Ulega akimuonyesha Rais Samia samaki wanaoelekea kupotea ziwa Victoria, " Tunatakiwa kuwalinda"

#mwanza #ziwavictoria #samiasuluhuhassan #makonda
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega akimuonyesha Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan aina mbali mbali za samaki ambao wanaanza kupotea ndani ya ziwa Victoria mkoani Mwanza.
Tukio hilo limetokea mapema leo Januari 30,2024 ambapo Rais Samia amefika Mwanza kwenye hafla ya kuzindua na kukabidhi vizimba vya kufugia samaki pamoja na boti za kisasa kwa wavuvi mkoani humo.

Пікірлер