Ukiwa Na Sifa Tano Hizi Uwezi Kurogeka /Mambo Tano Haya Ndiyo Ulinzi Mkubwa /Sheikh Walid Alhad Omar

Ойын-сауық

Ukiwa Na Sifa Tano Hizi Uwezi Kurogeka /Mambo Tano Haya Ndiyo Ulinzi Mkubwa / Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Ukiwa Na Sifa Tano Hizi Uwezi Kurogeka /Mambo Tano Haya Ndiyo Ulinzi Mkubwa / Sheikh Walid Alhad Omar
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Пікірлер: 46

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 Жыл бұрын

    SIFA 05 1.Kuunga udugu 2. Kua mkweli 3. Kubeba mazito ya watu 4. Kupokea wageni na kama hawapo kuwatafuta 5. Kuondosha majanga ktk Jamiii.

  • @user-jh6uu1td1i
    @user-jh6uu1td1iАй бұрын

    Swalu ala na bii Allahuma swalli ala saiidina muhammadi waalihi waas habihi asallamu 😢

  • @barwani890
    @barwani890 Жыл бұрын

    Mashaallah tabarak rahmani Allah akuondoshee kila shari

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    Жыл бұрын

    Amiin Ya Rabb

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Жыл бұрын

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Kheir Ya Sheikh

  • @fettysalum8481
    @fettysalum8481 Жыл бұрын

    Jazaqallah kheir

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 Жыл бұрын

    Allah akupe kila kheir shiekh

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    Жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @SamsungA-vw7lj
    @SamsungA-vw7lj Жыл бұрын

    MaashaAlahu

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 Жыл бұрын

    Machallah

  • @hadijaissawasissa7872
    @hadijaissawasissa7872 Жыл бұрын

    Ma shaaa Allah

  • @mgawabuya7265
    @mgawabuya7265 Жыл бұрын

    Mawaidha mazuri ,mungu akuzidoshie

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @athumaniamiri3764
    @athumaniamiri3764 Жыл бұрын

    Walid akiongea anaeleweka sana Allah ampe umri wenye kheyr azidi kutufunza kheyr.

  • @azamajid9530
    @azamajid9530 Жыл бұрын

    Ameen yarab

  • @sadaralmas4185
    @sadaralmas4185 Жыл бұрын

    Ukitoa mawaidha unaeleweka ssana,wald wetu.ALLAH atuongezee mashekh wengi kama wewe inshllah.wewe mpole,mkarim,maashaallaah.

  • @mayssas
    @mayssas Жыл бұрын

    MashaAllah Tabarakallah

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Жыл бұрын

    Allahumma Swalli Wassallim Wa Baarik Ala Sayyedna Muhammad Wa Alihi Wa As'Habihi Wassallaam

  • @abubakarishame2624
    @abubakarishame2624 Жыл бұрын

    Barakallah fiik

  • @ashaibrahim4331
    @ashaibrahim4331 Жыл бұрын

    Allah akuzidishie shekh elm nakupenda kwa ajili ya Allah namwomba Allah japo siku moja akukutanishe na ww nikuone kwa macho yanqu live

  • @mamkubwaashura8096
    @mamkubwaashura8096 Жыл бұрын

    Shukran Allah akujaze kheir

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 Жыл бұрын

    MashaaAllah kabisa!!!

  • @nasrahassan7272
    @nasrahassan7272 Жыл бұрын

    mashaalah

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 Жыл бұрын

    waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Shukran jazakaAllah kheir. sheikh walid .

  • @ashakiumbe4885
    @ashakiumbe4885 Жыл бұрын

    Mashallah Allah akupe umri mrefu uzid kuwanufaisha watu kwa ilmu

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Жыл бұрын

    Mashaallah allah akujaze kher sheikh wetu

  • @mohamedmzaka6946
    @mohamedmzaka6946 Жыл бұрын

    MashaAllah .

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 Жыл бұрын

    Allahuma swali alaa nabiina muhammad

  • @jeffkakozi1395
    @jeffkakozi1395 Жыл бұрын

    Maa Sha ALLAH sheikh wangu kipenzi... ALLAH Akupe Umri Mrefu wa Manufaa Aamin...

