MWANZO MWISHO KUTOKA MKOANI HADI WETE KROSI ZOTE NA MILIMANI ILIYOPO PEMBA

Join this channel to get access to perks:
/ @rvsonlinetv
JOIN TO OUR WHATSAP GROUP AS MEMBER OF RVS:
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/KZi1LtLlTmX...
#HABARI #UPDTAEHABARI #RVSONLINETV @RVS
Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
RVS SQUAD YETU
WAANDISHI NA WANA HABARI :
1. SALMA MASHAKA MAYUNGA
2.YUSRA SAID SHAABAN
3. ABOU BAKAR ( BABROMA )
4. JOYCE VICENT
5.CHRISTOPHER MARTIN
CAMERA MAN :
1.SEIF PUCHE
2.HAFIDH KHAMIS ( FII )
3.UST KHATIB SALUM
4. HARITH
5. YASSIN ALLY
6.HAFIDH OMAR
EDITOR :
1. SAID KOMBO ALI
2.SEIF PUCHE
3.ABDALLAH ( MATEGE )
4.MOHAMMED KHALID
5.YASSIN ALLY
HAO NDO WANAOTMBULIKANA N RVS ONLINE TV
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
TEMBELEA WEBSITE YETU YA RVS ONLINE TV👇👇👇👇
👉👉👉👉: www.rvsonlinetv.com
FACEBOOK: / rvsteamhb
INSTAGRAM : / rvstv2020
TWITTER : / online_rvs

Пікірлер: 76

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 Жыл бұрын

    Wale wa ngezi,kuyuni,kenya, ngwachani,mkungu,vuleni,kipapo,chonga chanjamjawiri.like hapa tujuane mabaharia.

  • @bahariakassim8089

    @bahariakassim8089

    Жыл бұрын

    yap

  • @digitaltv3237

    @digitaltv3237

    Жыл бұрын

    Hahahhaha

  • @fatmasaid9765

    @fatmasaid9765

    Жыл бұрын

    Ww kwani kwenu wapi

  • @user-gk3wz8wb3t

    @user-gk3wz8wb3t

    6 ай бұрын

    Kengeja moja hii

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 Жыл бұрын

    Daaah imenikumbudha mbali kweli kweli natamani siku nikija tz nifike home in shaa Allah

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Жыл бұрын

    Mbona hukutuandikia tukajua hapo niwapi yaani utuambie hapa mtambile hapo mtuhaliwa hapa mzingani nk lakini juu hivo shukran jazaka Allah kheri

  • @digitaltv3237

    @digitaltv3237

    Жыл бұрын

    Pengine muandishi mgeni wa pemba

  • @fatmasaid9765

    @fatmasaid9765

    Жыл бұрын

    @@digitaltv3237 Ahaa inawezekana

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany320811 ай бұрын

    Masha Allah Mola aibarik Pemba yetu

  • @wete_tv
    @wete_tv Жыл бұрын

    Wooh

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Жыл бұрын

    Pemba ni lulu sihami n'gooo kisiwa cha marashi ya karafuu, Allah kakibari baraka tele Alhamdulillah🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤💜❤💜❤💜 🛳 ⛴ 🚤 🛥 ⛵ ✈ 🛬 🛩 ✈.

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 Жыл бұрын

    Aloo pemba nkwetuuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Жыл бұрын

    Dhana na maana halisi ya NYUMBANI, utulivu, amani, mandhari ya kuvutia

  • @RVSONLINETV

    @RVSONLINETV

    Жыл бұрын

    SADAKTA PEMBA PEREMBA

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t6 ай бұрын

    Jamani hakuna sehem korofi kama meli 5 pemba ..wete kwetu maashaallah kuzuri sana

