UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR
UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR ES SALAAM...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 425
Sometime ayo mangoma ni kama kelele sio kila mahali wanapo shuka yapo sehem moja tu inatosha kila mahali kelele😅
@josephatjordan2150
Жыл бұрын
Ni makelele tu!!na mtu pekee aliekua na huruma na africa ni Obama pekee ila hawa nyau
@honestmboya1453
Жыл бұрын
@@josephatjordan2150 ;. B ,,, g ,,,,,. ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, see Dr gt fee
@mwavitadundo4880
Жыл бұрын
Mengoma inazingua kweli kashajua nipo Africa tena Tanzania kwaiyo iyo mingoma ndio nini
@michaelkisselar5691
Жыл бұрын
Tupe CV yako kwanza tujue una ongea Kama nani
@02boysmusic12
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Pole Tanzania yangu rest in peace magufuli uliipenda nchi yako na watu wako tena ulikubali kujitoa kutokuwa mtumwa angalia mama yetu kipenzi kama bord guid nini kinacho sainiwa hapo je baba yetu angekuepo magufuli asimame hivi kwa mzungu? Hapana hapana Tanzania umeelekea down 😢😢😢 pole Tanzania Munguu tuokoe Tanzania
@NassorAbdallah-xi8mv
Жыл бұрын
Chunga kauli zako kijana
@sabinuskomba2535
Жыл бұрын
Ndugu hicho ni kitabu Cha wageni daaaa
@lizyonce7414
Жыл бұрын
GOOD BROO NIMEKUBALI COMMENT YAKO
@bonifacemwendwa8733
Жыл бұрын
Hiki kinakuwanga kitabu cha wangeni Lazima mngeni asaini
Even Mr. Magufuli from heaven is not happy about this! The were not supposed to make her wait that long.
Why keep the host -- the President of Tanzania herself -- waiting next to the guest's car (a visiting Vice President) that long? The optics aren't right. I can't understand why they'd do that.
@trapazzmajaliwa5191
Жыл бұрын
Looks bad aisee these Americans look down upon African, what was. She doing in the car all that long?
@khadarabdi6919
Жыл бұрын
That is the level of disrespect the have for African leaders
@aska8060
Жыл бұрын
I say those are power games ndo mjue hao ni marekani
@antonykhamati6387
Жыл бұрын
Scanning for any security threats.
@caycameout2play
Жыл бұрын
@Antony Khamati A Vice President keeping an actual President waiting THAT long is just disrespectful! Plain and simple
Saa nyengine us wanajiskia sana na madharau yao haya walio nayo.. unaona vile wamemueka mama samia kumsubiri ashuke huyu makamu wa raisi kwenye gari lake! Hii ni dharau wala sikingine😊
rais mwenye moyo wa pekee mungu akulinde nakupenda Sana rais wangu raisi wa taifa langu tz
Dakika 2 kwa mama yetu Kasimama kungoja mgen wake kiusalama sio mbaya kikubwa Aman tu kwenye Nchi yetu alhamdulilah
@swesschao3095
Жыл бұрын
Lazima confirm na inteligence yake kwanza kama kuna usalama wake
@salimliemba3458
Жыл бұрын
@@swesschao3095 kabisaaa
@tittoskeysproject1967
Жыл бұрын
Apo ikulu ww hamna upuuz wala makosa
@ChoroTesla
Жыл бұрын
@@tittoskeysproject1967 mzee chochote kinaweza tokea na popote pale kinaweza tokea.
