UTANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE PEMBA, MASWALI YA WANANCHI YAIBUKA!

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Pemba #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 62

  • @rashidseif6103
    @rashidseif61035 жыл бұрын

    Hapo ni kutaka kunyang'anywa ardhi zetu tu pamoja na Mali zetu kama majumba, lkn kwa serikali ya ccm hawana nia ya kuwajengea wapemba kisiwa Chao, mambo yote muhimu wameyapeleka unguja. Wakat pemba ndio kwenye mafuta na gesi na karafuu karibu %97 unatoka pemba lkn kila siku pemba wameiweka nyuma kimaendeleo

  • @yassirrashid7802

    @yassirrashid7802

    5 жыл бұрын

    Umeongea kitu brother..... %100

  • @khamismaulid6839

    @khamismaulid6839

    5 жыл бұрын

    Mahasidi wa kisiwa chetu

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi85185 жыл бұрын

    Kwa mtazamo wa hali halisi ilivyo,ni bora kwanza wakapanua bandari ya Wete,ambayo itarahisisha usafiri wa bahari kwa wananchi wengi ambao hawategemei usafiri wa ndege.Kwa sasa upanuzi wa kiwanja cha ndege ungetekelezwa baadae baada ya hiyo bandari

  • @mrjagenmuuz5704

    @mrjagenmuuz5704

    5 жыл бұрын

    Wanacho angalia jambo ambalo litawaondoshea shıda wao tuu bas

  • @utaani1

    @utaani1

    5 жыл бұрын

    Ahmed Albalooshi wallahi uko juu ya mstari. Sio watu wengi wenye uwezo wa kupanda ndege. Ndege unguja pemba laki 1 tena sio return ticket. Mimi nilipanda ndege mara moja tu wala sipandi tena wakati meli elfu 30 tu . Videge wenyewe vidogo havizidi ila kelele. Kupaa kinachukua dakika 10 ndio kinakaa sawa juu

  • @sabrysleiman5115

    @sabrysleiman5115

    Жыл бұрын

    Hutanuliwi ww Akhuy hio wala wananchii Hio wanatanuliwa watalii waje wafanye ufuska wao na Pemba ,ardhi tukufu

  • @binbarwan7401
    @binbarwan74015 жыл бұрын

    ccm daima ni ileile wizi tuu ndo wao

  • @Zlatan_Makame
    @Zlatan_Makame5 жыл бұрын

    Wongo nyny hamuna fursa ya ajira mutakayoitoa munawapa moyo wakubali kuondoka tu,maana sehemu nyingi munasema kama hivi mwisho wake munatafuta watu kutoka sehemu mbali mbali kufanya kazi.

  • @nicenasor5951
    @nicenasor59515 жыл бұрын

    Mungu ata wahukumu mukituzulumu

  • @clovetv_pba
    @clovetv_pba5 жыл бұрын

    KTV hakika hii ni fahari Yetu. Lakini KTV tungeomba Camera zenu zionyeshe huo uwanja wa ndege ulivo au ulivofikia. Tunaomba sana.

  • @hadharmiabdallah3530
    @hadharmiabdallah35305 жыл бұрын

    Ni kawaida ya serikali kuchukua ardhi pale inapo hitajia iwe kwa hiari au kwa nguvu na mifano ipo

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24105 жыл бұрын

    Safi sana smz

  • @neemamhelela7692

    @neemamhelela7692

    5 жыл бұрын

    Smz mtake msitake malipaji hamna.

  • @nassormuha4832
    @nassormuha48325 жыл бұрын

    dah mtihan dunia ilipofika bado tunapania ardh kutanua majengo hakika MTU aangalie na akhera yake dunian hakuna jipya,

  • @hamoudslim3622
    @hamoudslim36224 жыл бұрын

    Hayo n matatizo ya serekali ya Zanzibar kwanini hawaimalizi uwanja w ndege wa unguja wanaruka kwengine

  • @aliy3303
    @aliy33035 жыл бұрын

    ما شاء الله

  • @mohamedjuma423
    @mohamedjuma4235 жыл бұрын

    Ñice home

  • @saydbarakismailiya1515
    @saydbarakismailiya15155 жыл бұрын

    Jamani machungu bado hayaja kwisha ujenzi wa barabara unguja

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78025 жыл бұрын

    Good

  • @arbabahmed8773

    @arbabahmed8773

    5 жыл бұрын

    Mtihani wallah

  • @solomonadams6337
    @solomonadams63375 жыл бұрын

    hapa ham'na good Huyu Haji omari heri na hawa m'bwa wenzake washaona kwa wapemba wana mafuta wanadai kwenda kuwajengea kiwanja cha ndege ili wapate wawadhulumu mbona tandu alipokufa karume Pemba hakuna chocho kilicho jengwa?inshaallwah Allwah hatakuwezesheni kwenda kuwaibia wapemba atakupeni maradhi musijielewe hata kama muko duniani au Aghera,Madhwalim nyinyi.

