Allah atujalie kujua na kuipenda Dini yetu siku zote
@hanaalsiabi2821 Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa uzidi kutuelimisha na akupe mwisho uliokuwa mwema tunakupenda Kwa ajili ya Allah
@agentmsami5303 Жыл бұрын
Allah Akuzidishie killa la kheri na akuepushie killa la shari sheikh wetu Amiin
@thelion8223 Жыл бұрын
ALLAH amhifadhi huyo sheikh. Napenda mawaidha yake sana. (Kaka yako kutoka Kenya.)
@user-vq2du7dv7r10 ай бұрын
Mwenyezi Mungu naakupe umri mrefu wenyeheri nawe shekh Othman tuzidi kufaidika ishaallwah
@kassimbeka1441 Жыл бұрын
Barak Allah fiikuum Allah akuzidishie kwa sababu unatupa vitu mubashara....tunakupenda kwa ajili ya Allah,Allah akupe mwisho mwema na sote waislamu tukayaone matunda ya kumcha Allah siku ya Qiyama.
@zubedamujibu-vb3mw Жыл бұрын
Mashaaallah jamani Allah akuzidishie natamani kwa uwezo wa Allah anipe mume na kizazi chenye sifa za daaa'i kama wewe inshaallah
@Lassana755
Жыл бұрын
Njoo tuyajenge basi kwa mapenzi ya Mungu
@saudahassan6667 Жыл бұрын
Allah akujaalie kher maalim othuman
@faizanassor6336 Жыл бұрын
MASHA ALLAH shukrain sheikh wetu ALLAH akujalie afya njema akuifaidhi ALHMDULLAH tunafaidika kwa kutufuza kisakizuri sn😄
@meshakirahman7819 Жыл бұрын
Mashallah Allah akujaze kheir sheikh pamoja na kizazi chako😊
@newsuprisetv9286 Жыл бұрын
ALLAH akuzidishie kwa kila lilojema kwako , hakika wewe umefanya wema kwetu kwaiyo naona wema wako haujautupa , kweli wewe ni mwema pia . ALLAH akufanyie wepesi katika majambo yako Inshallah.
@maryali212210 ай бұрын
Subuhana Allah nikweli maneno yakeli mwanagu aliangania mke asli na mwsna wakisilam mpka na hofoa watoto wske naomba dua yako lnshallah
@yusuphyakub7464 Жыл бұрын
Mashallah napenda kukusikiliza Maalim wetu
@msongera5823 Жыл бұрын
Mungu akupe afya tele shekh Othman
@AbdallahIkondo11 ай бұрын
Dàah shuqran sana sheikh wetu allah akupe afy njemaaaaaa
@nurubakari7394 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie shekhe wetu
@Aminamuhamed Жыл бұрын
Subhanallah LLAH ALLAH akbaru ALLAH akbaru ALLAH akbaru
@user-mc7ri6np7r8 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh
@ayinkamiyeumulisa807010 ай бұрын
Mwenyezi mungu Akudishiye umuri murefu
@hammytototundu9292 Жыл бұрын
Subhana Allah
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah Tunakupenda sana 🙏
@nasradada705010 ай бұрын
ماشاء الله
@alimanshimirimana1706 Жыл бұрын
Mashaallah Allah azidi kukupa umri mref cheikh inshaallah
@sabrinayounisaden7238 Жыл бұрын
JazaakAllah khairan shiekh
@bintsaidi9600 Жыл бұрын
Mashaa Allah tabarakallah
@alifaki465110 ай бұрын
Mashallah
@user-vp6zh1sj5n Жыл бұрын
Assalamo aleikum warramatulai wabarracato Nakupata sana o jumbe wako wa Mungo Mashala Mungo akuzidihie npaka kifo
@user-vp6zh1sj5n
Жыл бұрын
Mimi Issufo zuber Issa Mecula Niassa Mozabique Assante🎉🕋🕋🕋
