USTADH SHAFII AMLIPUA MWAMPOSA NA UONGO MAFUTA YAKE

Ойын-сауық

Пікірлер: 64

  • @MariannaJoseph-uv2sp
    @MariannaJoseph-uv2sp4 ай бұрын

    Yeah waislam wapambania kuiyona pepo wakristo wakazania kupata maajabu kwa frimason😮 MOLLA wetu ni mmojatu wa kuabudiwa tu ubarikiwe ostath❤

  • @user-bp5pq9to9e
    @user-bp5pq9to9e4 ай бұрын

    Mwaminini Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea!pasipo YESU KRISTO Mbinguni hakuna kuingia!ewe mtanzania nakualika uje Kwa YESU KRISTO Sasa uachane na dhambi! AMANI YA BWANA YESU KRISTO isikupungukie Kila mwanadamu yeyote aaminiye Neno la Mungu!

  • @GamingLimbe
    @GamingLimbe4 ай бұрын

    Mimi ni Muislam ila huu ni Upumbavu na Upuuzi Nimeamini sasa wakristo kununua mafuta ya mwamposa sio kosa lao hata hawa waislam wanaoitikia NDIOOOO nao ndio wale wale tu Nyie Mashekh mnadhiimma kubwa Swali la msingi… Mtume (saw) alishawai fanya hivyo au kufundisha hayoo Napatwa na hasira kuona upotovu wa namna hiiii

  • @msagamastv7638

    @msagamastv7638

    4 ай бұрын

    Huwezi kufananisha nyakati za manabii na nyakati hizi kuokoa watu wa sasa kunahitaji gharama mike anayotumia gharama,kuna umeme hapo,usafiri sasa unafananisha na enzi za ngamia kaka

  • @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    2 ай бұрын

    Wew hujapatikana, na dini yenyew pia huijui vzur....Hakika mtume amewafundisha maswahaba dawa

  • @user-zv4sx9iv8z
    @user-zv4sx9iv8z4 ай бұрын

    Allahu Ak'bar, tuna ridhika

  • @user-ei3iy5fu1i
    @user-ei3iy5fu1i4 ай бұрын

    Kubukeni mungu akuzariwa kwenye mitishaba mungu arizariwa kwenyewantama waporini kama nyani sokwe mutu musitwabie sisiviziwi vipofu mara kifua kikuu

  • @Issamuemede

    @Issamuemede

    4 ай бұрын

    Kwani binahadamu wa kwanza Kwa mujibu wa bíblia na kurhani walikuwa ni masokwe?

  • @augustinechitemo8207
    @augustinechitemo82074 ай бұрын

    Unapotosha watu Huo ni Ushirikina na uganga!

  • @user-ft3sl3jd4i
    @user-ft3sl3jd4i4 ай бұрын

    Wallahi njoo Kenya mombasa na hayo mafuta Kenya uchawi uko thele

  • @CyimanaHamiss-rm5qv
    @CyimanaHamiss-rm5qv4 ай бұрын

    Shekh shafii assalam alaikum warahimatullah wabarakatuh mimi binafus huwa napenda kufuwta hutuba zako sasa mimi naka rwanda kamembe hayo mafuta tutapata adje.hatakama itacukuwa garam ngapi tutalipa bila tupate samahani sana binafusi nielekeze natayapata aje?

  • @mudiali4506

    @mudiali4506

    4 ай бұрын

    Sheikh watu wanauliza tel iweke hapo kwenye screan,

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali94244 ай бұрын

    Mimi ktk Dunia hii napita tu!! Yangu masikio na macho kuona na kusonga mbele kumtafuta Yesu wangu!

