UTAJIRI MKUBWA WA UHAKIKA NDANI YA WIKI MOJA TU KWA YAKINI TUMIA URADI HUU NA DUA HII
Жүктеу.....
Пікірлер: 204
@jamilafuad-5702 Жыл бұрын
Mashallah asalkum vip hakika leo natoa ushuhuda kwa sala ya mtume s.w hakika ina maajabu makubwa subuhanaallah...mi niliposikia hay mawaidh nilimuhadithia mumewang na tukaaza kuyafanyia kazi hali yetu ilikuwa ngumu kimaisha basi baada ya siku 3 tu ilitokea risk tusioitarajia subuhanaallah Allah alitufanyia wepes na hadi sasa tunaendelea inshallah mpaka mwisho wa maisha yetu.
@sultanasalim5177
11 ай бұрын
Mashaallah
@rizikially9535
10 ай бұрын
Unasemaje hayo maneno naomba niandikie hapa
@jumaahmadi7909
9 ай бұрын
Maashallah
@zenasalum2231
8 ай бұрын
Maasha Allah
@omaramne4465
7 ай бұрын
@@rizikially9535unamsalimia mtume kuna namna tofauti ww utaangalia wepesi wako , Kama hujui hapa hapa KZread Andika jinsi ya kumswali mtume itakuja alaf utaona.
@foodcook3626 Жыл бұрын
Sheikh unaniliza!!!! Nampenda Allah na mtume wake wallahi namswalia mtume idadi isiyo na hesabu hadi kufa yangu na kufufuliwa kwangu iwe hivyo mpaka ku uwanja wa hesabu aamin
@mkambaselemani-ej7np
Жыл бұрын
Sgeh naomba uniandukue Sala ya maradhi ya mtune hii qibrikunubi nijisaidue
@alyazain290
Жыл бұрын
Allaahumma aamin yaa rabby
@bipoposaidmohaa6242
Жыл бұрын
Assalam alekum vp hali zanu naomba kuandikiwa swala ya mtume iyo ya mwisho tafadhalini
@user-lt7kk4ye9c
4 ай бұрын
Maradhi na shida mara 1000 Allahuma swali alaa Muhammad waala ali Muhammad twilb khulb wadhawahia waafiat liabidani washifahiwa wa nuril abusariw wadhwihawia wakhutil aluwahy wadhwihawia@@mkambaselemani-ej7np
@jamillahaidha8184 Жыл бұрын
Naitekeleza na Nina hamu kuanza namuomba Allah aliyekujibu Shekh namimi anijibu kupitia uradi huu naamini kutokana na unayoyasema na viapo vyako kusisitiza, Yah Allah tukidhie haja zetu na Kama hazina kheri na sisi tubadilishie yenye kheri na turidhike nayo Ameeen
@user-rz7ss3ju7j2 ай бұрын
Sheikh Othuman Allah akuhifadhi akupe umri wenye manufaa kwako na kwa Uislamu wetu
@Capt.A.T Жыл бұрын
Maa Shaa Allah. Tahadharini ndugu zanguni. Hakika Mwenyeenzi Mngu, yuko karibu sana haswa, katika sujud. Unapokuwa unaomba hazako katika sujud. Usitie mchezo wala fikra zakipuzi. Ilinipita fikra nikaitamka katika dua. Allahu Akbar ! Nitipaliwa vibaya sana hata kukosa pumzi na kububujikwa na machozi. Uchungu mwingi kifuani. Mpaka nilipo staghfir, na sala za mtume ndipo nikapata afwaani. Allahu Akbar.
@user-ic7iw2dh7o
9 ай бұрын
ah hatari sana Allah yupo karibu mnoooo ni kweli kabisa wala sikupingi mana na mimi nishafanya
@omanomqn4345 Жыл бұрын
Mashaallah,,, wallahi napenda kusikiliza mawaidha yako,,, yanatia raha moyoni na hamasa juu ya mtume muhammad SWALALLAHU ALAYHI WASSALAM,,,, kuanzia leo namie nataka nimswalie hadi nione matokeo,,
@sofiamunga9179
Жыл бұрын
Mashalah... Walah sheikh othman Allah akuzidishie hekma mawaidha yako haki yaniweka Sawa.
