URUSI yalinasa kombora la Storm Shadow ambalo Ukraine anapewa na Uingereza kulifanyia uchunguzi

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 57

  • @AbdillahRashidi
    @AbdillahRashidi16 күн бұрын

    Hii tactic ya kukamata silaha ya Adui na kuifanyia uchunguzi ni tactic nzuri sana na kwa upande wa Urusi hii ni mara ya pili keshafanya kwa ATACMS(Army Tactical Missile System) ya Marekani na Sasa yupo na Storm Shadow ya UK....hii ni habari nzuri sana ,,Thanks SNS

  • @sautisevarino1656
    @sautisevarino165616 күн бұрын

    Russia anatisha aisse,yani wanasoma silaha zote za NATO😮😮

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru709416 күн бұрын

    Leo mie wakwanza nawapata kutokea Bahrain 🇧🇭

  • @abuuabuu274
    @abuuabuu27416 күн бұрын

    Wenzetu wana Tecnelogly kubwa sana

  • @festohaule9716
    @festohaule971616 күн бұрын

    Russia watacopy na kuboresha mara dufu zaidi!!!

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor943316 күн бұрын

    Urusi itashiriki teknolojia hii na marafiki zake, china, India, Korea kaskazini na zaidi

  • @user-ty9yg8fg9g
    @user-ty9yg8fg9g16 күн бұрын

    Kama umesoma mpaka darasa la saba towa ziro nadhani huwezi kuelewa urusi anapigana na marekani pamoja na Nato kupitia mgongo wa nchi ya Ugreni na pale pamekuwa pakufanyia majaribio ya silaha zao na nchi hiyo ikiteketea kwa makombora ya urusi lakini wenye malengo yao wala hawajali ndiyo kwanza wanamsifia ujinga

  • @bjngft4985
    @bjngft498515 күн бұрын

    Wanaenda China tu hapa kwa rafiki yao. Copy kama milioni 10..

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART16 күн бұрын

    Vita vimekua vinafaida sana kwa Russia hata vikiisha atakua na silaha zote za nato

  • @DeusRobart
    @DeusRobart16 күн бұрын

    storm shadow kwisha abari yake aiwezikua tishiotena kwa urus

  • @jkifutu7936
    @jkifutu793616 күн бұрын

    Wana na nakubali sana

  • @isihakajongo4832
    @isihakajongo483214 күн бұрын

    Urusi inawanyoosha vizuri

  • @Happy-be8hh
    @Happy-be8hh15 күн бұрын

    Mbona Urusi tayari has captured imekamata zamani tu kombora la British Storm Cruise Missile

  • @STEVEN-f6g
    @STEVEN-f6g16 күн бұрын

    Jack sparow

  • @shaurisaidi7470
    @shaurisaidi747015 күн бұрын

    Hongera urusi

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho957116 күн бұрын

    tunakubali wakwetu...unajua masubi

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf442916 күн бұрын

    Hahaha Tumewaambia urusi atawanyoosha mashoga mbaka waache kujifanya hii dunia ni yao pekeyao

  • @geoufo2858
    @geoufo285816 күн бұрын

    Vzuri

  • @zakariaabdalla-uo3nk
    @zakariaabdalla-uo3nk16 күн бұрын

    Wamagharibi akili hawana

  • @djmaxbeatztz
    @djmaxbeatztz16 күн бұрын

    Wanawasoma na Gps😂

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn15 күн бұрын

    Mpelekeeni nyengine bado chopa ya f 22

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa278516 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤😢🎉🎉🎉🎉😮😊😊😊

  • @ibnujumanne4054
    @ibnujumanne405416 күн бұрын

    Nasikitikia Sana Ukraine nchi inayoongozwa na mchekeshaji pengine yeye bado anadhani wanafanya comed kumbe aniangamiza nchi yake

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D66916 күн бұрын

    Hii vita imekua kama kamchezo ka njoo nikupige, hapana, anza wewe uwone yaani full kuogopana,. Mataifa 32 yanaogopa mmliki wa Asia pacific, sema sio pw 😁

  • @Shehasweet-hy6xn

    @Shehasweet-hy6xn

    15 күн бұрын

    Hahahaaaaa 😂😂

  • @AFRICA_D669

    @AFRICA_D669

    15 күн бұрын

    @@Shehasweet-hy6xn 😂😂

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q16 күн бұрын

    Urusi anafaida zaidi maana magharibi wote wanampa fursa ya kupata technology ya siraha zao pale wanapompa zelensky kisha urusi akayadaka pia itamfaidisha Irani pengine na China

  • @frosttgp1510

    @frosttgp1510

    16 күн бұрын

    Bila kumsahau Kiduku

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n16 күн бұрын

    Tunachotaka hashinde vta siyo utoto mnaoushabikia uwa kwan Ukraine hana silaa za urusi nyingtu mbona ktuchakawaida sana kukamata slaa za haduiyako yani tekenojia ya urusi marekani anayoyote kabla hatayavta tekenojia unaweza kuzpata hatakuptia majasus

