UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR

UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR ES SALAAM...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 425

  • @kennedkaaya5998
    @kennedkaaya5998 Жыл бұрын

    Sometime ayo mangoma ni kama kelele sio kila mahali wanapo shuka yapo sehem moja tu inatosha kila mahali kelele😅

  • @josephatjordan2150

    @josephatjordan2150

    Жыл бұрын

    Ni makelele tu!!na mtu pekee aliekua na huruma na africa ni Obama pekee ila hawa nyau

  • @honestmboya1453

    @honestmboya1453

    Жыл бұрын

    ​@@josephatjordan2150 ;. B ,,, g ,,,,,. ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, see Dr gt fee

  • @mwavitadundo4880

    @mwavitadundo4880

    Жыл бұрын

    Mengoma inazingua kweli kashajua nipo Africa tena Tanzania kwaiyo iyo mingoma ndio nini

  • @michaelkisselar5691

    @michaelkisselar5691

    Жыл бұрын

    Tupe CV yako kwanza tujue una ongea Kama nani

  • @02boysmusic12

    @02boysmusic12

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @minahsulesh8740
    @minahsulesh8740 Жыл бұрын

    Pole Tanzania yangu rest in peace magufuli uliipenda nchi yako na watu wako tena ulikubali kujitoa kutokuwa mtumwa angalia mama yetu kipenzi kama bord guid nini kinacho sainiwa hapo je baba yetu angekuepo magufuli asimame hivi kwa mzungu? Hapana hapana Tanzania umeelekea down 😢😢😢 pole Tanzania Munguu tuokoe Tanzania

  • @NassorAbdallah-xi8mv

    @NassorAbdallah-xi8mv

    Жыл бұрын

    Chunga kauli zako kijana

  • @sabinuskomba2535

    @sabinuskomba2535

    Жыл бұрын

    Ndugu hicho ni kitabu Cha wageni daaaa

  • @lizyonce7414

    @lizyonce7414

    Жыл бұрын

    GOOD BROO NIMEKUBALI COMMENT YAKO

  • @bonifacemwendwa8733

    @bonifacemwendwa8733

    Жыл бұрын

    Hiki kinakuwanga kitabu cha wangeni Lazima mngeni asaini

  • @keritalk9609
    @keritalk9609 Жыл бұрын

    Even Mr. Magufuli from heaven is not happy about this! The were not supposed to make her wait that long.

  • @Bugoye
    @Bugoye Жыл бұрын

    Why keep the host -- the President of Tanzania herself -- waiting next to the guest's car (a visiting Vice President) that long? The optics aren't right. I can't understand why they'd do that.

  • @trapazzmajaliwa5191

    @trapazzmajaliwa5191

    Жыл бұрын

    Looks bad aisee these Americans look down upon African, what was. She doing in the car all that long?

  • @khadarabdi6919

    @khadarabdi6919

    Жыл бұрын

    That is the level of disrespect the have for African leaders

  • @aska8060

    @aska8060

    Жыл бұрын

    I say those are power games ndo mjue hao ni marekani

  • @antonykhamati6387

    @antonykhamati6387

    Жыл бұрын

    Scanning for any security threats.

  • @caycameout2play

    @caycameout2play

    Жыл бұрын

    ​@Antony Khamati A Vice President keeping an actual President waiting THAT long is just disrespectful! Plain and simple

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy Жыл бұрын

    Saa nyengine us wanajiskia sana na madharau yao haya walio nayo.. unaona vile wamemueka mama samia kumsubiri ashuke huyu makamu wa raisi kwenye gari lake! Hii ni dharau wala sikingine😊

  • @IDDABDALLAH-ds5vw
    @IDDABDALLAH-ds5vw Жыл бұрын

    rais mwenye moyo wa pekee mungu akulinde nakupenda Sana rais wangu raisi wa taifa langu tz

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 Жыл бұрын

    Dakika 2 kwa mama yetu Kasimama kungoja mgen wake kiusalama sio mbaya kikubwa Aman tu kwenye Nchi yetu alhamdulilah

  • @swesschao3095

    @swesschao3095

    Жыл бұрын

    Lazima confirm na inteligence yake kwanza kama kuna usalama wake

  • @salimliemba3458

    @salimliemba3458

    Жыл бұрын

    @@swesschao3095 kabisaaa

  • @tittoskeysproject1967

    @tittoskeysproject1967

    Жыл бұрын

    Apo ikulu ww hamna upuuz wala makosa

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    Жыл бұрын

    ​@@tittoskeysproject1967 mzee chochote kinaweza tokea na popote pale kinaweza tokea.