@nasreenmohammed9304
Жыл бұрын
Shikh Allah akuzidishie ww na ss Allah atupe kama anavyokupa ww Sheikh kwa kuwa dua zako zinapaa na ss tuombee dua kwa. Allah atuwezeshe tufikie kiwango cha kumsala Mtume wetu Muhammad. Saw
@maimunaabdallah1294
Жыл бұрын
😀
@geradybahati3127
Жыл бұрын
Tunaomba atufundishe jinsi ya kuoga hedhi mashekh wengi Wanatuchanganya
@aminaismailmikina1240 Жыл бұрын
Assalam alaykum waramatullah wabarakat shekh othman Mungu akubariki sana tena sana kwa darasa zako tangu nimeanza kusikiliza hizi daras zako kuhusu mtume wetu Muhammad nilianza kuzifanyia kazi hata mwezi mitatu haijaisha na leo usiku nimemuota mtume wetu Muhammad akisoma dua hii allahumma swali alaa saydina na muhammad mara 3 na nikaona noor ya taa moja kali san na mengine nimeyaona kweny ndoto mashallah 🤲
@MahraMansoor5969 Жыл бұрын
Mie naanza in shaa Allah usiku huu wa kwetu uk 🇬🇧 nataka hii iwenikazi yangu hadi Alfajir ikiingia naanza saa saba hadi Alfajir in shaa Allah mungu atuwezeshe mana shekhe namatatizo mengi ya kifamiliya wallah watoto hadi mume Niombee allah atuwezeshe kwa kila mwenye nia in shaa allah Shukran shekh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah nafatilia sana vipindi vyako
@salummakame5086
Жыл бұрын
Assalaamu alaikum . Naomba makarama uloyaona baada ya kusoma nipate hamasa
@salmaalkyumi6030 Жыл бұрын
Allahumma swali alaa saydina MUHAMMAD waalihi waas habihi wasalam❤️❤️❤️
@faridaikussi
Жыл бұрын
Asante Salma alkyumi umepatia
@user-zz5ng1yb8d
7 ай бұрын
Hapa bado zinanichanganya, ni hiyo alosema da salma,au allahumaswal alamuhamad yalabswal alaih wasalim,?
@cishahayoali1136 Жыл бұрын
Mashaallah nikipaji kilioje ulichonacho, Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuinuwa na akupe nguvu na afya na ulinzi katika harakati zako Allahumma Ameen! Nashukuru kwa kwa kuzumzia umuhim wa sala ya mtume Muhammad, na nimefaidika na nimepata mazingatio!
@ashalaurent2465 Жыл бұрын
Mashaallah Mungu awaongezee duniani na kesho akhera nakependa kwaajili ya ALLAH mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja tuingie peponi kesho
@firstlady9848 Жыл бұрын
Mimi sikupingi Sheikh langu Sala ya mtume imenipa chochote nikitakacho I love Muhammad ❤️💞💞 s.w.m
@nuuraalinoor3630
Жыл бұрын
mashaAllah thanks bro, which salawat were you reciting? please share with me.
@user-ic7iw2dh7o
8 ай бұрын
Allahumma swali wasalim alaa sayyidaa Muhammad (SAW)
@wardaam3707 Жыл бұрын
Allahu akbar sheikh othmani tunashukuru kwa darsa zako
@husnamasoud4989 Жыл бұрын
Shukran Ustadh, tutalifanyia kazi BibIdhniLlAh, Allah akuweke akuhifadhi na kila baya 🤲🏻
@athmanharubu1718 ай бұрын
Masha Allah,mm sala ya mtume imeniondolea tatizo ambalo nilikuwa sijui nitafanya Nini?, wallahi haikufika hata masaa mawili nilipata nilichokuwa nakiomba, Alhamdullah,
@abdifarah-yq5tf Жыл бұрын
Alhamdulillah nimemswalia mtume SAW nimepona gas ulecers
@salmakaratta1420 Жыл бұрын
Sh.umenifurahisha sana, Allah pekee atakushindia kila jema unalokusudia kutusaidia walimwengu.Nakukubali mtu wa Mungu.InshaAllah tuombeane uzima.
@hafsawambi779 Жыл бұрын
Jazzaka llah kheyri shukran sana sheikh Allah atuwafikishe kwa rehma zake
@rahmatahmed1871 Жыл бұрын
Assalam Aleikum warahmatullah wabarakatu ALLAAHUMMA SALII WA SALIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤❤❤ Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akulipe kwa Nia yako yarabby
@taturajabu1806
Жыл бұрын
Asante Rahmat Ahmed
@CheiaNdiricho-kn4zb Жыл бұрын
Masha allah ❤ sheikh nakupenda sana❤❤❤❤❤❤
@muhinanjowa7229 Жыл бұрын
Shukran sheik Jazakka Allahu kher 🙏Allah akulipe kher hpa leo duniani hdi kesho akhera.Allahu Akbar,Alhamdhulillahi 🤝
@user-dg8dt5bg7qАй бұрын
Mashallah ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa darsa za NNABY MUHAMMAD SAW DAAIMAN ABADAH!!!!! ni hivo hivo sisemi kitu!! But swalatu NNABY ziendelee ndugu zangu utafanikiwa haqiqatan!!!!!!!!!!
