UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 02|UNITED KINGS|DANCERS WAMOTO TANZANIA

Hii ni TOP 30 ya Mashindano ya Unitalent show/ROBO FAINALI safari ni moja wanavyuo kutoka vyuo tofauti wanashindana kwenye stage moja wakiwa na vipaji tofauti ili kuibua vipaji vipya na kukuza soko la sanaa hapa nchini
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #starstudent #talentsearch #maroontv

Пікірлер: 372

  • @jokesasidecomedy4233
    @jokesasidecomedy42333 жыл бұрын

    I enjoy watching this fro..kenya wapi likes za kenya

  • @toastysn
    @toastysn3 жыл бұрын

    Hawa wasiruhusiwe kushiriki mashindano yote kuna watu wengine pia wanataka kushinda 😂😂 Wasiposhinda hawa tutakao andamana tujuane hapa tuanze mipango mikakati 👇

  • @bentube4787

    @bentube4787

    3 жыл бұрын

    Kweliii wasipo shindaaa tuandamaneni

  • @ashirafkhamis2368

    @ashirafkhamis2368

    3 жыл бұрын

    mmoja wapo mm nitakaeandamana

  • @kennix6457

    @kennix6457

    3 жыл бұрын

    Nakubaliana na wewe

  • @stevenmaketa8051

    @stevenmaketa8051

    3 жыл бұрын

    Kudadadeki wasiposhinda hawa tuandanane jamaaniiiiii eeeeeeeeeee

  • @mwanaashashokowa2151

    @mwanaashashokowa2151

    3 жыл бұрын

    Unistue tunaweka vurugu kutakuwa hapakaliki kabsa naja na vilipuzi kabsa

  • @salmangereza5587
    @salmangereza55873 жыл бұрын

    Hamna mpinzan yaan BIG YES

  • @mtamilanyambalo9261
    @mtamilanyambalo92613 жыл бұрын

    Vijana hawa ni Hatariii sanaaaaaa. Jamani Wadau Wote tuwape Support ktk Vipaji hivi vya Tanzania. 🤴🤴

  • @jobarigamotari327
    @jobarigamotari3273 жыл бұрын

    This is really encouraging this boys will go far..wapi likes kutoka Kenya lakini

  • @ramadhaniallylugazo2240

    @ramadhaniallylugazo2240

    3 жыл бұрын

    Noma saana

  • @jaygwaymic1597

    @jaygwaymic1597

    2 ай бұрын

    😂😂

  • @ashirafkhamis2368
    @ashirafkhamis23683 жыл бұрын

    Yan kiukwel hawa jamaa wanajua san zaidi ya sana yenyewe,natoa TAMKO RASMI hawa jamaa wasiposhinda naandamanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥 me kama jaji mkuu sina la kusema tukutane FINAL 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @officialmweusi8664
    @officialmweusi86643 жыл бұрын

    Daaaa wauni wanawezaaaaa

  • @malley041tv9
    @malley041tv93 жыл бұрын

    Wanangu fanyeni zaidi ya mlichofanya apo,,,, ndy principle ya kaz na mafanikio for sure nyie ni international levels Tanzania to the world Watching frm babatiii

  • @hyasintndimbo2998
    @hyasintndimbo29983 жыл бұрын

    Daaaah hizi jamaa ziko Moto 🔥🔥🔥, balaaaaaaaaaaaa UNITED KING YOUR THE KING BR🤙🇹🇿🤙

  • @zhangshadow5080
    @zhangshadow50803 жыл бұрын

    hii shoo ni kali ilitakiwa kupigwa mambelee aisee hii show ni fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @mikejulius2188
    @mikejulius21883 жыл бұрын

    Yaani hadi majaji wanakosa la kusema😂😂😂 hongera kwao, kazi nzuri ila wajiepushe na vijimakosa vidogo vidogo🇰🇪

  • @ninialzahrani4098
    @ninialzahrani40983 жыл бұрын

    Nimerudilia mal kumi ❤😍😍😍😍

  • @bosconjoroge8985
    @bosconjoroge8985 Жыл бұрын

    An amazing dance guys,,,but kwa maoni yangu before the end "samapangala song vunja mifupa" would have killed it even more,,,😃😃 mob love from 🇰🇪

  • @bigisaac9199
    @bigisaac91993 жыл бұрын

    From 🇰🇪🇰🇪love this guy 💯✌️

  • @oscarmungaa
    @oscarmungaa3 жыл бұрын

    Much love from Kenya🇰🇪

  • @peterngowi6804
    @peterngowi68043 жыл бұрын

    Mjumbe niletee hao wote kwenye harusi yangu jumamosi ijayo

  • @naomimavura7305
    @naomimavura73053 жыл бұрын

    Niwabunifu ...Mara nying mnakuja na story..mpyaaa ....you guys n 🔥🔥

  • @zipporahkasyoka21
    @zipporahkasyoka213 жыл бұрын

    I really enjoy you guys you are the really Kings...keep it up..UNITED KINGS ..much love frm 🇰🇪🇰🇪wapi likes jamani....👊👊👊

