыл бұрын
Try to write your comments respectfully. Uyu Journalist anafaa kazinzuri sana. Kama ungelimurekebishia, nivizuri umurekebishie indirectement; apana yawazi hivi >. Please, it's so genuines to think about others feelings and emotions because you don't know what's people are going through. Thanks.
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Unasema vibaya ulaya weusi wapo wengi , siyo mzungu ni chotara Yani minti
@TheConqueror__Yb2 жыл бұрын
Presenter ajielewi hajui kupanga mada yupoyupo tu..
@embeteidi50232 жыл бұрын
Sasa mbona haujamuuliza magumu ya vizi?
@r14kgroup682 жыл бұрын
Kiswahili muzuri
@hildegalda.malamoya.83282 жыл бұрын
Wekeni Subtitles
@zinabal-dubae35512 жыл бұрын
Wajina Zainab
@inovetorshax71372 жыл бұрын
Mwanahabari huyu anataaluma finyu sana kwenye swala la mahojiano
@azizahamisi7349
2 жыл бұрын
Umeona
@mangetz28352 жыл бұрын
Pay est malade… imeisha iyooo Youtubiiiii
@rizikiree202 жыл бұрын
Sijaona yake yakwanza mbona
@butugaeve33002 жыл бұрын
Mimi binafsi uwa napenda vipindi vyako ila kwahii moja nahisi kama umeniboa sana. Kuweni mnaandaa maswali ya kuwauliza mtu. Maswali mengine yanaleta aibu kwetu sisi watazamaji Sijapenda hivo kabisa.
@TanganyikaTV
2 жыл бұрын
Asante kwa kuwasiliana nasi ,tafadhali fahamu kwamba maoni yako yametufikia.
@merrydaniel91242 жыл бұрын
Kabambalee 😁
@azizayassin36232 жыл бұрын
Kwani sauti imeenda wpi
@valenakomba92182 жыл бұрын
Eeeh, Mungu akuondoe hapo ulipo katika Jina la Yesu. Mi naona we umerogwa, au nyota yako imeibiwa.
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
Sasa wewe karne ya 21 unaongea mambo ya kichawi na ujinga wa nyota kuibwa? Sasa hiyo ni kitu gani unaingea watu wakiongea vile wataunda mitambo ya computer,electronics,sift ware designs ambazo zirafanya mausha ya binadamu kuwa meoesi wewe unaongea lugha ya mtu hajasoma. Huzuni sana. Toa mawazo kama hayo kwa akili zako kabisa. Mambo ya kiuchumi congo,na uongozi mbaya ndiyo umeadhiri hawa watu. Si uchawi. Mpe nafasi utashanga akibadilika kabisa🇰🇪
@Joe-tr2vk
2 жыл бұрын
Nani aliyerogwa? Tumia akili yako vizuri
@martinbyamungu55392 жыл бұрын
Jambo habari gani huko, mimi nimefata mazungmuzo mulifanya na muzee Bonne Fete, Anasema kama ako na watoto wengi mimi ningependelea kujuwa, kama angaliki na fille mwenye hajaolewa naomba kujuwa please.
Пікірлер: 206
Inaonekana hii story ni nzuri sana ILA PRESENTER ndio tatizo...!
Wakati naanza kuitazama hii vidio nilijua ni Tanzania, dada anaongea kiswahili kuzuri sana, hongera sana dada,, ni wakati mwafaka kuindeleza lugha yetu
Bien bien mi naishi mji wa kolwezi namshukuru sana uyo mzee kwa kaji ile eko nafanya merci.
This is a good material but the presenter need to be more active especially on his tone!!
Mr. Bonnie Fete, I think it will be beneficial for you to trace who your dad is or was. Then take that information to the embassy responsible (Is it Italian? France?). Ask for any type of assistance that they can offer to you and your family. Usually, these countries they don't let their citizens to suffer
Uyu presenter haujui....kupresente vizuri
If father was Italian, France it will be hard to coprate, because this story reflects to my grandfather land because there was fmly living in that country land earlys 1810to1945 befor my grandfather take over the place, and so the left their elder son behind because time was war around the world 🗺 actually it was hard to find his fmly back... Anyway his one he came back for him.. And this man God will bless him and if not him then through his children... Stay strong man... Blessed tag 📺.
