Kweli mtumishi.Miaka 15 nyuma nilifanya kazi kwa bidii usiku na mchana.Sikuchezea muda pia nilijiunga na masomo ya chuo kikuu nikiwa na ndoa na watoto 2.Nililala masaa 4 kwa siku kwa miaka 10.Nilijikuta tajiri mkubwa kwa level za madirector wa makampuni makubwa kwa biashara ya kawaida.ASANTE YESU KWA KUNIWEZESHA NA KUNIPA MAONO.
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@butondodavid2105
Жыл бұрын
Siyo rahisi Mungu alitenda
@rachaelkeith5095
Жыл бұрын
🙏🙏
@JenniferShirima-co2im
Жыл бұрын
Thanks so much but how you manage it coz ni kitu najaribu Sana kwenye maisha yangu
@myahudiog
Жыл бұрын
😂😢🎉😊
@zamberimturi5593 Жыл бұрын
Mtumishi nakubaliana na wewe kwa 100% kabisa kwani me kazi yangu ni dereva bajaji kila nikiamka alfajiri kuanza kazi huwa napata pesa nyingi sana na huwa siku hiyo nakuwa na morali ya kazi sana hta kufunga kazi cku hiyo huwa nachelewa na napiga pesa kweli tatizo linakuja pale ninapoendekezaga kulalia kitanda kwani nikichelewa kuamka huwa naamka mwili ukiwa unanung'unika na kuwa na hofu kwa sababu ya kuchelewa kuamka na kuhix kazi itakuwa ngumu kwa upande wangu Hivyo.bac kuanzia leo najikabidhi mikononi mwa Mungu kwa kuukataa ucingiz utakaoendelea kunididimiza kiuchumi Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🤚🤚🤚
@jenfan87816 ай бұрын
Asante Mungu kwa neno la leo tar 02/01/2024. Nachukia usingizi ila nikianza kusoma nasinzia. Mungu nakemea usingiz kwa jina la Yesu mwana wa Mungu. Mwili usitamani kulala kwasababu muda umefika. Nataka kuwa mtu mkubwa na wa tofauti. Mungu uwe pamoja nami 2024 ili siku moja nije kusimulia matendo makuu ya Mungu. Usingizi ni umaskini hivyo siutak ucngz
@rehemamasoud2352 Жыл бұрын
Asante baba ,mwili wangu zingatia haya mambo mazuri,muda mchache..Asante Mungu kwa kunishtua ,Leo 01.06.2023 naanza kuzingatia
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
Wschache Sana wanaweza kukubali ukweli kama wewe,ubarikiwe
@nicholasbwalya36506 ай бұрын
I connect from chingola zambia good news glory be to God Almighty powerful teaching 🙏 ❤❤❤
@deogratiasmapinda8288 Жыл бұрын
Huyu mchunngaji kwa somo hiki ameenda sawa na mawazo yangu mchunngaji ubarikiwe Sana maana utajiri uko mbele Amina
@thomasmusungu8399 Жыл бұрын
Mtu wa Mungu, hayo ni mafundisho ya kimsingi, asante mno, Yesu akubariki.niko kenya.
@rainardleonard8045 Жыл бұрын
Ukikua unaweza Elewa 🙏🙏Asante Mungu kwa Huyu Baba
@patrickkuwayawaya440210 ай бұрын
ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
@faithdhadho9272 Жыл бұрын
Oversleeping leads to spiritual and physical poverty. Especially in our days of social media and internet. We need to rise from slumber.
@daudkipkare7550
Жыл бұрын
Oversleeping leads to spiritual and physi in our days of social media and internet.we need to rise from slumber .you very right sir
@jonasnyamiyonga4594 Жыл бұрын
Mtumishi umeniongezea ufahamu wa kupambana.
@josephatosoroomwebu4714 Жыл бұрын
Nakubaliana na mchungaji kwa asilimia mia moja..100%true...Mungu na anishindie usingizi
@user-xo6rf8lu6x Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu nimekuelewa...Usingizi ni mbaya kama kifo.Baba asante usingizi ni umaskini wetu.Sitaki tena usingizi kwanza hua silali.
@user-dj4xz3bb7x3 ай бұрын
Amen..asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
@user-Ndashuka00111 ай бұрын
AMEEN . Eeee MUNGU naomba nisaidie
@lucaspeter-kw7cs Жыл бұрын
Vijana tuache upunbavu na kufanya mambo ya kipuuzi Ili tuwez kuwa na ubadae mwema. 🙏🙏
@rachelkathuri273
Жыл бұрын
Kabisaa
@JanethMtati-he1dp
Жыл бұрын
Nakubaliiiiiiiii
@agnesyjoseph3906
Жыл бұрын
Ameeeeen, kuazia leo nakataa usingizi unaoleta umasikini
@SARAHHALIFA-wm2kg Жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa,usingizi ni mbaya Sana nakumbuka shuleni wengine wanasoma wengine wanalala,halafu nkumbuka ilikuwa ukanda baridi.kuna waafunzi wanapenda kulala buana yaani usingizi.