@roquaal5682 Жыл бұрын
Maashaallah allah akulipe pepo ya firdaus
@bobomuamarg3856 Жыл бұрын
Assalam alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuh. Wallahi kwa zawadi hii umetusambaziya . Nikuombee tu Allah Akuzawadiye kheri zote za Waja wema na Akulinde Allah na Alizo walinda Waja wema "Amin "
@bobomuamarg3856
Жыл бұрын
Akulinde na Shari Alizo Walinda Waja wema "Amin "
@fatmaameer5333
Жыл бұрын
Shukran kwa kutujuza mambo ya kheri ALLAH akuhifadhi akuzidie kheri barak kwa ulivo navo
@nayeemn9275 Жыл бұрын
Mashaa Allah tabaraka Allah, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka, Akupe mema duniani na Akhera.
@ashumohd2192 Жыл бұрын
Shukran saana ALLAH akulipe ujira mkubwa BiidhnLLAH 🤲
@aidhajaafar391 Жыл бұрын
Mimi natoa shuhuda jamani ninauza biashara yangu alhamdulillah na ninaamini Allah atazidhisha
@user-lt7kk4ye9c
4 ай бұрын
Unasoma ngap Kila siku na wakat gan?
@user-oy5gj8fv4b18 күн бұрын
Aslm alkm shekhe Othman mm napenda sanaaa kusikiliza mawaidha yko wallahi , Allah akuhifadhi
@lawamatu42217 ай бұрын
Ma sha Allah....nimeanza usiku wa Leo...ninamatattizo mengi in shaa Allah mwenyezi Mungu atanifanyia wepesi
@tumajunior6080 Жыл бұрын
Masha Allah shukran jazzakallah khairan
@umazimwambezi8092 Жыл бұрын
Alhamdulilah kwahíi neema kubwa cna
@zakhealthbeauty1619 Жыл бұрын
Allah akbar leo nimekesha kwa ajiri yakusikiliza darsa lako mashaallah Mashaallah tabaraak rahman Allah akueke kwa ajiri yetu
@saeedsaeed7381 Жыл бұрын
Masha Allah awesome lecture..BarakAllah feek sheikh
@msimissa7734
Жыл бұрын
😢😢
@salmaalkyumi6030 Жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@tatuaamuuinyi9633 Жыл бұрын
Hii swala ya mtume naiyamini asilimia 100
@azizadjumadazuu2731 Жыл бұрын
Kwakwel Allah akujaze kheri
@kulthum8335 Жыл бұрын
Mashallah jazakawallah Allah hakuzidishie
@abelsaranguti873211 ай бұрын
masha Allah , mwenyezi mungu akuzidishie zaidi
@MmMm-hx6ln Жыл бұрын
ASALAM alaykum,sheikh mi nakuomba unapofahamisha Dua,au uradi bas jaribu kusoma taratibu maana tunaandika Ili tuipate vzr,hata ukiirejea mara mbili mbili itakua vzr sana, bila ya hivyo inatufanya tuirejeshe video Kila wakat kupata kuiandika ,ahsante
@saidira726 Жыл бұрын
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh. Sheikh wangu endelea utupe mambo matamu ya Allah, Allah azidi kukupa nguvu na uwezo wa kuendelea kusaidia ummati Muhammad swalallahu alaihi wa alihi wa salam, kila wapingao mambo unayo fundisha watapinga Allah awe akiwafanya sababu ya kuzidi kupanda daraja, baadhi yetu tunafaidika na ilm yako
@assinaassende7561 Жыл бұрын
Allah akulipe kila laheli
@fatinahasani882 Жыл бұрын
Jazaka llahu khayra allah akufikishe mbali
@mifunga3414 Жыл бұрын
Shukran sheikh na jikuta machoz inadondoka Mwez Mungu akulipe kila laheri🤲
@nassibmalik9934 Жыл бұрын
Naamini bi idhini llahi ntapata majibu shekh nmeanza kumswalia mtume kwa speed kubwa sana 🙏🙏
@fatmamuhammad4772 Жыл бұрын
MashaAllah ustadh na shukran kwa mawaidha yako mazuri yenye kutupatia manufaa jazaa yako kwa Allah.Allah akuhifadhi
@Samsungjprime-ww9ve Жыл бұрын
Shukran sheikhe Ahsante sana nakupenda sana sheikhe kwa ajili ya Allah sheikhe namuomba Allah akuzidishie umri wenye afya njema na siha mzr akujaalie pepo ya fredaus kwa uwezo wake na Rehma zake Allah akujaalie uwe pamoja na Mtume wetu Muhammad s.A.w peponi