  • @mansourahmed7782
    @mansourahmed7782 Жыл бұрын

    Saf sanaaaa, ila speed kubwa

  • @RVSONLINETV

    @RVSONLINETV

    Жыл бұрын

    PEMBA PEREMBA

  • @amanmohd9435
    @amanmohd9435 Жыл бұрын

    Woooo beautiful

  • @RVSONLINETV

    @RVSONLINETV

    Жыл бұрын

    PEMBA PEREMBA

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 Жыл бұрын

    Jaman me asa hunibishii asaa sema n hio barababra tu nayo sio y mkoan watutengenezeeee tna dah afu mashallah kumebadilika pemba kunavutia kw nuru n ugum w maisha 🤣🤣🤣

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 Жыл бұрын

    Chake Chake nimepapenda

  • @wete_tv

    @wete_tv

    Жыл бұрын

    chake ni mji mkuu wa pemba ila na wete wanapaswa wauute mji mkuu pia wa pemba

  • @saidaomar6084
    @saidaomar6084 Жыл бұрын

    Wa Pemba tusiache mbachao turudi kwetu tukakujenge.

  • @digitaltv3237

    @digitaltv3237

    Жыл бұрын

    Hahahahhaaha kwannn

  • @saidaomar6084

    @saidaomar6084

    Жыл бұрын

    Kweli green inapendeza lkn ni migomba na mikarafuu barabara yote esp kutoka Mkoani hadi Chake Chake

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Жыл бұрын

    Pemba yetu ni Pepo ya Duniani.

  • @flyonlinetv2070

    @flyonlinetv2070

    Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @digitaltv3237

    @digitaltv3237

    Жыл бұрын

    Sadakta

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb10 ай бұрын

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu....naitwa Muhammad Mwangi natokea Kenya, nilikuwa na rafiki yangu anaitwa Abeid Khamis kutoka Pemba, tukifanya kazi naye Al Muhaidib land transport company pale Dammam Saudi Arabia, nasikia alirudi zake Pemba anafanya kazi ya bakery, kama kuna mtu anamfahamu mwambieni namtafuta.... shukran jazeelan.

  • @bashaakumaarpandan9021

    @bashaakumaarpandan9021

    6 ай бұрын

    em tuma nitumie namba yako

  • @wete_tv
    @wete_tv Жыл бұрын

    kati ya mkoani na wete upi ni mji wenye sifa za kuitwa mji mkuu wa pemba

  • @mohdseif2459

    @mohdseif2459

    Жыл бұрын

    chake chake ikifuatia wete mkoani mji wa 3

  • @zainabsururu6888

    @zainabsururu6888

    Жыл бұрын

    Wete

  • @user-gk3wz8wb3t

    @user-gk3wz8wb3t

    6 ай бұрын

    Wete bhanaaa

  • @MohdKhamis-iq4um
    @MohdKhamis-iq4um6 ай бұрын

    Naipenda san pemb mm

  • @digitaltv3237
    @digitaltv3237 Жыл бұрын

    Pemba mzr kumbe

  • @RVSONLINETV

    @RVSONLINETV

    Жыл бұрын

    PEMBA PEREMBA

  • @zahorkhamis4803
    @zahorkhamis4803 Жыл бұрын

    Kisiwa chenye maadil

  • @wete_tv

    @wete_tv

    Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @abukingkima092
    @abukingkima092 Жыл бұрын

    Hiyo taarab inatwaje

  • @user-jy6wx6cb9b
    @user-jy6wx6cb9b8 ай бұрын

    Green l land ❤❤❤

  • @zahorkhamis4803
    @zahorkhamis4803 Жыл бұрын

    Hyo taarab inaitwaje

  • @user-th1pf1yj2i
    @user-th1pf1yj2i11 ай бұрын

    from US wa chake chake sharaut home swt home🥰

  • @abuubakar7594
    @abuubakar759410 ай бұрын

    Nikioa nahamia pemba inshallah ntaishi uko maishayangu yote

  • @user-gk3wz8wb3t

    @user-gk3wz8wb3t

    6 ай бұрын

    Hongera yako

  • @saidhassan-xg2uo
    @saidhassan-xg2uo7 ай бұрын

    Nipo KSA Kingdom of Saudi Arabia lkn nakupenda sn nyumbani PEMBA na siwezi kukuzarau jmn