@abelianraphili5150
Жыл бұрын
Hahahah.. mpka darasani
@WitnessHatibu-vj1hu Жыл бұрын
Asante kwa somo nzuri baba linanibariki sana
@eliasmhagama4978 Жыл бұрын
BWANA YESU akutunze Mtume ili uzidi kutubariki kwa mafundisho yako.
@vinnocky_b1430 Жыл бұрын
That's great brother keep it up
@jamessila3219 Жыл бұрын
Tufanye kazi dungu zangu
@KukuVillage Жыл бұрын
Mchungaji ongeza na Uvivu. Yaani ukifanikiwa kucontrol usingizi na uvivu then umeushida umasikini
@neemandoyela558 Жыл бұрын
Ahsante nakataa usingizi kwa jina la yesu
@damarismutala7769 Жыл бұрын
Thank you mtumishi for this sermon..praise the lord
@Ev.yohanamkesela Жыл бұрын
Barikiwa sana mtume
@josephitangishaka960 Жыл бұрын
Thanks for this teaching. That's True message
@mosesjnr8436 Жыл бұрын
Nadhan point kubwa tupambane kuushinda Uvivu
@Daudpaulo2944 ай бұрын
Amina baba nimepokea kitu yangu leo
@user-df2gr5hw8y Жыл бұрын
Asante baba mchungaji kwa mafundisho mema kwa vijana wetu
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Asante kwa somo zur mtumish
@barakabahati6600 Жыл бұрын
Please kumbuka na wale waliokua wakitoa sadaka kanisani kwako
@MohamedSaid-em4of11 ай бұрын
Usingizi ni starehe ya hakki tuliopewa ni allah swt kila kitu kina muda wake.
@user-fd4nl4hq6b Жыл бұрын
Mungu akubariki❤
@nicholasbwalya36506 ай бұрын
Amen Amen Amen I connect 🙏
@EmmanuelSamwel-wz9qg Жыл бұрын
Amina Baba..
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Wewe unaye tafsiri ebu siku nyingine usikae hapo Kwa mimbari Ebu tawala madhabahu
@lucasthomas188
11 ай бұрын
Au asitafsiri kabisa
@Edivinaleonard
7 ай бұрын
Atasimama baba yako au
@mosesmwangi176911 ай бұрын
Amina baba barikiwaa
@johnmurimi983111 ай бұрын
Amen amen mtumishi
@MagangaMasunga5 ай бұрын
Ameen mtumish wa mungu
@RoheelRafail11 ай бұрын
God bless you all
@edmundmato669 Жыл бұрын
Ameni.....❤
@Ursain.IKE.jesuis9365 Жыл бұрын
AMEN 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@EvaBonnyАй бұрын
Kuanzia Leo nakata usingizi
@user-et3zn8qy8l Жыл бұрын
Amen papa
@JanethMtati-he1dp Жыл бұрын
Ameniiiiii, mtumishi
@JanethMtati-he1dp
Жыл бұрын
🕤🤲🤲🤲🤲
@JoshuaMasunga Жыл бұрын
Amina! Amina! Amina!
@shabandamas1759 Жыл бұрын
Twende mbele turudi nyuma unachokisema nisawa but sii sawa100% coz ki-afya pia kutopata usingizi wakutosha nihatari kwa afya yako.
@barakangellah5354
Жыл бұрын
Exactly upo sahihi, Unajua kuna kitu nilijifunza siku za nyuma kidogo, nlishawahipata bahati ya kwenda abroad, Wale jamaa nadhani walipotuzidi ni kwenye mpangilio wa ratiba. Kuanzia asubuhi hadi kufikia jioni kila mtu yuko busy na busy kweli kweli, kama we hauna cha ku keep busy basi utabaki unashangaa pekeako, lakini jioni wanazitumia sana kwa refreshment na ndomaana hata michezo mingi huwa ucku kuanzia saa 1, na ucku wanalala Effectively kwa Afya ya Ubongo kwaajili ya kesho, uhalisia ni kwamba uki over work usiku asubuhi automatic utaamka umechoka mwili na akili kwaio hauta fanya vi2 perfect. Point yang ni kwa Commitment kubwa Alfajiri hadi jioni ukiitumia vizuri sana inatosha sana kufanya makubwa lakini ucku renew kwaajili ya kesho. Ukifanya ucku kama mchana bac ni mbaya pia hata kwa Afya yako uta achieve sawa ila kwa faida ya nani akat afya yako haiko stable
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
@@barakangellah5354 kumbuka pia mtu akilala sana over 8 hours pia mwili unachoka na mtu anaamka akiwa na hali ya homa kabisa kila kitu kwa kiasi ndo point kuu niliyo note
@HantanahYun3093 Жыл бұрын
Kweli kabisa❤
@adammdiu Жыл бұрын
Amen..❤
@halimambaga61 Жыл бұрын
Amen and ameen
@nehemiahhusein4504 Жыл бұрын
Ahsante baba
@bonifacewanyonyi3555 Жыл бұрын
Amen amen😢😢
@user-eo4kv7lz7x Жыл бұрын
Amen
@JUU-lw2je Жыл бұрын
