Vituko vya Lonardo alivyoanza na mkwara wa ajabu, na kumzalilisha harmonize

Moja kati ya wachekeshaji waliokuwa wakisubiriwa kwa hamu ni pamoja na leonardo

Пікірлер: 121

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody56182 ай бұрын

    Yn leonardo kwa stand up uachiwe😂😂😂

  • @user-eu5zr8fl5n
    @user-eu5zr8fl5n2 ай бұрын

    Nakukubali san mwamba

  • @jackobochisumo6614
    @jackobochisumo6614Ай бұрын

    Kazi nzuri nakukubali sana wa ukerewe

  • @kwisa4899
    @kwisa48992 ай бұрын

    Duh 4 tena ,mbona kama kasemwa kiongozi

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa2 ай бұрын

    Wewe uone wewe nani! Inawezekana wewe mwenyewe unamapungufu 😂😂😂😂😂😂

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka2 ай бұрын

    Daah uyu anajuaa

  • @JeanLunda-nv5fd
    @JeanLunda-nv5fdАй бұрын

    Mbona Kali sana 😅😅😅😅

  • @mahungujulius1788
    @mahungujulius1788Ай бұрын

    Your so Good man Congratulations to you

  • @DEOMnyukwa
    @DEOMnyukwa2 ай бұрын

    Best comedian

  • @BaloziKiliwale
    @BaloziKiliwale2 ай бұрын

    Big up sana dogo

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga6 күн бұрын

    You made it

  • @snipper4462
    @snipper44622 ай бұрын

    Big up man

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen43312 ай бұрын

    Mie pale pa kondeboy na instagram 😂😂😂😂

  • @user-pb5bz6xw4w
    @user-pb5bz6xw4w2 ай бұрын

    Konde na shemegi yetu wanafrah tuu

  • @StephanoMofuga
    @StephanoMofuga27 күн бұрын

    Ni 😂😂😂😂😂😅😅Fireeee

  • @Obertan_coolkid-04_
    @Obertan_coolkid-04_2 ай бұрын

    😂😂 Leonardo mtu na nusu

  • @chilimosimulizi
    @chilimosimulizi2 ай бұрын

    sauti umexport ktk mono kk inasikika sikio la kushoto

  • @ElderLeiderman
    @ElderLeiderman2 ай бұрын

    We have a lot of rain in June.

  • @MNexNexI
    @MNexNexI2 ай бұрын

    Good

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba48182 ай бұрын

    hii ilikuwa free style

  • @meshackmbilinyi6196
    @meshackmbilinyi61962 ай бұрын

    🎉🎉🎉 💥

  • @AnesyKakwezi
    @AnesyKakwezi2 ай бұрын

    Hv cm yangu ndo mbovu au make kila nikiplya hz cheka tu za juzi sauti kisoda.. jmn 😢😢

  • @mr.nonino3629

    @mr.nonino3629

    2 ай бұрын

    tazama kwenye azam max, hapa Zimezuiliwa sauti kwakuwa nimali ya chekatu.

  • @athumansaidi7663

    @athumansaidi7663

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @mohammedkidody5618

    @mohammedkidody5618

    2 ай бұрын

    😂😂😂

  • @Richmond909

    @Richmond909

    Ай бұрын

    Pole

  • @abdulikibembi
    @abdulikibembi2 ай бұрын

    sio uwoni cha kuchekesha ujamuolewa

  • @iconlyx2724
    @iconlyx27242 ай бұрын

    Kama shabiki wa Leonardo, hapa hakumake sense kwa chochote.