  • @mohamedhaji2200

    @mohamedhaji2200

    Жыл бұрын

    ​@@swesschao3095 Alikua anasubiri waandishi wake wa habari washuke kwenye magari ndio yy ashuke. Kumbuka waandishi gari zao zinakua nyuma ya msafara

  • @thereport1on1
    @thereport1on1 Жыл бұрын

    😂😂😂 huo mda wote ni wa kumngoja Kamala ashuke kwenye gari. huu ndio ukoloni mambo leo sasa

  • @jofreymagesa7927

    @jofreymagesa7927

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @zuwenasalim2794

    @zuwenasalim2794

    Жыл бұрын

    Yn ingekuwa kule uswaz unamwambia tu bibi ww em shuka nawe🤣🤣

  • @wadeelegbogun3015

    @wadeelegbogun3015

    Жыл бұрын

    Walikuwa wanachora ulinzi wetu na lada kutoka marekani 😅,

  • @Mwesiga

    @Mwesiga

    Жыл бұрын

    Ukoloni mwa mwe ata Putin anasemaga

  • @scorasticaclement6308

    @scorasticaclement6308

    Жыл бұрын

    Kamala katulipia Machungu Yetu Ya Foleni Ya Vingunguti Akiwaa Anashuka Yeye Kutoka Dodoma Maana Tunasimamaga Ata Masaa 4😂😂😂😂

  • @frankshedrack8259
    @frankshedrack8259 Жыл бұрын

    Siungi mkono hizo ngoma jamani ndo maana sometimes wenzetu wanatuangalia kama watu wa kale kisa bado kuna vitu vya kale vipo kwa nn hatuendani na kasi ya dunia tuliopo karne hii,,hayo mangoma yalikua na ulazima gani,,,,,

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 Жыл бұрын

    Kumbe mama yetu na yeye ni jitu refu, MashaAllah

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 Жыл бұрын

    Me naomba tu taifa letu lisipate Lana ya ushoga kukubali misada ili tukubali ushoga no no hapana 🇹🇿💔💉

  • @barakabonile8362

    @barakabonile8362

    Жыл бұрын

    🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈

  • @simonrichardmosha6141

    @simonrichardmosha6141

    Жыл бұрын

    Simu yenyewe unayotumia imetoka kwao utakwepea wapi hiyo hali.

  • @ototek8037

    @ototek8037

    Жыл бұрын

    @@simonrichardmosha6141 simu imetoka afrika akili ndo zakwao..vyote uvionavyo hasa vya internet na mishangazo unayoijuwa vinatengenezwa kwa udongo wa makinikia toka TZ Congo Ghana South Africa na kwingineko yalipo madini Africa.

  • @simonrichardmosha6141

    @simonrichardmosha6141

    Жыл бұрын

    @@ototek8037 kwa hiyo una mali akili huna.

  • @abochejuniorhutingwa223

    @abochejuniorhutingwa223

    Жыл бұрын

    Mpk hapo inaonekana km ni dili limeshakamilika, ss HV wakisoma hz komenti zetu humu watakuwa wanatucheka tu ndugu yangu. Hakuba kitu kibaya kwenye uongozi km ubinafsi lakini pia km kukosa kuwezo wa kusimamia na kuhifadhi utamaduni wetu na mila

  • @hassanikobelo3688
    @hassanikobelo3688 Жыл бұрын

    Nchi yetu ndo inauzwa ushoga ushaanza kutangazwa rasmi mama misele ya kwenda nje haishii yaan full hekaheka😭😭😭

  • @suleiman3288
    @suleiman3288 Жыл бұрын

    Mama yetu akasimama kama bodyguard hatariiiii

  • @zahoramour3344

    @zahoramour3344

    Жыл бұрын

    Hivi ukipokea mgeni nyumban kwako unafanyaje

  • @iddymtambo7186

    @iddymtambo7186

    Жыл бұрын

    Hapana kumbuka Marekani ndio mwamba wa dunia nchi zote lazima iweke heshima hapo ndio mana hakuna mwenye mamlaka Kama yeye .