Kweli "Kusaidiana ni upendo"❤❤❤
Masha Allah ana binti mzuri🥰
Asanteni sana Tanganyika TV kwa habari moto moto za kuelimisha ! Nimeku MFUASI WENU MZURI SANA ! Salama kutoka Tanzania
Mash Allah mama ni mrembo mno❤️
Kazi nzuri sana Asante kwa bidii mutangazaji
Bravo Mr bon courage
She is so beautiful lady ❤️🥰🥰🥰
@bonifacechiuri2136
2 жыл бұрын
Exactly she can wonder in modelling world.
Sasa mkichukua story hii mziki ndio tunaudkia kuliko sauti ya msimuliaji lirekebisheni hilo
Saf sana watangazaj watanganyika tv mnaupiga mwingi sana
Aende wapi hapo alipo ndio kwake na kwao, ardhi ndio utajiri mkubwa, na hao wako na mchanganyiko wa damu za mwaafrika;paradiso ni Africa, uzunguni hangepata hata kipande cha ardhi aite kwake;
huyu dada akienda ulaya na kuvaa vile vinguo vya asili yao anakuwa mzungu kabisa kama wa huko
Mashaallah binti mrembo yupo uko maisha ya kijijin
@esthernaya6489
2 жыл бұрын
Hahaha uamini warembo wako kijijini tu
mon ami boni fête courage
Wakishaamia africa wanakuwa waafrica kwetu hatuna rangi nyeupe wala nyeusi wote tuko sawa
#Felicitations, Timenel kedal
Vieux nabiso, respect papa ✊🏾
Mwambie Demuzungu akuoneshe kwao Dieu au bienve aukami
Wewe kazi ni nzuri ku wa gunduwa watu hawa nakufata kutoka omani ila nami ni mu Congo mani bukavu
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
Kwa waarabu ni kuzuri na nasikia wanadharau mtu mweusi sana?
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Basi nikuzuri sababu hawana tabia kama ya watu weusi hawanywi pombe haibi hawagombane hawatembeleane balabala nzuri hawana milima ao bondé ni nchi inatulia ina nyooka ila hawaesabu mutu mweusi kuwa ni mtu wa najuwa mtu mweusi ni nyama kati ya wa nyama ao ni mashine ao ni punda hawataki mutu aji teteye haki yake ikiwa ni mweusi wakifanya kosa hawataki ijulikane wa najuwa wawo niwatakatifu kuliko wote duniani
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
@@jolemerci2155 nakata ati ni watakatifu dununiani. Kama ni watakatifu Mbona wanadhulumu mtu mweusi na wamupati haki yake. Wanamtumia mtu mweusi kama mnyama. Hawa ni watu katili na siwatu wazuri wakuwafanyia kazi. Bahati yako nikuwa Oman iko watu wengi toka Zanzibar wanaongea kiswahili
@mamialsawafi8020
2 жыл бұрын
@@jolemerci2155 rudi congo kale nyama ya nyani pumbavu ulitumwa uende maana weusi hawadhulum na hawauwani ngedere ww mnyamafu mla nyani ndio mana mmekaa kama majambazi
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
@@mamialsawafi8020 pole. Mami hapana kumjibu mjinga. Hawa walidanganyika kwa wafaransa na wabelgik sababu ya kifaransa sasa wako tu na mashida mingi na akili zimeenda. Je suis Zanzibari, biensûr je parle kiswahili, anglais,italian. Espanõl et français. Dont use your energy for such stupid Bayaka. Je sais bien Congo. Asil 60% wanazungumza kiswahili lakin ukiwa Kinshasa wanasema kiswahili sio cha congo na sasa wanataka kujiunga na sisi east africa. Polon sana kwa watu wajinga kama hawa.
yeye mke wake na watoto wako wapi?🏡🎊🎉🇨🇩
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
Mpigie sim yake. Téléphonez á lui.
