Sema ukweli hata kama utakuangamiza - Chunga Sana ndimi - haki na batil - Sheikh Walid Alhad
Ойын-сауық
Sema ukweli hata kama utakuangamiza - Chunga Sana ndimi - haki na batil - Sheikh Walid Alhad
Sheikh Walid akifundisha Darsa la Tafsiri ya Quraan Ramadhani Mwaka 2020 Linalo fanyika Msikiti wa Kichangani
Usisahau ku subscribe na kutu follow katika page zetu za insta na Facebook shukraan
Video by muba Production Magomeni
Subscribe
Comment
Like
And share
Thanks
Пікірлер: 25
Jazakallah kheir sheikh walid
Allah akupe umri mrefu uweneze daawa nasi tupate barka na Siri za mashekhe zetu
One day yesss Mashallah Jazakallah
Don't forget to Subscribe thanks
Shukran sheikhe unatujazaa Imani wallah daa Asante sana
Sema kweli japo unauma... Kwa kweli sheikh
Mashalaah
Napenda sana mawaidha yako
Allahu Akbar.....ulimi Na tupu ...
Mashallah Allah atusamehe
Maa shaa Allah
jazaqa llah li kheir
جزآك ألله خير يا شيخ
Shukraan sana sheikh
Allah akujaze kheri sheikh wangu nakupenda Kwa ajili ya alah na Wazazi wako Mungu awajaze kheri
Mashallah sheikh ya n mzuri kusema ukweli ila kwa wenzetu wengini uki sema nao ukweli zaidi basi unattended
mashallah
Haitawezekana kuangamia kwa kusema UKWELI. Ahadi ya Mtume Muhammad SAW azipetei bure. Mtume Muhammad SAW ameahidi "Sema UKWELI hata kama unadhani UTAKUANGAMIZA NA KUKUUMIZA badala yake UTAKUOKOA na usiseme UONGO hata kama unadhani UTAKUOKOA NA KUKUNUFAISHA kinyume yake UTAKUUMIZA NA KUKUANGAMIZA"
Baba yako Mungu amlaze pahala pema peponi. Lakini hapo alipokupa adhabu hakutumia busara hata kidogo.
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
Sheikh haji baba yake bado yupo hai
@hajihassan5433
4 жыл бұрын
@@DarsaTV. Wako pamoja huko nadhani baba yangu ameshatangulia mbele ya HAKI tokea 21/06/1992.
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
Innalillahi wa innaa ilayhi raajiun
@maftahinvestment5127
3 жыл бұрын
Hivi sheikh wangu mtu anaweza kua swiddiqa baada yakua muongo? endapo atajirekibisha?
@arqamibnarqam.7185
3 жыл бұрын
@@maftahinvestment5127 naam