@mohamedhaji2200
Жыл бұрын
@@swesschao3095 Alikua anasubiri waandishi wake wa habari washuke kwenye magari ndio yy ashuke. Kumbuka waandishi gari zao zinakua nyuma ya msafara
😂😂😂 huo mda wote ni wa kumngoja Kamala ashuke kwenye gari. huu ndio ukoloni mambo leo sasa
@jofreymagesa7927
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@zuwenasalim2794
Жыл бұрын
Yn ingekuwa kule uswaz unamwambia tu bibi ww em shuka nawe🤣🤣
@wadeelegbogun3015
Жыл бұрын
Walikuwa wanachora ulinzi wetu na lada kutoka marekani 😅,
@Mwesiga
Жыл бұрын
Ukoloni mwa mwe ata Putin anasemaga
@scorasticaclement6308
Жыл бұрын
Kamala katulipia Machungu Yetu Ya Foleni Ya Vingunguti Akiwaa Anashuka Yeye Kutoka Dodoma Maana Tunasimamaga Ata Masaa 4😂😂😂😂
Siungi mkono hizo ngoma jamani ndo maana sometimes wenzetu wanatuangalia kama watu wa kale kisa bado kuna vitu vya kale vipo kwa nn hatuendani na kasi ya dunia tuliopo karne hii,,hayo mangoma yalikua na ulazima gani,,,,,
Kumbe mama yetu na yeye ni jitu refu, MashaAllah
Me naomba tu taifa letu lisipate Lana ya ushoga kukubali misada ili tukubali ushoga no no hapana 🇹🇿💔💉
@barakabonile8362
Жыл бұрын
🏳️🌈🏳️🌈🏳️🌈
@simonrichardmosha6141
Жыл бұрын
Simu yenyewe unayotumia imetoka kwao utakwepea wapi hiyo hali.
@ototek8037
Жыл бұрын
@@simonrichardmosha6141 simu imetoka afrika akili ndo zakwao..vyote uvionavyo hasa vya internet na mishangazo unayoijuwa vinatengenezwa kwa udongo wa makinikia toka TZ Congo Ghana South Africa na kwingineko yalipo madini Africa.
@simonrichardmosha6141
Жыл бұрын
@@ototek8037 kwa hiyo una mali akili huna.
@abochejuniorhutingwa223
Жыл бұрын
Mpk hapo inaonekana km ni dili limeshakamilika, ss HV wakisoma hz komenti zetu humu watakuwa wanatucheka tu ndugu yangu. Hakuba kitu kibaya kwenye uongozi km ubinafsi lakini pia km kukosa kuwezo wa kusimamia na kuhifadhi utamaduni wetu na mila
Nchi yetu ndo inauzwa ushoga ushaanza kutangazwa rasmi mama misele ya kwenda nje haishii yaan full hekaheka😭😭😭
Mama yetu akasimama kama bodyguard hatariiiii
@zahoramour3344
Жыл бұрын
Hivi ukipokea mgeni nyumban kwako unafanyaje
@iddymtambo7186
Жыл бұрын
Hapana kumbuka Marekani ndio mwamba wa dunia nchi zote lazima iweke heshima hapo ndio mana hakuna mwenye mamlaka Kama yeye .
@josephinenyamhanga8818
Жыл бұрын
Lazima mnyenyekee wazungu ,leo kaacha wapi barakoa,maana anapokua na mawaziri wake anakua amevaa hapa siioni
@dinnambogoye9582
Жыл бұрын
Hahahaha Bibi yenu kasimama dakika tatu nzima kumsubiri mtu kushuka kwenye gari hiyo ni hatar , Kwan yeye alipo kuwa kule kwao huyo shost yake alimsubir hata?? , Waafrika tuache ujinga wa kumnyenyekea mtu anae kutumia kwa manufaa yake binafsi kwa kivuli Cha msaada , hahahaaaa haya Bibi yenu kawa mlinzi😂😂😂
@anwaryabdallah7782
Жыл бұрын
@@dinnambogoye9582 Upo sahihi wapo kwamaslahi yao alafu wanatumia kivuli chamsaada!
Kavunjiwa heshima raisi wetu yani mjinga huyo kafika kakaa kwenye gari dakika 10 anachat kwanza raisi naye kaka anamsubiri 😢😢😢😢
@magiehermess9949
Жыл бұрын
Mwenyewe nashangaa
@ChoroTesla
Жыл бұрын
izo no ishu za kiusalama usifir unashuka tu km unashuka porini
@magiehermess9949
Жыл бұрын
@ChoroTesla kweli lakini rais hafai kukaa hapo muda wote akingojea mtu wa chini yake. She is a president for sure
@ChoroTesla
Жыл бұрын
@@magiehermess9949 ww ndo.mtu wa protocol?
@simonrichardmosha6141
Жыл бұрын
Ushazoea kuruka kwenye daladala haya mambo utayajulia wapi.
Sometime ulinzi unadhalilisha,unasubir mtu hadi unachoka halafu hashuki kwenye gari haraka.
