Ukiepuka usingizi umekuwa tajiri # Mtume Josephati Eliasi Mwingira

Пікірлер: 156

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Жыл бұрын

    Kweli mtumishi.Miaka 15 nyuma nilifanya kazi kwa bidii usiku na mchana.Sikuchezea muda pia nilijiunga na masomo ya chuo kikuu nikiwa na ndoa na watoto 2.Nililala masaa 4 kwa siku kwa miaka 10.Nilijikuta tajiri mkubwa kwa level za madirector wa makampuni makubwa kwa biashara ya kawaida.ASANTE YESU KWA KUNIWEZESHA NA KUNIPA MAONO.

  • @SARAHHALIFA-wm2kg

    @SARAHHALIFA-wm2kg

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @butondodavid2105

    @butondodavid2105

    Жыл бұрын

    Siyo rahisi Mungu alitenda

  • @rachaelkeith5095

    @rachaelkeith5095

    Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @JenniferShirima-co2im

    @JenniferShirima-co2im

    Жыл бұрын

    Thanks so much but how you manage it coz ni kitu najaribu Sana kwenye maisha yangu

  • @myahudiog

    @myahudiog

    Жыл бұрын

    😂😢🎉😊

  • @zamberimturi5593
    @zamberimturi5593 Жыл бұрын

    Mtumishi nakubaliana na wewe kwa 100% kabisa kwani me kazi yangu ni dereva bajaji kila nikiamka alfajiri kuanza kazi huwa napata pesa nyingi sana na huwa siku hiyo nakuwa na morali ya kazi sana hta kufunga kazi cku hiyo huwa nachelewa na napiga pesa kweli tatizo linakuja pale ninapoendekezaga kulalia kitanda kwani nikichelewa kuamka huwa naamka mwili ukiwa unanung'unika na kuwa na hofu kwa sababu ya kuchelewa kuamka na kuhix kazi itakuwa ngumu kwa upande wangu Hivyo.bac kuanzia leo najikabidhi mikononi mwa Mungu kwa kuukataa ucingiz utakaoendelea kunididimiza kiuchumi Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🤚🤚🤚

  • @jenfan8781
    @jenfan87816 ай бұрын

    Asante Mungu kwa neno la leo tar 02/01/2024. Nachukia usingizi ila nikianza kusoma nasinzia. Mungu nakemea usingiz kwa jina la Yesu mwana wa Mungu. Mwili usitamani kulala kwasababu muda umefika. Nataka kuwa mtu mkubwa na wa tofauti. Mungu uwe pamoja nami 2024 ili siku moja nije kusimulia matendo makuu ya Mungu. Usingizi ni umaskini hivyo siutak ucngz

  • @rehemamasoud2352
    @rehemamasoud2352 Жыл бұрын

    Asante baba ,mwili wangu zingatia haya mambo mazuri,muda mchache..Asante Mungu kwa kunishtua ,Leo 01.06.2023 naanza kuzingatia

  • @SARAHHALIFA-wm2kg

    @SARAHHALIFA-wm2kg

    Жыл бұрын

    Wschache Sana wanaweza kukubali ukweli kama wewe,ubarikiwe

  • @nicholasbwalya3650
    @nicholasbwalya36506 ай бұрын

    I connect from chingola zambia good news glory be to God Almighty powerful teaching 🙏 ❤❤❤

  • @deogratiasmapinda8288
    @deogratiasmapinda8288 Жыл бұрын

    Huyu mchunngaji kwa somo hiki ameenda sawa na mawazo yangu mchunngaji ubarikiwe Sana maana utajiri uko mbele Amina

  • @thomasmusungu8399
    @thomasmusungu8399 Жыл бұрын

    Mtu wa Mungu, hayo ni mafundisho ya kimsingi, asante mno, Yesu akubariki.niko kenya.

  • @rainardleonard8045
    @rainardleonard8045 Жыл бұрын

    Ukikua unaweza Elewa 🙏🙏Asante Mungu kwa Huyu Baba

  • @patrickkuwayawaya4402
    @patrickkuwayawaya440210 ай бұрын

    ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri

  • @faithdhadho9272
    @faithdhadho9272 Жыл бұрын

    Oversleeping leads to spiritual and physical poverty. Especially in our days of social media and internet. We need to rise from slumber.