Mimi nalala kila siku sa tano usiku na naamka sa kumi na moja kamili bado ni maskini
@RamadhaniJitelani
Жыл бұрын
Inategemea unacheleww kulala ukiwa unafanya kitu gani
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
Huwa unachelewa kulala ukifanya nn na unawahi kuamka kufanya nn hapo ndipo utajiri ulipo
@landmanoti1942
4 ай бұрын
Kitendo cha kujiita masikini basi na akili yako inakaa kiumasikini
@sharonmukoshi9744 Жыл бұрын
Amen and Amen 🙏🙏🙏
@JamesIbrahim-el4zw Жыл бұрын
Acha kundanganya watu utakujajuta,mungu akusaidie
@mbelwajeremiahpaschal390
Жыл бұрын
Mwambie Mama Ako Aje afundishe yy . Basi kama Wenginee wanadanganya Sura kama mbuzi
@EmmanuelSamwel-wz9qg
Жыл бұрын
Roho wa bwana akuponye maana haujui hata unayosema.. akuponye na fikra zakO ndgo
@florarog548
Ай бұрын
Mungu akusamehe
@ValerianaGrm-bi5hd Жыл бұрын
Aminaaa sna
@rosemarry1274 Жыл бұрын
Amen Amen
@innocentlongino5664 Жыл бұрын
Amina
@danielmwakalinga6049 Жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️ My Dady
@MwawazaVitalis
Жыл бұрын
He is helping me in kenya
@user-gx7vn1zz1t7 ай бұрын
Kwel.baba
@elishajailosy4916 Жыл бұрын
Amen dady
@rachelpeter87
Жыл бұрын
Asante Yesu kwa neno la uzima
@chantalingabire7001 Жыл бұрын
🙏 amen
@onesmusmunga2458 Жыл бұрын
That's true
@abuaiuba1517 Жыл бұрын
Amemmmmmmmm
@user-wn6it9ml7h Жыл бұрын
Ndio kabisa
@mungajoas3343 Жыл бұрын
Mind blowing
@user-iy3fd2os1y
Жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaj yaan ucingizi ucio was lazima nakukataa kabisa kwa jina la yesu...
@user-en9op4pu8r Жыл бұрын
Translater wa hovyo
@user-iy3fd2os1y Жыл бұрын
Nikweli mtumishi ucingizi ni umaskin mkubwa Sana....
@user-oq7vv2hk9q Жыл бұрын
❤❤❤❤ ameni
@fathiasaed9718 Жыл бұрын
Ameni
@user-rl5gq3ow3k Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@atanacyzacharia3092 Жыл бұрын
Huyu kijana anaetoa tafsri 😢anapotosha sana ila maamubili ni mazuri
@rehemaharuna
Жыл бұрын
Anapotosha vip wew unajua kiingereza vizr kweli
@jacksontumaini489
Жыл бұрын
Ndo nashangaa @rehemaharuna
@barackawithokiswaga2686
Жыл бұрын
Acha uongo wewe kiingereza gani kitakacho ongelewa zaidi ya hapo? Nadhani hujui
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
@@rehemaharuna rehema muache mtoto acheze
@cyubahiroclement191
Жыл бұрын
Ujumbe unafika mbari Zacharia nivizuli sana akitafsri ☝️🤓
@beatricechabai2163 Жыл бұрын
🙏
@JanethMtati-he1dp Жыл бұрын
🤲🤲
@user-fs1kr4rs6e11 ай бұрын
Sio kweli kwamba ukilala Dana ndio unakula maskini fact zipo
@bonifacebochela471710 ай бұрын
True
@user-to9rh1jz8o Жыл бұрын
Asante
@MohamedSaid-em4of11 ай бұрын
Mitume wa uongo woooote wote wanahubiri pesa ,maisha mafupi ya dua ,badala ya uzima milele ,wako kwenye ushetani ,wamemgeukia shetani ,na wafuasi maskini hawajui kinacho endelea ,wanavunwa bila kujijua kua wanavunwa, utajiri wa dunia c kipaumbele cha mitume wote kuanzia adam hadi muhammad saw, ni hawa wa uongo tu wahubirio pesa huku wakivuna kutoka kwa wafuasi wanyonge allah awazindue waujue ikweli.
@@cosmasmworia5524 Imani ni kitu kizitto sana, angalau nyinyi muna abudu, mtu wengine wanaabudu ng,ombe, mawe ya kuchonga sanamu wala huwaambii chochote, mtu mpumbavu huuamini kila kitu
@user-ns1kx9je7y Жыл бұрын
Nimeku elewa mutumishi wa mugu
@neemakamgisha2951 Жыл бұрын
Watakalo wafundisha shikeni mfano wa matendo yao msiige
@annahcallixte1321
11 ай бұрын
Mungu anisaidie mimi kuushinda usingizi kwa jina la YESU nimepokea neno la kuushinda usingizi kwa Jina la YESU barikiwa sana Baba
@adammjomba5814 Жыл бұрын
Sikatai usemavyo lakini kila binadamu anapigania maisha yake lakini imeandikwa Mji usipo lindwa na Bwana alindae akesha bure .. .kila kitu hupangwa na MUNGU..hata ukeshe nje kama ni Wa no ni no tu. .