Usikute anapita anamasisha ushoga, na kusema msipokubali awatowi support
@pastry2546
Жыл бұрын
Ndio kilochomleta
I love the way the 2 political leaders went to do what they had to do just 2 of us helping each other that natural sense of getting along is natural african gesture I loved it sometimes those hundred security around are just dramatic 😂
Hivi hapo bodyguard wa SSH wanakuwa wapi?😮😮
@mikehjackson8146
Жыл бұрын
@Jahim shahim 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umetishaaa
Hata Kama asingekuj na walinzi hii nchi ni ya amani tupu ilimradi usiiseme serikali vbya utaenda na maji
@FaridaJames
Жыл бұрын
Nchi imeuzwa
@yusufuheri6524
9 ай бұрын
Ukishakua kiongozi ni ngumu kutembea bila walinzi nani lazima watembee na walinzi kwasababu asilimia kubwa ya viongozi inawafundisha wanainchi wake wakosee mpaka sehemu penyewe
Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, Linda Taifa letu lisimezwe na ushoga
@siamnyone8403
Жыл бұрын
Nani alikwambiaa Kuna ushoga
Ulinzi ni balaa. Shida ni kwamba adui yao anaweza wafutilizia huku kwetu Afrika akijua ulizi ni dhaifu. Tumshukuru Mungu sisi hatuna maadui
@mussamsella8560
Жыл бұрын
Hakuna nchi isiyokua na adui
Mm ningekua samia ningetangulia ofisini wamletageeeee halaaaa
Yaani rais wetu kasimama!!!... Kampisha makamu wa rais akae!!!... Hapa sijaelewa kwani kati yao ni nani mkubwa kimadalaka ?.... kwanini wasinge weka viti viwili, Mimi binafsi sijaipenda hii.
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
Subiri ukiwa Rais wewe!
@danrevelian
Жыл бұрын
😂😂😂hapo alikuwa anasaini kitabu Cha wageni tu jamaniiii 😂😂😂
@upendogreutert199
Жыл бұрын
Yaani watu jamanii wanaropoka
Mama anaupiqa mwinqi sana,nchi imefunquka mahusiano mazur na jamii za kimataifa siasa safi uhuru wakupeta. Apewe tu 10 menqine tena
Kamala Harris rais mzuri sana nata Mani ange kuwa rais (vice president wetu) jamani you got to say ana tabia nzuri nupeni likes basi have a great day wananchi
@naima5220
Жыл бұрын
Uko serious the woman is a joke
Ushirikiano wa mwewe na kuku huu daah! Ngoja tuone!
@jamil1547
Жыл бұрын
😂😂😂😂 yaani umenichekesha sana
Msijali mungu yu nasi!
Kweri sjapenda rais wetu kwann asimame kwan haiwezekan kuweka viti 2 kulinda heshma yake
@geraldtarimo3210
Жыл бұрын
Lazimaawempole,marekani ndio dunia wanakilakitu
@thomassenga2526
Жыл бұрын
Hata Mimi sijapenda kabisa mkuu wa nchi kumsogezea kiti makamu hapana siku nyingine itifaki isifanye hivyo
@hanafimsabaha7469
Жыл бұрын
Amekaa kwa sababu anaandika. Hapo sio sehemu ya kukaa
Nyeus itakua nyekundu bendera ya Tanzania...😅😅😅😅😅...Appreciate my brother Roma..
Ila mama yetu ana hekima sana kikubwa nikulinda amani ya nchi yetu
Rahaa 😊
Tuna nguvu Tanzania maana alikuwa vice na sasa Rais ss ndio wa kwanza kwenye kuwaheshim wanawake kwenye uongozi hizo nchi za ulaya na marekani wanaiga kwetu
Mashost wamependeza 100%
Ni utamaduni wetu namna ya kumlaki mgeni ingekuwa kwao tungeingia kwa hip-hop
@msafirileuna-fi8qo
Жыл бұрын
Haaa haaa
Mnarecord na sim za Tecno nin. Video mbaya kama ni 12FPS
Mara pap kalamu inagoma kuandika anaanza kuichapachapa, nawaza tuu sa itakuaje
@lujobilz7482
Жыл бұрын
😆😆😆😆😆
Mbona kamala kama kaandika barua ya kuomba kazi hapo.
Mwafrika/mzungu anaweka mwafrika mwenzake nyumbani? Hatia kubwa sanaaaa!