@AishaSudein-sc9hw Жыл бұрын
Allah akujaaliye kheir nyingi
@athmaniathmanisimba49764 ай бұрын
Allhamdulilah baraka. LLh. fka
@athmaniathmanisimba4976
4 ай бұрын
Hap kwenye. madili Nihatari twaona. Hâta kwenye watoto wadog hawawapishi siti wakae nmsb
@Lassana755 Жыл бұрын
Yaa Rabi tujalie wake wema. Ameen
@ftimaramadan4748 Жыл бұрын
Mashallah ❤
@nanjelocompany2484 Жыл бұрын
Yeah.........🤗
@fatuma5208 Жыл бұрын
MASHALLAH
@zubedamujibu-vb3mw
Жыл бұрын
Assalaam alayki warahmatullahi wabarakaatuhu
@umazza2274 Жыл бұрын
ما شاء الله تبارك الرحمان
@omaraliy6144 Жыл бұрын
😅😅😅bwan hrus akil inkuw haipooo
@shinayzashiraaz4588
Жыл бұрын
😂😂😂😂subhanallah
@user-vz8yc9vh6g10 ай бұрын
P
@allyjuma336 Жыл бұрын
Maashaallah ❤
@Alfalife-jp4rt Жыл бұрын
A
@lulurubby2235 Жыл бұрын
Kuna watu walitoboa pua wakiwa baleghe na sasa wachamungu kwahiyo wasipewe wake sababu ya tatoo na kutoboa pua ,shekhe wanaume wengi wa kiislam wanaoa wengine hawana hata kazi wala biashara ndogo sasa nani atamuhudumia huyo mke ibada na ucha mungu? Ndoa za michango maisha yakianza mtihani hapana kwakweli, waarabu wanaishi kiukoo wanakula chungu kimoja sisi waafrica ,yaani mimi kaka zangu waoe alafu uwe mzigo wangu mimi kweli hiyo😊
@badrahibrahim6867
Жыл бұрын
) pà😉😉😉 😆😆
@yamdinhopapaa4144
Жыл бұрын
Anachomaanisha shekh kwama vijana wenye hali hizo ni wale wasio jitambua ktk dini lkn ukimrudia Allah hiyo inapendeza zaidi
@aliyussuf8068
Жыл бұрын
umemuelewa lakini huyu shekh wewe hebu sikiliza tena
@bas2823 Жыл бұрын
NOW U KNOW HOW TO TALK THE TRUTH BETWEEN MALES N FEMALES MANENO MEMA HUMTOWA NYOKA PANGONI! TRY GIVE SPEECH IN CORRECTS WAY BETWEEN MALES N FEMALS TO BE IN ONE TEAM NOT TO DESTROY THEM! TRY TO KEEP THE MARRIED SAFE BETWEEN MAN LADY👌! INNAMAA AL AMMAL BI NIYYATTUKUM!👌
@bas2823 Жыл бұрын
Ukitaka kuowa na kuolewa pia! Sio kuowa tuu na kuolewa pia! Need to be both side! Sio daima iwe kuowa only! Some man can be good n some can be bad! As the females also! Not in everything frmales only! Ndio wabaya! So many males are the trouble makes to the females! Both of makhluku ALLAH! WANA BAD ISSUES N GOOD ISSUES! U MA SHEILH WA HUKO AFRIKA DAIMA MMAPENDELEA UPANDE WENU NYIE MALES! MEANS UNATOWA KHUTUBA ZA UBAGUZI! HATA ALLAH! HAYUKO RADHI NA WEYE! DO U KNOW FEMALES ARE THEIR OWN MOTHERS! U DONT KNOW THAT!?? MAMA BORA! GANI!? ZAIDI! YA MAMA MZAZI ALIEWAZAA WATOTO WAKO! WU BAAS! HAMNA MAMA ATAKUWA MWEMA! ZAIDI YA MAMA YAKE MTOTO ALIEMZAA KUTOKA TUMBONI MWAKE! U CALL YR SELF SHEIKH U!? U BETTER GO N STUDY DEEN VERY WELL! BEFORE U GIVE THOSE SPEECH! OKAY! AYYAM ZAMANI PPL WERE NOT TOO BUSY TO LOOK FOR FITURES LIFE LIKE NOW! LIFE WERE EASY TO LIVE NOT LIKE NOW! LIFE IS VERY HARD NOW! DONT COMPERE YESTERDAY NOT TODAY! ABU WHO! OR WHO!? TO COMPERE TO OTHERS OKAY! GOD! MADE DIFFERENT HUMANS NOT ALL THE SAME! OK!