Uyu dada mzuri jmn
Mtagazaji unafaa kazinzuri; lakini ujitaidi kuwa namutazamo ingine juya Peau noir na peau blash. Wazungu niwatu kama wewe; kuko ba intelligent naba moin intelligent. Kamavile ba noire kuko ba intelligent naba moins intelligent. Aussi ufanye utafiti juya question general na question personell wakati unafaa interview nawatu. Unafaa kazinjema kaka. Kwamazuri zaidi, fanya utafiti mingi juya maswali.
Kkkkkkkkkk mtangazaji bn kkkk bado sana
Wewe mtangazaji tengua kauli yako huyo mzee sio Mzungu.safiri njoo Ulaya uone wazungu.
@auntmakochela4202
2 жыл бұрын
Ww nae punguza makasiliko ukiwaona ww uko inatosha asafiri kisa kuona hizo pua zao 😅😅😅🤣 Ukirud tuletee mmoja tuwafananishe
Whoa she's so cute
@allansk1035
2 жыл бұрын
She is mixed wtf
Masha Allah kizuri kweli
Ah! Kumbe kaolewa!! Samahani sana.
Yani bro una maswali yakijinga sana
@vayokhamakhama4081
2 жыл бұрын
Sana
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Sana huyo upepo
Mzuri sana mashaaalah wapi huko mkoa gani
Mzee wa zamani huyo:Mkatolika wa damu..
Namfaam kabla nikingali mdogo nilimuonaga kabla sijaja Tanzania naona kazeeka sasa
yaani ndugu zetu wang'@mbo yaani mkionaga mtu mweupe yaani sijui mnakuaje, hao ni watu wakawaida Kama wewe ivyo basi hiyo ngozi nyeupe isikutishe my friend
Waou! Uyo mzee bonne fête siyo tena muzungu. Anakuwa mweusi tout fait
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Home juwa kali sana2 tuu
Content mbovu mnoooo sasa ndio nini kutuwekea beat badala ya interview.. total waste of MB
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
Wacha ujinga. May be you dont understand kiswahil na français. Nous sommes tout çava pas de problém.
Great job
Journaliste émission yako iko sawa lakini uko kama unatete mekeya Mzungu sana eti Mzungu ni mtu waakali sana unamaanisha nini? kuna wazungu awajuwi kitu! Monsieur bonne fête iko très gentil na siyo kila mzungu
@noelashaoona
2 жыл бұрын
Kabisa
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Yanis huyu mtangazaji huwa nachukia kweli kujilinganisha rangi eti rangi nyeusi ninaishi Ufaransa nawaona waliokimbia shule wanavyotaabîa mtaani.na huyo akirudi ulaya sio mzungu kabisa.
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 huyo ni mshamba pengine ni kwasababu mazingira aliyonayo hakuna watu wa jinsi ya aina hiyo sisi kwetu mocambique zipo baadhi ya koo zetu mababu zetu walikuwa watu weupe toka portugal so na watu hawashangai ata kidogo
@Joe-tr2vk
2 жыл бұрын
@@Mpakauseme Nilifika Nampula na Montepuez mwaka 2017 ni kweli Moçambique imechanganyika na watu hawajali haya mambo ya rangi ya ngozi. Nilipapenda sana
Mama mcongomani na kazaliwa congo sasa anakuwaje mzungu? Huyo ni chotala wa kiafirka na kizungu na kwao ni congo
USA wabembe wamezaa nawazungu wengi2 nawanaogea kibembe acheni ushamb tz tunaishi n'a wengi amuja kua wajanjatu! Dunguzangu ?
Hapa kenya hata hakuna mtu anajali rangi ya mtu. Na sivizuri kuuliza maswali mengine unauliza dada kama journalist..Watu wa rangi za huyu dada wamejaa kenya kila corner na hata hakuna mtu huinua kichwa kuwatazama. Ni wananchi wa kawaida tuu na kitu cha kawaida
@uledimtumwa2406
2 жыл бұрын
Nyie bado mnatawaliwa na Wazungu kama South Africa.