@philemonsavutu1543
Жыл бұрын
Hii ni hakika Mzee wangu
@mbelwajeremiahpaschal390
Жыл бұрын
No pain. No Gain
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
Hayo umesema wewe
@yohanakangwe3503
Жыл бұрын
Hapa ni vema kuelewa key points. 1. Usingizi usititawale na wala tusiendekeze kulala masaa mengi bila kufanya kazi . 2. Mtumishi anasisitiza fanya kazi kwa bidii na maarifa zaidi. 3. Watu wasipoteze muda kwa kushinda kuangalia tv na matumizi ya simu kwa social media bila faida. 4. Umri wa ujana ndo wa kujenga uchumi na uzeeni ni final. NB. Mungu alifanya kazi siku 6 ambayo ni sawa na masaa 144 na siku ya saba akapumzika. Na sisi tumeamuriwa kufanya kazi siku 6. Na neno kazi limeandikwa kwenye Bible mara 600 , maana yake tufanye kazi kwa kujituma zaidi na si kwa ulegevu. Tujitahidi kuchukua mazuri yatuimarishe. Na tukumbuke hakuna aliyeumbwa kuwa maskini bali umasikini ni chaguo la mtu mwenyewe kwani umaskini unasababishwa na kukosa nguvu ya kumiliki na kutawala vitu na mazingira yanayotuzunguka na uvivu wa kutokupenda kujituma kufanya kazi.
@LovenessMwakalenga
Жыл бұрын
Umeshika andiko hujashina neno
@user-oj3ez6bn6l11 ай бұрын
Atari
@user-yr1tn7ui7e Жыл бұрын
Kwel baba
@annalaizer7142
Жыл бұрын
Amen. Asante kwa huduma hii ya mafundisho meema.
@adammjomba5814 Жыл бұрын
Unaweza ukakusanya fedha kama zote then inaingia vita mali yote inapotea maybe unapata na ulemavu au unapata makajanga mbali mbali ukakusanya mali yote inabebwa na kimbunga mafuriko nk hujawa masikini na omba omba usijione kupata ni akili zako mpaka Mungu akufanyie wepesi .hakuna anae nunua umaskini..
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea
@bonifacebochela4717
Жыл бұрын
Akili zisizo na MUNGU utaziona tu, mwenzio anaongelea Mambo ya Mungu anaetupa afya njema na Uzima, alafu wee unaongea mambo ya ajali ulemavu na majanga, Sasa hayo ni mawazo ya Mungu?
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
Kumbuka haya yote ya usingizi Mungu kaagiza pia kasema apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha Mungu kukusaidia haina maana ulale tuu na Mungu atakupa kitu unachoweza ku manage
@user-gx7vn1zz1t
7 ай бұрын
@@alexmasumbigana49108
@florarog548
Ай бұрын
Kalaga baho
@deomdolo5049 Жыл бұрын
Sasa mnatupia mahubr mtandaoni ili iweje
@adkajisi4536
Жыл бұрын
Yafike Mbali
@bonifacebochela4717
Жыл бұрын
Ili yakufikie
@AminiAmini-hd9kw Жыл бұрын
Kumbe usingizi huleta umaskini
@BarnabaBuhoma
Жыл бұрын
Si kweli… umaskini huletwa na mtazamo na matumizi mabaya ya pesa na uvivu.. kwa nini sasa usiku? Usiku ni wa kazi gani? Tujifunze kwa wanyama, maana wao ni sawa na sisi! Je, wanyama hawalali usiku? Kikubwa ni kujua tu namna ya kuweka malengo na kuyatekeleza kwa wakati mwafaka! Kitu chochote usipokiwekea malengo na kukifanya kwa bidii, huwezi kufanikiwa. Kumbuka mafanikio sio tu utajiri! Kuna vitu nimefanikiwa kwavyo na usingizi napiga!
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
@@BarnabaBuhoma kumbuka neno hili pia apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha au hujalisoma mtumishi?? Au vifungu vinavyokemea kupenda kulala huwa unaviruka??
