Ugeni (Magadu fish farm)

Leo aprl 03 ilikuwa siku nzuri. Magadu farm kulikuwa na ugeni, wa mkulima kutoka iringa, aliyekuwa anahitaji kupata elimu kuhusu ufugaji kwenye mabwawa, mzee luvabda amepata mawazi ya kitaalam. na amesema kuwa elimu aliyoipata itamfanya yeye kuanzisha mradi wake bila wasiwasi.

Пікірлер