ULIZA UJIBIWE NO 25 (2024)

Пікірлер: 12

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed88873 ай бұрын

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv3 ай бұрын

    Maa Shaa ALLAH 💚

  • @AdamHajj-zm6cp
    @AdamHajj-zm6cp3 ай бұрын

    Masha allah tabaraka llah

  • @KautharyMwinyi
    @KautharyMwinyi2 ай бұрын

    Mwanamke alieachwa baada ya kujifungua eda yake inakuwaje

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan85863 ай бұрын

    MASHAALLAH

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif94653 ай бұрын

    sheikh hawajui vibatali hao😂😂

  • @mohammadabdallahmzee3825
    @mohammadabdallahmzee38253 ай бұрын

    assalaam alaykum sayyidiy. kuna taarifa kupatwa kwa jua tar 8.4.2024 unawanasih nin waislam Pia tupate faida je jua au mwezi likipatwa hupatwa ulimweng mzima au baadh ya sehem na km ni baadh je sehem ambayo haikupatwa mwei au jua nao wafanye sunna ya kusuf au khusuf km kufuata mwezi wa kimataifa?

  • @muzafarsharif9465

    @muzafarsharif9465

    3 ай бұрын

    sheikh hawajui vibatali hao😂😂😂

  • @zeynaaly1948
    @zeynaaly19483 ай бұрын

    Sheikh izudin Alwy mm swali langu nauliza hivi je naweza kufunga sunna ya sita nikimaliza nikafunga swaumu ya Ramadhan ilionipita kwa dharura ya kisheria

  • @abujamalaalghammawiy7470

    @abujamalaalghammawiy7470

    3 ай бұрын

    Naam unaweza

  • @zeynaaly1948

    @zeynaaly1948

    3 ай бұрын

    Ahsant kwa kunijuza ila kuna baadhi husema huwez kufunga sunna ya sita mpaka ukamilishe funga ya ramadhan ambazo umepata dharura

  • @abujamalaalghammawiy7470

    @abujamalaalghammawiy7470

    3 ай бұрын

    @@zeynaaly1948 Naam hao wanakosea, maana siku sita ni siku chache tu na ambazo zipo ndani ya mwezi wa Shawaal peke yake. Lakini kulipa funga ya Ramadhani unaweza kulipa muda wowote hadi ramadhani nyingine ije.