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
Ndio kasome mithali apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha
@BarnabaBuhoma
11 ай бұрын
@@alexmasumbigana4910 kuna mtu anakuambia kwamba anafanya kazi kwa bidii sana, lakini bado sipati utajiri kama ninavyotarajia. Wapi kuna kuna tatizo? Maana kama ni bidii ameweka! Mwingine anakuambia kwamba anaampa mapema mno kufanya kazi, lakini kipato kinachopatikana kinaishia tu kwenye malazi, chakula na mavazi, lakini sio utajiri. Nauliza tena wapi kuna tatizo? Ingekuwa usingizi unaondoa umaskini, basi Africa tungeshafika mbali. Tatizo lipo kwenye akili na sio kichwani! mimi nalala masaa saaba hadi tisa, Naam hadi kumi! Lakini nimefanikiwa kwenye mambo mengi. Kwani mafanikio sio utajiri tu! Mafanikio ni mtazamo chanya, akili bunifu, nidhamu ya pesa, malengo,n.k kumbuka Mungu aliumba usiku na mchana, yaani mchana uwe mahali pa kufanya kazi, na usiku uwe mahali pa kupumzika. Nami Najua kuwa kwa mjibu wa Biblia mchana una masaa kumi na mbili, usiku hali kadhalika. Hii ya kulala masaa nane ni wanadamu ndio wameweka wala sio Mungu. Hii ya kufanya kazi usiku kukucha Kama kule Marekani! Hii waliweka wanadamu wala hata sio Mungu. Kumbuka sisi na wanyama ni sawa. Ikifika jioni kila mnyama huanza kurudi kwenye makazi yake. Angalia hata kuku! Kwani kuna mtu anamwambia kuku ikifika saa fulani arudi nyumbani? Hii mimi inanifundisha kuwa usiku ni mahali pa kupumzika. Ndio maana ukichelewa hata kulala, kesho mchana lazima ukabiliwe na maumivu ya kichwa. Ndio maana Mimi ukiniambia unasikia maumivu ya kichwa, nitakuuliza jana ulilala saaa ngapi. Ok! Kuna watu wanasema unaweza kuzoea, ni sawa kabisa! Unaweza kuzoea! Lakini huwezi kukwepa changamoto. Kwa nini? Kwa sababu unapingana na asili. Ni kama vile mwanamke alazimishe kumtawala mwanaume, wakati mwanaume ndiye aliyeumbwa kumtawala mwanamke! Nini kitatokea?
@BarnabaBuhoma
11 ай бұрын
@@alexmasumbigana4910 Mimi huwa sitafsiri Biblia kwa kuangalia andiko moja tu! Lazima niangalie maandiko mengine yanasema nini juu ya jambo husika. Maana kwa kuangalia andiko moja tu, ni rahisi kupata tafsiri potofu.
Пікірлер: 156
Kweli mtumishi.Miaka 15 nyuma nilifanya kazi kwa bidii usiku na mchana.Sikuchezea muda pia nilijiunga na masomo ya chuo kikuu nikiwa na ndoa na watoto 2.Nililala masaa 4 kwa siku kwa miaka 10.Nilijikuta tajiri mkubwa kwa level za madirector wa makampuni makubwa kwa biashara ya kawaida.ASANTE YESU KWA KUNIWEZESHA NA KUNIPA MAONO.
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@butondodavid2105
Жыл бұрын
Siyo rahisi Mungu alitenda
@rachaelkeith5095
Жыл бұрын
🙏🙏
@JenniferShirima-co2im
Жыл бұрын
Thanks so much but how you manage it coz ni kitu najaribu Sana kwenye maisha yangu
@myahudiog
Жыл бұрын
😂😢🎉😊
Mtumishi nakubaliana na wewe kwa 100% kabisa kwani me kazi yangu ni dereva bajaji kila nikiamka alfajiri kuanza kazi huwa napata pesa nyingi sana na huwa siku hiyo nakuwa na morali ya kazi sana hta kufunga kazi cku hiyo huwa nachelewa na napiga pesa kweli tatizo linakuja pale ninapoendekezaga kulalia kitanda kwani nikichelewa kuamka huwa naamka mwili ukiwa unanung'unika na kuwa na hofu kwa sababu ya kuchelewa kuamka na kuhix kazi itakuwa ngumu kwa upande wangu Hivyo.bac kuanzia leo najikabidhi mikononi mwa Mungu kwa kuukataa ucingiz utakaoendelea kunididimiza kiuchumi Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🤚🤚🤚
Asante Mungu kwa neno la leo tar 02/01/2024. Nachukia usingizi ila nikianza kusoma nasinzia. Mungu nakemea usingiz kwa jina la Yesu mwana wa Mungu. Mwili usitamani kulala kwasababu muda umefika. Nataka kuwa mtu mkubwa na wa tofauti. Mungu uwe pamoja nami 2024 ili siku moja nije kusimulia matendo makuu ya Mungu. Usingizi ni umaskini hivyo siutak ucngz
Asante baba ,mwili wangu zingatia haya mambo mazuri,muda mchache..Asante Mungu kwa kunishtua ,Leo 01.06.2023 naanza kuzingatia
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
Wschache Sana wanaweza kukubali ukweli kama wewe,ubarikiwe
I connect from chingola zambia good news glory be to God Almighty powerful teaching 🙏 ❤❤❤
Huyu mchunngaji kwa somo hiki ameenda sawa na mawazo yangu mchunngaji ubarikiwe Sana maana utajiri uko mbele Amina
Mtu wa Mungu, hayo ni mafundisho ya kimsingi, asante mno, Yesu akubariki.niko kenya.
Ukikua unaweza Elewa 🙏🙏Asante Mungu kwa Huyu Baba
ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
Oversleeping leads to spiritual and physical poverty. Especially in our days of social media and internet. We need to rise from slumber.
@daudkipkare7550
Жыл бұрын
Oversleeping leads to spiritual and physi in our days of social media and internet.we need to rise from slumber .you very right sir
Mtumishi umeniongezea ufahamu wa kupambana.
Nakubaliana na mchungaji kwa asilimia mia moja..100%true...Mungu na anishindie usingizi
Mtumishi wa Mungu nimekuelewa...Usingizi ni mbaya kama kifo.Baba asante usingizi ni umaskini wetu.Sitaki tena usingizi kwanza hua silali.
