UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 03|AFRICAN COUSIN(TASUBA)-SAUTI ZENYE LADHA
Ойын-сауық
Ni msimu wa Tatu wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M Pamoja na kwenda Uholanzi kujiendeleza Kitaaluma
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Alhamisi Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season03
Пікірлер: 119
jmn we kaka wa katikati unajua....cjui kwann hukuamua kuwa wewe kama wewe utapoteza kitu kikubwa brooh....wish ukue wewe kama wewe 😓🥰🥰.....
Napenda huyo kaka anavoimba for sure anajua. 💘
Brought here by TikTok♥️♥️
My brother wa Middle ure voice is blessed me Bella unniinspire
Daaah huyo mwana hapo kati ni 🔥🔥🔥🔥🔥 daah huu mziki kuna watu wanaudai sanaaaaa
Yani kwakweli tusiwe waongo Kila mmoja hapo anasauti Kali sana ila iyo aliyeva koti jeusi nimeiyelewa sana👏👏👏👏👏👏
Jamaa anakuaga na sauti ya radi...!!
Jamani kama sio mbongo maana unajua unajua mbaka unaniliza kwa raha dah mungu akutimizie ndoto zako zikatimie 🙏❤️🥰🥰
Mbona saut soul bien ni mnyama ila aipendez kuwajaji ivyo unafanya mmoja ajisikie
Talented Bro Black Coat 🤣
He knows yet so humble mweeeh🔥
Yan hyu kaka wa katikati anaimba mpaka anakeraaa daah big up
@saraissa9327
2 ай бұрын
haujui muziki
Unajitahidi saaana ila huyo jamaa na Coti jeusi daa viwango vyake sio vya hapa aisee anatisha hongera sana!
Good song
Sema Jamaa wa kat anajuaa🤗🤗
I repeat and repeat,,, everyone there is unique 😩❤️❤️
👏💥💥💥
Huyo jamaa mwenye base aachwe mwenyewe unless sion hilo group linatoboa
The first boy nailed it🔥🔥🔥
@tabithajohn8254
2 жыл бұрын
Yes.
The second boy killed it 🔥🔥🔥
Uyo jamaa nimuuwaj aisee noma sana mr kimaso maso
Nafikiri,,, amjajua Mana yakikundi kunasauti za kuitikia inamana wanajaza mziki uyo jamaha wakati Kati anajua lakin ao wengine lazima wawe wakwamana wanamsaidia uyo kuonekana anajua zaidi nazani anae fahamu mziki wanajua umuhimu wa ao wengine
@apostlesamofficial
2 жыл бұрын
Yani sauti hazija merge vile yafaa
Wacha wee huyo kaka wa ktkt htr ❤
Weweweweweeee dogo unaua sanaaaaa🔥🔥🔥🔥
Damn wat de faaack vocal imekaa hii crew ipo Good
Amazing vocal
❤ nimependa
Wa katikati ndo anajua nyie wawili wawili wa pembeni muacheni mwenzenu aimbe peke yake
Alie vaa miwani n uyo mdada🥺🥺🥺
Akiendelea na hilo group atoboi may be awe alone
Oy weeeeeeee watoto wa baga alf moyo TASUBA👏🏿👏🏿✊🏿
Kak mkubwa wew nibaraa haufah uo moto cio wakitoto sas inabidi unifundishe uo ufund kidog naongea na wew vocalist
Dogo anajua
Gifted and talented bro keep it up Kikund kinakutegemea wewe
Leonard we hatar jaman
Naujua mziki ila huyo jamaa wa kati nyeusi ni fire
The two middle guys are just another thing🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥I don't trust the ladys voice at this level of singing but nice they are
Huo sio uimbaji mzuri. Hapo kuna rushwa tu au mchongo. Anaimbia kwenye mapua,eti jaji anashangilia. Uongo
@saraissa9327
2 ай бұрын
haujui muziki
Wana voco wanajuaa🇹🇿🇹🇿🥰🥰
Huu mfumo wa ma judge sio mzuri kwa kwelii
@tabithajohn8254
2 жыл бұрын
Sure
Majaji waongo kinoma duh
I’m so moved😩❤️
Umeua-leornad
Rayvan kakaaaaaaa
Huyu jamaa ni mkaliiiiiiiii asee
Mmetixha bigup xan
So talented, stay blessed guy's
Very good
That's great ❤
Saruty sana
waooooo❤❤❤
Noma sana hiyo brother
Kweliii
Am in love with them surely 🥰
Great job 👍
Jamaa aimbe peke yake anaweza la sivyo atapoteza nafasi hyo.