  • @Nim68182

    @Nim68182

    4 ай бұрын

    ati kwa jina la shafiii😂😂😂

  • @mudiali4506

    @mudiali4506

    4 ай бұрын

    Tizama tel hiyo hapo juu

  • @rayyanothumanmohammed8261

    @rayyanothumanmohammed8261

    4 ай бұрын

    Yesu atakukataa tu Mt7:22

  • @Nim68182

    @Nim68182

    4 ай бұрын

    @@rayyanothumanmohammed8261 umemaliza kusom japo 23 na kuenderea, nii juu yawatendao maovu, Mtu yeyote afanyae maovu atamkana haswaaa

  • @mimimimi-pg5uk

    @mimimimi-pg5uk

    2 ай бұрын

    @@rayyanothumanmohammed8261 shida yako ray unataman kudanganya wote, not easy shuka mstari wa 24 sio kusoma mstari mmoja halafu ukautumia kukatisha watu tamaa and by the way sidhan kama unajua umefundishwa ili uje ubishane

  • @loner_wolf
    @loner_wolf4 ай бұрын

    Darasa na ushirikina.....ustadh umeua kibabe sana.

  • @hassanhamis2244
    @hassanhamis22444 ай бұрын

    mbona km biashara hiyo sasa,ningeona ni jambo la maana kwa kua waisilamu wanazijua hizo aya,kwa maelekezo uliotoa ni elimu tosha kwa wao kwenda kuiandaa,na sio kuwauzia,sio kwa ubaya ila haijakaa sawa

  • @AdolfinaSebastian
    @AdolfinaSebastian4 ай бұрын

    Aaaaaaa sasa wewe unshindana na nguvu za mungu ila mwamposa kiboki yenu ndomana hamuishi kumpiga vijembe😅

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98984 ай бұрын

    Naona umechukia mwamposa kuwanyang'anya waumini

  • @khalifamahondo191

    @khalifamahondo191

    4 ай бұрын

    waumini fake😂

  • @odhiaodhia9898

    @odhiaodhia9898

    4 ай бұрын

    @@khalifamahondo191 Yesu ni Mungu

  • @samwelluhwago705
    @samwelluhwago7054 ай бұрын

    Tatizooo bongoo siasa kila mtu mjuajiii 🤔

  • @ConfusedChicken-ze9fz
    @ConfusedChicken-ze9fz4 ай бұрын

    Sasa uo si uganga?acha uongo wewe utakufa vibaya

  • @TheGame-nz7um
    @TheGame-nz7um4 ай бұрын

    Mnaemtaja mwenyewe walaaaa hawawazii kabsaa...huyo jamaa anawashinda mbaali sana..mmekalia uswahili uswahili tu kshindana na kila kitu.

  • @user-he8gu4dr1r

    @user-he8gu4dr1r

    4 ай бұрын

    Huna akili

  • @khalifamahondo191

    @khalifamahondo191

    4 ай бұрын

    maujanj tunampa sisi

  • @samwelluhwago705
    @samwelluhwago7054 ай бұрын

    😂😂😂

  • @ExcitedCrab-ph5kp
    @ExcitedCrab-ph5kp4 ай бұрын

    Sheikh mimi naomba kuuliza kuhusu ufahamu hata mtu mzima ambae hafahamu hiyo dawa itamfaa au naomba jibu

  • @kalelaonlinetv

    @kalelaonlinetv

    4 ай бұрын

    sijaelewa swali

  • @shabanimaijo9148
    @shabanimaijo91484 ай бұрын

    Uchawi gani??anasema kweli huyu,hao wachungaji wa uongo ndo wachawi

  • @mimimimi-pg5uk

    @mimimimi-pg5uk

    2 ай бұрын

    mwamposa pamoja na huyu wote ni kitu kimoja.. kumbuka Ukristo sio mwamposa.

