MWANZO MWISHO KUTOKA MKOANI HADI WETE KROSI ZOTE NA MILIMANI ILIYOPO PEMBA
Join this channel to get access to perks:
/ @rvsonlinetv
JOIN TO OUR WHATSAP GROUP AS MEMBER OF RVS:
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/KZi1LtLlTmX...
#HABARI #UPDTAEHABARI #RVSONLINETV @RVS
Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
RVS SQUAD YETU
WAANDISHI NA WANA HABARI :
1. SALMA MASHAKA MAYUNGA
2.YUSRA SAID SHAABAN
3. ABOU BAKAR ( BABROMA )
4. JOYCE VICENT
5.CHRISTOPHER MARTIN
CAMERA MAN :
1.SEIF PUCHE
2.HAFIDH KHAMIS ( FII )
3.UST KHATIB SALUM
4. HARITH
5. YASSIN ALLY
6.HAFIDH OMAR
EDITOR :
1. SAID KOMBO ALI
2.SEIF PUCHE
3.ABDALLAH ( MATEGE )
4.MOHAMMED KHALID
5.YASSIN ALLY
HAO NDO WANAOTMBULIKANA N RVS ONLINE TV
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
TEMBELEA WEBSITE YETU YA RVS ONLINE TV👇👇👇👇
👉👉👉👉: www.rvsonlinetv.com
FACEBOOK: / rvsteamhb
INSTAGRAM : / rvstv2020
TWITTER : / online_rvs
Пікірлер: 76
Wale wa ngezi,kuyuni,kenya, ngwachani,mkungu,vuleni,kipapo,chonga chanjamjawiri.like hapa tujuane mabaharia.
@bahariakassim8089
Жыл бұрын
yap
@digitaltv3237
Жыл бұрын
Hahahhaha
@fatmasaid9765
Жыл бұрын
Ww kwani kwenu wapi
@user-gk3wz8wb3t
6 ай бұрын
Kengeja moja hii
Daaah imenikumbudha mbali kweli kweli natamani siku nikija tz nifike home in shaa Allah
Mbona hukutuandikia tukajua hapo niwapi yaani utuambie hapa mtambile hapo mtuhaliwa hapa mzingani nk lakini juu hivo shukran jazaka Allah kheri
@digitaltv3237
Жыл бұрын
Pengine muandishi mgeni wa pemba
@fatmasaid9765
Жыл бұрын
@@digitaltv3237 Ahaa inawezekana
Masha Allah Mola aibarik Pemba yetu
Wooh
Pemba ni lulu sihami n'gooo kisiwa cha marashi ya karafuu, Allah kakibari baraka tele Alhamdulillah🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤💜❤💜❤💜 🛳 ⛴ 🚤 🛥 ⛵ ✈ 🛬 🛩 ✈.
Aloo pemba nkwetuuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dhana na maana halisi ya NYUMBANI, utulivu, amani, mandhari ya kuvutia
@RVSONLINETV
Жыл бұрын
SADAKTA PEMBA PEREMBA
Jamani hakuna sehem korofi kama meli 5 pemba ..wete kwetu maashaallah kuzuri sana
Saf sanaaaa, ila speed kubwa
@RVSONLINETV
Жыл бұрын
PEMBA PEREMBA
Woooo beautiful
@RVSONLINETV
Жыл бұрын
PEMBA PEREMBA
Jaman me asa hunibishii asaa sema n hio barababra tu nayo sio y mkoan watutengenezeeee tna dah afu mashallah kumebadilika pemba kunavutia kw nuru n ugum w maisha 🤣🤣🤣
Chake Chake nimepapenda
@wete_tv
Жыл бұрын
chake ni mji mkuu wa pemba ila na wete wanapaswa wauute mji mkuu pia wa pemba
Wa Pemba tusiache mbachao turudi kwetu tukakujenge.