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba5913 жыл бұрын

    Old is Gold aseee yaan Mziki tu mtu unaanza kutabasamu kabla ya shoo kuanza🙌🙌🔥🔥🔥🔥

  • @joansenjulius7773
    @joansenjulius77733 жыл бұрын

    Yan mm nailudia kila muda gonga like ambao tunailudia hii

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya65442 жыл бұрын

    From 254 mauwezo wadau

  • @kimaugymnast
    @kimaugymnast3 жыл бұрын

    Joining from Kenya. I swear I love you guys. Tanzania got talent. Big up

  • @siramwangongobe8696
    @siramwangongobe8696 Жыл бұрын

    N amaizing awa guys wapo gud xana ad me nataman niwe nadance Kama wao

  • @geraldbajile7564
    @geraldbajile75642 жыл бұрын

    Aisee Hawa madogo ma King 👑 of dancer Africa

  • @KOMEDYENDJOLSPH-ww5ex
    @KOMEDYENDJOLSPH-ww5ex Жыл бұрын

    Bon travay timesye SPH 509 avèw

  • @issasuperimooo551
    @issasuperimooo5513 жыл бұрын

    Hongeren kwa ushindii big up san tok pande za mara borega city

  • @lazzrchanal1935
    @lazzrchanal19353 жыл бұрын

    Na watolea Kofia Aya Maajama ni Mabonge kwa juuku la Dance love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮na 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @GeorgeOndari
    @GeorgeOndari3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣these guys killed it, mob love from Kenya.

  • @mwinyiadno9495
    @mwinyiadno94953 жыл бұрын

    They are amazing talented 💪👏👏👏👏👏

  • @Edwinekarume-jj6dy
    @Edwinekarume-jj6dy Жыл бұрын

    G.O.T dancers you deserve United Kings of Africa 👑

  • @djkbyofficial
    @djkbyofficial3 жыл бұрын

    🇨🇩👁️👁️SAFI SANA THAT ONE IS 🔥 FIRE BRO

  • @rehemawaweru5373
    @rehemawaweru53732 жыл бұрын

    Aki your talented guys penda nyinyi sana

  • @nassolorose
    @nassolorose Жыл бұрын

    Wawoo am from Saudi Arabia bat i love you so much guys 👆👈👈👈👈

  • @olivermfinanga1268
    @olivermfinanga12683 жыл бұрын

    Sio India tu hata tz kuna vpaj🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿love my country

  • @billalimbasha
    @billalimbasha Жыл бұрын

    noma sana mabroo wanaijua Kaz nzur sana

  • @asmetkevtz
    @asmetkevtz3 жыл бұрын

    Madogo wako vizuri!!💥💥💥🚀

  • @farukukimaro9739
    @farukukimaro97393 жыл бұрын

    Daah hawa jamaa wanauwa sanaaaa hongerenii sanaaa

  • @mashakahassan3336
    @mashakahassan33363 жыл бұрын

    Noma sana na ajira wapate vijana wana vipaji

  • @hermanbonitus866
    @hermanbonitus8663 жыл бұрын

    United kings of African sincerely i real appreciate your performance

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu80772 жыл бұрын

    Hongereni Mungu awatangulie hichi ndicho madamu Vanessa mdee ankiitaka

  • @nruth7829
    @nruth78293 жыл бұрын

    From Uganda.....these young guys are good👌

  • @sarapreciousbryson1236
    @sarapreciousbryson12363 жыл бұрын

    I came for sth else in KZread but after i found an Update for these guys..Hail To them..I Bow×3 They Really Nailed It.

  • @wismanwilly7657
    @wismanwilly76573 жыл бұрын

    Washkaji wapo creative kinoma. Real talent 🔥🔥👍

  • @ibrahimjoseph2789
    @ibrahimjoseph27893 жыл бұрын

    Mmmmmm hawa jamaa ni world classic, Tanzania tujivunie kuwa na treasure like this, kama sio mabigwa hawa basi sio bahati yao tu nawafatilia sana ndio maana wanaongoza kwa views wanatushawishi mashabiki, daaaa Good luck

  • @hyasintndimbo2998

    @hyasintndimbo2998

    3 жыл бұрын

    Sikupingi Mr ibr, guys are very talented,, apa naludia kuiangalia

  • @nazilshaban173

    @nazilshaban173

    3 жыл бұрын

    Kwel kumbe umeliona hilo

  • @restivermiho3326
    @restivermiho33263 жыл бұрын

    Congratulations we are waiting for finals 🔥🤗

  • @aminasilvia4345
    @aminasilvia43452 жыл бұрын

    Love ❤️ from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦

  • @georgewamaya5375
    @georgewamaya53752 жыл бұрын

    these guys deserve a perfomance on america got talent🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @djkbyofficial
    @djkbyofficial3 жыл бұрын