  • @daudkipkare7550

    @daudkipkare7550

    Жыл бұрын

    Oversleeping leads to spiritual and physi in our days of social media and internet.we need to rise from slumber .you very right sir

  • @jonasnyamiyonga4594
    @jonasnyamiyonga4594 Жыл бұрын

    Mtumishi umeniongezea ufahamu wa kupambana.

  • @josephatosoroomwebu4714
    @josephatosoroomwebu4714 Жыл бұрын

    Nakubaliana na mchungaji kwa asilimia mia moja..100%true...Mungu na anishindie usingizi

  • @user-xo6rf8lu6x
    @user-xo6rf8lu6x Жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu nimekuelewa...Usingizi ni mbaya kama kifo.Baba asante usingizi ni umaskini wetu.Sitaki tena usingizi kwanza hua silali.

  • @user-dj4xz3bb7x
    @user-dj4xz3bb7x3 ай бұрын

    Amen..asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka00111 ай бұрын

    AMEEN . Eeee MUNGU naomba nisaidie

  • @lucaspeter-kw7cs
    @lucaspeter-kw7cs Жыл бұрын

    Vijana tuache upunbavu na kufanya mambo ya kipuuzi Ili tuwez kuwa na ubadae mwema. 🙏🙏

  • @rachelkathuri273

    @rachelkathuri273

    Жыл бұрын

    Kabisaa

  • @JanethMtati-he1dp

    @JanethMtati-he1dp

    Жыл бұрын

    Nakubaliiiiiiiii

  • @agnesyjoseph3906

    @agnesyjoseph3906

    Жыл бұрын

    Ameeeeen, kuazia leo nakataa usingizi unaoleta umasikini

  • @SARAHHALIFA-wm2kg
    @SARAHHALIFA-wm2kg Жыл бұрын

    Hii ni kweli kabisa,usingizi ni mbaya Sana nakumbuka shuleni wengine wanasoma wengine wanalala,halafu nkumbuka ilikuwa ukanda baridi.kuna waafunzi wanapenda kulala buana yaani usingizi.

  • @abelianraphili5150

    @abelianraphili5150

    Жыл бұрын

    Hahahah.. mpka darasani

  • @WitnessHatibu-vj1hu
    @WitnessHatibu-vj1hu Жыл бұрын

    Asante kwa somo nzuri baba linanibariki sana

  • @eliasmhagama4978
    @eliasmhagama4978 Жыл бұрын

    BWANA YESU akutunze Mtume ili uzidi kutubariki kwa mafundisho yako.

  • @vinnocky_b1430
    @vinnocky_b1430 Жыл бұрын

    That's great brother keep it up

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 Жыл бұрын

    Tufanye kazi dungu zangu

  • @KukuVillage
    @KukuVillage Жыл бұрын

    Mchungaji ongeza na Uvivu. Yaani ukifanikiwa kucontrol usingizi na uvivu then umeushida umasikini

  • @neemandoyela558
    @neemandoyela558 Жыл бұрын

    Ahsante nakataa usingizi kwa jina la yesu

  • @damarismutala7769
    @damarismutala7769 Жыл бұрын

    Thank you mtumishi for this sermon..praise the lord

  • @Ev.yohanamkesela
    @Ev.yohanamkesela Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtume

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Жыл бұрын

    Thanks for this teaching. That's True message

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 Жыл бұрын

    Nadhan point kubwa tupambane kuushinda Uvivu

  • @Daudpaulo294
    @Daudpaulo2944 ай бұрын

    Amina baba nimepokea kitu yangu leo

  • @user-df2gr5hw8y
    @user-df2gr5hw8y Жыл бұрын

    Asante baba mchungaji kwa mafundisho mema kwa vijana wetu

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Жыл бұрын

    Asante kwa somo zur mtumish

  • @barakabahati6600
    @barakabahati6600 Жыл бұрын

    Please kumbuka na wale waliokua wakitoa sadaka kanisani kwako

  • @MohamedSaid-em4of
    @MohamedSaid-em4of11 ай бұрын

    Usingizi ni starehe ya hakki tuliopewa ni allah swt kila kitu kina muda wake.

