UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 02|UNITED KINGS|DANCERS WAMOTO TANZANIA
Hii ni TOP 30 ya Mashindano ya Unitalent show/ROBO FAINALI safari ni moja wanavyuo kutoka vyuo tofauti wanashindana kwenye stage moja wakiwa na vipaji tofauti ili kuibua vipaji vipya na kukuza soko la sanaa hapa nchini
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #starstudent #talentsearch #maroontv
Пікірлер: 372
I enjoy watching this fro..kenya wapi likes za kenya
Hawa wasiruhusiwe kushiriki mashindano yote kuna watu wengine pia wanataka kushinda 😂😂 Wasiposhinda hawa tutakao andamana tujuane hapa tuanze mipango mikakati 👇
@bentube4787
3 жыл бұрын
Kweliii wasipo shindaaa tuandamaneni
@ashirafkhamis2368
3 жыл бұрын
mmoja wapo mm nitakaeandamana
@kennix6457
3 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@stevenmaketa8051
3 жыл бұрын
Kudadadeki wasiposhinda hawa tuandanane jamaaniiiiii eeeeeeeeeee
@mwanaashashokowa2151
3 жыл бұрын
Unistue tunaweka vurugu kutakuwa hapakaliki kabsa naja na vilipuzi kabsa
Hamna mpinzan yaan BIG YES
Vijana hawa ni Hatariii sanaaaaaa. Jamani Wadau Wote tuwape Support ktk Vipaji hivi vya Tanzania. 🤴🤴
This is really encouraging this boys will go far..wapi likes kutoka Kenya lakini
@ramadhaniallylugazo2240
3 жыл бұрын
Noma saana
@jaygwaymic1597
2 ай бұрын
😂😂
Yan kiukwel hawa jamaa wanajua san zaidi ya sana yenyewe,natoa TAMKO RASMI hawa jamaa wasiposhinda naandamanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥 me kama jaji mkuu sina la kusema tukutane FINAL 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaa wauni wanawezaaaaa
Wanangu fanyeni zaidi ya mlichofanya apo,,,, ndy principle ya kaz na mafanikio for sure nyie ni international levels Tanzania to the world Watching frm babatiii
Daaaah hizi jamaa ziko Moto 🔥🔥🔥, balaaaaaaaaaaaa UNITED KING YOUR THE KING BR🤙🇹🇿🤙
hii shoo ni kali ilitakiwa kupigwa mambelee aisee hii show ni fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Yaani hadi majaji wanakosa la kusema😂😂😂 hongera kwao, kazi nzuri ila wajiepushe na vijimakosa vidogo vidogo🇰🇪
Nimerudilia mal kumi ❤😍😍😍😍
An amazing dance guys,,,but kwa maoni yangu before the end "samapangala song vunja mifupa" would have killed it even more,,,😃😃 mob love from 🇰🇪
From 🇰🇪🇰🇪love this guy 💯✌️
Much love from Kenya🇰🇪
Mjumbe niletee hao wote kwenye harusi yangu jumamosi ijayo
Niwabunifu ...Mara nying mnakuja na story..mpyaaa ....you guys n 🔥🔥
I really enjoy you guys you are the really Kings...keep it up..UNITED KINGS ..much love frm 🇰🇪🇰🇪wapi likes jamani....👊👊👊
Old is Gold aseee yaan Mziki tu mtu unaanza kutabasamu kabla ya shoo kuanza🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Yan mm nailudia kila muda gonga like ambao tunailudia hii
From 254 mauwezo wadau
Joining from Kenya. I swear I love you guys. Tanzania got talent. Big up
N amaizing awa guys wapo gud xana ad me nataman niwe nadance Kama wao
Aisee Hawa madogo ma King 👑 of dancer Africa
Bon travay timesye SPH 509 avèw
Hongeren kwa ushindii big up san tok pande za mara borega city
Na watolea Kofia Aya Maajama ni Mabonge kwa juuku la Dance love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮na 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
🤣🤣🤣🤣🤣🤣these guys killed it, mob love from Kenya.
They are amazing talented 💪👏👏👏👏👏
G.O.T dancers you deserve United Kings of Africa 👑
🇨🇩👁️👁️SAFI SANA THAT ONE IS 🔥 FIRE BRO
Aki your talented guys penda nyinyi sana
Wawoo am from Saudi Arabia bat i love you so much guys 👆👈👈👈👈
Sio India tu hata tz kuna vpaj🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿love my country
noma sana mabroo wanaijua Kaz nzur sana
Madogo wako vizuri!!💥💥💥🚀
Daah hawa jamaa wanauwa sanaaaa hongerenii sanaaa
Noma sana na ajira wapate vijana wana vipaji
United kings of African sincerely i real appreciate your performance
Hongereni Mungu awatangulie hichi ndicho madamu Vanessa mdee ankiitaka
From Uganda.....these young guys are good👌
I came for sth else in KZread but after i found an Update for these guys..Hail To them..I Bow×3 They Really Nailed It.