  • @theempire4058

    @theempire4058

    16 күн бұрын

    Umeongea ukweli sana sasa subiri sisi team urusi wenye ushabiki wa kipumbavu usio na maana tunachojuaga kushabikia ni oooh mashoga ao huo ndo utetezi wetu wakipumbavu

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    16 күн бұрын

    @@theempire4058 hawa mbona mashabiki waugali wanasingzia ushoga sasa ushoga unakujaje wakat mada nivta kwani kunamtu wanamlazmisha kuwashoga mbona hata urusi kwenye mahoga wakuzditu yani izomidia za mitandaon kiraktu kinachofanywa na urusi nichasaii halafu nichamana yani mbaka kukamata slaa wanahona ktukikubwa sana slaa za urusi na zamagaribi zinauzwa kwaiyo kwa hanazoziitaj kuzpata raisi sana kama hanaela histoshe hata urusi kaznunua nakulingshia

  • @DEMSEY_TV

    @DEMSEY_TV

    14 күн бұрын

    Urusi unajua uganda nn kamsome vzr urusi kwny vitabu utajua huyo sio mtu wa kubeza Tangu dunia iumbwe vita ya tecnolojia hajawai shindwa yeye ndio master wa silaha duniani ana salilaha nyingi had zina chacha ameivamia ukraine amechukua crimea au unajua crimea ipo kongo mwanetu ongea Fact sio muvi za lambo na adolf zinakudanganya 😊

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    12 күн бұрын

    ​@@theempire4058ww na huyo mwenzako wote mashoga

  • @valerianchamlungu7268
    @valerianchamlungu726816 күн бұрын

    Likisha fanyiwa reverse engineering tunapeleka iran 4 mass production

  • @mwlpierre

    @mwlpierre

    15 күн бұрын

    Hamna kitu kama hiyo

  • @hamisinamala
    @hamisinamala16 күн бұрын

    safiiiii

  • @deusidaudi2477
    @deusidaudi247716 күн бұрын

    Storm shadow, atcams n.k, kwan Zko nchin Ukraine tu kanakwamba Russia apate kiu ya namna hii ya kuyachinguza. Hakuna nchi rafk na Russia ambapo makombora haya yaliuzwa uko Russia akashndwa kuyafkia na kuyakagua. Naona kama ni psychological warfare tu hii. Yan kutushia adui wasizid kupeleka makombora zaid

  • @thefactbook...1607

    @thefactbook...1607

    16 күн бұрын

    Sio rahisi hvyo na haiendi hvyo unavyofikiria.

  • @directortwicep3028
    @directortwicep302816 күн бұрын

    Kumbe mrusi bado nae maana kila siku anajifunza wakati wen zake every day wanaendelea kutengeneza vitu zaid8 ya hicho

  • @Awatee

    @Awatee

    15 күн бұрын

    Wee nawe acha kujizima data urusi inatengeza silaha mara 3 zaid ya nato

  • @academicsite8524

    @academicsite8524

    15 күн бұрын

    ​@@Awateeakili huna, umejaa ushabiki tu

  • @Awatee

    @Awatee

    15 күн бұрын

    @@academicsite8524 kama ulivo jaa weye tafuta kazi ufanye ndugu 😃

  • @alextanzania

    @alextanzania

    15 күн бұрын

    Bila fact zinakuwa ni kelele​@@Awatee

  • @mlelwatv5831

    @mlelwatv5831

    15 күн бұрын

    Anaenda kufanya reverse engineering 😅

  • @godfrey3926
    @godfrey392614 күн бұрын

    Urusi ni majasusi wakubwa duniani, na ninavyosema Urusi nina maana ya Putin, raia wa Urusi wanadanganywa na serikali ya huyu jasusi na inavyoonekana mpaka kwenye nchi yetu nzuri kuna watu wanajaribu kuendeleza propaganda zao.Putin atakamatwa na kupelekwa kujibu yote aliyofanya.Nchi ya Urusi ina matatizo ya ajabu, nyumba zinadondoka zenyewe, lift za kwenye magorofa zinaanguka zikiwa na watu ndani, ndege zinaanguka maana hakuna parts, wamepigwa marufuku kununua parts za ndege ambazo zipo Ulaya na Marekani. Hii nchi ya Urusi itakuwa masikini kuliko nchi za Africa na wataanza kuomba msaada.Kisa, huyu jasusi mpumbavu

  • @maroahkissiry4863
    @maroahkissiry486314 күн бұрын

    Hiyo inaonesha namna Russia hawana silaha nzuri. Western are the BEST

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    12 күн бұрын

    Ww choko ndomana

  • @josepheriah5977
    @josepheriah597716 күн бұрын

    Na ukrane wanayo makombora ya urus

  • @PAULNYANDILE

    @PAULNYANDILE

    16 күн бұрын

    jinga😂😂😂 hupo

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    12 күн бұрын

    Ww choko

Келесі