  • @user-fd4nl4hq6b
    @user-fd4nl4hq6b Жыл бұрын

    Mungu akubariki❤

  • @nicholasbwalya3650
    @nicholasbwalya36506 ай бұрын

    Amen Amen Amen I connect 🙏

  • @EmmanuelSamwel-wz9qg
    @EmmanuelSamwel-wz9qg Жыл бұрын

    Amina Baba..

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Жыл бұрын

    Wewe unaye tafsiri ebu siku nyingine usikae hapo Kwa mimbari Ebu tawala madhabahu

  • @lucasthomas188

    @lucasthomas188

    11 ай бұрын

    Au asitafsiri kabisa

  • @Edivinaleonard

    @Edivinaleonard

    7 ай бұрын

    Atasimama baba yako au

  • @mosesmwangi1769
    @mosesmwangi176911 ай бұрын

    Amina baba barikiwaa

  • @johnmurimi9831
    @johnmurimi983111 ай бұрын

    Amen amen mtumishi

  • @MagangaMasunga
    @MagangaMasunga5 ай бұрын

    Ameen mtumish wa mungu

  • @RoheelRafail
    @RoheelRafail11 ай бұрын

    God bless you all

  • @edmundmato669
    @edmundmato669 Жыл бұрын

    Ameni.....❤

  • @Ursain.IKE.jesuis9365
    @Ursain.IKE.jesuis9365 Жыл бұрын

    AMEN 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @EvaBonny
    @EvaBonnyАй бұрын

    Kuanzia Leo nakata usingizi

  • @user-et3zn8qy8l
    @user-et3zn8qy8l Жыл бұрын

    Amen papa

  • @JanethMtati-he1dp
    @JanethMtati-he1dp Жыл бұрын

    Ameniiiiii, mtumishi

  • @JanethMtati-he1dp

    @JanethMtati-he1dp

    Жыл бұрын

    🕤🤲🤲🤲🤲

  • @JoshuaMasunga
    @JoshuaMasunga Жыл бұрын

    Amina! Amina! Amina!

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 Жыл бұрын

    Twende mbele turudi nyuma unachokisema nisawa but sii sawa100% coz ki-afya pia kutopata usingizi wakutosha nihatari kwa afya yako.

  • @barakangellah5354

    @barakangellah5354

    Жыл бұрын

    Exactly upo sahihi, Unajua kuna kitu nilijifunza siku za nyuma kidogo, nlishawahipata bahati ya kwenda abroad, Wale jamaa nadhani walipotuzidi ni kwenye mpangilio wa ratiba. Kuanzia asubuhi hadi kufikia jioni kila mtu yuko busy na busy kweli kweli, kama we hauna cha ku keep busy basi utabaki unashangaa pekeako, lakini jioni wanazitumia sana kwa refreshment na ndomaana hata michezo mingi huwa ucku kuanzia saa 1, na ucku wanalala Effectively kwa Afya ya Ubongo kwaajili ya kesho, uhalisia ni kwamba uki over work usiku asubuhi automatic utaamka umechoka mwili na akili kwaio hauta fanya vi2 perfect. Point yang ni kwa Commitment kubwa Alfajiri hadi jioni ukiitumia vizuri sana inatosha sana kufanya makubwa lakini ucku renew kwaajili ya kesho. Ukifanya ucku kama mchana bac ni mbaya pia hata kwa Afya yako uta achieve sawa ila kwa faida ya nani akat afya yako haiko stable

  • @alexmasumbigana4910

    @alexmasumbigana4910

    11 ай бұрын

    @@barakangellah5354 kumbuka pia mtu akilala sana over 8 hours pia mwili unachoka na mtu anaamka akiwa na hali ya homa kabisa kila kitu kwa kiasi ndo point kuu niliyo note