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Sheikh mbona anawasema wanaume katika Khutba? umefunga?
@hassangereza4365
Жыл бұрын
Khutba nzuri, jazakallah kheir sheikh
@salimmachila5736
Жыл бұрын
Ela umesikiza khutba ama umesoma topic tu😅😅😅
@ibrahimkhamis471
Жыл бұрын
Hujaskiza alichoongea shekh umeandika ujumbe mrefu kizungu kibaya na hakuna maana yyte kwenye comment yako rudi usikie shekh kaongelea nini ndio umwambie akasome elimu ndogo alo nayo shekh inatupa mafunzo na uelewa wa maisha kila tunapomskiza acha chuki
@salimmachila5736
Жыл бұрын
@@ibrahimkhamis471 mm namshangaA huyo jamaa na vile khutba yamtetea mwanamke..awachekukurupuka
@bas2823 Жыл бұрын
U call yr self! Sheikh u!? Go study Deen not to talk unafiq u jammaa ppl to listen yr unafik! ALLAH MA YESMAH LAK! ALLAH HAYUKO RADHI NA KHUTTUBA ZAKO AT ALL!😡U😡! MAFROUDH SERIKALI YA HUKO ISIKURUHUSU WEYE KIKUSANYA WATU IKAWATOLEYA HUTUBA ZA KINAFIK! RESPECT YR GOD! N FEMALES YR MAMA IS A FEMALE ALSO! OKAY! BLAA BLAA TOO MUCH 😡U😡 MA YEJUZ! PLEASE
@agentmsami5303
Жыл бұрын
WAALYKUM
@ibrahimkhamis471
Жыл бұрын
Kajifunze kingereza kwanza ndio uje uandike manake hujui lolote ndio mana ata shekh ameongea kiswahili pia hujamuelewa shekh amegusia jinsia zote mbili kama umemsikza vzur mpka mwsho ww umesoma maudhui ukaandika comment....Dont be stupid...think before you talk
@iqramaxamed474
Жыл бұрын
Huyu vipi jmni na kingereza chake😂😂😂😂
@abdull-majidali6320
Жыл бұрын
Jamani baadhi ya wakati ni kheri hivi watu kuandika au kusema. Kwani Kwa kuandika kwao au kusema kwao ndio kunatuwezesha sisi wengine kutambua ujinga walionao. Huyu mwenzetu amekuja kutuonesha ujinga alionao
Пікірлер: 68
Allahumma bariki sheikh Othman....wallah Allah amekujaalia mdomo mtamu sn...waumini hatuchoki kukusikiliza....
Yaaa Rabbi tujalie waume wakheir nasiye tuwe wakewema🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@abdullahiahmed5247
Жыл бұрын
Ameen
@edimchubila
Жыл бұрын
Amiiin lnsha allah
@shinayzashiraaz4588
Жыл бұрын
Ameeen
Allah atujalie kujua na kuipenda Dini yetu siku zote
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa uzidi kutuelimisha na akupe mwisho uliokuwa mwema tunakupenda Kwa ajili ya Allah
Allah Akuzidishie killa la kheri na akuepushie killa la shari sheikh wetu Amiin
ALLAH amhifadhi huyo sheikh. Napenda mawaidha yake sana. (Kaka yako kutoka Kenya.)
Mwenyezi Mungu naakupe umri mrefu wenyeheri nawe shekh Othman tuzidi kufaidika ishaallwah
Barak Allah fiikuum Allah akuzidishie kwa sababu unatupa vitu mubashara....tunakupenda kwa ajili ya Allah,Allah akupe mwisho mwema na sote waislamu tukayaone matunda ya kumcha Allah siku ya Qiyama.