  • @josephinenyamhanga8818

    @josephinenyamhanga8818

    Жыл бұрын

    Lazima mnyenyekee wazungu ,leo kaacha wapi barakoa,maana anapokua na mawaziri wake anakua amevaa hapa siioni

  • @dinnambogoye9582

    @dinnambogoye9582

    Жыл бұрын

    Hahahaha Bibi yenu kasimama dakika tatu nzima kumsubiri mtu kushuka kwenye gari hiyo ni hatar , Kwan yeye alipo kuwa kule kwao huyo shost yake alimsubir hata?? , Waafrika tuache ujinga wa kumnyenyekea mtu anae kutumia kwa manufaa yake binafsi kwa kivuli Cha msaada , hahahaaaa haya Bibi yenu kawa mlinzi😂😂😂

  • @anwaryabdallah7782

    @anwaryabdallah7782

    Жыл бұрын

    ​@@dinnambogoye9582 Upo sahihi wapo kwamaslahi yao alafu wanatumia kivuli chamsaada!

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын

    Kavunjiwa heshima raisi wetu yani mjinga huyo kafika kakaa kwenye gari dakika 10 anachat kwanza raisi naye kaka anamsubiri 😢😢😢😢

  • @magiehermess9949

    @magiehermess9949

    Жыл бұрын

    Mwenyewe nashangaa

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    Жыл бұрын

    izo no ishu za kiusalama usifir unashuka tu km unashuka porini

  • @magiehermess9949

    @magiehermess9949

    Жыл бұрын

    @ChoroTesla kweli lakini rais hafai kukaa hapo muda wote akingojea mtu wa chini yake. She is a president for sure

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    Жыл бұрын

    @@magiehermess9949 ww ndo.mtu wa protocol?

  • @simonrichardmosha6141

    @simonrichardmosha6141

    Жыл бұрын

    Ushazoea kuruka kwenye daladala haya mambo utayajulia wapi.

  • @geofreyambakisye4481
    @geofreyambakisye4481 Жыл бұрын

    Sometime ulinzi unadhalilisha,unasubir mtu hadi unachoka halafu hashuki kwenye gari haraka.

  • @paidenasra4548
    @paidenasra4548 Жыл бұрын

    Usikute anapita anamasisha ushoga, na kusema msipokubali awatowi support

  • @pastry2546

    @pastry2546

    Жыл бұрын

    Ndio kilochomleta

  • @dk28122002
    @dk28122002 Жыл бұрын

    I love the way the 2 political leaders went to do what they had to do just 2 of us helping each other that natural sense of getting along is natural african gesture I loved it sometimes those hundred security around are just dramatic 😂

  • @godfreyvenerandus9411
    @godfreyvenerandus9411 Жыл бұрын

    Hivi hapo bodyguard wa SSH wanakuwa wapi?😮😮

  • @mikehjackson8146

    @mikehjackson8146

    Жыл бұрын

    @Jahim shahim 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umetishaaa

  • @johnhanga-dp9ck
    @johnhanga-dp9ck Жыл бұрын

    Hata Kama asingekuj na walinzi hii nchi ni ya amani tupu ilimradi usiiseme serikali vbya utaenda na maji

  • @FaridaJames

    @FaridaJames

    Жыл бұрын

    Nchi imeuzwa

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    9 ай бұрын

    Ukishakua kiongozi ni ngumu kutembea bila walinzi nani lazima watembee na walinzi kwasababu asilimia kubwa ya viongozi inawafundisha wanainchi wake wakosee mpaka sehemu penyewe

  • @amanitarimo2026
    @amanitarimo2026 Жыл бұрын

    Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, Linda Taifa letu lisimezwe na ushoga

  • @siamnyone8403

    @siamnyone8403

    Жыл бұрын

    Nani alikwambiaa Kuna ushoga

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Жыл бұрын

    Ulinzi ni balaa. Shida ni kwamba adui yao anaweza wafutilizia huku kwetu Afrika akijua ulizi ni dhaifu. Tumshukuru Mungu sisi hatuna maadui

  • @mussamsella8560

    @mussamsella8560

    Жыл бұрын

    Hakuna nchi isiyokua na adui

  • @SerafinaMalecela-cx1hk
    @SerafinaMalecela-cx1hk Жыл бұрын

    Mm ningekua samia ningetangulia ofisini wamletageeeee halaaaa

  • @mfebricknkuna7106
    @mfebricknkuna7106 Жыл бұрын

    Yaani rais wetu kasimama!!!... Kampisha makamu wa rais akae!!!... Hapa sijaelewa kwani kati yao ni nani mkubwa kimadalaka ?.... kwanini wasinge weka viti viwili, Mimi binafsi sijaipenda hii.

