UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 03|AFRICAN COUSIN(TASUBA)-SAUTI ZENYE LADHA

Ойын-сауық

Ni msimu wa Tatu wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M Pamoja na kwenda Uholanzi kujiendeleza Kitaaluma
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Alhamisi Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season03

Пікірлер: 119

  • @sayunilaizer7023
    @sayunilaizer70232 жыл бұрын

    jmn we kaka wa katikati unajua....cjui kwann hukuamua kuwa wewe kama wewe utapoteza kitu kikubwa brooh....wish ukue wewe kama wewe 😓🥰🥰.....

  • @officialeunice7345
    @officialeunice73452 жыл бұрын

    Napenda huyo kaka anavoimba for sure anajua. 💘

  • @beverlyndavids
    @beverlyndavids2 жыл бұрын

    Brought here by TikTok♥️♥️

  • @babadaboc2481
    @babadaboc24812 ай бұрын

    My brother wa Middle ure voice is blessed me Bella unniinspire

  • @wilsonmsilu1936
    @wilsonmsilu19362 жыл бұрын

    Daaah huyo mwana hapo kati ni 🔥🔥🔥🔥🔥 daah huu mziki kuna watu wanaudai sanaaaaa

  • @imeldamtey8132
    @imeldamtey81322 жыл бұрын

    Yani kwakweli tusiwe waongo Kila mmoja hapo anasauti Kali sana ila iyo aliyeva koti jeusi nimeiyelewa sana👏👏👏👏👏👏

  • @teddymaliatabu2039
    @teddymaliatabu20392 жыл бұрын

    Jamaa anakuaga na sauti ya radi...!!

  • @rahmambugi1950
    @rahmambugi1950 Жыл бұрын

    Jamani kama sio mbongo maana unajua unajua mbaka unaniliza kwa raha dah mungu akutimizie ndoto zako zikatimie 🙏❤️🥰🥰

  • @abdulkabila787
    @abdulkabila7872 жыл бұрын

    Mbona saut soul bien ni mnyama ila aipendez kuwajaji ivyo unafanya mmoja ajisikie

  • @vinisondaudi2912
    @vinisondaudi29122 жыл бұрын

    Talented Bro Black Coat 🤣

  • @niyisyegekitta6160
    @niyisyegekitta61602 жыл бұрын

    He knows yet so humble mweeeh🔥

  • @Joycenangonga
    @Joycenangonga9 ай бұрын

    Yan hyu kaka wa katikati anaimba mpaka anakeraaa daah big up

  • @saraissa9327

    @saraissa9327

    2 ай бұрын

    haujui muziki

  • @jesselyimo3403
    @jesselyimo34032 жыл бұрын

    Unajitahidi saaana ila huyo jamaa na Coti jeusi daa viwango vyake sio vya hapa aisee anatisha hongera sana!

  • @Kizzymelody722
    @Kizzymelody7222 ай бұрын

    Good song

  • @shohamagutu6165
    @shohamagutu61652 жыл бұрын

    Sema Jamaa wa kat anajuaa🤗🤗

  • @tabithajohn8254
    @tabithajohn82542 жыл бұрын

    I repeat and repeat,,, everyone there is unique 😩❤️❤️

  • @Kizzymelody722
    @Kizzymelody7222 ай бұрын

    👏💥💥💥

  • @mcwaya1
    @mcwaya12 жыл бұрын

    Huyo jamaa mwenye base aachwe mwenyewe unless sion hilo group linatoboa

  • @lavijacy3378
    @lavijacy33782 жыл бұрын

    The first boy nailed it🔥🔥🔥

  • @tabithajohn8254

    @tabithajohn8254

    2 жыл бұрын

    Yes.