  • @adamomar9382
    @adamomar93824 ай бұрын

    Shehe haya mafuta ya pangusa znz yatakuja lini

  • @kalelaonlinetv

    @kalelaonlinetv

    4 ай бұрын

    aguzia utayapata

  • @manjoriwakunesa7006
    @manjoriwakunesa70064 ай бұрын

    Nitaka napataje

  • @FadiAhmed-zw1cu
    @FadiAhmed-zw1cuАй бұрын

    Nko kenya nayapata aje

  • @kalelaonlinetv

    @kalelaonlinetv

    Ай бұрын

    tupigie

  • @zahorokasentisenti6761
    @zahorokasentisenti67614 ай бұрын

    Achane fitna bhana tengenezen na nyie tuje kununua Kwa buku tu

  • @joycebongo9275
    @joycebongo92754 ай бұрын

    Shee.shafii mimi niko kenya jee nitayapataje

  • @kalelaonlinetv

    @kalelaonlinetv

    4 ай бұрын

    tunakutumia unayapata

  • @SalimuMbonyumukiza
    @SalimuMbonyumukiza4 ай бұрын

    Marimu tapataje mafuta hayo shekh shafi

  • @kalelaonlinetv

    @kalelaonlinetv

    4 ай бұрын

    uko wap

  • @nehemiapatrickmkomamkoma3630

    @nehemiapatrickmkomamkoma3630

    4 ай бұрын

    Napataje mafuta hayo nipo mbeya

  • @pastor.frank.tmwaisemba7401
    @pastor.frank.tmwaisemba74014 ай бұрын

    Mwamposa ni kiboko yenu

  • @mimimimi-pg5uk

    @mimimimi-pg5uk

    2 ай бұрын

    ni kweli ila ni kiboko yenu nyinyi YESU NI BWANA SIO MWAMPOSA Wewe ni binadam umepewa akili sio mbwa. huyu mchawi anaefundisha pamoja na mwamposa wote wanatekeleza jambo moja tu.

  • @geofreyndambo8635
    @geofreyndambo86354 ай бұрын

    Hawa kila kitu ni wao,utasikia ndege ni waislamu,magari ni waislamu,sasa mbona kwenye Listi za wagunduzi hakuna mwislamu hata mmoja😂

  • @KhamisHaroub-uj5ci

    @KhamisHaroub-uj5ci

    4 ай бұрын

    Katik kugunduwa pia tulianza muislam kupitiya kiongozi wetu Muhammad kwaio makafir hawana jipya

  • @azizihfarijala5307

    @azizihfarijala5307

    4 ай бұрын

    mimi na familia yangu tumetumia mafuta ya bwana mdogo mwamposa kwa muda zaidi ya miezi sita lakini sikupata mafanikio ila nilipokwenda tandika katika duaa na kuchukua. mafuta baba mwenye nyumba alitumbia tuhame kumbe yeye alikuwa muhusika . kwa hiyo mwamposa hayakufaa

  • @Pablolookman

    @Pablolookman

    Ай бұрын

    Dunia Ina mengi​@@azizihfarijala5307

  • @darbychannel354
    @darbychannel3544 ай бұрын

    mafuta aina 14 + haltiti kisha chemsha

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98984 ай бұрын

    Kwa mwamposa waumini wengi ni waislam ndio wamejazana uko

  • @user-do1pq2uu1c

    @user-do1pq2uu1c

    4 ай бұрын

    Hao sio waislam

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    4 ай бұрын

    Umetumwa

  • @Pablolookman

    @Pablolookman

    Ай бұрын

    Tofautisha muumini na muislam muumini Hakurupuki ila muislam anafanya chochote bila hofu

  • @Pablolookman

    @Pablolookman

    Ай бұрын

    Tofautisha waumini na waislam muislam anawezi ishi mwaka bila kusali lakini muumini hata anashida kiasi gani atafanya ibada kufunga na ibada mbali mbali pia Mungu kawahidi Pepo waumini sio waisilam

  • @masumbukomoussa977
    @masumbukomoussa9774 ай бұрын

    Subhanallah hakuna tofauti Yako na mwamposa kabisa nyote matapeli tuu na katik ujinga huyo utwakuta wanawake ndio wengi

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98984 ай бұрын

    Mimi nakushukru kwa sababu unatambua mafuta ya nwamposa yanaponya, sasa wewe unafundisha watu uchawi

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    4 ай бұрын

    Poyoyo vipi yanakuhusu nini

  • @mudiali4506

    @mudiali4506

    4 ай бұрын

    We hujui kitu ni waji GA WA nao Iba elimu y WA, Islam. Kwa maslahi yenu. Njaa ndio Ina wahangashan mwamposa wenu

  • @rayyanothumanmohammed8261

    @rayyanothumanmohammed8261

    4 ай бұрын

    Mt 7:22 biblia

  • @Pablolookman

    @Pablolookman

    Ай бұрын

    Uzuri wa muislamanakifundisha bure bila kukufosi uingie katika dini

  • @smadon5638

    @smadon5638

    Ай бұрын

    Mwambie aende hospitali

Келесі