  • @HantanahYun3093
    @HantanahYun3093 Жыл бұрын

    Kweli kabisa❤

  • @adammdiu
    @adammdiu Жыл бұрын

    Amen..❤

  • @halimambaga61
    @halimambaga61 Жыл бұрын

    Amen and ameen

  • @nehemiahhusein4504
    @nehemiahhusein4504 Жыл бұрын

    Ahsante baba

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Жыл бұрын

    Amen amen😢😢

  • @user-eo4kv7lz7x
    @user-eo4kv7lz7x Жыл бұрын

    Amen

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Жыл бұрын

    Mimi nalala kila siku sa tano usiku na naamka sa kumi na moja kamili bado ni maskini

  • @RamadhaniJitelani

    @RamadhaniJitelani

    Жыл бұрын

    Inategemea unacheleww kulala ukiwa unafanya kitu gani

  • @alexmasumbigana4910

    @alexmasumbigana4910

    11 ай бұрын

    Huwa unachelewa kulala ukifanya nn na unawahi kuamka kufanya nn hapo ndipo utajiri ulipo

  • @landmanoti1942

    @landmanoti1942

    4 ай бұрын

    Kitendo cha kujiita masikini basi na akili yako inakaa kiumasikini

  • @sharonmukoshi9744
    @sharonmukoshi9744 Жыл бұрын

    Amen and Amen 🙏🙏🙏

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw Жыл бұрын

    Acha kundanganya watu utakujajuta,mungu akusaidie

  • @mbelwajeremiahpaschal390

    @mbelwajeremiahpaschal390

    Жыл бұрын

    Mwambie Mama Ako Aje afundishe yy . Basi kama Wenginee wanadanganya Sura kama mbuzi

  • @EmmanuelSamwel-wz9qg

    @EmmanuelSamwel-wz9qg

    Жыл бұрын

    Roho wa bwana akuponye maana haujui hata unayosema.. akuponye na fikra zakO ndgo

  • @florarog548

    @florarog548

    Ай бұрын

    Mungu akusamehe

  • @ValerianaGrm-bi5hd
    @ValerianaGrm-bi5hd Жыл бұрын

    Aminaaa sna

  • @rosemarry1274
    @rosemarry1274 Жыл бұрын

    Amen Amen

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 Жыл бұрын

    Amina

  • @danielmwakalinga6049
    @danielmwakalinga6049 Жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️ My Dady

  • @MwawazaVitalis

    @MwawazaVitalis

    Жыл бұрын

    He is helping me in kenya

  • @user-gx7vn1zz1t
    @user-gx7vn1zz1t7 ай бұрын

    Kwel.baba

  • @elishajailosy4916
    @elishajailosy4916 Жыл бұрын

    Amen dady

  • @rachelpeter87

    @rachelpeter87

    Жыл бұрын

    Asante Yesu kwa neno la uzima

  • @chantalingabire7001
    @chantalingabire7001 Жыл бұрын

    🙏 amen

  • @onesmusmunga2458
    @onesmusmunga2458 Жыл бұрын

    That's true

  • @abuaiuba1517
    @abuaiuba1517 Жыл бұрын

    Amemmmmmmmm

  • @user-wn6it9ml7h
    @user-wn6it9ml7h Жыл бұрын

    Ndio kabisa

  • @mungajoas3343
    @mungajoas3343 Жыл бұрын

    Mind blowing

  • @user-iy3fd2os1y

    @user-iy3fd2os1y

    Жыл бұрын

    Mungu akubariki mchungaj yaan ucingizi ucio was lazima nakukataa kabisa kwa jina la yesu...

  • @user-en9op4pu8r
    @user-en9op4pu8r Жыл бұрын

    Translater wa hovyo

  • @user-iy3fd2os1y
    @user-iy3fd2os1y Жыл бұрын

    Nikweli mtumishi ucingizi ni umaskin mkubwa Sana....