Good work..nmependa sana
Very talented tongues 🔥🔥
nzuri
I can't stop listening dis performance gives me goosebumps
@naomikaaya4798
2 жыл бұрын
Even me🔥🔥
@winfridakavishe3539
2 жыл бұрын
Jamn mmwaaaaah
@tabithajohn8254
2 жыл бұрын
Same ❤️
Huyo aliyevaa alizaliwa kuja kuimba duniani
Especially dada anaharibu so poa
@normanleslie4248
2 жыл бұрын
Anaimba off sanaaa
@angellwehela4303
2 жыл бұрын
Umeona eeh😀
@zawadilutufyo231
2 жыл бұрын
Kabisaa
this is awesome 👌 n lit 🔥
What's this guy like
AmnA waimbaj hapoooo,labda huyo mdog na huyo koti la black
@rasoolymsafi3896
8 ай бұрын
We akili hauna
🙌🏼🙌🏼🥳🥳
Huyu dogo ni balaa sana
Yaan huyu wa black coti angeiimba mwenywe
Mnaharbu nyimbo za watu
@achynyawale397
2 жыл бұрын
Kaharibu na ww
@Joycenangonga
9 ай бұрын
Kaharibu wap na wew 😟
Uyo alievaa mawani🤔🤔🤔
Huyo Leonard ni Shida
Nmeirudia na kurudia tena. No these people knows. All of them wanajua 🥲❤️❤️❤️
Ni kweli jamaa ni mkali ila lazima vipaji vingine vipewe nafasi
I like that
💥💥💥
Naomba harmony yenu muifanyie zoezi bado haijakaa poa
Hilo group hamna kituuuu😐Muacheni huyo talented aimbe peke yake lah sivyo hamtotoboa
@karimchindema9823
2 жыл бұрын
Unajua maana ya group dada
uyo wa koti la black kabeba group
Uyo demu ni empty kabisa
@meshacknassary8023
2 жыл бұрын
Ahahahaha empty bottle
@esthersilas6580
2 жыл бұрын
uwiii na kwel anahama key kinyama
Hawa wastahili kuwa wadhindi,kuwa 1 haki yao
Hakuna kitu hapo off key ni nyingi......anae weza hapo ni mmoja
@janethmosses9820
2 жыл бұрын
Hasa wanaoback vocal
Waimbaji wa gospel utawajua tu jamaa anafanya gospel
@Joycenangonga
9 ай бұрын
Umeona eeeh? ni gosper
Brother katisha sana
Nc
😘
Black kot 🔥🔥
Grand final season3 lini
Mdada mweny blauz ya njano anafeel kinoma saut ya jamaa wa black koti😂😂
@MwakaHassan
3 ай бұрын
acha kuwakatixha tamaa lo kama xiy Binadam
You can't judge one person in crue you decline dat cruel judge as cruel and giv dem marks
Great voice tasuba...but backup ndio inaangusha
Synchronisation of the vocals 😣😣😣😣
dah huyu jamaaa anafaa aimbe gospel Yuko viziri
@Joycenangonga
9 ай бұрын
yan wew ndo umeongea point
Kaimba nani hii nyimbo jamani
kzread.info/dash/bejne/fZOWr9CKYazcobg.html. Lima KILIMO chenye tija na SUPERGRO. NB:Tunakufikia popote ULIPO
Simwoni Mercy jamani kaenda wapi?
Can someone tell me even it's the name of that boy plz I like this guy if I can get even her number I will be happy
Broh najua kuwa upo na hii group labda Tu ni hukuamini ktk ww mwenyew hapo mwanzo. Lakini nnaamini Kwa SASA unaiona tofauti yako na hao wengine kabisa . Chaguo ni lako NOW. YU have a Thing Buddah