@yasmeeenmusajuma6531
Жыл бұрын
Swala zausikuu
@suweidkhamis722
Жыл бұрын
Kila comment nakuona mashaallah
@Samsungjprime-ww9ve
Жыл бұрын
@@suweidkhamis722 Mashaallah napenda kufatilia na kuskiliza hawa masheikhe nafaidika na mengi nakujifunza mengi maana sesoma lkn angalau niwe mskilizaji ili nijuwe vyakujirekebisha nakujuwa yalo mzr na mabaya
@shemmaster7swaleyuun228
Жыл бұрын
Aamin yaarabbi
@sabahabdallah5791 Жыл бұрын
MashaAllah. Saw❤
@jamilashabani85809 ай бұрын
Maaa Shaa Allah Shukran Wajazaukum llah khayra
@user-ju1pl7rr8n11 ай бұрын
Aslm alkm ww.... Masha Allah!!! Nikweli kabisaa hata mimi nikimaliza kumswalia nabii Muhammad S. A .w. mimi hucheuka. Allahu maswali wasalim aleyh.. Jazakallah kheir 🙏 Nikweli hilo bilashaka Masha Allah 🌹
@allynyangehassan5121 Жыл бұрын
Salam alaikum warahmtulillah wabarakatuh shukhuran ya sheikh Othman Michael Allah akuraishishiye duniani na akheran Allah Huma amin
@sofiyabakari9730 Жыл бұрын
Shekhe umenenepa maa shaa llah
@jumamohamedi5855 Жыл бұрын
Maashaallah Allah akulinde uzidi kutupatia elimu hizi Inshaalaah
@fatumahayani4671 Жыл бұрын
Mashallah Allah akuhifadhi shekh na ss pia atujalie mwisho mwema
@halimamathew285 Жыл бұрын
Mashaallah.mashaallah.shekhe.Allah.akuhifadhi
@SADIKIMALISAWA-ou8sk2 ай бұрын
Jazaka allah khaira
@animamichael3968 Жыл бұрын
mashaallah my shekh
@zowaina9946 Жыл бұрын
MANSHAALLAH tabaraka RAHMAN nakupenda kwa ajili ya ALLAH ALHAMDULILLAH
@ayoubahmad7107 Жыл бұрын
بارك الله فيك
@nasradada7050 Жыл бұрын
MA Sha ALLAH tabaraka Allah kwa somo lako Allah akujaze umri WA faida na kwa thikri yako
@user-xx1yw7jw2p Жыл бұрын
Jazaka lwaah kheir mungu akuzidishie ilmu uzidi kutufundisha tumepata faida nyingi alhamdulilaah
@zwatts38 Жыл бұрын
Kwa nini shekhe huwa anasema Mtume bila kumalizia s.a.w?? Sipendezewi kwa kweli
@msafiriduwiya953
Жыл бұрын
Masikio yako yana shida KDG
@athumanikhamisi3377
Жыл бұрын
Pole mwaya,,ila sikiliza vzr.
@sessekiza2047 Жыл бұрын
Shukrani sheikh
@sofiaomar8939 Жыл бұрын
Shukran sheikh, nafaidika sana n darsa zako, alakujazie kheir ameen
@dungayusufu1954 Жыл бұрын
alah akbar, mtume ninuru fanyeni hili linaukweli asilimia mia hakika
@ayoubahmad7107 Жыл бұрын
Shekh othman michle.....unanikosha sana.....ukitaka kuongeza mke wa tatu tuwasiliane mimi ni mpemba....itabid uelekee uku bi.idhnillah
@faridahkavochi8079 Жыл бұрын
Mashaallah tabarak Allah
@manasa2449 Жыл бұрын
Shukran sheikh
@ZaiduHashim-ry1zr Жыл бұрын
Masha Allah Allah akupe unalo stahili
@alyazain290 Жыл бұрын
Allah akupe mwisho mwema yaa sheikh atukutanishe sote sisi na ww pamoja na bwana mtume s.a.w
@latifasuleiman7527 Жыл бұрын
Mashallah sheikh tunakupenda kwani unatupa faida nyingi katika darsa zako mwenyez mungu akulipe kheri
@user-ce8ew9pc6y Жыл бұрын
Shekhe Mimi napenda Sana mawadha yao yemenipa elimu Alhamdulilah arwah akujaliie umli mlefu uzidi kutupa faida sisi navitukuu vyetu
@SifaNibigira Жыл бұрын
Shukran san sheikh 🙏
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Masha Allha
@maimunamselemo8427 Жыл бұрын
MashaAllah sheikh wetu Allah akuweke
@masudimwinyi7301 Жыл бұрын
Mashallah sheikh wangu Allah akujaalie kheri ishallah
@ahmedissa7882 Жыл бұрын
MashaaAllah shekh
@joslinoeldoraldo Жыл бұрын