  • @user-oq7vv2hk9q
    @user-oq7vv2hk9q Жыл бұрын

    ❤❤❤❤ ameni

  • @fathiasaed9718
    @fathiasaed9718 Жыл бұрын

    Ameni

  • @user-rl5gq3ow3k
    @user-rl5gq3ow3k Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @atanacyzacharia3092
    @atanacyzacharia3092 Жыл бұрын

    Huyu kijana anaetoa tafsri 😢anapotosha sana ila maamubili ni mazuri

  • @rehemaharuna

    @rehemaharuna

    Жыл бұрын

    Anapotosha vip wew unajua kiingereza vizr kweli

  • @jacksontumaini489

    @jacksontumaini489

    Жыл бұрын

    Ndo nashangaa @rehemaharuna

  • @barackawithokiswaga2686

    @barackawithokiswaga2686

    Жыл бұрын

    Acha uongo wewe kiingereza gani kitakacho ongelewa zaidi ya hapo? Nadhani hujui

  • @SARAHHALIFA-wm2kg

    @SARAHHALIFA-wm2kg

    Жыл бұрын

    @@rehemaharuna rehema muache mtoto acheze

  • @cyubahiroclement191

    @cyubahiroclement191

    Жыл бұрын

    Ujumbe unafika mbari Zacharia nivizuli sana akitafsri ☝️🤓

  • @beatricechabai2163
    @beatricechabai2163 Жыл бұрын

    🙏

  • @JanethMtati-he1dp
    @JanethMtati-he1dp Жыл бұрын

    🤲🤲

  • @user-fs1kr4rs6e
    @user-fs1kr4rs6e11 ай бұрын

    Sio kweli kwamba ukilala Dana ndio unakula maskini fact zipo

  • @bonifacebochela4717
    @bonifacebochela471710 ай бұрын

    True

  • @user-to9rh1jz8o
    @user-to9rh1jz8o Жыл бұрын

    Asante

  • @MohamedSaid-em4of
    @MohamedSaid-em4of11 ай бұрын

    Mitume wa uongo woooote wote wanahubiri pesa ,maisha mafupi ya dua ,badala ya uzima milele ,wako kwenye ushetani ,wamemgeukia shetani ,na wafuasi maskini hawajui kinacho endelea ,wanavunwa bila kujijua kua wanavunwa, utajiri wa dunia c kipaumbele cha mitume wote kuanzia adam hadi muhammad saw, ni hawa wa uongo tu wahubirio pesa huku wakivuna kutoka kwa wafuasi wanyonge allah awazindue waujue ikweli.

  • @cosmasmworia5524

    @cosmasmworia5524

    6 күн бұрын

    Umeandika usijchokijua! Unaweza kuonesha uongo hapa?

  • @MohamedSaid-em4of

    @MohamedSaid-em4of

    5 күн бұрын

    @@cosmasmworia5524 Imani ni kitu kizitto sana, angalau nyinyi muna abudu, mtu wengine wanaabudu ng,ombe, mawe ya kuchonga sanamu wala huwaambii chochote, mtu mpumbavu huuamini kila kitu

  • @user-ns1kx9je7y
    @user-ns1kx9je7y Жыл бұрын

    Nimeku elewa mutumishi wa mugu

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Жыл бұрын

    Watakalo wafundisha shikeni mfano wa matendo yao msiige

  • @annahcallixte1321

    @annahcallixte1321

    11 ай бұрын

    Mungu anisaidie mimi kuushinda usingizi kwa jina la YESU nimepokea neno la kuushinda usingizi kwa Jina la YESU barikiwa sana Baba

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Жыл бұрын

    Sikatai usemavyo lakini kila binadamu anapigania maisha yake lakini imeandikwa Mji usipo lindwa na Bwana alindae akesha bure .. .kila kitu hupangwa na MUNGU..hata ukeshe nje kama ni Wa no ni no tu. .