  • @noorbazaar9063

    @noorbazaar9063

    Жыл бұрын

    Subiri ukiwa Rais wewe!

  • @danrevelian

    @danrevelian

    Жыл бұрын

    😂😂😂hapo alikuwa anasaini kitabu Cha wageni tu jamaniiii 😂😂😂

  • @upendogreutert199

    @upendogreutert199

    Жыл бұрын

    Yaani watu jamanii wanaropoka

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Жыл бұрын

    Mama anaupiqa mwinqi sana,nchi imefunquka mahusiano mazur na jamii za kimataifa siasa safi uhuru wakupeta. Apewe tu 10 menqine tena

  • @MaoBadru-ob7uh
    @MaoBadru-ob7uh Жыл бұрын

    Kamala Harris rais mzuri sana nata Mani ange kuwa rais (vice president wetu) jamani you got to say ana tabia nzuri nupeni likes basi have a great day wananchi

  • @naima5220

    @naima5220

    Жыл бұрын

    Uko serious the woman is a joke

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Жыл бұрын

    Ushirikiano wa mwewe na kuku huu daah! Ngoja tuone!

  • @jamil1547

    @jamil1547

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂 yaani umenichekesha sana

  • @barakabonile8362
    @barakabonile8362 Жыл бұрын

    Msijali mungu yu nasi!

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 Жыл бұрын

    Kweri sjapenda rais wetu kwann asimame kwan haiwezekan kuweka viti 2 kulinda heshma yake

  • @geraldtarimo3210

    @geraldtarimo3210

    Жыл бұрын

    Lazimaawempole,marekani ndio dunia wanakilakitu

  • @thomassenga2526

    @thomassenga2526

    Жыл бұрын

    Hata Mimi sijapenda kabisa mkuu wa nchi kumsogezea kiti makamu hapana siku nyingine itifaki isifanye hivyo

  • @hanafimsabaha7469

    @hanafimsabaha7469

    Жыл бұрын

    Amekaa kwa sababu anaandika. Hapo sio sehemu ya kukaa

  • @inocentgalinoma-eh3sv
    @inocentgalinoma-eh3sv Жыл бұрын

    Nyeus itakua nyekundu bendera ya Tanzania...😅😅😅😅😅...Appreciate my brother Roma..

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 Жыл бұрын

    Ila mama yetu ana hekima sana kikubwa nikulinda amani ya nchi yetu

  • @meerahskitchen.loosingweig2535
    @meerahskitchen.loosingweig2535 Жыл бұрын

    Rahaa 😊

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Жыл бұрын

    Tuna nguvu Tanzania maana alikuwa vice na sasa Rais ss ndio wa kwanza kwenye kuwaheshim wanawake kwenye uongozi hizo nchi za ulaya na marekani wanaiga kwetu

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly7900 Жыл бұрын

    Mashost wamependeza 100%

  • @xavermkalanga1230
    @xavermkalanga1230 Жыл бұрын

    Ni utamaduni wetu namna ya kumlaki mgeni ingekuwa kwao tungeingia kwa hip-hop

  • @msafirileuna-fi8qo

    @msafirileuna-fi8qo

    Жыл бұрын

    Haaa haaa

  • @mohamedzahor4992
    @mohamedzahor4992 Жыл бұрын

    Mnarecord na sim za Tecno nin. Video mbaya kama ni 12FPS

  • @musicschool_tz7014
    @musicschool_tz7014 Жыл бұрын

    Mara pap kalamu inagoma kuandika anaanza kuichapachapa, nawaza tuu sa itakuaje

  • @lujobilz7482

    @lujobilz7482

    Жыл бұрын

    😆😆😆😆😆

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Жыл бұрын

    Mbona kamala kama kaandika barua ya kuomba kazi hapo.

  • @bgmuch
    @bgmuch Жыл бұрын

    Mwafrika/mzungu anaweka mwafrika mwenzake nyumbani? Hatia kubwa sanaaaa!

