HUYU JAMAA AMVUNJA MBAVU MH. NAPE KWENYE CHEKA TU

Пікірлер: 4

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988Ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah73522 ай бұрын

    Ujue wa tanzania sisi akili zetu tunazijua wenyewe tunaanda sehemu na kurekodi sehemu za comedy tucheke wakati tunachekwa na watu wenye akili zao na maendeleo sisi tunajiona watu wa fahari mnafurahisha sana tena sio kidogo

  • @epiphaniachristian5450
    @epiphaniachristian54502 ай бұрын

    Jamn sijui nina nn ? Kwenye hii video nilkuwa namwangalia Doctor Tom akicheka tu na mm ndo nacheka😂😂

  • @Kmmedia5

    @Kmmedia5

    2 ай бұрын

    Kucheka ni sehemu ya Afya ..