UKIMBIZE UMASIKINI MIKONONI MWAKO TAJIRIKA KWA NJIA NYINGI KUPATA REHEMA ZA ALLAH

Пікірлер: 49

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw8 ай бұрын

    Shukran shekh Michael. Mwenyezi Mungu akulipe Kheir

  • @hzstorm.4991
    @hzstorm.49918 ай бұрын

    Sheikh ALLAH akupe ayfa na umri mrefu

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul96528 ай бұрын

    Subhanaallah Astahfirullah sheikh Othman Asante sana akupe umri mwezi Mungu ili twendelee kujifunza mambo mema kaa haya Asante sana 🤲🤲📿📿🛡️

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan61708 ай бұрын

    Alhamdulilahi Shukran sana Shekh wangu Allah akuhifadhi Akupe umri mrefu uzidi kutupa Elimu zaidi tuondokane na mitihani hihi ya hasad ndio mingi sana Tena hujui maana anaejua mwenye Elimu nayo tuna mshukuru Allah Kwa kutukutanisha Nawe

  • @hadijanuhu4238
    @hadijanuhu42388 ай бұрын

    Allah akupe umri mrefu wenye kher ,afya njema pia tuxidi kufaid elim yako ,wewe sio mchoyo wa ilim ubarikiwe sana

  • @ahmedbashir9594
    @ahmedbashir95948 ай бұрын

    Shukran ustadh ukishaoga saa hiyo hiyo waweza kutawadha ama mpaka mda

  • @aminasuphian7685
    @aminasuphian76858 ай бұрын

    Shehe mungu amupe maisha marefu uzidi kutufundisha

  • @rehemashaaban1416
    @rehemashaaban14168 ай бұрын

    Subuhana Allah wabihamdihi Adada khalkihi wazinata Arshihi Wamidadakalimatihi .Mungu akubarik akupe maisha marefu

  • @Ostadhatnasma
    @Ostadhatnasma8 ай бұрын

    Alhamdulillah Shukran sana Sh.Othman Allah akulipe kher na akupe umri mrefu tudizi kupata elimu InshaAllah

  • @salmaalkyumi6030

    @salmaalkyumi6030

    8 ай бұрын

    Ameen ya Rabby 🤲

  • @user-ek7bx6sk6f
    @user-ek7bx6sk6f4 ай бұрын

    Allah akuzidishiye kila la kheri

  • @Aisha-bg3gv
    @Aisha-bg3gv7 ай бұрын

    Allah akuĺipe shekh Othiman

  • @rallyscosmeticandgasaccess4839
    @rallyscosmeticandgasaccess48398 ай бұрын

    MA ASHA ALLAH SHEIKH ,MAY THE ALMIGHTY OUR LIVING ALLAH KEEP YOU SAFE IN SHA ALLAH 🤲♥️🤲🌹♥️🤲🌹♥️🤲🌹♥️🤲🌹♥️🤲🌹♥️AMEEN

  • @hawahamza1085
    @hawahamza10855 ай бұрын

    Maashallah Allah akulipe kheri .

  • @user-xo3ik6dc9j
    @user-xo3ik6dc9j8 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-yx6bg1gq3f
    @user-yx6bg1gq3f8 ай бұрын

    Mashaalh

  • @Razeqa
    @Razeqa4 ай бұрын

    Jakaallah heri inshaallah

  • @naimajuma3577
    @naimajuma35777 ай бұрын

    Shukran shekh Othman Jazakaah Allahu akher Amin

  • @mikesonkoangello
    @mikesonkoangello8 ай бұрын

    Jazāk Allāhu Khayran

  • @SalimaNzeyimana
    @SalimaNzeyimana7 ай бұрын

    Shkrn sheikh wetu Allah akujaliye

  • @saumumbaraka4912
    @saumumbaraka49127 ай бұрын

    Allah akupe umri mrefu inshaallah naakuzidishie ilimu inshaallah

  • @ukhtyafsaty
    @ukhtyafsaty8 ай бұрын

    Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh sheikh Dalili hizo zakimajini mbona zipo sana tiba yake niipi? Allah awabariki n'a awajaze kheri