    AFROCONGO 🇨🇩👀 MUSIC IS FIRE 🔥😎🇨🇬

  • @dadychaps7527
    @dadychaps75273 жыл бұрын

    Wanyama sana 🔥🔥🔥🇰🇪✅

  • @castoriarogatus3675
    @castoriarogatus3675 Жыл бұрын

    daar ni noma Sanaa sichoki kuwaangalia Hawa jamaa

  • @khanwizzy
    @khanwizzy Жыл бұрын

    Mmmmh mnaweza sanaaaa

  • @40kstore
    @40kstore3 жыл бұрын

    T.I.D ni judge mzuri.

  • @wardahzajly3149
    @wardahzajly31493 жыл бұрын

    Hawa ndo top yaooooooo

  • @jacobmagesa4437
    @jacobmagesa4437 Жыл бұрын

    Wameuwa much love

  • @officiallyrics7530
    @officiallyrics75303 жыл бұрын

    Whaaaaaaaaat I've been waiting this for so long its really amazing united kingz 👑 u killed it one love unitalent u brought us the really dance kings

  • @johnnkya8839

    @johnnkya8839

    3 жыл бұрын

    Kwanza naomba jina kamili la jina mliloanza nalo 😁😁 sanguloo mamaaa hatari sanaa 🔥🔥 U deserve to win

  • @officiallyrics7530

    @officiallyrics7530

    3 жыл бұрын

    @@johnnkya8839 for sureeeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ykee250
    @ykee2503 жыл бұрын

    MA BOYZ

  • @munyenyerobert1634
    @munyenyerobert16343 жыл бұрын

    Amazing talents in Africa.🤗👌😱😱😱

  • @leonardoscarkitime145
    @leonardoscarkitime1453 жыл бұрын

    Very very very Talented.!!!

  • @code_x_dancecrew8338
    @code_x_dancecrew83383 жыл бұрын

    Wah💯💯💯litt

  • @drifacalus8770
    @drifacalus87703 жыл бұрын

    Siwapewe tu hizo milion hamsin tunasubiri nn wanajuaa

  • @bentube4787

    @bentube4787

    3 жыл бұрын

    Kweliii maana na ona Kama mpira league ingekua washa chukua kombe

  • @amdaviso9416
    @amdaviso94163 жыл бұрын

    What a good performance....😍😍 OMG very impressed for sure...big up.💪💪🙌

  • @dadychaps7527
    @dadychaps75273 жыл бұрын

    Zaidi ya hawa vijana sioni, Mungu Tu🙏🙏🙏🇰🇪✅🔥🔥🔥

  • @fabiolamshana6143
    @fabiolamshana61433 жыл бұрын

    Men at work Fireeee

  • @nanduleramadhan8801
    @nanduleramadhan88012 жыл бұрын

    Wameuwaaa 🔥🔥🔥🔥

  • @movilannegermina7385
    @movilannegermina73852 жыл бұрын

    Good job me amours😘😘😘😘😘

  • @kadereclaire.
    @kadereclaire.3 жыл бұрын

    This boys nah kill me oooh. ...no wahala. ..big up guys

  • @josephinelekartiwa2920
    @josephinelekartiwa29203 жыл бұрын

    You are the best of all

  • @Zagotora
    @Zagotora3 жыл бұрын

    I’M PROUD💪 WELL DONE

  • @preciousmohmed7372

    @preciousmohmed7372

    3 жыл бұрын

    Am proud of yoh for making them who they're today....I love the spirit yoh gat dada zawadi🥰🥳

  • @elbaricktv1632

    @elbaricktv1632

    3 жыл бұрын

    Hongera kwa kuunganisha masuper ster wa dancing

  • @m1000Tx
    @m1000Tx3 жыл бұрын

    Aaaah wanangu eeeh ... Mmeua sanaaa mmetishaaa... Endeleeni hivo hivo wanangu ... Big up sana 👍

  • @chuoltapchuol8167
    @chuoltapchuol81672 жыл бұрын

    Wow I mean I really appreciate you guys for your nice talent thanks for your ambition God bless you Africa heartful kids