Masha'Allah
@UessoSalimo-cd3mw Жыл бұрын
Mashaallah from Mozambique
@sulekhamohammed535823 күн бұрын
Shukran Allah akupe Afya
@bdvx9012 Жыл бұрын
Shukulani shekhe Inshaallah tutalifayaa kazi Inshaallah Allah Akubaliki sana ,
@abdulhafidhelbahassany52 Жыл бұрын
Masha Allah aturuzuqu mapenzi yakumpenda Mtume wetu na kumsalia yeye . Allah akubaarik sheikh. Masha Allah
@AshuraRamadhan-hm6jc10 ай бұрын
MAA SHAA ALLAHU
@fedhandunga5935 Жыл бұрын
Mashaa Allah Allah akulipe😥😥
@dungayusufu1954 Жыл бұрын
mashaalah allah akulipe ishaalah
@hemedphd8532 Жыл бұрын
Mashallah shekh wetu shukran shekh
@saidamur5747 Жыл бұрын
Allah.akufanyie.wepesi.kwakila.jambo
@mesalimchama1874 Жыл бұрын
Shukran Allah atujalie miongoni mwao tutekeleze
@mohamedrokaz5272 Жыл бұрын
Mashaalh ustad mm pia nitaanza inshaalh mungu atupe kheri
@hallyally8861 Жыл бұрын
Mashaalah
@ummulabduul-je8db5 ай бұрын
ALLAHUMA SWALI ALLASAIDINA MUHAMMAD WAALIHI WASWAHBIHI WASALAM❤
@fatmahraseid7019 Жыл бұрын
Mashallah Allah kujaalie umri mrefu wenye uchamungu ndani yake
Пікірлер: 204
Mashallah asalkum vip hakika leo natoa ushuhuda kwa sala ya mtume s.w hakika ina maajabu makubwa subuhanaallah...mi niliposikia hay mawaidh nilimuhadithia mumewang na tukaaza kuyafanyia kazi hali yetu ilikuwa ngumu kimaisha basi baada ya siku 3 tu ilitokea risk tusioitarajia subuhanaallah Allah alitufanyia wepes na hadi sasa tunaendelea inshallah mpaka mwisho wa maisha yetu.
@sultanasalim5177
11 ай бұрын
Mashaallah
@rizikially9535
10 ай бұрын
Unasemaje hayo maneno naomba niandikie hapa
@jumaahmadi7909
9 ай бұрын
Maashallah
@zenasalum2231
8 ай бұрын
Maasha Allah
@omaramne4465
7 ай бұрын
@@rizikially9535unamsalimia mtume kuna namna tofauti ww utaangalia wepesi wako , Kama hujui hapa hapa KZread Andika jinsi ya kumswali mtume itakuja alaf utaona.
Sheikh unaniliza!!!! Nampenda Allah na mtume wake wallahi namswalia mtume idadi isiyo na hesabu hadi kufa yangu na kufufuliwa kwangu iwe hivyo mpaka ku uwanja wa hesabu aamin
@mkambaselemani-ej7np
Жыл бұрын
Sgeh naomba uniandukue Sala ya maradhi ya mtune hii qibrikunubi nijisaidue
@alyazain290
Жыл бұрын
Allaahumma aamin yaa rabby
@bipoposaidmohaa6242
Жыл бұрын
Assalam alekum vp hali zanu naomba kuandikiwa swala ya mtume iyo ya mwisho tafadhalini
@user-lt7kk4ye9c
4 ай бұрын
Maradhi na shida mara 1000 Allahuma swali alaa Muhammad waala ali Muhammad twilb khulb wadhawahia waafiat liabidani washifahiwa wa nuril abusariw wadhwihawia wakhutil aluwahy wadhwihawia@@mkambaselemani-ej7np
Naitekeleza na Nina hamu kuanza namuomba Allah aliyekujibu Shekh namimi anijibu kupitia uradi huu naamini kutokana na unayoyasema na viapo vyako kusisitiza, Yah Allah tukidhie haja zetu na Kama hazina kheri na sisi tubadilishie yenye kheri na turidhike nayo Ameeen
Sheikh Othuman Allah akuhifadhi akupe umri wenye manufaa kwako na kwa Uislamu wetu
Maa Shaa Allah. Tahadharini ndugu zanguni. Hakika Mwenyeenzi Mngu, yuko karibu sana haswa, katika sujud. Unapokuwa unaomba hazako katika sujud. Usitie mchezo wala fikra zakipuzi. Ilinipita fikra nikaitamka katika dua. Allahu Akbar ! Nitipaliwa vibaya sana hata kukosa pumzi na kububujikwa na machozi. Uchungu mwingi kifuani. Mpaka nilipo staghfir, na sala za mtume ndipo nikapata afwaani. Allahu Akbar.
