UKIOTA NDOTO HIZI UTAKUA TAJIRI BI IDHNI LLAHI / Imamu Mponda

hizi ni ndoto ukiota basi utakuwa tajiri au utapata mali nyingi katika maisha yako bi idhni llahi

Пікірлер: 43

  • @destineluna5768
    @destineluna5768Ай бұрын

    Mungu akupe kila lakheri

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu74852 ай бұрын

    Alhamdulah Leo nmeota ndizi nakula 🔥🔥🔥🤝🤝

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h Жыл бұрын

    Alhamdulillah nimeota nakula ndizi zakuiva alhamdulillah

  • @hammytototundu9292
    @hammytototundu9292 Жыл бұрын

    Alhamdulilah

  • @AhmedMohamed-so7db
    @AhmedMohamed-so7db2 ай бұрын

    Asalam alykm warhama tullah wabarakatu

  • @angle3600
    @angle3600 Жыл бұрын

    Mashalllah,mimi niliota nimepanda farasi ,pia nala ndizi,

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    Жыл бұрын

    Maa shaa llah al hamdu li llahi

  • @NellyKadenyi-qc3em
    @NellyKadenyi-qc3em2 ай бұрын

    Kuota ndizi nino

  • @carolinafrenkkisingi
    @carolinafrenkkisingi Жыл бұрын

    She salam allium mimi Caroline nimeota mama kazaa mtoto mkumbwa anakichwa kikubwa mama baada ya kuzaa akatoka damu kama maji

  • @user-oy8gk5fj2e
    @user-oy8gk5fj2eАй бұрын

    Mm ninaota sana ndizi na mihongo na matunda maana yake nn

  • @AhmedMohamed-so7db
    @AhmedMohamed-so7db2 ай бұрын

    Leo mm nimeota nang'oa uyoga nn maana yake

  • @yusuftabu8307
    @yusuftabu8307 Жыл бұрын

    Alhamdul

  • @InnatyYussuf-qz7rk

    @InnatyYussuf-qz7rk

    Жыл бұрын

    Mashallah

  • @tumusabeamina8077
    @tumusabeamina8077 Жыл бұрын

    Kuwota unakula pamoja na raisi sahani pamoja

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 Жыл бұрын

    Msshallaha

  • @Aisha-cu4wh
    @Aisha-cu4wh10 ай бұрын

    Nimeota nakula ndizi za kuiva 🙏🙏

  • @user-og2yr5sk3l
    @user-og2yr5sk3l11 ай бұрын

    Nmeota hela nyingi nnaziwona cini ziko sambamba mimi nilkuwa naika mbele ya izo hela nkamwambiya mkumbwa angu mwanmuke ansadiye na mufagiyo kzikusanya nokuomba unambiye Kaka angu

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o Жыл бұрын

    Mi nimeota nakimbia sanaa kufika mbele nikakuta mabunda ya pesa nilipotaka kuchukuwa kutakubwaa likajifungaa

  • @AnnaMkasa
    @AnnaMkasaАй бұрын

    Mtoto wangu wa kike kaota kabat zur limejaa vitabu va kiislaam nipo mdan kwake vitabu vizur vinanga'aa alafu anaday mimi nilivaa kijola cha blue bahar nahuku nikiwa na furaha ila mama yake mdogo alikuja ila wamegombana nikwamba hatupo nae poa ila sikuhiyo alikuja kwetu kama kuomba msaadavile.

  • @user-js5ol3tz3v
    @user-js5ol3tz3v Жыл бұрын

    Nimeota napewa ndizi mbichi na jirani yangu wa kiume huku

  • @brilliant644
    @brilliant644 Жыл бұрын

    Aslamalyequm, mimi niliota navalishwa Pete na nyoka tena nyoka wa kike saa tano asubuhi😢

  • @user-js5ol3tz3v
    @user-js5ol3tz3v Жыл бұрын

    Pia niliota mume wangu anapiga popo kwa mti

  • @user-og2yr5sk3l
    @user-og2yr5sk3l11 ай бұрын

    Mimi nilkuwa naika ku kakiti mbele ya izo hela

  • @laylatabdallah2796
    @laylatabdallah2796Ай бұрын

    Kuota umewaona walimu wko wa school ina maana gn ilhal ww ushamaliza skuli miaka mingi

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    Ай бұрын

    Nitafute 0652286323 nikwambia

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 Жыл бұрын

    mimi niliota farasi kisha na mtu kavaa joho anapaa

  • @user-io3fn3tp9y
    @user-io3fn3tp9y Жыл бұрын

    Asalamu Aleikumu sheikh naweza pata number Yako ya simu.

  • @AdamBwambale
    @AdamBwambale10 ай бұрын

    shukrani Shehk tunamba namba ya wsup ili kuwasiliana na pia namba ya kutumia sadaka inshaalla

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    10 ай бұрын

    No ya wsup +255 652 286 323 pia na ya sadaka hiyo hiyo

  • @judithfred2366
    @judithfred2366 Жыл бұрын

    ukiota unafanya mapenz na mjomba wako kisha anakupa bagi ni nin

  • @AnnaMkasa
    @AnnaMkasaАй бұрын

    Mimi naotaga mtoto wangu marehemu ananijia ila huwa amejinyea so ananiamsha nikamsafishe inamaana gan? Na ni mara mbili

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    Ай бұрын

    nitafute nikwambie 0652286323

  • @AnnaMkasa

    @AnnaMkasa

    28 күн бұрын

    @@mpondamedia2416 okay

  • @judithfred2366
    @judithfred2366 Жыл бұрын

    ukiota unapita .njian kuna mafurush ya uchafu

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    Жыл бұрын

    Hiyo ni ishara ya kukutana na matatizo mengi katika kutafuta mafanikio ya maisha yako wa llahu a’lam

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    ​@@mpondamedia2416 kuota ndizi mbichi iliyopikwa maana yake nini?

  • @Salma-jx2tq
    @Salma-jx2tq Жыл бұрын

    shekh me nimekuwa nikiota mara kwa mara nipo shule na nimeshamaliza na wakati mwingine naota nipo nafanya mitihani sijajua inamaana gani hii

  • @miishhassn

    @miishhassn

    Жыл бұрын

    Mi niliulizaga nikaambiwa inamaanisha mambo yako yatarud nyuma😢

  • @laylatabdallah2796

    @laylatabdallah2796

    6 ай бұрын

    Unarudishwa nyuma kimaendeleo

  • @laylatabdallah2796

    @laylatabdallah2796

    6 ай бұрын

    Zaid allah ndo mjuzi

  • @user-og2yr5sk3l
    @user-og2yr5sk3l11 ай бұрын

    Mimi nilkuwa naika ku kakiti mbele ya izo hela

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 Жыл бұрын

    mimi niliota farasi kisha na mtu kavaa joho anapaa

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 Жыл бұрын

    mimi niliota farasi kisha na mtu kavaa joho anapaa

Келесі