Mashaaallah jamani Allah akuzidishie natamani kwa uwezo wa Allah anipe mume na kizazi chenye sifa za daaa'i kama wewe inshaallah
@Lassana755
Жыл бұрын
Njoo tuyajenge basi kwa mapenzi ya Mungu
Allah akujaalie kher maalim othuman
MASHA ALLAH shukrain sheikh wetu ALLAH akujalie afya njema akuifaidhi ALHMDULLAH tunafaidika kwa kutufuza kisakizuri sn😄
Mashallah Allah akujaze kheir sheikh pamoja na kizazi chako😊
ALLAH akuzidishie kwa kila lilojema kwako , hakika wewe umefanya wema kwetu kwaiyo naona wema wako haujautupa , kweli wewe ni mwema pia . ALLAH akufanyie wepesi katika majambo yako Inshallah.
Subuhana Allah nikweli maneno yakeli mwanagu aliangania mke asli na mwsna wakisilam mpka na hofoa watoto wske naomba dua yako lnshallah
Mashallah napenda kukusikiliza Maalim wetu
Mungu akupe afya tele shekh Othman
Dàah shuqran sana sheikh wetu allah akupe afy njemaaaaaa
Mungu akuzidishie shekhe wetu
Subhanallah LLAH ALLAH akbaru ALLAH akbaru ALLAH akbaru
Allah akuhifadhi sheikh
Mwenyezi mungu Akudishiye umuri murefu
Subhana Allah
Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah Tunakupenda sana 🙏
ماشاء الله
Mashaallah Allah azidi kukupa umri mref cheikh inshaallah
JazaakAllah khairan shiekh
Mashaa Allah tabarakallah
Mashallah
Assalamo aleikum warramatulai wabarracato Nakupata sana o jumbe wako wa Mungo Mashala Mungo akuzidihie npaka kifo
@user-vp6zh1sj5n
Жыл бұрын
Mimi Issufo zuber Issa Mecula Niassa Mozabique Assante🎉🕋🕋🕋
Allah akujaaliye kheir nyingi
Allhamdulilah baraka. LLh. fka
@athmaniathmanisimba4976
4 ай бұрын
Hap kwenye. madili Nihatari twaona. Hâta kwenye watoto wadog hawawapishi siti wakae nmsb
Yaa Rabi tujalie wake wema. Ameen
Mashallah ❤
Yeah.........🤗
MASHALLAH
@zubedamujibu-vb3mw
Жыл бұрын
Assalaam alayki warahmatullahi wabarakaatuhu
ما شاء الله تبارك الرحمان
😅😅😅bwan hrus akil inkuw haipooo
@shinayzashiraaz4588
Жыл бұрын
😂😂😂😂subhanallah
P
Maashaallah ❤
A
Kuna watu walitoboa pua wakiwa baleghe na sasa wachamungu kwahiyo wasipewe wake sababu ya tatoo na kutoboa pua ,shekhe wanaume wengi wa kiislam wanaoa wengine hawana hata kazi wala biashara ndogo sasa nani atamuhudumia huyo mke ibada na ucha mungu? Ndoa za michango maisha yakianza mtihani hapana kwakweli, waarabu wanaishi kiukoo wanakula chungu kimoja sisi waafrica ,yaani mimi kaka zangu waoe alafu uwe mzigo wangu mimi kweli hiyo😊
@badrahibrahim6867
Жыл бұрын
) pà😉😉😉 😆😆
@yamdinhopapaa4144
Жыл бұрын
Anachomaanisha shekh kwama vijana wenye hali hizo ni wale wasio jitambua ktk dini lkn ukimrudia Allah hiyo inapendeza zaidi
@aliyussuf8068
Жыл бұрын
umemuelewa lakini huyu shekh wewe hebu sikiliza tena
NOW U KNOW HOW TO TALK THE TRUTH BETWEEN MALES N FEMALES MANENO MEMA HUMTOWA NYOKA PANGONI! TRY GIVE SPEECH IN CORRECTS WAY BETWEEN MALES N FEMALS TO BE IN ONE TEAM NOT TO DESTROY THEM! TRY TO KEEP THE MARRIED SAFE BETWEEN MAN LADY👌! INNAMAA AL AMMAL BI NIYYATTUKUM!👌