  • @fredrickmsomba4123
    @fredrickmsomba41232 жыл бұрын

    The second boy killed it 🔥🔥🔥

  • @mchungajisimonmayala2272
    @mchungajisimonmayala22722 жыл бұрын

    Uyo jamaa nimuuwaj aisee noma sana mr kimaso maso

  • @ernestadriano9573
    @ernestadriano95732 жыл бұрын

    Nafikiri,,, amjajua Mana yakikundi kunasauti za kuitikia inamana wanajaza mziki uyo jamaha wakati Kati anajua lakin ao wengine lazima wawe wakwamana wanamsaidia uyo kuonekana anajua zaidi nazani anae fahamu mziki wanajua umuhimu wa ao wengine

  • @apostlesamofficial

    @apostlesamofficial

    2 жыл бұрын

    Yani sauti hazija merge vile yafaa

  • @YolandaMahenge-nf2gf
    @YolandaMahenge-nf2gf2 ай бұрын

    Wacha wee huyo kaka wa ktkt htr ❤

  • @edwardpaulo3351
    @edwardpaulo33512 жыл бұрын

    Weweweweweeee dogo unaua sanaaaaa🔥🔥🔥🔥

  • @dbwaxvevo5780
    @dbwaxvevo57802 жыл бұрын

    Damn wat de faaack vocal imekaa hii crew ipo Good

  • @princeajiraathedn8750
    @princeajiraathedn87502 жыл бұрын

    Amazing vocal

  • @ElishajosephNjeje
    @ElishajosephNjeje4 ай бұрын

    ❤ nimependa

  • @aggiephen
    @aggiephen2 жыл бұрын

    Wa katikati ndo anajua nyie wawili wawili wa pembeni muacheni mwenzenu aimbe peke yake

  • @Rozeey610
    @Rozeey6102 жыл бұрын

    Alie vaa miwani n uyo mdada🥺🥺🥺

  • @queenbhanji4152
    @queenbhanji41522 жыл бұрын

    Akiendelea na hilo group atoboi may be awe alone

  • @issaathuman2447
    @issaathuman24472 жыл бұрын

    Oy weeeeeeee watoto wa baga alf moyo TASUBA👏🏿👏🏿✊🏿

  • @DablickSimkoko-fp5bc
    @DablickSimkoko-fp5bc Жыл бұрын

    Kak mkubwa wew nibaraa haufah uo moto cio wakitoto sas inabidi unifundishe uo ufund kidog naongea na wew vocalist

  • @jacklinemackline7512
    @jacklinemackline75122 жыл бұрын

    Dogo anajua

  • @catherinejoram776
    @catherinejoram776 Жыл бұрын

    Gifted and talented bro keep it up Kikund kinakutegemea wewe

  • @teklakihade136
    @teklakihade1362 жыл бұрын

    Leonard we hatar jaman

  • @barakachiboni3973
    @barakachiboni39739 ай бұрын

    Naujua mziki ila huyo jamaa wa kati nyeusi ni fire

  • @Superfrontear214
    @Superfrontear2147 ай бұрын

    The two middle guys are just another thing🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥I don't trust the ladys voice at this level of singing but nice they are

  • @emmilianlukaye3125
    @emmilianlukaye31253 ай бұрын

    Huo sio uimbaji mzuri. Hapo kuna rushwa tu au mchongo. Anaimbia kwenye mapua,eti jaji anashangilia. Uongo

  • @saraissa9327

    @saraissa9327

    2 ай бұрын

    haujui muziki

  • @brinnalevison7926
    @brinnalevison79262 жыл бұрын

    Wana voco wanajuaa🇹🇿🇹🇿🥰🥰

  • @cashhommy91
    @cashhommy912 жыл бұрын

    Huu mfumo wa ma judge sio mzuri kwa kwelii

  • @tabithajohn8254

    @tabithajohn8254

    2 жыл бұрын

    Sure

  • @normanleslie4248
    @normanleslie42482 жыл бұрын

    Majaji waongo kinoma duh

  • @tabithajohn8254
    @tabithajohn82542 жыл бұрын

    I’m so moved😩❤️

  • @MwakaHassan
    @MwakaHassan3 ай бұрын

    Umeua-leornad

  • @rubaofficial7695
    @rubaofficial7695 Жыл бұрын

    Rayvan kakaaaaaaa

  • @deejeydaev
    @deejeydaev2 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni mkaliiiiiiiii asee