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah86423 ай бұрын

    Kigope iyoo

  • @salimsaleh9354
    @salimsaleh9354 Жыл бұрын

    kijani kizuri ardhi yenye rutba

  • @digitaltv3237

    @digitaltv3237

    Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Жыл бұрын

    Alhamdullillah

  • @zainabsururu6888
    @zainabsururu6888 Жыл бұрын

    Chezea mkoani wee kwa krosi

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 Жыл бұрын

    Pemba peremba ukienda na gunia utarudi na kilemba

  • @digitaltv3237

    @digitaltv3237

    Жыл бұрын

    Je ukienda hujaowa utarudi na mke??

  • @lilianmakwati5228

    @lilianmakwati5228

    Жыл бұрын

    @@digitaltv3237 mpemba haolewi na mtu wa bara ukienda huna mke utarudi kama ulivyo

  • @digitaltv3237

    @digitaltv3237

    Жыл бұрын

    @@lilianmakwati5228 hahahahahaa

  • @digitaltv3237

    @digitaltv3237

    Жыл бұрын

    @@lilianmakwati5228 lkn saiv mchanganyiko ni mkubwa sana

  • @lilianmakwati5228

    @lilianmakwati5228

    Жыл бұрын

    @@digitaltv3237 vipi tena?

  • @user-xz1tf8wh9l
    @user-xz1tf8wh9l4 ай бұрын

    Mm nataka kuona piki njia kongwe kuanzia skuli mpaka sokon piki

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim4 ай бұрын

    Kuna siku nusra apo dereva atupeleke mabondeni kuchuma karafuu,

  • @salumaliy5808
    @salumaliy58088 ай бұрын

    Dah Pemba mkwetu ela Pemba twatupwa San ten San maan Pemba miaka yote iyo haijabadilika barabara ulimi wa paka Yan dah

  • @historicalzanzibartv
    @historicalzanzibartv Жыл бұрын

    Wimbo tafadhali naomba

  • @hajjism
    @hajjism Жыл бұрын

    Ahsante lakini bila ya kufika Bopwe na Kipangani hujafika Wete🙂

  • @RVSONLINETV

    @RVSONLINETV

    Жыл бұрын

    hahahahahah tutafika kote huko inshaaallah

  • @zainabsururu6888

    @zainabsururu6888

    Жыл бұрын

    Na bila ya kufika selemu py hujafk wete

  • @user-gk3wz8wb3t

    @user-gk3wz8wb3t

    6 ай бұрын

    ​@@zainabsururu6888Na kizimbani pia

  • @kassimomar8176
    @kassimomar8176 Жыл бұрын

    Barabara yenyewe hio lkn gari zinaendeshwa kama nn

  • @salimsaleh9354
    @salimsaleh9354 Жыл бұрын

    pemba nkwetu

  • @digitaltv3237

    @digitaltv3237

    Жыл бұрын

    Pemba kubwa

  • @salimsaleh9354

    @salimsaleh9354

    Жыл бұрын

    mkoani

  • @aminaalmazrui9785

    @aminaalmazrui9785

    Жыл бұрын

    @@salimsaleh9354 mkoani nimekaa sana na kusoma ila niliondoka 2015 nimesoma pale uweleni secondary school nimepamiss kwelii kwelii

  • @salimsaleh9354

    @salimsaleh9354

    Жыл бұрын

    @@aminaalmazrui9785 hongera

  • @aminaalmazrui9785

    @aminaalmazrui9785

    Жыл бұрын

    @@salimsaleh9354 shukran sana

  • @mbingwaali7791
    @mbingwaali7791 Жыл бұрын

    Kwetu kuzuri

Келесі