UTANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE PEMBA, MASWALI YA WANANCHI YAIBUKA!
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Pemba #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Пікірлер: 62
Hapo ni kutaka kunyang'anywa ardhi zetu tu pamoja na Mali zetu kama majumba, lkn kwa serikali ya ccm hawana nia ya kuwajengea wapemba kisiwa Chao, mambo yote muhimu wameyapeleka unguja. Wakat pemba ndio kwenye mafuta na gesi na karafuu karibu %97 unatoka pemba lkn kila siku pemba wameiweka nyuma kimaendeleo
@yassirrashid7802
5 жыл бұрын
Umeongea kitu brother..... %100
@khamismaulid6839
5 жыл бұрын
Mahasidi wa kisiwa chetu
Kwa mtazamo wa hali halisi ilivyo,ni bora kwanza wakapanua bandari ya Wete,ambayo itarahisisha usafiri wa bahari kwa wananchi wengi ambao hawategemei usafiri wa ndege.Kwa sasa upanuzi wa kiwanja cha ndege ungetekelezwa baadae baada ya hiyo bandari
@mrjagenmuuz5704
5 жыл бұрын
Wanacho angalia jambo ambalo litawaondoshea shıda wao tuu bas
@utaani1
5 жыл бұрын
Ahmed Albalooshi wallahi uko juu ya mstari. Sio watu wengi wenye uwezo wa kupanda ndege. Ndege unguja pemba laki 1 tena sio return ticket. Mimi nilipanda ndege mara moja tu wala sipandi tena wakati meli elfu 30 tu . Videge wenyewe vidogo havizidi ila kelele. Kupaa kinachukua dakika 10 ndio kinakaa sawa juu
@sabrysleiman5115
Жыл бұрын
Hutanuliwi ww Akhuy hio wala wananchii Hio wanatanuliwa watalii waje wafanye ufuska wao na Pemba ,ardhi tukufu
ccm daima ni ileile wizi tuu ndo wao
Wongo nyny hamuna fursa ya ajira mutakayoitoa munawapa moyo wakubali kuondoka tu,maana sehemu nyingi munasema kama hivi mwisho wake munatafuta watu kutoka sehemu mbali mbali kufanya kazi.
Mungu ata wahukumu mukituzulumu
KTV hakika hii ni fahari Yetu. Lakini KTV tungeomba Camera zenu zionyeshe huo uwanja wa ndege ulivo au ulivofikia. Tunaomba sana.
Ni kawaida ya serikali kuchukua ardhi pale inapo hitajia iwe kwa hiari au kwa nguvu na mifano ipo
Safi sana smz
@neemamhelela7692
5 жыл бұрын
Smz mtake msitake malipaji hamna.
dah mtihan dunia ilipofika bado tunapania ardh kutanua majengo hakika MTU aangalie na akhera yake dunian hakuna jipya,
Hayo n matatizo ya serekali ya Zanzibar kwanini hawaimalizi uwanja w ndege wa unguja wanaruka kwengine
ما شاء الله
Ñice home
Jamani machungu bado hayaja kwisha ujenzi wa barabara unguja
Good
@arbabahmed8773
5 жыл бұрын
Mtihani wallah
hapa ham'na good Huyu Haji omari heri na hawa m'bwa wenzake washaona kwa wapemba wana mafuta wanadai kwenda kuwajengea kiwanja cha ndege ili wapate wawadhulumu mbona tandu alipokufa karume Pemba hakuna chocho kilicho jengwa?inshaallwah Allwah hatakuwezesheni kwenda kuwaibia wapemba atakupeni maradhi musijielewe hata kama muko duniani au Aghera,Madhwalim nyinyi.
Luzumaiyo iyo inakuja
Inshaallah kher
@zahorrashid5459
5 жыл бұрын
tanueni bandari kwaza
@fatmasaid5864
5 жыл бұрын
@@zahorrashid5459 Hata huo uwanja na muhimu
@mussasaid1320
5 жыл бұрын
Chamsingi jengeni msiondoe njiani fidia na malipo baadae jengeni hasaa CCM daima mbele na mkiwaendekeza sna wapemba mara wanakataa mradi huo kwakuwa wa CCM
@fatmasaid5864
5 жыл бұрын
@@mussasaid1320 kwani ukijengwa huo uwanja unachagua ccm au cuf mm najua ni wa wananchi wote
@jumamwadhini6066
5 жыл бұрын
maendeleo kwaza
wayongo mafisadi wakubwa njia ya kwanyanya chaani mkokotoni hadi leo hawajalipwa lesa wanatunisha matumbo yao sauti hawana kwa ufisadi
Na kama serikali inataka kuwaletea maendeleo wananchi na fursa za ajira basi ingewajengea gati kama lile la malindi kule wete na mkoani na kununua meli mpya
@yassirrashid7802
5 жыл бұрын
Umeongea kitu.....
Cku zote serikal imo mbion,jamaa inakimbia mpk wapi?
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏tobaaa pemba yetu
😂😂😂 Amii ataka majina ya watu walosema ardhi ni mali ya serikal haya mpeni ssa musubir ayo majib 😅
🤔
Bass haya tunaona hicho kiwanjwe ni kweli au vip
Tanueni kiwanja baba.....
@mussasaid1320
5 жыл бұрын
Yassir Rashid tanueni hasaaaa tena pangeni kuwa maslhi ya nchi iwe kwa matumizi hadi mpaka miaka 200 mbele sio kila miaka mitano ukarabati
Eh richi!
Hakuna kitu hapoooo
Ktv mbona hamjamuweka tena yule.jamaa yangu anaetaka kujua nnani aliesema ardhi ni mali ya serikali ?? 😉😉😉.
Jamaani sisi wanyonge kila siku mwatujia kwa mapya
Hatutaki kulipwa na serekali ni wiziiii
Naam.kweli kaka ardhi ni mali ya serikali aliesema hivi nnani hata mi nataka kujua ninani aliosema haya maneno ??
Hakuna llt nyy mnababaishwa na ccm tu..
No comments🤗🤗🤗
Dhulma haileti maendeleo
apo sasa maida said
Hahahaahaaahhaha
nakwambiy hawan lolote wamezidiwa na minyamwezi angaliyeni saivi uwanja wa abeidi amani karume kwenye kampuni ya dinata mzanzibar unamtafut nakama yumo kafanya kuinunuwa nafazi waache waendeley kuivunja zanziba nakuondowa azili yetu nahadhi yetu wawanufaishe minyamwezi man hata wao mbiy zao zote hawa wanalo lipat ikifik jioni zrb baraaa mzingo unakwenda eti maendeley nyoko
Aliesema ardhi ni mali ya serikali nani?
@zenaal-baalawy1953
5 жыл бұрын
😂😂 Anataka kumjua huyo alosema TRENDING COMEDIANS@
@masoudmasoud8138
4 жыл бұрын
@@zenaal-baalawy1953 nani unamjua wee.tumtumie majina yao ??
@mchamungu9485
4 жыл бұрын
Aliesema kua ardhi nimali yaserikali ni uyo anaeitwa raisi Cheni (Shuwain) kwenye mkutano wa hadhara aliyasema hayo kwasababu domo linafunuka nakuvuta pumnzi
fix tupu
Ajirazitapatika.kwaupande.wabara. naunguja.cyo.kwetu.pemba.
Wizi.mtupu
Ccm oyeeeee
@mohdabdulla572
4 жыл бұрын
Ccm bara zanzibar upumbavu tu
Ni kawaida ya serikali kuchukua ardhi pale inapo hitajia iwe kwa hiari au kwa nguvu na mifano ipo