Washkaji wapo creative kinoma. Real talent 🔥🔥👍
Mmmmmm hawa jamaa ni world classic, Tanzania tujivunie kuwa na treasure like this, kama sio mabigwa hawa basi sio bahati yao tu nawafatilia sana ndio maana wanaongoza kwa views wanatushawishi mashabiki, daaaa Good luck
@hyasintndimbo2998
3 жыл бұрын
Sikupingi Mr ibr, guys are very talented,, apa naludia kuiangalia
@nazilshaban173
3 жыл бұрын
Kwel kumbe umeliona hilo
Congratulations we are waiting for finals 🔥🤗
Love ❤️ from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦
these guys deserve a perfomance on america got talent🔥🔥🔥🔥🔥🔥
AFROCONGO 🇨🇩👀 MUSIC IS FIRE 🔥😎🇨🇬
Wanyama sana 🔥🔥🔥🇰🇪✅
daar ni noma Sanaa sichoki kuwaangalia Hawa jamaa
Mmmmh mnaweza sanaaaa
T.I.D ni judge mzuri.
Hawa ndo top yaooooooo
Wameuwa much love
Whaaaaaaaaat I've been waiting this for so long its really amazing united kingz 👑 u killed it one love unitalent u brought us the really dance kings
@johnnkya8839
3 жыл бұрын
Kwanza naomba jina kamili la jina mliloanza nalo 😁😁 sanguloo mamaaa hatari sanaa 🔥🔥 U deserve to win
@officiallyrics7530
3 жыл бұрын
@@johnnkya8839 for sureeeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
MA BOYZ
Amazing talents in Africa.🤗👌😱😱😱
Very very very Talented.!!!
Wah💯💯💯litt
Siwapewe tu hizo milion hamsin tunasubiri nn wanajuaa
@bentube4787
3 жыл бұрын
Kweliii maana na ona Kama mpira league ingekua washa chukua kombe
What a good performance....😍😍 OMG very impressed for sure...big up.💪💪🙌
Zaidi ya hawa vijana sioni, Mungu Tu🙏🙏🙏🇰🇪✅🔥🔥🔥
Men at work Fireeee
Wameuwaaa 🔥🔥🔥🔥
Good job me amours😘😘😘😘😘
This boys nah kill me oooh. ...no wahala. ..big up guys
You are the best of all
I’M PROUD💪 WELL DONE
@preciousmohmed7372
3 жыл бұрын
Am proud of yoh for making them who they're today....I love the spirit yoh gat dada zawadi🥰🥳
@elbaricktv1632
3 жыл бұрын
Hongera kwa kuunganisha masuper ster wa dancing
Aaaah wanangu eeeh ... Mmeua sanaaa mmetishaaa... Endeleeni hivo hivo wanangu ... Big up sana 👍
Wow I mean I really appreciate you guys for your nice talent thanks for your ambition God bless you Africa heartful kids
This guys are really amazing for real I love them
This show deserves more viewers, these people are awesome
That's really amazing
Safii sana wana iko poa hiyo
Cant believe this......wooow
Any Ugandan here🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
I like that creativity
Kaliiiiii sanaaaaaaaaaaa
Congratulations 🙏🙏💯💯
Mko sawa nmekubli
Awesome 😎😎😎😎👍💯
We.. Nitakupiga wewe.. More fire
Ao vojana ni noma sana
I have been waiting for this homies. Msilale vichwa visivimbe mkairithika keep on woking hard its not over yet i really wish u bring it all in the finals,i really hope u win thissssss ish dont relax until its finaly done. Respect
@jamalcarlos9780
2 жыл бұрын
i guess Im asking randomly but does anybody know a way to log back into an Instagram account..? I was dumb forgot my account password. I appreciate any assistance you can offer me.
Frenkkk naonaa kiwango chako keep it up brother
Jaman jaman awa watu nawakubaleeee xaaan an jaman daaah
Badooo saanaaaa
Mmetisha Sana kazi safi sana
🔥🔥🔥 this made my day better😅
Dr. Tuuga from Kenya. Love it guys.
Mmetishaaaaaaaa
Hi ndio sanaaa
Omg yes for me
Real sarki yafi sarki ✅
Nakubal sana
Nawakubali hawaa
Hakuna Kama HAWA Tanzania ata kina moze iyobo wa wcb hawawez wafikia hawa jamaa ata robo
@hyasintndimbo2998
3 жыл бұрын
Iyobo hii show haiwezi,,, yeye akakate Mauno mabichi TU😂
@stanleykagoa6190
3 жыл бұрын
Hawa ni kisanga Tz nzima hakuna wakuwafikia wako firee ile mbaya
@peterkitura5946
3 жыл бұрын
Ndugu msiseme tz nzima kwani kabla ya hii show mlikuwa mnawajua tembeeni muone wapo wengi tu zaidi ya hao sema hawana sehemu ya kuonesha kipaji chao
@wahiduitsverycommentmane5421
3 жыл бұрын
Wcb ata wasisubutuu kujifananisha wee
@renatusmatungwa6506
3 жыл бұрын
Ww acheni mambo yenu nyinyi mmezunguka Tanzania nzima?
Jmn wasiposhinda hawa kuna figisu 😂 😂
It said a picture is a thousand of words,I say a dance particularly these is a thousand of words raised to power of infinity. My kind regards from Nairobi.
Mw renmen nou anpil