@nelsonlushasi2273
2 жыл бұрын
Hata dar wamejaa i think wacongo wana uhaba wa machotara!!!
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 kweli uko na opinion ya ajabu
@uledimtumwa2406
2 жыл бұрын
@@johnkuma6867 mpaka lugha bado ya wakoloni. Hivyo hakuna cha ajabu
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Watu wa jinsi hiyo Kenya si wengi pahala walipo wengi ni Angola, South Africa , Cape verde, Mocambique Maputo , Seashells na Madagascar, Kenya na Tanzania waliowengi ni machotara ya kiarabu na mabaniani neyi neyi kalunga kushineyi
Hongera sana kwa hiyo atuwa bwana journaliste
Mbona mtangazaji una maswali ya kipuuzi sana, yenye mwelekeo wa bullying?
Kuna ahina ya maswali mtangazaji anahuliza lakini yana leta baridi. Yale maswali ya kutaka kumu weka mzee bonne fête kuwa ni kumzungu.na kwamba inchi yake ni ufaransa. Hapana !
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Hata mimi huwa ananishangaza akienda Ufaransa sio mzungu huyo.ninaishi Ufaransa waliochanganya rangi sio wazungu kabisa d’inuite ni kwa nini analazimisha huyo mzee ni mzungu
safi sana ,
@Millard Ayo fuatilia hii story
Bonne Fête shukuru ivo iulivo hakuna nchi nzuri kama Congo congo inakubali n'a kupokea wa geni sisi tuliko nchini hapa uarabuni tuna penda tuishi hapa ila hawataki iyo sheria haipo ila kazi kwako ni nzuri sana courage Bonne fête
@nitunda
2 жыл бұрын
Pole kabisa Ndugu Jole
@heyumi2340
2 жыл бұрын
afrika hakuna ubaguzi
@nitunda
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 Ndio
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@nitunda naam nchi za wenzetu mtihan sana
@nitunda
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 pole sana uko inchi gani?
Jitahidi usitafune maneno unasikika kwa shida sana
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Congo nchi mzuri
Wambiye Rama Rama kwa salimu
Hana watoto WENGINE jamani tuoe?mbna wazuri
mtangazaji, kuwa na maadili ban, unataka kumchukuwa mke wa mwenzako?😃😃😃
@angelageofrey9756
2 жыл бұрын
Kampenda
@audaceleroi1370
2 жыл бұрын
@@angelageofrey9756 😂😂
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Upepo huyo
Nitembelee kwa kami nipembeni naapo unapo hoji
Swahili bora hiyo
Mtoto wa Bonneface anaolewa tiari aho bado pia wateja wamepatikana watatu kama yuko tiari kibarua nimeambiwa kiko
ba métisse banakuaka ba muzuri sana
Huyu mwandishi anajua anachokifanya kweli?
Eti mzungu na mnapongezana kutiana ujinga mzungu
nitumie namba yako anaitaji kukuona kwa projects
Madada wenye asili ya kizungu nawapenda
nampenda huyo dada jamani kama hajaolewa nitumie namba yake nataka ikiwezekana nimuoe niko tanzanie🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mangofish9079
2 жыл бұрын
Lakini angekuwa mweusi uzuri usingeonekana au vipi?
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
Baadhi ya wanaume nikuwaacha tu na ulimbukeni wao😏😏😏
Hii ni tanzania?
aisee jina zuri la kiswahili nimependa kiswahili chako,si kiswahili tu bro napenda sana kuona mtu anaongea lugha asili za africa
Nchi gan hii
Mwambie atafute kuna jia anaweza kusaidika
Pia mzee bonne fete anajulikana kama mmbembe ama mfulero?
@TanganyikaTV
2 жыл бұрын
TAZAMA SEHEM YA KWANZA kzread.info/dash/bejne/fJibyqeqaMjPZLA.html
Huyu mwandishi?????????