  • @deodatuspolla8272
    @deodatuspolla82722 жыл бұрын

    Mmetixha bigup xan

  • @gracemjungu9244
    @gracemjungu92449 ай бұрын

    So talented, stay blessed guy's

  • @wahabuabdul1569
    @wahabuabdul15692 жыл бұрын

    Very good

  • @mariasalomelukosi6846
    @mariasalomelukosi68468 ай бұрын

    That's great ❤

  • @Magisc
    @Magisc Жыл бұрын

    Saruty sana

  • @user-od2hl9yp9e
    @user-od2hl9yp9e6 ай бұрын

    waooooo❤❤❤

  • @catherinejoram776
    @catherinejoram7762 жыл бұрын

    Noma sana hiyo brother

  • @user-nj5hd8jr9m
    @user-nj5hd8jr9m6 ай бұрын

    Kweliii

  • @sayunigoodluck3516
    @sayunigoodluck35162 жыл бұрын

    Am in love with them surely 🥰

  • @benfo4716
    @benfo47162 жыл бұрын

    Great job 👍

  • @nissamwapoladi7345
    @nissamwapoladi73452 жыл бұрын

    Jamaa aimbe peke yake anaweza la sivyo atapoteza nafasi hyo.

  • @husnalema2069
    @husnalema20692 жыл бұрын

    Good work..nmependa sana

  • @agustinogeorge776
    @agustinogeorge7762 жыл бұрын

    Very talented tongues 🔥🔥

  • @Mizikyauswazi.
    @Mizikyauswazi.2 жыл бұрын

    nzuri

  • @mussahkilango5990
    @mussahkilango59902 жыл бұрын

    I can't stop listening dis performance gives me goosebumps

  • @naomikaaya4798

    @naomikaaya4798

    2 жыл бұрын

    Even me🔥🔥

  • @winfridakavishe3539

    @winfridakavishe3539

    2 жыл бұрын

    Jamn mmwaaaaah

  • @tabithajohn8254

    @tabithajohn8254

    2 жыл бұрын

    Same ❤️

  • @twalibuabillah-tm5nj
    @twalibuabillah-tm5nj Жыл бұрын

    Huyo aliyevaa alizaliwa kuja kuimba duniani

  • @labigal280
    @labigal2802 жыл бұрын

    Especially dada anaharibu so poa

  • @normanleslie4248

    @normanleslie4248

    2 жыл бұрын

    Anaimba off sanaaa

  • @angellwehela4303

    @angellwehela4303

    2 жыл бұрын

    Umeona eeh😀

  • @zawadilutufyo231

    @zawadilutufyo231

    2 жыл бұрын

    Kabisaa

  • @ledrummertv2267
    @ledrummertv22672 жыл бұрын

    this is awesome 👌 n lit 🔥

  • @munyarugondabarishe2130
    @munyarugondabarishe213011 ай бұрын

    What's this guy like

  • @faidahalisi2336
    @faidahalisi23362 жыл бұрын

    AmnA waimbaj hapoooo,labda huyo mdog na huyo koti la black

  • @rasoolymsafi3896

    @rasoolymsafi3896

    8 ай бұрын

    We akili hauna

  • @preciousmohmed7372
    @preciousmohmed73722 жыл бұрын

    🙌🏼🙌🏼🥳🥳

  • @chrispinchrisant1540
    @chrispinchrisant15402 жыл бұрын

    Huyu dogo ni balaa sana

  • @janethmosses9820
    @janethmosses98202 жыл бұрын

    Yaan huyu wa black coti angeiimba mwenywe

  • @sayimasanja5421
    @sayimasanja54212 жыл бұрын

    Mnaharbu nyimbo za watu

  • @achynyawale397

    @achynyawale397

    2 жыл бұрын

    Kaharibu na ww

  • @Joycenangonga

    @Joycenangonga

    9 ай бұрын

    Kaharibu wap na wew 😟

  • @Rozeey610
    @Rozeey6102 жыл бұрын

    Uyo alievaa mawani🤔🤔🤔

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula22202 жыл бұрын

    Huyo Leonard ni Shida

  • @tabithajohn8254
    @tabithajohn82542 жыл бұрын

    Nmeirudia na kurudia tena. No these people knows. All of them wanajua 🥲❤️❤️❤️

  • @mohammedyahya972
    @mohammedyahya97210 ай бұрын

    Ni kweli jamaa ni mkali ila lazima vipaji vingine vipewe nafasi

  • @jenfridachasuka4462
    @jenfridachasuka44622 жыл бұрын

    I like that

  • @mohammedmolali8281
    @mohammedmolali82812 жыл бұрын

    💥💥💥

  • @normanleslie4248
    @normanleslie42482 жыл бұрын

    Naomba harmony yenu muifanyie zoezi bado haijakaa poa

  • @aggiephen
    @aggiephen2 жыл бұрын

    Hilo group hamna kituuuu😐Muacheni huyo talented aimbe peke yake lah sivyo hamtotoboa