  • @yohanaeliud7292
    @yohanaeliud7292 Жыл бұрын

    Tazaniya bad sis niwatumwatu laisiwetu Kawa kamalaiya wakawait 😭😭😭😭😭

  • @Carlo-tw4nx
    @Carlo-tw4nx Жыл бұрын

    thats an intimidation tactic as much as its a security protocal..kueka mama hizo dakika tano na anamuona...madharau kidogo kidogogo.but love how unintimidated President Samia was.Tanzania oyee!!

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын

    Wazungu wazungukeni Rais wetu Anasubili mgeni kwa madakika Africa bado niwa tumwa??

  • @mcback4384
    @mcback4384 Жыл бұрын

    Sasa toka gari imeingia langoni muda wote huo hashuki maana yake kuna secret service agent alienda kukagua mpaka uvunguni kwa Samia kama hakuna illegal substances kwa Usalama wa kamala

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Жыл бұрын

    Full mi karate 🥋 hapo

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 Жыл бұрын

    kumbe samia anauweza ubordguard🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MaxThebad-gm2uz
    @MaxThebad-gm2uz Жыл бұрын

    😂😂😂😂 nasikia sauti ya mkatolik mwenye asili ya kiyaud

  • @ahmedsalim8136
    @ahmedsalim8136 Жыл бұрын

    Welcome to East Africa. Hapa hakuna matata. Mama Harris .

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster9462 Жыл бұрын

    Nyeusi itakua nyekundu bendera ya tanzania

  • @gracemachege3817
    @gracemachege3817 Жыл бұрын

    Hio ya rais wetu kusimama na kumwachia kit haijakaa vizur

  • @levisdiamond4797

    @levisdiamond4797

    Жыл бұрын

    😀😀😀😀 amekuwa bodyguard wake mama yangu 😂

  • @DonPlatinum-tz5tt
    @DonPlatinum-tz5tt Жыл бұрын

    Wao

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 Жыл бұрын

    Acheni kuupa ushoga promo

  • @samsondominick81
    @samsondominick81 Жыл бұрын

    Kwa kweli suaala la Rais wetu kuwa Sub Ordinate kwa makamu wa Rais wa Marekani is not a good things kwa kweli hata walioorganize na kumpa Rais wetu namna ya kumpokea huyu makamu wa Rais kwa kweli kuna mistake ndogo ndogo walizifanya lakin zinaa impact kubwa sana...hata kama ndo kumnyenyekeaa mgeni kwa kweli hapana sioo kwa style hii ... aliyetakiwa kwend kumsogezeaa kitii Kamala Harris ni Body Guard au mtu maalum aliyeqndaliwa kwa ajili ya hiyo kazi wake na sio Rais wetu hii ni dharau na kumdisvallue mkuu wa nchi.....Kwa kweli ifike mahali yale masuala ya akina chief Mangungo ya masula ya miaka ya 1900 hukoo yafikie kikomoo Mbona Rais wa Congo Juzi alimkemea mgeni wake Rais wa Ufaransa tena ni Rais sio makama alipokuwa anaongeaa uwongo tena akamkemea kwa kumnyoshea kidole....Ifike mahalii viongozii wetuu waache kunyenyekeaa sana ndo hukoo hata masuala ya kuaambiwa tuoane ndo tupewe misaada yanatoka kutokana na jinsi viongozii wetu wanavyoact kwa mamaster wao....AFRICAN LEADERS MUST WAKE UP INGAWAAJE BAADHI WAMESHAAMKA...ANGEENDA SOUTH I DON'T THINK KWAMBA ANGEPEWA IYO SUB-ORDINATE ALIYOIPATA HAPA KWETU NA TUNAHUBIRI KILA SIKU SISI NI MATAJIRI..AU NDO NNJAA YA PAPER DOLLAR 💵 😂

  • @caycameout2play

    @caycameout2play

    Жыл бұрын

    Very shameful indeed! Poor protocol planning 🤦🏽‍♀️

  • @barakabundala5941
    @barakabundala5941 Жыл бұрын

    AISEEEE!😥😥😥

  • @fakihassani3
    @fakihassani39 ай бұрын

    Wanzania kwa kucheza ngoma hawazidiwi

  • @luigipellegrini92
    @luigipellegrini92 Жыл бұрын

    Samia is a very matured lady, Tanzania have a brilliant president in Suluhu ❤

  • @reubenothuol1823

    @reubenothuol1823

    Жыл бұрын

    She's old bro... You must be matured when you're old.