Ukitaka kuowa na kuolewa pia! Sio kuowa tuu na kuolewa pia! Need to be both side! Sio daima iwe kuowa only! Some man can be good n some can be bad! As the females also! Not in everything frmales only! Ndio wabaya! So many males are the trouble makes to the females! Both of makhluku ALLAH! WANA BAD ISSUES N GOOD ISSUES! U MA SHEILH WA HUKO AFRIKA DAIMA MMAPENDELEA UPANDE WENU NYIE MALES! MEANS UNATOWA KHUTUBA ZA UBAGUZI! HATA ALLAH! HAYUKO RADHI NA WEYE! DO U KNOW FEMALES ARE THEIR OWN MOTHERS! U DONT KNOW THAT!?? MAMA BORA! GANI!? ZAIDI! YA MAMA MZAZI ALIEWAZAA WATOTO WAKO! WU BAAS! HAMNA MAMA ATAKUWA MWEMA! ZAIDI YA MAMA YAKE MTOTO ALIEMZAA KUTOKA TUMBONI MWAKE! U CALL YR SELF SHEIKH U!? U BETTER GO N STUDY DEEN VERY WELL! BEFORE U GIVE THOSE SPEECH! OKAY! AYYAM ZAMANI PPL WERE NOT TOO BUSY TO LOOK FOR FITURES LIFE LIKE NOW! LIFE WERE EASY TO LIVE NOT LIKE NOW! LIFE IS VERY HARD NOW! DONT COMPERE YESTERDAY NOT TODAY! ABU WHO! OR WHO!? TO COMPERE TO OTHERS OKAY! GOD! MADE DIFFERENT HUMANS NOT ALL THE SAME! OK!
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Sheikh mbona anawasema wanaume katika Khutba? umefunga?
@hassangereza4365
Жыл бұрын
Khutba nzuri, jazakallah kheir sheikh
@salimmachila5736
Жыл бұрын
Ela umesikiza khutba ama umesoma topic tu😅😅😅
@ibrahimkhamis471
Жыл бұрын
Hujaskiza alichoongea shekh umeandika ujumbe mrefu kizungu kibaya na hakuna maana yyte kwenye comment yako rudi usikie shekh kaongelea nini ndio umwambie akasome elimu ndogo alo nayo shekh inatupa mafunzo na uelewa wa maisha kila tunapomskiza acha chuki
@salimmachila5736
Жыл бұрын
@@ibrahimkhamis471 mm namshangaA huyo jamaa na vile khutba yamtetea mwanamke..awachekukurupuka
U call yr self! Sheikh u!? Go study Deen not to talk unafiq u jammaa ppl to listen yr unafik! ALLAH MA YESMAH LAK! ALLAH HAYUKO RADHI NA KHUTTUBA ZAKO AT ALL!😡U😡! MAFROUDH SERIKALI YA HUKO ISIKURUHUSU WEYE KIKUSANYA WATU IKAWATOLEYA HUTUBA ZA KINAFIK! RESPECT YR GOD! N FEMALES YR MAMA IS A FEMALE ALSO! OKAY! BLAA BLAA TOO MUCH 😡U😡 MA YEJUZ! PLEASE
@agentmsami5303
Жыл бұрын
WAALYKUM
@ibrahimkhamis471
Жыл бұрын
Kajifunze kingereza kwanza ndio uje uandike manake hujui lolote ndio mana ata shekh ameongea kiswahili pia hujamuelewa shekh amegusia jinsia zote mbili kama umemsikza vzur mpka mwsho ww umesoma maudhui ukaandika comment....Dont be stupid...think before you talk
@iqramaxamed474
Жыл бұрын
Huyu vipi jmni na kingereza chake😂😂😂😂
@abdull-majidali6320
Жыл бұрын
Jamani baadhi ya wakati ni kheri hivi watu kuandika au kusema. Kwani Kwa kuandika kwao au kusema kwao ndio kunatuwezesha sisi wengine kutambua ujinga walionao. Huyu mwenzetu amekuja kutuonesha ujinga alionao
@bakarkhamis6423
Жыл бұрын
Hukuelewk mnafik n ww