@user-ic7iw2dh7o
9 ай бұрын
ah hatari sana Allah yupo karibu mnoooo ni kweli kabisa wala sikupingi mana na mimi nishafanya
Mashaallah,,, wallahi napenda kusikiliza mawaidha yako,,, yanatia raha moyoni na hamasa juu ya mtume muhammad SWALALLAHU ALAYHI WASSALAM,,,, kuanzia leo namie nataka nimswalie hadi nione matokeo,,
@sofiamunga9179
Жыл бұрын
Mashalah... Walah sheikh othman Allah akuzidishie hekma mawaidha yako haki yaniweka Sawa.
@nasreenmohammed9304
Жыл бұрын
Shikh Allah akuzidishie ww na ss Allah atupe kama anavyokupa ww Sheikh kwa kuwa dua zako zinapaa na ss tuombee dua kwa. Allah atuwezeshe tufikie kiwango cha kumsala Mtume wetu Muhammad. Saw
@maimunaabdallah1294
Жыл бұрын
😀
@geradybahati3127
Жыл бұрын
Tunaomba atufundishe jinsi ya kuoga hedhi mashekh wengi Wanatuchanganya
Assalam alaykum waramatullah wabarakat shekh othman Mungu akubariki sana tena sana kwa darasa zako tangu nimeanza kusikiliza hizi daras zako kuhusu mtume wetu Muhammad nilianza kuzifanyia kazi hata mwezi mitatu haijaisha na leo usiku nimemuota mtume wetu Muhammad akisoma dua hii allahumma swali alaa saydina na muhammad mara 3 na nikaona noor ya taa moja kali san na mengine nimeyaona kweny ndoto mashallah 🤲
Mie naanza in shaa Allah usiku huu wa kwetu uk 🇬🇧 nataka hii iwenikazi yangu hadi Alfajir ikiingia naanza saa saba hadi Alfajir in shaa Allah mungu atuwezeshe mana shekhe namatatizo mengi ya kifamiliya wallah watoto hadi mume Niombee allah atuwezeshe kwa kila mwenye nia in shaa allah Shukran shekh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah nafatilia sana vipindi vyako
@salummakame5086
Жыл бұрын
Assalaamu alaikum . Naomba makarama uloyaona baada ya kusoma nipate hamasa
Allahumma swali alaa saydina MUHAMMAD waalihi waas habihi wasalam❤️❤️❤️
@faridaikussi
Жыл бұрын
Asante Salma alkyumi umepatia
@user-zz5ng1yb8d
7 ай бұрын
Hapa bado zinanichanganya, ni hiyo alosema da salma,au allahumaswal alamuhamad yalabswal alaih wasalim,?
Mashaallah nikipaji kilioje ulichonacho, Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuinuwa na akupe nguvu na afya na ulinzi katika harakati zako Allahumma Ameen! Nashukuru kwa kwa kuzumzia umuhim wa sala ya mtume Muhammad, na nimefaidika na nimepata mazingatio!
Mashaallah Mungu awaongezee duniani na kesho akhera nakependa kwaajili ya ALLAH mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja tuingie peponi kesho
Mimi sikupingi Sheikh langu Sala ya mtume imenipa chochote nikitakacho I love Muhammad ❤️💞💞 s.w.m
@nuuraalinoor3630
Жыл бұрын
mashaAllah thanks bro, which salawat were you reciting? please share with me.
@user-ic7iw2dh7o
8 ай бұрын
Allahumma swali wasalim alaa sayyidaa Muhammad (SAW)
Allahu akbar sheikh othmani tunashukuru kwa darsa zako
Shukran Ustadh, tutalifanyia kazi BibIdhniLlAh, Allah akuweke akuhifadhi na kila baya 🤲🏻
Masha Allah,mm sala ya mtume imeniondolea tatizo ambalo nilikuwa sijui nitafanya Nini?, wallahi haikufika hata masaa mawili nilipata nilichokuwa nakiomba, Alhamdullah,
Alhamdulillah nimemswalia mtume SAW nimepona gas ulecers
Sh.umenifurahisha sana, Allah pekee atakushindia kila jema unalokusudia kutusaidia walimwengu.Nakukubali mtu wa Mungu.InshaAllah tuombeane uzima.