Amen..asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
AMEEN . Eeee MUNGU naomba nisaidie
Vijana tuache upunbavu na kufanya mambo ya kipuuzi Ili tuwez kuwa na ubadae mwema. 🙏🙏
@rachelkathuri273
Жыл бұрын
Kabisaa
@JanethMtati-he1dp
Жыл бұрын
Nakubaliiiiiiiii
@agnesyjoseph3906
Жыл бұрын
Ameeeeen, kuazia leo nakataa usingizi unaoleta umasikini
Hii ni kweli kabisa,usingizi ni mbaya Sana nakumbuka shuleni wengine wanasoma wengine wanalala,halafu nkumbuka ilikuwa ukanda baridi.kuna waafunzi wanapenda kulala buana yaani usingizi.
@abelianraphili5150
Жыл бұрын
Hahahah.. mpka darasani
Asante kwa somo nzuri baba linanibariki sana
BWANA YESU akutunze Mtume ili uzidi kutubariki kwa mafundisho yako.
That's great brother keep it up
Tufanye kazi dungu zangu
Mchungaji ongeza na Uvivu. Yaani ukifanikiwa kucontrol usingizi na uvivu then umeushida umasikini
Ahsante nakataa usingizi kwa jina la yesu
Thank you mtumishi for this sermon..praise the lord
Barikiwa sana mtume
Thanks for this teaching. That's True message
Nadhan point kubwa tupambane kuushinda Uvivu
Amina baba nimepokea kitu yangu leo
Asante baba mchungaji kwa mafundisho mema kwa vijana wetu
Asante kwa somo zur mtumish
Please kumbuka na wale waliokua wakitoa sadaka kanisani kwako
Usingizi ni starehe ya hakki tuliopewa ni allah swt kila kitu kina muda wake.
Mungu akubariki❤
Amen Amen Amen I connect 🙏
Amina Baba..
Wewe unaye tafsiri ebu siku nyingine usikae hapo Kwa mimbari Ebu tawala madhabahu
@lucasthomas188
11 ай бұрын
Au asitafsiri kabisa
@Edivinaleonard
7 ай бұрын
Atasimama baba yako au
Amina baba barikiwaa
Amen amen mtumishi
Ameen mtumish wa mungu
God bless you all
Ameni.....❤
AMEN 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Kuanzia Leo nakata usingizi
Amen papa
Ameniiiiii, mtumishi
@JanethMtati-he1dp
Жыл бұрын
🕤🤲🤲🤲🤲
Amina! Amina! Amina!
Twende mbele turudi nyuma unachokisema nisawa but sii sawa100% coz ki-afya pia kutopata usingizi wakutosha nihatari kwa afya yako.
@barakangellah5354
Жыл бұрын
Exactly upo sahihi, Unajua kuna kitu nilijifunza siku za nyuma kidogo, nlishawahipata bahati ya kwenda abroad, Wale jamaa nadhani walipotuzidi ni kwenye mpangilio wa ratiba. Kuanzia asubuhi hadi kufikia jioni kila mtu yuko busy na busy kweli kweli, kama we hauna cha ku keep busy basi utabaki unashangaa pekeako, lakini jioni wanazitumia sana kwa refreshment na ndomaana hata michezo mingi huwa ucku kuanzia saa 1, na ucku wanalala Effectively kwa Afya ya Ubongo kwaajili ya kesho, uhalisia ni kwamba uki over work usiku asubuhi automatic utaamka umechoka mwili na akili kwaio hauta fanya vi2 perfect. Point yang ni kwa Commitment kubwa Alfajiri hadi jioni ukiitumia vizuri sana inatosha sana kufanya makubwa lakini ucku renew kwaajili ya kesho. Ukifanya ucku kama mchana bac ni mbaya pia hata kwa Afya yako uta achieve sawa ila kwa faida ya nani akat afya yako haiko stable
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
@@barakangellah5354 kumbuka pia mtu akilala sana over 8 hours pia mwili unachoka na mtu anaamka akiwa na hali ya homa kabisa kila kitu kwa kiasi ndo point kuu niliyo note
Kweli kabisa❤
Amen..❤
Amen and ameen
Ahsante baba
Amen amen😢😢
Amen
Mimi nalala kila siku sa tano usiku na naamka sa kumi na moja kamili bado ni maskini
@RamadhaniJitelani
Жыл бұрын
Inategemea unacheleww kulala ukiwa unafanya kitu gani
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
Huwa unachelewa kulala ukifanya nn na unawahi kuamka kufanya nn hapo ndipo utajiri ulipo
@landmanoti1942
4 ай бұрын
Kitendo cha kujiita masikini basi na akili yako inakaa kiumasikini
Amen and Amen 🙏🙏🙏
Acha kundanganya watu utakujajuta,mungu akusaidie
@mbelwajeremiahpaschal390
Жыл бұрын
Mwambie Mama Ako Aje afundishe yy . Basi kama Wenginee wanadanganya Sura kama mbuzi
@EmmanuelSamwel-wz9qg
Жыл бұрын
Roho wa bwana akuponye maana haujui hata unayosema.. akuponye na fikra zakO ndgo
@florarog548
Ай бұрын
Mungu akusamehe
Aminaaa sna
Amen Amen
Amina
❤️❤️❤️❤️ My Dady
@MwawazaVitalis
Жыл бұрын
He is helping me in kenya
Kwel.baba
Amen dady
@rachelpeter87
Жыл бұрын
Asante Yesu kwa neno la uzima
🙏 amen
That's true
Amemmmmmmmm
Ndio kabisa
Mind blowing
@user-iy3fd2os1y
Жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaj yaan ucingizi ucio was lazima nakukataa kabisa kwa jina la yesu...