  • @justathought7235

    @justathought7235

    Жыл бұрын

    @@reubenothuol1823 growing old isn't maturing. Some people don't behave/reason like their age

  • @Mwesiga
    @Mwesiga Жыл бұрын

    Kaja kwake kukagua hesabu

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Жыл бұрын

    Kuna mambo yanakeraaaa hivi hajajua alosimama apo ni mwanamke mwenzie na Rais mpendwaa wetuu ata aso toka kwenye gari tu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Жыл бұрын

    Huyu mlinzi ni kiburi sana hakumsalimia hata mama km hamuoni shenz

  • @user-tw9wu2gz4g

    @user-tw9wu2gz4g

    6 ай бұрын

    Mtumwa asalimiwe toka lini?

  • @FRANKMWOMBEKI
    @FRANKMWOMBEKI Жыл бұрын

    Magu angeenda kumgongea dirishani... "Oyaa unazingua shuka basi"

  • @shukrimusa528
    @shukrimusa528 Жыл бұрын

    Huyu anakuja kutangaza ushoga tu marekani Hawana lingine jipya

  • @mosimndeme9618
    @mosimndeme9618 Жыл бұрын

    hv na viongozi wetu wakienda ulaya wanapigiwaga ngoma hv au nicc tunashobo tu

  • @florianmukachi3957
    @florianmukachi3957 Жыл бұрын

    Why should Kamala keep the president waiting for that long before she leaves her vehicle??

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Жыл бұрын

    Nimemsikia Roma kwa mbaliiiii

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re Жыл бұрын

    Nna wasi wasi na huyu waziri hajaleta skendo za ushoga kweli? Macho yangu😢😢

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Жыл бұрын

    Hata mama lazima walimscan asibebe knife 😂😂😂

  • @kazimirihorace7161
    @kazimirihorace7161 Жыл бұрын

    Ndio sababu Bado harmonise uwashinda Kwa wimbo wake wote anapo burudisha wageni nyumbani. Mziki inapigwa hadi inakuwa kelele jameni eti makaribisho? Chanukeni na wimbo zenu za kitamaduni!

  • @worldtv9145
    @worldtv9145 Жыл бұрын

    Imagine having to wait 2minutes for her to come out thee car..#1961

  • @davidland3677
    @davidland3677 Жыл бұрын

    kweli ni aibu first lady wa tanzania amesimama na huyu bibi wa marekani amekaa kimya unyonge kwa tanzania.

  • @geraldtarimo3210

    @geraldtarimo3210

    Жыл бұрын

    Marekani ndio dunia mjomba,wanakilakitu

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 Жыл бұрын

    Tanzania na viongozi wetu ni vibaraka wa wazungu

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Жыл бұрын

    Apo kabla hajatoka walikuwa wanaangalia usalama umo ndani kwa ndani usishangae ata rais wetu walikuwa wakimzoom kavaa nini kwa ndani asije akamdhuru uyu mama ulinz wa marekani sio mchezo.walipojilidhisha kuwa pako salama adi ndani ndo wakamfungulia sio mchezo.

  • @khairat754
    @khairat754 Жыл бұрын

    Hivi maraisi wetu wakienda kwao wanapigiwaga Ngoma hivi naomba nielimishwe toka airport mpaka ikulu?!

  • @dannyboytz6198
    @dannyboytz6198 Жыл бұрын

    Camera man nae anatingisha sana kamera kama anashut nasim. Bhana

  • @Smartboy-wt1es
    @Smartboy-wt1es Жыл бұрын

    Rais wetu kasimamishwa hapo kama mlinzi wa ikulu vile😂😂😂😂 haki sijpnd, ila wakubwa sana hawa!!

  • @evaristbamfu7149
    @evaristbamfu7149 Жыл бұрын

    Natamani siku moja tujielewe

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 Жыл бұрын

    Wnakuja na magari yao hawa nyau tunge😂

  • @masoudabdi6076
    @masoudabdi6076 Жыл бұрын

    Ushoga ni shindikizo la Wamarekani - kwann na kama Viongozi wasipokua Imara Tutaamuliwa kila kitu.

  • @ahmedalshaibany
    @ahmedalshaibany Жыл бұрын

    Amejiweka kwenye gari masaa kabla ya kushuka huku mama samia anamsubiria kwa kusimama. Sijapenda dharau yao wamarekani

  • @fressoj-mova8640
    @fressoj-mova8640 Жыл бұрын

    Why mis president kasimama like hvyo, ingekua kwao angesimama pia uyo kamala?