  • @ramadhanisalum2271
    @ramadhanisalum2271 Жыл бұрын

    Allah atuongoze sote mimi na wewe atufishe katika sunnah akuzidishie elimu ya haq na yenye khery kwako akuepushe na elimu ya mchongo, bainisha haq na batili kwa kutaraji malipo kutoka kwa Allah sio vinginevyo:

  • @aisajs8303
    @aisajs8303 Жыл бұрын

    Asante sana sheikh Walid nakuombea afya njema na umri mrefu

  • @ffed1876
    @ffed1876 Жыл бұрын

    Shukran sheikh Mola akujaze kheri nyingi na barka Amin na inshaAllah tutayafanyia kazi 😊

  • @sadaralmas4185
    @sadaralmas4185 Жыл бұрын

    Maashaallaah.alwalid,unaeleweka ssana uktoa maisha.ALLAH aklinde nachchote kbaya,naatupe pepo sote

  • @mustafarashid2484

    @mustafarashid2484

    Жыл бұрын

    Amiin🤲

  • @nishafernandes8798
    @nishafernandes8798 Жыл бұрын

    Mashallah ukumbusho mzuri, Mmungu akulipe mazùri inshallah.

  • @jamilanassor1135
    @jamilanassor1135 Жыл бұрын

    MashaAllah, Allah akulipe kheir Sheikh wetu.

  • @rahmajuma6825
    @rahmajuma6825 Жыл бұрын

    Prof Walid from now I call Allah hakuifadh na hakupe umri mrefu tupate dawa ya nafsi inshaAllah

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын

    Kurogeka si kwa kuwa una kasoro ni mapenzi ya mungu kuwapotosha zaidi warogaji

  • @afric01
    @afric01 Жыл бұрын

    Aslm alkm ww.... Masha Allah 🌹. Ameen ya Rabbal alamin 🙏

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Жыл бұрын

    JE رسول الله صلى الله عليه وسلم ALIPOTOGWA HAKUWA NA HAYO MAMBO MATANO?

  • @rahmaseleiman1545
    @rahmaseleiman1545 Жыл бұрын

    Assalam alayqum. SHEKH wetu walid alhad Mimi Ninauliza suali MTU kwaiyo alirogeka VIP na alikua na mambo yote hayo matano. Na twambiwa kwa mtume alirogwa?

  • @ikabako2454

    @ikabako2454

    Жыл бұрын

    Ulikuwa ni mtihani kwake ili tupate salama sisi. Ndio tukapata aya zile

  • @dulaabdallah6127

    @dulaabdallah6127

    Жыл бұрын

    Ilikuwa katika Hali ya kupeana mafunzo kwa mfano ulio hai. Mungu alitaka limfike Hilo ndio ipatikane sababu ya kuelezea kinga na kujitibia kutokana na Hilo. Mungu anao uwexo wa kumkinga mtume Kwa Hilo, ila alipenda limfikie ili yapatikane mafunzo

  • @hafidhsalim4039
    @hafidhsalim4039 Жыл бұрын

    tumefundishwa kujipamba na sifa njema,tufanye mema na kuacha mabaya,Mtume aliletwa awe kiigizo chetu ndio maana Allah amesema katika Qur an Nimewaletea mtume anayetokana na nyinyi ili wasitokee watu wakaongea kama makafiri wa nyuma,walimbeza kwamba mtume gani anakwenda sokoni kwanini asingekuwa malaika ,hikma yake ili kiigizo chetu mtume tupate kumuiga lazima tuishi nawe tule nae,tufanye mambo mengine ili tukimuiga tupate role model wa kweli ndio maana mtume aliumwa kama sisi ,alisikia njaa,alichoka lakini vipi alizishinda changamoto za kidunia na kufaulu kiuchamungu ndio tunapopupia waumini kumfata yeye ,kwahiyo hata yeye alirogwa ili kutufundisha Kwamba mambo hayo yapo na vipi tufanye,Allah ndio mjuzi zaidi

  • @doreen432

    @doreen432

    Жыл бұрын

    Jaman

Келесі