Comments nyingi za kumsifu binti kuwa mtoto ni mzuri suala jee angekuwa mweusi uzuri wake ungewashtua wengi humu kama ilivyoonekana kupitia comments?
@DBrownstain
2 жыл бұрын
Acha tu nduguyangu, racism haijaiacha Africa salama bila sisi wenyewe kujua, kwanza ni ushamba wa hali ya juu. Adi mtangazaji ameshoboooka kwa uyo dada kisa ni mzungu, shame on him
Interview imejaa ujinga wa rangi... inasikitisha kuona Interview imetawala rangi za watu. Kwa hali hii Wazungu wataendelea kututawala mpaka dunia itakwisha.
@clarisssimpenzwe6298
2 жыл бұрын
Wale ata ni weusi… wazungu gani 😜😜😜😜
@williamfelly7810
2 жыл бұрын
Try to write your comments respectfully. Uyu Journalist anafaa kazinzuri sana. Kama ungelimurekebishia, nivizuri umurekebishie indirectement; apana yawazi hivi >. Please, it's so genuines to think about others feelings and emotions because you don't know what's people are going through. Thanks.
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Unasema vibaya ulaya weusi wapo wengi , siyo mzungu ni chotara Yani minti
Presenter ajielewi hajui kupanga mada yupoyupo tu..
Sasa mbona haujamuuliza magumu ya vizi?
Kiswahili muzuri
Wekeni Subtitles
Wajina Zainab
Mwanahabari huyu anataaluma finyu sana kwenye swala la mahojiano
@azizahamisi7349
2 жыл бұрын
Umeona
Pay est malade… imeisha iyooo Youtubiiiii
Sijaona yake yakwanza mbona
Mimi binafsi uwa napenda vipindi vyako ila kwahii moja nahisi kama umeniboa sana. Kuweni mnaandaa maswali ya kuwauliza mtu. Maswali mengine yanaleta aibu kwetu sisi watazamaji Sijapenda hivo kabisa.
@TanganyikaTV
2 жыл бұрын
Asante kwa kuwasiliana nasi ,tafadhali fahamu kwamba maoni yako yametufikia.
Kabambalee 😁
Kwani sauti imeenda wpi
Eeeh, Mungu akuondoe hapo ulipo katika Jina la Yesu. Mi naona we umerogwa, au nyota yako imeibiwa.
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
Sasa wewe karne ya 21 unaongea mambo ya kichawi na ujinga wa nyota kuibwa? Sasa hiyo ni kitu gani unaingea watu wakiongea vile wataunda mitambo ya computer,electronics,sift ware designs ambazo zirafanya mausha ya binadamu kuwa meoesi wewe unaongea lugha ya mtu hajasoma. Huzuni sana. Toa mawazo kama hayo kwa akili zako kabisa. Mambo ya kiuchumi congo,na uongozi mbaya ndiyo umeadhiri hawa watu. Si uchawi. Mpe nafasi utashanga akibadilika kabisa🇰🇪
@Joe-tr2vk
2 жыл бұрын
Nani aliyerogwa? Tumia akili yako vizuri
Jambo habari gani huko, mimi nimefata mazungmuzo mulifanya na muzee Bonne Fete, Anasema kama ako na watoto wengi mimi ningependelea kujuwa, kama angaliki na fille mwenye hajaolewa naomba kujuwa please.
@Joe-tr2vk
2 жыл бұрын
Unataka umuowe?😅
We mtangazaji mbona unapenda sana ubaguzi???
Improve your interviews.
Idk why this is necessary
Nishahidiye number ya huhu dada
🇹🇿🇹🇿
sauti haiko poaaaaaaaaa
Mtangazaji hana uwezo
Naomba uchumba.
Tuliishi nao wooote kambini lugufu
Hapo ni congo au nitanzania?
@estajeanette7487
Жыл бұрын
Congo
Na wewe huna akili?.si
KATA YA FIZI 🙄
Ozo beta mosala malamu