  • @philemonsavutu1543

    @philemonsavutu1543

    Жыл бұрын

    Hii ni hakika Mzee wangu

  • @mbelwajeremiahpaschal390

    @mbelwajeremiahpaschal390

    Жыл бұрын

    No pain. No Gain

  • @SARAHHALIFA-wm2kg

    @SARAHHALIFA-wm2kg

    Жыл бұрын

    Hayo umesema wewe

  • @yohanakangwe3503

    @yohanakangwe3503

    Жыл бұрын

    Hapa ni vema kuelewa key points. 1. Usingizi usititawale na wala tusiendekeze kulala masaa mengi bila kufanya kazi . 2. Mtumishi anasisitiza fanya kazi kwa bidii na maarifa zaidi. 3. Watu wasipoteze muda kwa kushinda kuangalia tv na matumizi ya simu kwa social media bila faida. 4. Umri wa ujana ndo wa kujenga uchumi na uzeeni ni final. NB. Mungu alifanya kazi siku 6 ambayo ni sawa na masaa 144 na siku ya saba akapumzika. Na sisi tumeamuriwa kufanya kazi siku 6. Na neno kazi limeandikwa kwenye Bible mara 600 , maana yake tufanye kazi kwa kujituma zaidi na si kwa ulegevu. Tujitahidi kuchukua mazuri yatuimarishe. Na tukumbuke hakuna aliyeumbwa kuwa maskini bali umasikini ni chaguo la mtu mwenyewe kwani umaskini unasababishwa na kukosa nguvu ya kumiliki na kutawala vitu na mazingira yanayotuzunguka na uvivu wa kutokupenda kujituma kufanya kazi.

  • @LovenessMwakalenga

    @LovenessMwakalenga

    Жыл бұрын

    Umeshika andiko hujashina neno

  • @user-oj3ez6bn6l
    @user-oj3ez6bn6l11 ай бұрын

    Atari

  • @user-yr1tn7ui7e
    @user-yr1tn7ui7e Жыл бұрын

    Kwel baba

  • @annalaizer7142

    @annalaizer7142

    Жыл бұрын

    Amen. Asante kwa huduma hii ya mafundisho meema.

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Жыл бұрын

    Unaweza ukakusanya fedha kama zote then inaingia vita mali yote inapotea maybe unapata na ulemavu au unapata makajanga mbali mbali ukakusanya mali yote inabebwa na kimbunga mafuriko nk hujawa masikini na omba omba usijione kupata ni akili zako mpaka Mungu akufanyie wepesi .hakuna anae nunua umaskini..

  • @SARAHHALIFA-wm2kg

    @SARAHHALIFA-wm2kg

    Жыл бұрын

    Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea

  • @bonifacebochela4717

    @bonifacebochela4717

    Жыл бұрын

    Akili zisizo na MUNGU utaziona tu, mwenzio anaongelea Mambo ya Mungu anaetupa afya njema na Uzima, alafu wee unaongea mambo ya ajali ulemavu na majanga, Sasa hayo ni mawazo ya Mungu?

  • @alexmasumbigana4910

    @alexmasumbigana4910

    11 ай бұрын

    Kumbuka haya yote ya usingizi Mungu kaagiza pia kasema apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha Mungu kukusaidia haina maana ulale tuu na Mungu atakupa kitu unachoweza ku manage

  • @user-gx7vn1zz1t

    @user-gx7vn1zz1t

    7 ай бұрын

    ​@@alexmasumbigana49108

  • @florarog548

    @florarog548

    Ай бұрын

    Kalaga baho

  • @deomdolo5049
    @deomdolo5049 Жыл бұрын

    Sasa mnatupia mahubr mtandaoni ili iweje

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    Жыл бұрын

    Yafike Mbali

  • @bonifacebochela4717

    @bonifacebochela4717

    Жыл бұрын

    Ili yakufikie

  • @AminiAmini-hd9kw
    @AminiAmini-hd9kw Жыл бұрын

    Kumbe usingizi huleta umaskini

  • @BarnabaBuhoma

    @BarnabaBuhoma

    Жыл бұрын

    Si kweli… umaskini huletwa na mtazamo na matumizi mabaya ya pesa na uvivu.. kwa nini sasa usiku? Usiku ni wa kazi gani? Tujifunze kwa wanyama, maana wao ni sawa na sisi! Je, wanyama hawalali usiku? Kikubwa ni kujua tu namna ya kuweka malengo na kuyatekeleza kwa wakati mwafaka! Kitu chochote usipokiwekea malengo na kukifanya kwa bidii, huwezi kufanikiwa. Kumbuka mafanikio sio tu utajiri! Kuna vitu nimefanikiwa kwavyo na usingizi napiga!

  • @alexmasumbigana4910

    @alexmasumbigana4910

    11 ай бұрын

    @@BarnabaBuhoma kumbuka neno hili pia apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha au hujalisoma mtumishi?? Au vifungu vinavyokemea kupenda kulala huwa unaviruka??