Jazzaka llah kheyri shukran sana sheikh Allah atuwafikishe kwa rehma zake
Assalam Aleikum warahmatullah wabarakatu ALLAAHUMMA SALII WA SALIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤❤❤ Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akulipe kwa Nia yako yarabby
@taturajabu1806
Жыл бұрын
Asante Rahmat Ahmed
Masha allah ❤ sheikh nakupenda sana❤❤❤❤❤❤
Shukran sheik Jazakka Allahu kher 🙏Allah akulipe kher hpa leo duniani hdi kesho akhera.Allahu Akbar,Alhamdhulillahi 🤝
Mashallah ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa darsa za NNABY MUHAMMAD SAW DAAIMAN ABADAH!!!!! ni hivo hivo sisemi kitu!! But swalatu NNABY ziendelee ndugu zangu utafanikiwa haqiqatan!!!!!!!!!!
Maashaallah allah akulipe pepo ya firdaus
Assalam alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuh. Wallahi kwa zawadi hii umetusambaziya . Nikuombee tu Allah Akuzawadiye kheri zote za Waja wema na Akulinde Allah na Alizo walinda Waja wema "Amin "
@bobomuamarg3856
Жыл бұрын
Akulinde na Shari Alizo Walinda Waja wema "Amin "
@fatmaameer5333
Жыл бұрын
Shukran kwa kutujuza mambo ya kheri ALLAH akuhifadhi akuzidie kheri barak kwa ulivo navo
Mashaa Allah tabaraka Allah, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka, Akupe mema duniani na Akhera.
Shukran saana ALLAH akulipe ujira mkubwa BiidhnLLAH 🤲
Mimi natoa shuhuda jamani ninauza biashara yangu alhamdulillah na ninaamini Allah atazidhisha
@user-lt7kk4ye9c
4 ай бұрын
Unasoma ngap Kila siku na wakat gan?
Aslm alkm shekhe Othman mm napenda sanaaa kusikiliza mawaidha yko wallahi , Allah akuhifadhi
Ma sha Allah....nimeanza usiku wa Leo...ninamatattizo mengi in shaa Allah mwenyezi Mungu atanifanyia wepesi
Masha Allah shukran jazzakallah khairan
Alhamdulilah kwahíi neema kubwa cna
Allah akbar leo nimekesha kwa ajiri yakusikiliza darsa lako mashaallah Mashaallah tabaraak rahman Allah akueke kwa ajiri yetu
Masha Allah awesome lecture..BarakAllah feek sheikh
@msimissa7734
Жыл бұрын
😢😢
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Hii swala ya mtume naiyamini asilimia 100
Kwakwel Allah akujaze kheri
Mashallah jazakawallah Allah hakuzidishie
masha Allah , mwenyezi mungu akuzidishie zaidi
ASALAM alaykum,sheikh mi nakuomba unapofahamisha Dua,au uradi bas jaribu kusoma taratibu maana tunaandika Ili tuipate vzr,hata ukiirejea mara mbili mbili itakua vzr sana, bila ya hivyo inatufanya tuirejeshe video Kila wakat kupata kuiandika ,ahsante
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh. Sheikh wangu endelea utupe mambo matamu ya Allah, Allah azidi kukupa nguvu na uwezo wa kuendelea kusaidia ummati Muhammad swalallahu alaihi wa alihi wa salam, kila wapingao mambo unayo fundisha watapinga Allah awe akiwafanya sababu ya kuzidi kupanda daraja, baadhi yetu tunafaidika na ilm yako
Allah akulipe kila laheli
Jazaka llahu khayra allah akufikishe mbali
Shukran sheikh na jikuta machoz inadondoka Mwez Mungu akulipe kila laheri🤲
Naamini bi idhini llahi ntapata majibu shekh nmeanza kumswalia mtume kwa speed kubwa sana 🙏🙏
MashaAllah ustadh na shukran kwa mawaidha yako mazuri yenye kutupatia manufaa jazaa yako kwa Allah.Allah akuhifadhi
Shukran sheikhe Ahsante sana nakupenda sana sheikhe kwa ajili ya Allah sheikhe namuomba Allah akuzidishie umri wenye afya njema na siha mzr akujaalie pepo ya fredaus kwa uwezo wake na Rehma zake Allah akujaalie uwe pamoja na Mtume wetu Muhammad s.A.w peponi