Tazaniya bad sis niwatumwatu laisiwetu Kawa kamalaiya wakawait 😭😭😭😭😭
thats an intimidation tactic as much as its a security protocal..kueka mama hizo dakika tano na anamuona...madharau kidogo kidogogo.but love how unintimidated President Samia was.Tanzania oyee!!
Wazungu wazungukeni Rais wetu Anasubili mgeni kwa madakika Africa bado niwa tumwa??
Sasa toka gari imeingia langoni muda wote huo hashuki maana yake kuna secret service agent alienda kukagua mpaka uvunguni kwa Samia kama hakuna illegal substances kwa Usalama wa kamala
Full mi karate 🥋 hapo
kumbe samia anauweza ubordguard🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 nasikia sauti ya mkatolik mwenye asili ya kiyaud
Welcome to East Africa. Hapa hakuna matata. Mama Harris .
Nyeusi itakua nyekundu bendera ya tanzania
Hio ya rais wetu kusimama na kumwachia kit haijakaa vizur
@levisdiamond4797
Жыл бұрын
😀😀😀😀 amekuwa bodyguard wake mama yangu 😂
Wao
Acheni kuupa ushoga promo
Kwa kweli suaala la Rais wetu kuwa Sub Ordinate kwa makamu wa Rais wa Marekani is not a good things kwa kweli hata walioorganize na kumpa Rais wetu namna ya kumpokea huyu makamu wa Rais kwa kweli kuna mistake ndogo ndogo walizifanya lakin zinaa impact kubwa sana...hata kama ndo kumnyenyekeaa mgeni kwa kweli hapana sioo kwa style hii ... aliyetakiwa kwend kumsogezeaa kitii Kamala Harris ni Body Guard au mtu maalum aliyeqndaliwa kwa ajili ya hiyo kazi wake na sio Rais wetu hii ni dharau na kumdisvallue mkuu wa nchi.....Kwa kweli ifike mahali yale masuala ya akina chief Mangungo ya masula ya miaka ya 1900 hukoo yafikie kikomoo Mbona Rais wa Congo Juzi alimkemea mgeni wake Rais wa Ufaransa tena ni Rais sio makama alipokuwa anaongeaa uwongo tena akamkemea kwa kumnyoshea kidole....Ifike mahalii viongozii wetuu waache kunyenyekeaa sana ndo hukoo hata masuala ya kuaambiwa tuoane ndo tupewe misaada yanatoka kutokana na jinsi viongozii wetu wanavyoact kwa mamaster wao....AFRICAN LEADERS MUST WAKE UP INGAWAAJE BAADHI WAMESHAAMKA...ANGEENDA SOUTH I DON'T THINK KWAMBA ANGEPEWA IYO SUB-ORDINATE ALIYOIPATA HAPA KWETU NA TUNAHUBIRI KILA SIKU SISI NI MATAJIRI..AU NDO NNJAA YA PAPER DOLLAR 💵 😂
@caycameout2play
Жыл бұрын
Very shameful indeed! Poor protocol planning 🤦🏽♀️
AISEEEE!😥😥😥
Wanzania kwa kucheza ngoma hawazidiwi
Samia is a very matured lady, Tanzania have a brilliant president in Suluhu ❤
@reubenothuol1823
Жыл бұрын
She's old bro... You must be matured when you're old.
@justathought7235
Жыл бұрын
@@reubenothuol1823 growing old isn't maturing. Some people don't behave/reason like their age
Kaja kwake kukagua hesabu
Kuna mambo yanakeraaaa hivi hajajua alosimama apo ni mwanamke mwenzie na Rais mpendwaa wetuu ata aso toka kwenye gari tu
Huyu mlinzi ni kiburi sana hakumsalimia hata mama km hamuoni shenz
@user-tw9wu2gz4g
6 ай бұрын
Mtumwa asalimiwe toka lini?
Magu angeenda kumgongea dirishani... "Oyaa unazingua shuka basi"
Huyu anakuja kutangaza ushoga tu marekani Hawana lingine jipya
hv na viongozi wetu wakienda ulaya wanapigiwaga ngoma hv au nicc tunashobo tu
Why should Kamala keep the president waiting for that long before she leaves her vehicle??