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh5408 ай бұрын

    Inshaallah

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura72688 ай бұрын

    Allah Akbar Allah Akbar, Allah akubariki na atuongoze kwa huruma wake

  • @shufaa8921
    @shufaa89218 ай бұрын

    Shukurani sana mungu akulipe jee kama bafu ime ingana nacho naweza Koga humo

  • @broumaiyyah8018
    @broumaiyyah80187 ай бұрын

    Mashallah tabarakallahu fikii

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed15896 ай бұрын

    Waislamu tumrudieni allah tumezidi maasi na uzinifu na dhulma tulete istighfara kwa wingi tufanye kazi kwa bidii tumtangulize allah.allah ataleta kula kitu.vinginevo endeleeni kudanganywa tu kama wakristo pokea gari pokea nyumba hamna kitu.

  • @malongosalim6826
    @malongosalim68268 ай бұрын

    Asnte Ustadhi Allah akuzidishie

  • @Razeqa
    @Razeqa4 ай бұрын

    Assalamu alaikum shekh michae

  • @user-pv1uh8uo1z
    @user-pv1uh8uo1z7 ай бұрын

    Shekh wangu Nina shida

  • @leilahassan6731

    @leilahassan6731

    6 ай бұрын

    Allah akuondoshee na akidhi kila mahitaji yako Amin Amin Amin

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed7 ай бұрын

    Allahuma Amiina

  • @mohamedimuhango4440
    @mohamedimuhango44408 ай бұрын

    Mashaallah

  • @danielshilisia504
    @danielshilisia5047 ай бұрын

    MashaAllah

  • @hadijagere
    @hadijagere8 ай бұрын

    Mwezimungu akulinde akupe afya akuepushe na udhalili shekhe letu❤

  • @Razeqa
    @Razeqa4 ай бұрын

    Kwakweli shekh mawaida yako nikweli kabisa ila nataka tiba purevit plz shekh

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh5408 ай бұрын

    Ameen

  • @user-vc8hg9qp9n
    @user-vc8hg9qp9n8 ай бұрын

    Kweli kabisa shehk

  • @sharifasuleiman8297
    @sharifasuleiman82978 ай бұрын

    Shekhe je kama humjui alio kufanyia humjui na uko peke yako je unaweza kujitibia mwenyewe

  • @TwariqJamilu-jf4bd
    @TwariqJamilu-jf4bd8 ай бұрын

    Izo dalil ninaz lakin sizote jaman muniombey dua kwel nitakuf

  • @alhabibismail3031
    @alhabibismail30318 ай бұрын

    asalam alykm,vp sheikh waeza tumia maji ya moto kufanya hii shughuli

  • @user-eq1rj2lw5m
    @user-eq1rj2lw5m6 ай бұрын

    P

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed15896 ай бұрын

    Badala uwaase watu kumrudia mungu maasi yamezidi unawadanganya na utajiri we fala kweli.yaani mashehena wetu siku hizi akili zenu zimekuwa kama za mapasta pokea gari pokea nyumba shenzi sana.walinganieni watu kwa njia ya allah waache alokataza wafanye anayotaka unakimbilia magari na ushuhuda mambo ya makanisani tu hata senge sana.

  • @omarjr1791

    @omarjr1791

    Ай бұрын

    Kaka Sisi waislam wote kwa njia hiyo sio mzuri namba zipo unaweza kumuambia pia mpe dalili atakuelewa kuliko kumtusi sio vyema kaka. Samahan kama nitakuwa nimekukwaza

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    Ай бұрын

    @@omarjr1791 wacha utetezi wa kijinga mshirikina lazma aambiwe kwani yy alitumia namba kutudanganya.

  • @rehemashaaban1416
    @rehemashaaban14168 ай бұрын

    Subuhana Allah wabihamdihi Adada khalkihi wazinata Arshihi Wamidadakalimatihi .Mungu akubarik akupe maisha marefu

  • @Shabibumambosasa
    @Shabibumambosasa8 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-js5qz2rx2z
    @user-js5qz2rx2z8 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-ws7fb8ph9q
    @user-ws7fb8ph9q7 ай бұрын

    Mashaallah

Келесі