Translater wa hovyo
Nikweli mtumishi ucingizi ni umaskin mkubwa Sana....
❤❤❤❤ ameni
Ameni
🙏🙏🙏
Huyu kijana anaetoa tafsri 😢anapotosha sana ila maamubili ni mazuri
@rehemaharuna
Жыл бұрын
Anapotosha vip wew unajua kiingereza vizr kweli
@jacksontumaini489
Жыл бұрын
Ndo nashangaa @rehemaharuna
@barackawithokiswaga2686
Жыл бұрын
Acha uongo wewe kiingereza gani kitakacho ongelewa zaidi ya hapo? Nadhani hujui
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
@@rehemaharuna rehema muache mtoto acheze
@cyubahiroclement191
Жыл бұрын
Ujumbe unafika mbari Zacharia nivizuli sana akitafsri ☝️🤓
🙏
🤲🤲
Sio kweli kwamba ukilala Dana ndio unakula maskini fact zipo
True
Asante
Mitume wa uongo woooote wote wanahubiri pesa ,maisha mafupi ya dua ,badala ya uzima milele ,wako kwenye ushetani ,wamemgeukia shetani ,na wafuasi maskini hawajui kinacho endelea ,wanavunwa bila kujijua kua wanavunwa, utajiri wa dunia c kipaumbele cha mitume wote kuanzia adam hadi muhammad saw, ni hawa wa uongo tu wahubirio pesa huku wakivuna kutoka kwa wafuasi wanyonge allah awazindue waujue ikweli.
@cosmasmworia5524
6 күн бұрын
Umeandika usijchokijua! Unaweza kuonesha uongo hapa?
@MohamedSaid-em4of
5 күн бұрын
@@cosmasmworia5524 Imani ni kitu kizitto sana, angalau nyinyi muna abudu, mtu wengine wanaabudu ng,ombe, mawe ya kuchonga sanamu wala huwaambii chochote, mtu mpumbavu huuamini kila kitu
Nimeku elewa mutumishi wa mugu
Watakalo wafundisha shikeni mfano wa matendo yao msiige
@annahcallixte1321
11 ай бұрын
Mungu anisaidie mimi kuushinda usingizi kwa jina la YESU nimepokea neno la kuushinda usingizi kwa Jina la YESU barikiwa sana Baba
Sikatai usemavyo lakini kila binadamu anapigania maisha yake lakini imeandikwa Mji usipo lindwa na Bwana alindae akesha bure .. .kila kitu hupangwa na MUNGU..hata ukeshe nje kama ni Wa no ni no tu. .
@philemonsavutu1543
Жыл бұрын
Hii ni hakika Mzee wangu
@mbelwajeremiahpaschal390
Жыл бұрын
No pain. No Gain
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
Hayo umesema wewe
@yohanakangwe3503
Жыл бұрын
Hapa ni vema kuelewa key points. 1. Usingizi usititawale na wala tusiendekeze kulala masaa mengi bila kufanya kazi . 2. Mtumishi anasisitiza fanya kazi kwa bidii na maarifa zaidi. 3. Watu wasipoteze muda kwa kushinda kuangalia tv na matumizi ya simu kwa social media bila faida. 4. Umri wa ujana ndo wa kujenga uchumi na uzeeni ni final. NB. Mungu alifanya kazi siku 6 ambayo ni sawa na masaa 144 na siku ya saba akapumzika. Na sisi tumeamuriwa kufanya kazi siku 6. Na neno kazi limeandikwa kwenye Bible mara 600 , maana yake tufanye kazi kwa kujituma zaidi na si kwa ulegevu. Tujitahidi kuchukua mazuri yatuimarishe. Na tukumbuke hakuna aliyeumbwa kuwa maskini bali umasikini ni chaguo la mtu mwenyewe kwani umaskini unasababishwa na kukosa nguvu ya kumiliki na kutawala vitu na mazingira yanayotuzunguka na uvivu wa kutokupenda kujituma kufanya kazi.
@LovenessMwakalenga
Жыл бұрын
Umeshika andiko hujashina neno
Atari
Kwel baba
@annalaizer7142
Жыл бұрын
Amen. Asante kwa huduma hii ya mafundisho meema.
Unaweza ukakusanya fedha kama zote then inaingia vita mali yote inapotea maybe unapata na ulemavu au unapata makajanga mbali mbali ukakusanya mali yote inabebwa na kimbunga mafuriko nk hujawa masikini na omba omba usijione kupata ni akili zako mpaka Mungu akufanyie wepesi .hakuna anae nunua umaskini..