Nimemsikia Roma kwa mbaliiiii
Nna wasi wasi na huyu waziri hajaleta skendo za ushoga kweli? Macho yangu😢😢
Hata mama lazima walimscan asibebe knife 😂😂😂
Ndio sababu Bado harmonise uwashinda Kwa wimbo wake wote anapo burudisha wageni nyumbani. Mziki inapigwa hadi inakuwa kelele jameni eti makaribisho? Chanukeni na wimbo zenu za kitamaduni!
Imagine having to wait 2minutes for her to come out thee car..#1961
kweli ni aibu first lady wa tanzania amesimama na huyu bibi wa marekani amekaa kimya unyonge kwa tanzania.
@geraldtarimo3210
Жыл бұрын
Marekani ndio dunia mjomba,wanakilakitu
Tanzania na viongozi wetu ni vibaraka wa wazungu
Apo kabla hajatoka walikuwa wanaangalia usalama umo ndani kwa ndani usishangae ata rais wetu walikuwa wakimzoom kavaa nini kwa ndani asije akamdhuru uyu mama ulinz wa marekani sio mchezo.walipojilidhisha kuwa pako salama adi ndani ndo wakamfungulia sio mchezo.
Hivi maraisi wetu wakienda kwao wanapigiwaga Ngoma hivi naomba nielimishwe toka airport mpaka ikulu?!
Camera man nae anatingisha sana kamera kama anashut nasim. Bhana
Rais wetu kasimamishwa hapo kama mlinzi wa ikulu vile😂😂😂😂 haki sijpnd, ila wakubwa sana hawa!!
Natamani siku moja tujielewe
Wnakuja na magari yao hawa nyau tunge😂
Ushoga ni shindikizo la Wamarekani - kwann na kama Viongozi wasipokua Imara Tutaamuliwa kila kitu.
Amejiweka kwenye gari masaa kabla ya kushuka huku mama samia anamsubiria kwa kusimama. Sijapenda dharau yao wamarekani
Why mis president kasimama like hvyo, ingekua kwao angesimama pia uyo kamala?
Yan kugeuza geuza kichwa tu ndio umakini,, si hata baba levo anaweza hiv
Hii sasa nini mama Samia unafany nini teb
Tz msikubali kuuziwa ushoga walivyo jaribu hapa Kenya 😢
Very disrespectful how president in own country wait vis president sitting in the car for this time 😢😢😢 she shouldn't have to wait her more than 30 sec otherwise she will left other seniors official to welcome her and wait her in the office but in front entrance come on guy
mama ana maana yyte uyu
Nyie mkienda kwao muna gandana kwenye ma Bus, Bullshit💩😏😏😏😏
@upendogreutert199
Жыл бұрын
Hilo nalo ni swali lakujiuliza Mara 7, 70 elfu
Muachage iyo mingoma basi .inaboa tu maskioni maana hata hawaelewi mnaimba nini zaidi ya zogo tu,hamuoni Wenzenu
Hayo mangoma mpaka ikulu yalienda kufanyanini
We mina sulesh sijakata magufuli ni mzuri lakini you got to say my friend
Huyu mama yuko na Raisi wetu ni nani?
Mama sio kitu makamu wa raisi anamsimamia kama bodyguard iliweje kweri Tanzania imeshapigwa bei na ushoga
Heshima kubwa kwake mama samia suruhu
Kaleta ushoga tu ,endeleeni tu kukubali ushoga,pongezi kwa mseven kwa kukataa huu ujinga.
Unaambiwa hapo alipompa mkono...kamala kasafishwa siku nzima😂😂
mbona kamalaya anashushwa kwa kushitukiza
I can't watch this....
Mbona amechukua mda mrefu hivo kushuka kutoka Kwa gari. Ama alikua anashuta mwanzo😅😅😅😅😅
Huyo bibi anaumwa nn mbona abatembea hivyo😂😂
@hillarymuhidini5030
5 ай бұрын
Aisee haumwi ila mguu wake mmoja ni mfupi hivyo tu
Ila Haolewi Mtu hapa bhata Uje
Muachage iyo mingoma basi .inaboa tu maskioni maana hata hawaelewi mnaimba nini zaidi ya zogo tu,
Photographer camera hakuikamata ipaswavyo
Utu wetu uheshimiwe
0:07 hivi macho yenu yanaona kama mimi? Mbona kama Bodyguard wa Mama anakaguliwa kibegi chake? Msaada wenye macho yanayoona