@yasmeeenmusajuma6531
Жыл бұрын
Swala zausikuu
@suweidkhamis722
Жыл бұрын
Kila comment nakuona mashaallah
@Samsungjprime-ww9ve
Жыл бұрын
@@suweidkhamis722 Mashaallah napenda kufatilia na kuskiliza hawa masheikhe nafaidika na mengi nakujifunza mengi maana sesoma lkn angalau niwe mskilizaji ili nijuwe vyakujirekebisha nakujuwa yalo mzr na mabaya
@shemmaster7swaleyuun228
Жыл бұрын
Aamin yaarabbi
MashaAllah. Saw❤
Maaa Shaa Allah Shukran Wajazaukum llah khayra
Aslm alkm ww.... Masha Allah!!! Nikweli kabisaa hata mimi nikimaliza kumswalia nabii Muhammad S. A .w. mimi hucheuka. Allahu maswali wasalim aleyh.. Jazakallah kheir 🙏 Nikweli hilo bilashaka Masha Allah 🌹
Salam alaikum warahmtulillah wabarakatuh shukhuran ya sheikh Othman Michael Allah akuraishishiye duniani na akheran Allah Huma amin
Shekhe umenenepa maa shaa llah
Maashaallah Allah akulinde uzidi kutupatia elimu hizi Inshaalaah
Mashallah Allah akuhifadhi shekh na ss pia atujalie mwisho mwema
Mashaallah.mashaallah.shekhe.Allah.akuhifadhi
Jazaka allah khaira
mashaallah my shekh
MANSHAALLAH tabaraka RAHMAN nakupenda kwa ajili ya ALLAH ALHAMDULILLAH
بارك الله فيك
MA Sha ALLAH tabaraka Allah kwa somo lako Allah akujaze umri WA faida na kwa thikri yako
Jazaka lwaah kheir mungu akuzidishie ilmu uzidi kutufundisha tumepata faida nyingi alhamdulilaah
Kwa nini shekhe huwa anasema Mtume bila kumalizia s.a.w?? Sipendezewi kwa kweli
@msafiriduwiya953
Жыл бұрын
Masikio yako yana shida KDG
@athumanikhamisi3377
Жыл бұрын
Pole mwaya,,ila sikiliza vzr.
Shukrani sheikh
Shukran sheikh, nafaidika sana n darsa zako, alakujazie kheir ameen
alah akbar, mtume ninuru fanyeni hili linaukweli asilimia mia hakika
Shekh othman michle.....unanikosha sana.....ukitaka kuongeza mke wa tatu tuwasiliane mimi ni mpemba....itabid uelekee uku bi.idhnillah
Mashaallah tabarak Allah
Shukran sheikh
Masha Allah Allah akupe unalo stahili
Allah akupe mwisho mwema yaa sheikh atukutanishe sote sisi na ww pamoja na bwana mtume s.a.w
Mashallah sheikh tunakupenda kwani unatupa faida nyingi katika darsa zako mwenyez mungu akulipe kheri
Shekhe Mimi napenda Sana mawadha yao yemenipa elimu Alhamdulilah arwah akujaliie umli mlefu uzidi kutupa faida sisi navitukuu vyetu
Shukran san sheikh 🙏
Masha Allha
MashaAllah sheikh wetu Allah akuweke
Mashallah sheikh wangu Allah akujaalie kheri ishallah
MashaaAllah shekh
Masha'Allah
Mashaallah from Mozambique
Shukran Allah akupe Afya
Shukulani shekhe Inshaallah tutalifayaa kazi Inshaallah Allah Akubaliki sana ,
Masha Allah aturuzuqu mapenzi yakumpenda Mtume wetu na kumsalia yeye . Allah akubaarik sheikh. Masha Allah
MAA SHAA ALLAHU
Mashaa Allah Allah akulipe😥😥
mashaalah allah akulipe ishaalah
Mashallah shekh wetu shukran shekh
Allah.akufanyie.wepesi.kwakila.jambo
Shukran Allah atujalie miongoni mwao tutekeleze
Mashaalh ustad mm pia nitaanza inshaalh mungu atupe kheri
Mashaalah
ALLAHUMA SWALI ALLASAIDINA MUHAMMAD WAALIHI WASWAHBIHI WASALAM❤
Mashallah Allah kujaalie umri mrefu wenye uchamungu ndani yake
Masha allah
Allah akufanyie wepes utufundishe na mengine
Shukrn san
Sheikh othman mungu akuzidishie kila la kheri
Mashallllah
Ma shaa Allah nataka nianze namimi
Jazakallah
mashaallah nimependa mawaidha yako
Allah akupe umri mrefu inshaallah