  • @karimchindema9823

    @karimchindema9823

    2 жыл бұрын

    Unajua maana ya group dada

  • @esthersilas6580
    @esthersilas65802 жыл бұрын

    uyo wa koti la black kabeba group

  • @danielmlaponi9235
    @danielmlaponi92352 жыл бұрын

    Uyo demu ni empty kabisa

  • @meshacknassary8023

    @meshacknassary8023

    2 жыл бұрын

    Ahahahaha empty bottle

  • @esthersilas6580

    @esthersilas6580

    2 жыл бұрын

    uwiii na kwel anahama key kinyama

  • @robertdominiko2667
    @robertdominiko26672 жыл бұрын

    Hawa wastahili kuwa wadhindi,kuwa 1 haki yao

  • @esterabely2959
    @esterabely29592 жыл бұрын

    Hakuna kitu hapo off key ni nyingi......anae weza hapo ni mmoja

  • @janethmosses9820

    @janethmosses9820

    2 жыл бұрын

    Hasa wanaoback vocal

  • @barakaligoha978
    @barakaligoha9782 жыл бұрын

    Waimbaji wa gospel utawajua tu jamaa anafanya gospel

  • @Joycenangonga

    @Joycenangonga

    9 ай бұрын

    Umeona eeeh? ni gosper

  • @mariamhinda6710
    @mariamhinda67102 жыл бұрын

    Brother katisha sana

  • @hajimainde1508
    @hajimainde15082 жыл бұрын

    Nc

  • @nasrazubery4391
    @nasrazubery43912 жыл бұрын

    😘

  • @mpokiibrahim8926
    @mpokiibrahim89262 жыл бұрын

    Black kot 🔥🔥

  • @hamisasuman5717
    @hamisasuman57172 жыл бұрын

    Grand final season3 lini

  • @patricemmuni7919
    @patricemmuni79197 ай бұрын

    Mdada mweny blauz ya njano anafeel kinoma saut ya jamaa wa black koti😂😂

  • @MwakaHassan

    @MwakaHassan

    3 ай бұрын

    acha kuwakatixha tamaa lo kama xiy Binadam

  • @mussahkilango5990
    @mussahkilango59902 жыл бұрын

    You can't judge one person in crue you decline dat cruel judge as cruel and giv dem marks

  • @rodgerskombo4403
    @rodgerskombo44038 ай бұрын

    Great voice tasuba...but backup ndio inaangusha

  • @cashhommy91
    @cashhommy912 жыл бұрын

    Synchronisation of the vocals 😣😣😣😣

  • @yusuphsimon575
    @yusuphsimon5752 жыл бұрын

    dah huyu jamaaa anafaa aimbe gospel Yuko viziri

  • @Joycenangonga

    @Joycenangonga

    9 ай бұрын

    yan wew ndo umeongea point

  • @mariasalomelukosi6846
    @mariasalomelukosi68468 ай бұрын

    Kaimba nani hii nyimbo jamani

  • @kihozanakilimobiashara7969
    @kihozanakilimobiashara79692 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/fZOWr9CKYazcobg.html. Lima KILIMO chenye tija na SUPERGRO. NB:Tunakufikia popote ULIPO

  • @clarisatieno708
    @clarisatieno7082 жыл бұрын

    Simwoni Mercy jamani kaenda wapi?

  • @tayaripato762
    @tayaripato7622 жыл бұрын

    Can someone tell me even it's the name of that boy plz I like this guy if I can get even her number I will be happy

  • @abelharry_tz
    @abelharry_tz2 жыл бұрын

    Broh najua kuwa upo na hii group labda Tu ni hukuamini ktk ww mwenyew hapo mwanzo. Lakini nnaamini Kwa SASA unaiona tofauti yako na hao wengine kabisa . Chaguo ni lako NOW. YU have a Thing Buddah

Келесі