  • @kassimkipande1858
    @kassimkipande1858Ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @user-nv4wv2oz1w
    @user-nv4wv2oz1w6 күн бұрын

    Wewe unasema huoni chakucheka unauelewa madogo yule anahitaji akili nyingi

  • @maase2023
    @maase20232 ай бұрын

    Internet hatuna nape anashughulika na vichekesho dah mtihani huu

  • @SimonMengi
    @SimonMengiАй бұрын

    😮😮😮

  • @SamSon-wd2ri
    @SamSon-wd2ri2 ай бұрын

    hapo kafeli nae

  • @Josephkp629
    @Josephkp6292 ай бұрын

    😂😂😂

  • @AnoldNyombwe
    @AnoldNyombwe2 ай бұрын

    Mwamba anajua

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee72 ай бұрын

    Nanikaona piss nyuma ya waheshiwa?

  • @issakisalu9237
    @issakisalu92372 ай бұрын

    Leo hakuna kitu bro alafu sijui inakuwaje siku ambazo hutegemei ndio inakuwa hivyo

  • @QurannaSunnah
    @QurannaSunnah2 ай бұрын

    Shida Anarudia Condent sana Na hii ndio tofauti ya Eliudi na Huyu mwamba

  • @user-yl2jt3ve9o

    @user-yl2jt3ve9o

    2 ай бұрын

    Wote wako vizuri ktk Kila mmoja na upekee wake

  • @alakhy9448

    @alakhy9448

    2 ай бұрын

    Ni kweli na hiyo ni kwa sababu hawapo serious na kazi ya comedy. KAMA COMEDIAN inabidi uumize kichwa hata usiku unaamka unawaza nitachekesha vipi kwa audience inayoenda kunisikiliza siku fulani. Lakin pia mchekeshaji lazima ajue vitu vingi saaana ikiwezekana kila eneo alijue kwa undani ili hata akitengeneza content awe na uwezo wa kuwaus kila jamii ya wau.

  • @hussenihamisi2862
    @hussenihamisi28622 ай бұрын

    Mim niaona hakuna kitu chochote alichokifanya cha kuchekesha naona kama story2 hapa kazingua hamna kitu hapo

  • @bimbimdaakitomara932

    @bimbimdaakitomara932

    2 ай бұрын

    😁😁😁ww unaasiraa

  • @dr.elimikatv1919

    @dr.elimikatv1919

    2 ай бұрын

    Kafanye na ww kam kuna atacheka hata mmoja

  • @miso-bg2xl
    @miso-bg2xl2 ай бұрын

    Kazngua

  • @user-lf9vt4om6c
    @user-lf9vt4om6c2 ай бұрын

    Kama wew ulivoangalia nichizi pia😮

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles2 ай бұрын

    Hii ya leo sio kiviiiiiiiiiiiiiile

  • @stevejohansen6246
    @stevejohansen62462 ай бұрын

    Itifaki imezingatiwa

  • @user-nn6vc2ub5m
    @user-nn6vc2ub5m2 ай бұрын

    unaupga mwing

  • @user-kz1bo2zu3c
    @user-kz1bo2zu3c2 ай бұрын

    Mimi Sioni chakuchekesha hapo huyo jamaa ni chizi na wote walio msikiliza ni matahira

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    2 ай бұрын

    Limekushuka

  • @CreatureIey-eh8nh

    @CreatureIey-eh8nh

    2 ай бұрын

    We nd akil umezikalia

  • @user-jo8sg2rs9f

    @user-jo8sg2rs9f

    2 ай бұрын

    Usiwe hivy mwenzio yup kazn

  • @happynkya9770

    @happynkya9770

    2 ай бұрын

    weee ndo chizi

  • @malkiarosemuhando3310

    @malkiarosemuhando3310

    2 ай бұрын

    Mbona hasiraa? Tujifunze kutakiana mema,

  • @callicevallice7383
    @callicevallice73832 ай бұрын

    😂😂😂kakosea sana

  • @mohamedmussa7121

    @mohamedmussa7121

    2 ай бұрын

    Ilaa anajitahid sanaaa

  • @bigboys016
    @bigboys0162 ай бұрын

    Una stress

  • @ElderLeiderman
    @ElderLeiderman2 ай бұрын

    We have a lot of rain in June.