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea
@bonifacebochela4717
Жыл бұрын
Akili zisizo na MUNGU utaziona tu, mwenzio anaongelea Mambo ya Mungu anaetupa afya njema na Uzima, alafu wee unaongea mambo ya ajali ulemavu na majanga, Sasa hayo ni mawazo ya Mungu?
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
Kumbuka haya yote ya usingizi Mungu kaagiza pia kasema apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha Mungu kukusaidia haina maana ulale tuu na Mungu atakupa kitu unachoweza ku manage
@user-gx7vn1zz1t
7 ай бұрын
@@alexmasumbigana49108
@florarog548
Ай бұрын
Kalaga baho
Sasa mnatupia mahubr mtandaoni ili iweje
@adkajisi4536
Жыл бұрын
Yafike Mbali
@bonifacebochela4717
Жыл бұрын
Ili yakufikie
Kumbe usingizi huleta umaskini
@BarnabaBuhoma
Жыл бұрын
Si kweli… umaskini huletwa na mtazamo na matumizi mabaya ya pesa na uvivu.. kwa nini sasa usiku? Usiku ni wa kazi gani? Tujifunze kwa wanyama, maana wao ni sawa na sisi! Je, wanyama hawalali usiku? Kikubwa ni kujua tu namna ya kuweka malengo na kuyatekeleza kwa wakati mwafaka! Kitu chochote usipokiwekea malengo na kukifanya kwa bidii, huwezi kufanikiwa. Kumbuka mafanikio sio tu utajiri! Kuna vitu nimefanikiwa kwavyo na usingizi napiga!
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
@@BarnabaBuhoma kumbuka neno hili pia apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha au hujalisoma mtumishi?? Au vifungu vinavyokemea kupenda kulala huwa unaviruka??
@alexmasumbigana4910
11 ай бұрын
Ndio kasome mithali apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha
@BarnabaBuhoma
11 ай бұрын
@@alexmasumbigana4910 kuna mtu anakuambia kwamba anafanya kazi kwa bidii sana, lakini bado sipati utajiri kama ninavyotarajia. Wapi kuna kuna tatizo? Maana kama ni bidii ameweka! Mwingine anakuambia kwamba anaampa mapema mno kufanya kazi, lakini kipato kinachopatikana kinaishia tu kwenye malazi, chakula na mavazi, lakini sio utajiri. Nauliza tena wapi kuna tatizo? Ingekuwa usingizi unaondoa umaskini, basi Africa tungeshafika mbali. Tatizo lipo kwenye akili na sio kichwani! mimi nalala masaa saaba hadi tisa, Naam hadi kumi! Lakini nimefanikiwa kwenye mambo mengi. Kwani mafanikio sio utajiri tu! Mafanikio ni mtazamo chanya, akili bunifu, nidhamu ya pesa, malengo,n.k kumbuka Mungu aliumba usiku na mchana, yaani mchana uwe mahali pa kufanya kazi, na usiku uwe mahali pa kupumzika. Nami Najua kuwa kwa mjibu wa Biblia mchana una masaa kumi na mbili, usiku hali kadhalika. Hii ya kulala masaa nane ni wanadamu ndio wameweka wala sio Mungu. Hii ya kufanya kazi usiku kukucha Kama kule Marekani! Hii waliweka wanadamu wala hata sio Mungu. Kumbuka sisi na wanyama ni sawa. Ikifika jioni kila mnyama huanza kurudi kwenye makazi yake. Angalia hata kuku! Kwani kuna mtu anamwambia kuku ikifika saa fulani arudi nyumbani? Hii mimi inanifundisha kuwa usiku ni mahali pa kupumzika. Ndio maana ukichelewa hata kulala, kesho mchana lazima ukabiliwe na maumivu ya kichwa. Ndio maana Mimi ukiniambia unasikia maumivu ya kichwa, nitakuuliza jana ulilala saaa ngapi. Ok! Kuna watu wanasema unaweza kuzoea, ni sawa kabisa! Unaweza kuzoea! Lakini huwezi kukwepa changamoto. Kwa nini? Kwa sababu unapingana na asili. Ni kama vile mwanamke alazimishe kumtawala mwanaume, wakati mwanaume ndiye aliyeumbwa kumtawala mwanamke! Nini kitatokea?
@BarnabaBuhoma
11 ай бұрын
@@alexmasumbigana4910 Mimi huwa sitafsiri Biblia kwa kuangalia andiko moja tu! Lazima niangalie maandiko mengine yanasema nini juu ya jambo husika. Maana kwa kuangalia andiko moja tu, ni rahisi kupata tafsiri potofu.
niombee delay
Rafu
Amen
Amina
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
@elizabethgabriel9620
Жыл бұрын
Amen 🙏
@ceflenenicolaus3848
Жыл бұрын
Amina
@ceflenenicolaus3848
Жыл бұрын
Balikiwa
@DodatiAssey-ep5ou
Ай бұрын
Mtumisha uzidi kubarikiwa kwa jina la yesu amina