@digitaltv3237
Жыл бұрын
Hahahahhaaha kwannn
@saidaomar6084
Жыл бұрын
Kweli green inapendeza lkn ni migomba na mikarafuu barabara yote esp kutoka Mkoani hadi Chake Chake
Pemba yetu ni Pepo ya Duniani.
@flyonlinetv2070
Жыл бұрын
Mashaallah
@digitaltv3237
Жыл бұрын
Sadakta
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu....naitwa Muhammad Mwangi natokea Kenya, nilikuwa na rafiki yangu anaitwa Abeid Khamis kutoka Pemba, tukifanya kazi naye Al Muhaidib land transport company pale Dammam Saudi Arabia, nasikia alirudi zake Pemba anafanya kazi ya bakery, kama kuna mtu anamfahamu mwambieni namtafuta.... shukran jazeelan.
@bashaakumaarpandan9021
6 ай бұрын
em tuma nitumie namba yako
kati ya mkoani na wete upi ni mji wenye sifa za kuitwa mji mkuu wa pemba
@mohdseif2459
Жыл бұрын
chake chake ikifuatia wete mkoani mji wa 3
@zainabsururu6888
Жыл бұрын
Wete
@user-gk3wz8wb3t
6 ай бұрын
Wete bhanaaa
Naipenda san pemb mm
Pemba mzr kumbe
@RVSONLINETV
Жыл бұрын
PEMBA PEREMBA
Kisiwa chenye maadil
@wete_tv
Жыл бұрын
Mashaallah
Hiyo taarab inatwaje
Green l land ❤❤❤
Hyo taarab inaitwaje
from US wa chake chake sharaut home swt home🥰
Nikioa nahamia pemba inshallah ntaishi uko maishayangu yote
@user-gk3wz8wb3t
6 ай бұрын
Hongera yako
Nipo KSA Kingdom of Saudi Arabia lkn nakupenda sn nyumbani PEMBA na siwezi kukuzarau jmn
Kigope iyoo
kijani kizuri ardhi yenye rutba
@digitaltv3237
Жыл бұрын
Mashaallah
Alhamdullillah
Chezea mkoani wee kwa krosi
Pemba peremba ukienda na gunia utarudi na kilemba
@digitaltv3237
Жыл бұрын
Je ukienda hujaowa utarudi na mke??
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
@@digitaltv3237 mpemba haolewi na mtu wa bara ukienda huna mke utarudi kama ulivyo
@digitaltv3237
Жыл бұрын
@@lilianmakwati5228 hahahahahaa
@digitaltv3237
Жыл бұрын
@@lilianmakwati5228 lkn saiv mchanganyiko ni mkubwa sana
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
@@digitaltv3237 vipi tena?
Mm nataka kuona piki njia kongwe kuanzia skuli mpaka sokon piki
Kuna siku nusra apo dereva atupeleke mabondeni kuchuma karafuu,
Dah Pemba mkwetu ela Pemba twatupwa San ten San maan Pemba miaka yote iyo haijabadilika barabara ulimi wa paka Yan dah
Wimbo tafadhali naomba
Ahsante lakini bila ya kufika Bopwe na Kipangani hujafika Wete🙂
@RVSONLINETV
Жыл бұрын
hahahahahah tutafika kote huko inshaaallah
@zainabsururu6888
Жыл бұрын
Na bila ya kufika selemu py hujafk wete
@user-gk3wz8wb3t
6 ай бұрын
@@zainabsururu6888Na kizimbani pia
Barabara yenyewe hio lkn gari zinaendeshwa kama nn
pemba nkwetu
@digitaltv3237
Жыл бұрын
Pemba kubwa
@salimsaleh9354
Жыл бұрын
mkoani
@aminaalmazrui9785
Жыл бұрын
@@salimsaleh9354 mkoani nimekaa sana na kusoma ila niliondoka 2015 nimesoma pale uweleni secondary school nimepamiss kwelii kwelii
@salimsaleh9354
Жыл бұрын
@@aminaalmazrui9785 hongera
@aminaalmazrui9785
Жыл бұрын
@@salimsaleh9354 shukran sana
Kwetu kuzuri