TANGANYIKA TV NI TV AMBAYO INARIPOTI HABARI, UTAMADUNI ,SANAA NA MICHEZO KUPITIA LUGHA YA KISWAHILI .TUPO KIVU YA KUSINI ,OFISII ZETU ZIPO BARAKA FIZI NA UVIRA KATIKA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO.
KWA MAELEZO ZAIDI TAFADHALI TEMBELEA UKURASA WETU WA FACEBOOK NA INSTAGRAM
@TANGANYIKATV
KWA MASWALI YA BIASHARA NA MATANGAZO EMAIL : [email protected]
KWA PAMOJA TUPASHE
Пікірлер
❤❤❤❤
❤❤❤
Watoke madarakani hao awa fai akuna m'bunge apo
Ni kujuwa tu matumbo yao akuna kujua maendeleo ya maeneo ya kwao
Kwa nini wa bunge wa nord kivu awajengaki kwao ma barabara?
Good
Film nzuri sana ❤ Ila kibembe ni kingi sana mujitaidi angalau Swahili ikuwe nyingi
kwa nini. 2025. na tayari kazi ina aza? kisaru ni mnyarwanda. angalisho asi kwepeshe.
🎉🎉🎉🎉🎉
Hapo hakuna mbunge
Vibogobogo
Nyie wakongo mnaangaika na dini nyingi itafuteni Jadi na mtafuteni Mwami Lokoko yupo Kigoma ujiji ili mjulishwe Jadi Kwa uhalisia iliyoachwa na mtu wa kwanza Abe na echa Kwa mtoto wake Mwanzalule na mpangolo
Yakutumbo ni muuaji waukabila utakufa vibaya nahutafika kwalengo lako lakumaliza watu nyinyi wabebe hamuna akili mulishindwa kwanzia mulele paka hivi mumeshindwa na mutaendeleya kukula imbwa.
Tupo pamoja mzee wetu . Uzidi kutupa historia zaidi.
❤❤❤❤
Tumepata mwengine jogo la JIJI wa baraka
Kabisa papa hongera sana
Kwa nn wa bunge wa fizi awa jengaki kwambo? Nikula pesa tu na uko fizi kuko nyuma sana
Député ajengaki barabara pardon
Ujakosea kusema lakini lazima apeleke malalamiko serikalini, sijui ulitaka kusema nini Bwana sam wabyoko
Shida ya wabunge wetu wa fizi wanatudanganyaka eti watajenga barabara wakati tunajua mbunge hawezi jenga barabara yeye ni wakipeleka malalamiko bungeni na kufutilia kama yanatekelezwa tu, Au lieu ya kutetea courant ya force bendera iwashe fizi nzima wao wanataka watetee wajengewe barrage echola ili iwashe baraka tu Sasa=> swali kwani walichaguliwa na baraka tu? tangu dunia ihumbwe fizi aijawai kua na goudron ao courant na tuko na mali na ziko na chimbwa sasa kwanini wasiseme kuhusu hayo? ikiwezekana wa réclamer fizi ikue province parce que ikue na tumia budge provincial kujenga nayo...
Élu de Fizi wala suppléant de l'élu de fizi?? Nous notons bilan promis...
5ans ne sont pas trop
Wewe njo mwongo kabisa
Semeni ukweli jamani
Type abari nzuri ya shujaa wetu wa Dunia.
C'est bon.
😂❤
Moninga soki azuï betela ye maboko, tour nayo ekoya.
🎉🎉🎉😢rip
😢😢😢 rip
Nawapenda sana mimi nakosa mtu mmoja tu tutowe albam nawaimbaji wa aleluya jamani
Mzeemunguakulinde
Mwende kunyumba. Kama alikua ana iba afungwe kwanza anyongwe tena.
Des traitres de soi disant chef coutumiers
Good
Kama anaiba afungwe tu
Yani waweke silaha chini
Bonne année
Mtutsi.atawamariza.ndiyoshabaayake
Bafulilu.muwemacho.munateketeya.mukijiungana.serkar.warega.muwemacho.mukijiunganaserkar.
Wabembe.tutakuwatunatekeyeya.mukijiungana.serk
Poa sana kk
Bonjour j'espère que vous allez bien 10:55 10:57
😢❤❤🇨🇩
😢😢
Força wazalendo junta com Deus
Merci beaucoup mon frère général Yakotumba
Weye unasema yakutumba nimujinga uko munyarwanda weye njomujinga nababa yako mama yako muvamizi ni weye nakagame Congo siyawanyarwanda Congo niyawazalendo
Cool
Good news brother
👊
❤❤❤
Shukran sana Mtu wetu wa nguvu.