  • @sheilahjeptum5858
    @sheilahjeptum58583 жыл бұрын

    This guys are really amazing for real I love them

  • @constantineemmanuel3315
    @constantineemmanuel33153 жыл бұрын

    This show deserves more viewers, these people are awesome

  • @tshegofatsocoster6745
    @tshegofatsocoster67452 жыл бұрын

    That's really amazing

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart19973 жыл бұрын

    Safii sana wana iko poa hiyo

  • @angelaayuma9529
    @angelaayuma95293 жыл бұрын

    Cant believe this......wooow

  • @ruudvantitus4788
    @ruudvantitus47883 жыл бұрын

    Any Ugandan here🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @ramadhaniadam7303
    @ramadhaniadam73032 жыл бұрын

    I like that creativity

  • @denisimkwawi2827
    @denisimkwawi28273 жыл бұрын

    Kaliiiiii sanaaaaaaaaaaa

  • @pierreaginel7448
    @pierreaginel74482 жыл бұрын

    Congratulations 🙏🙏💯💯

  • @jamosanga2575
    @jamosanga25752 жыл бұрын

    Mko sawa nmekubli

  • @kelvinwijenje1034
    @kelvinwijenje10342 жыл бұрын

    Awesome 😎😎😎😎👍💯

  • @suleimanfaki2740
    @suleimanfaki27403 жыл бұрын

    We.. Nitakupiga wewe.. More fire

  • @lyidia2901
    @lyidia29012 жыл бұрын

    Ao vojana ni noma sana

  • @kenedymwamagemo1066
    @kenedymwamagemo10663 жыл бұрын

    I have been waiting for this homies. Msilale vichwa visivimbe mkairithika keep on woking hard its not over yet i really wish u bring it all in the finals,i really hope u win thissssss ish dont relax until its finaly done. Respect

  • @jamalcarlos9780

    @jamalcarlos9780

    2 жыл бұрын

    i guess Im asking randomly but does anybody know a way to log back into an Instagram account..? I was dumb forgot my account password. I appreciate any assistance you can offer me.

  • @bentube4787
    @bentube47873 жыл бұрын

    Frenkkk naonaa kiwango chako keep it up brother

  • @aminandabalo5820
    @aminandabalo58203 жыл бұрын

    Jaman jaman awa watu nawakubaleeee xaaan an jaman daaah

  • @heneryofficial638
    @heneryofficial6383 жыл бұрын

    Badooo saanaaaa

  • @erickelia9826
    @erickelia98262 жыл бұрын

    Mmetisha Sana kazi safi sana

  • @rahmamussa8871
    @rahmamussa8871 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥 this made my day better😅

  • @emanuelmoherai5775
    @emanuelmoherai57752 жыл бұрын

    Dr. Tuuga from Kenya. Love it guys.

  • @ezekielmajuto5799
    @ezekielmajuto57993 жыл бұрын

    Mmetishaaaaaaaa

  • @peterjohn8405
    @peterjohn84053 жыл бұрын

    Hi ndio sanaaa

  • @nanyombihafiswa3105
    @nanyombihafiswa31053 жыл бұрын

    Omg yes for me

  • @sarkiyafisarki6106
    @sarkiyafisarki6106 Жыл бұрын

    Real sarki yafi sarki ✅

  • @benjaminijlinda123
    @benjaminijlinda1233 жыл бұрын

    Nakubal sana

  • @sophialungo1147
    @sophialungo11473 жыл бұрын

    Nawakubali hawaa

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16323 жыл бұрын

    Hakuna Kama HAWA Tanzania ata kina moze iyobo wa wcb hawawez wafikia hawa jamaa ata robo

  • @hyasintndimbo2998

    @hyasintndimbo2998

    3 жыл бұрын

    Iyobo hii show haiwezi,,, yeye akakate Mauno mabichi TU😂

  • @stanleykagoa6190

    @stanleykagoa6190

    3 жыл бұрын

    Hawa ni kisanga Tz nzima hakuna wakuwafikia wako firee ile mbaya

  • @peterkitura5946

    @peterkitura5946

    3 жыл бұрын

    Ndugu msiseme tz nzima kwani kabla ya hii show mlikuwa mnawajua tembeeni muone wapo wengi tu zaidi ya hao sema hawana sehemu ya kuonesha kipaji chao

  • @wahiduitsverycommentmane5421

    @wahiduitsverycommentmane5421

    3 жыл бұрын

    Wcb ata wasisubutuu kujifananisha wee

  • @renatusmatungwa6506

    @renatusmatungwa6506

    3 жыл бұрын

    Ww acheni mambo yenu nyinyi mmezunguka Tanzania nzima?

  • @muusmile4419
    @muusmile44193 жыл бұрын

    Jmn wasiposhinda hawa kuna figisu 😂 😂

  • @rodgersmoni4153
    @rodgersmoni41532 жыл бұрын

    It said a picture is a thousand of words,I say a dance particularly these is a thousand of words raised to power of infinity. My kind regards from Nairobi.

  • @jamesmerina3473
    @jamesmerina34732 жыл бұрын

    Mw renmen nou anpil