  • @khamisame4649
    @khamisame46495 жыл бұрын

    Luzumaiyo iyo inakuja

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58645 жыл бұрын

    Inshaallah kher

  • @zahorrashid5459

    @zahorrashid5459

    5 жыл бұрын

    tanueni bandari kwaza

  • @fatmasaid5864

    @fatmasaid5864

    5 жыл бұрын

    @@zahorrashid5459 Hata huo uwanja na muhimu

  • @mussasaid1320

    @mussasaid1320

    5 жыл бұрын

    Chamsingi jengeni msiondoe njiani fidia na malipo baadae jengeni hasaa CCM daima mbele na mkiwaendekeza sna wapemba mara wanakataa mradi huo kwakuwa wa CCM

  • @fatmasaid5864

    @fatmasaid5864

    5 жыл бұрын

    @@mussasaid1320 kwani ukijengwa huo uwanja unachagua ccm au cuf mm najua ni wa wananchi wote

  • @jumamwadhini6066

    @jumamwadhini6066

    5 жыл бұрын

    maendeleo kwaza

  • @mwigaali9780
    @mwigaali97805 жыл бұрын

    wayongo mafisadi wakubwa njia ya kwanyanya chaani mkokotoni hadi leo hawajalipwa lesa wanatunisha matumbo yao sauti hawana kwa ufisadi

  • @hadharmiabdallah3530
    @hadharmiabdallah35305 жыл бұрын

    Na kama serikali inataka kuwaletea maendeleo wananchi na fursa za ajira basi ingewajengea gati kama lile la malindi kule wete na mkoani na kununua meli mpya

  • @yassirrashid7802

    @yassirrashid7802

    5 жыл бұрын

    Umeongea kitu.....

  • @maidasaid947
    @maidasaid9475 жыл бұрын

    Cku zote serikal imo mbion,jamaa inakimbia mpk wapi?

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa10695 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏tobaaa pemba yetu

  • @suleimannull4202
    @suleimannull42025 жыл бұрын

    😂😂😂 Amii ataka majina ya watu walosema ardhi ni mali ya serikal haya mpeni ssa musubir ayo majib 😅

  • @omaraminia1227
    @omaraminia12273 жыл бұрын

    🤔

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Жыл бұрын

    Bass haya tunaona hicho kiwanjwe ni kweli au vip

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78025 жыл бұрын

    Tanueni kiwanja baba.....

  • @mussasaid1320

    @mussasaid1320

    5 жыл бұрын

    Yassir Rashid tanueni hasaaaa tena pangeni kuwa maslhi ya nchi iwe kwa matumizi hadi mpaka miaka 200 mbele sio kila miaka mitano ukarabati

  • @abdulbukhary9866
    @abdulbukhary98665 жыл бұрын

    Eh richi!

  • @abuufauzaanmohd447
    @abuufauzaanmohd4474 жыл бұрын

    Hakuna kitu hapoooo

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud81384 жыл бұрын

    Ktv mbona hamjamuweka tena yule.jamaa yangu anaetaka kujua nnani aliesema ardhi ni mali ya serikali ?? 😉😉😉.

  • @yanayojirimitaaniTV
    @yanayojirimitaaniTV5 жыл бұрын

    Jamaani sisi wanyonge kila siku mwatujia kwa mapya

  • @khamismohd8616
    @khamismohd86163 жыл бұрын

    Hatutaki kulipwa na serekali ni wiziiii

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud81384 жыл бұрын

    Naam.kweli kaka ardhi ni mali ya serikali aliesema hivi nnani hata mi nataka kujua ninani aliosema haya maneno ??

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum6632 жыл бұрын

    Hakuna llt nyy mnababaishwa na ccm tu..

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa73535 жыл бұрын

    No comments🤗🤗🤗

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Жыл бұрын

    Dhulma haileti maendeleo

  • @faridaali6850
    @faridaali68505 жыл бұрын

    apo sasa maida said

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim8302 жыл бұрын

    Hahahaahaaahhaha

  • @aminaothuman6784
    @aminaothuman6784 Жыл бұрын

    nakwambiy hawan lolote wamezidiwa na minyamwezi angaliyeni saivi uwanja wa abeidi amani karume kwenye kampuni ya dinata mzanzibar unamtafut nakama yumo kafanya kuinunuwa nafazi waache waendeley kuivunja zanziba nakuondowa azili yetu nahadhi yetu wawanufaishe minyamwezi man hata wao mbiy zao zote hawa wanalo lipat ikifik jioni zrb baraaa mzingo unakwenda eti maendeley nyoko

  • @boywithdream20
    @boywithdream205 жыл бұрын

    Aliesema ardhi ni mali ya serikali nani?

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    5 жыл бұрын

    😂😂 Anataka kumjua huyo alosema TRENDING COMEDIANS@

  • @masoudmasoud8138

    @masoudmasoud8138

    4 жыл бұрын

    @@zenaal-baalawy1953 nani unamjua wee.tumtumie majina yao ??

  • @mchamungu9485

    @mchamungu9485

    4 жыл бұрын

    Aliesema kua ardhi nimali yaserikali ni uyo anaeitwa raisi Cheni (Shuwain) kwenye mkutano wa hadhara aliyasema hayo kwasababu domo linafunuka nakuvuta pumnzi

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji5 жыл бұрын

    fix tupu

  • @khamissalum9285
    @khamissalum92855 жыл бұрын

    Ajirazitapatika.kwaupande.wabara. naunguja.cyo.kwetu.pemba.

  • @khamissalum9285
    @khamissalum92855 жыл бұрын

    Wizi.mtupu

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa10695 жыл бұрын

    Ccm oyeeeee

  • @mohdabdulla572

    @mohdabdulla572

    4 жыл бұрын

    Ccm bara zanzibar upumbavu tu

  • @hadharmiabdallah3530
    @hadharmiabdallah35305 жыл бұрын

    Ni kawaida ya serikali kuchukua ardhi pale inapo hitajia iwe kwa hiari au kwa nguvu na mifano ipo

Келесі