  • @alexmasumbigana4910

    @alexmasumbigana4910

    11 ай бұрын

    Ndio kasome mithali apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha

  • @BarnabaBuhoma

    @BarnabaBuhoma

    11 ай бұрын

    @@alexmasumbigana4910 kuna mtu anakuambia kwamba anafanya kazi kwa bidii sana, lakini bado sipati utajiri kama ninavyotarajia. Wapi kuna kuna tatizo? Maana kama ni bidii ameweka! Mwingine anakuambia kwamba anaampa mapema mno kufanya kazi, lakini kipato kinachopatikana kinaishia tu kwenye malazi, chakula na mavazi, lakini sio utajiri. Nauliza tena wapi kuna tatizo? Ingekuwa usingizi unaondoa umaskini, basi Africa tungeshafika mbali. Tatizo lipo kwenye akili na sio kichwani! mimi nalala masaa saaba hadi tisa, Naam hadi kumi! Lakini nimefanikiwa kwenye mambo mengi. Kwani mafanikio sio utajiri tu! Mafanikio ni mtazamo chanya, akili bunifu, nidhamu ya pesa, malengo,n.k kumbuka Mungu aliumba usiku na mchana, yaani mchana uwe mahali pa kufanya kazi, na usiku uwe mahali pa kupumzika. Nami Najua kuwa kwa mjibu wa Biblia mchana una masaa kumi na mbili, usiku hali kadhalika. Hii ya kulala masaa nane ni wanadamu ndio wameweka wala sio Mungu. Hii ya kufanya kazi usiku kukucha Kama kule Marekani! Hii waliweka wanadamu wala hata sio Mungu. Kumbuka sisi na wanyama ni sawa. Ikifika jioni kila mnyama huanza kurudi kwenye makazi yake. Angalia hata kuku! Kwani kuna mtu anamwambia kuku ikifika saa fulani arudi nyumbani? Hii mimi inanifundisha kuwa usiku ni mahali pa kupumzika. Ndio maana ukichelewa hata kulala, kesho mchana lazima ukabiliwe na maumivu ya kichwa. Ndio maana Mimi ukiniambia unasikia maumivu ya kichwa, nitakuuliza jana ulilala saaa ngapi. Ok! Kuna watu wanasema unaweza kuzoea, ni sawa kabisa! Unaweza kuzoea! Lakini huwezi kukwepa changamoto. Kwa nini? Kwa sababu unapingana na asili. Ni kama vile mwanamke alazimishe kumtawala mwanaume, wakati mwanaume ndiye aliyeumbwa kumtawala mwanamke! Nini kitatokea?

  • @BarnabaBuhoma

    @BarnabaBuhoma

    11 ай бұрын

    @@alexmasumbigana4910 Mimi huwa sitafsiri Biblia kwa kuangalia andiko moja tu! Lazima niangalie maandiko mengine yanasema nini juu ya jambo husika. Maana kwa kuangalia andiko moja tu, ni rahisi kupata tafsiri potofu.

  • @linnetmusau9215
    @linnetmusau9215 Жыл бұрын

    niombee delay

  • @MohammedKusaga-zs1ys
    @MohammedKusaga-zs1ys9 күн бұрын

    Rafu

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 Жыл бұрын

    Amen

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 Жыл бұрын

    Amina

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Жыл бұрын

    Amina

  • @user-gb4eb2ql2o
    @user-gb4eb2ql2o Жыл бұрын

    Amen

  • @hawamasomora-os9np
    @hawamasomora-os9np Жыл бұрын

    Amen

  • @laizerrecho447
    @laizerrecho44711 ай бұрын

    Amen

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Жыл бұрын

    Amen

  • @elizabethgabriel9620

    @elizabethgabriel9620

    Жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @ceflenenicolaus3848

    @ceflenenicolaus3848

    Жыл бұрын

    Amina

  • @ceflenenicolaus3848

    @ceflenenicolaus3848

    Жыл бұрын

    Balikiwa

  • @DodatiAssey-ep5ou

    @DodatiAssey-ep5ou

    Ай бұрын

    Mtumisha uzidi kubarikiwa kwa jina la yesu amina

Келесі