  • @hclever7731
    @hclever7731 Жыл бұрын

    Yan kugeuza geuza kichwa tu ndio umakini,, si hata baba levo anaweza hiv

  • @babudicky
    @babudicky Жыл бұрын

    Hii sasa nini mama Samia unafany nini teb

  • @KeivGatemi
    @KeivGatemi Жыл бұрын

    Tz msikubali kuuziwa ushoga walivyo jaribu hapa Kenya 😢

  • @hamadanzeyimana7488
    @hamadanzeyimana7488 Жыл бұрын

    Very disrespectful how president in own country wait vis president sitting in the car for this time 😢😢😢 she shouldn't have to wait her more than 30 sec otherwise she will left other seniors official to welcome her and wait her in the office but in front entrance come on guy

  • @nassondaniel-gz8qj
    @nassondaniel-gz8qj Жыл бұрын

    mama ana maana yyte uyu

  • @lesaromates4494
    @lesaromates4494 Жыл бұрын

    Nyie mkienda kwao muna gandana kwenye ma Bus, Bullshit💩😏😏😏😏

  • @upendogreutert199

    @upendogreutert199

    Жыл бұрын

    Hilo nalo ni swali lakujiuliza Mara 7, 70 elfu

  • @sadahramadhani6046
    @sadahramadhani6046 Жыл бұрын

    Muachage iyo mingoma basi .inaboa tu maskioni maana hata hawaelewi mnaimba nini zaidi ya zogo tu,hamuoni Wenzenu

  • @dicksonedson6967
    @dicksonedson6967 Жыл бұрын

    Hayo mangoma mpaka ikulu yalienda kufanyanini

  • @MaoBadru-ob7uh
    @MaoBadru-ob7uh Жыл бұрын

    We mina sulesh sijakata magufuli ni mzuri lakini you got to say my friend

  • @ivankulola5847
    @ivankulola5847 Жыл бұрын

    Huyu mama yuko na Raisi wetu ni nani?

  • @emmanuelnamakwa
    @emmanuelnamakwa Жыл бұрын

    Mama sio kitu makamu wa raisi anamsimamia kama bodyguard iliweje kweri Tanzania imeshapigwa bei na ushoga

  • @deusdeusibrahimdeus2149
    @deusdeusibrahimdeus2149 Жыл бұрын

    Heshima kubwa kwake mama samia suruhu

  • @dianamonyo1960
    @dianamonyo1960 Жыл бұрын

    Kaleta ushoga tu ,endeleeni tu kukubali ushoga,pongezi kwa mseven kwa kukataa huu ujinga.

  • @rehemamathew5790
    @rehemamathew5790 Жыл бұрын

    Unaambiwa hapo alipompa mkono...kamala kasafishwa siku nzima😂😂

  • @risukiart4615
    @risukiart4615 Жыл бұрын

    mbona kamalaya anashushwa kwa kushitukiza

  • @jeangumbo7355
    @jeangumbo7355 Жыл бұрын

    I can't watch this....

  • @kephamarando2370
    @kephamarando2370 Жыл бұрын

    Mbona amechukua mda mrefu hivo kushuka kutoka Kwa gari. Ama alikua anashuta mwanzo😅😅😅😅😅

  • @lumo9999
    @lumo9999 Жыл бұрын

    Huyo bibi anaumwa nn mbona abatembea hivyo😂😂

  • @hillarymuhidini5030

    @hillarymuhidini5030

    5 ай бұрын

    Aisee haumwi ila mguu wake mmoja ni mfupi hivyo tu

  • @lama6310
    @lama6310 Жыл бұрын

    Ila Haolewi Mtu hapa bhata Uje

  • @sadahramadhani6046
    @sadahramadhani6046 Жыл бұрын

    Muachage iyo mingoma basi .inaboa tu maskioni maana hata hawaelewi mnaimba nini zaidi ya zogo tu,

  • @user-pc9wh7tf1p
    @user-pc9wh7tf1p Жыл бұрын

    Photographer camera hakuikamata ipaswavyo

  • @albertadalabert5702
    @albertadalabert5702 Жыл бұрын

    Utu wetu uheshimiwe

  • @dgt6303
    @dgt6303 Жыл бұрын

    0:07 hivi macho yenu yanaona kama mimi? Mbona kama Bodyguard wa Mama anakaguliwa kibegi chake? Msaada wenye macho yanayoona

Келесі