UFUO | EP 01 - 06 |.
Kundi la wachawi lapambana kuupata ufuo, lakini watageukana wenyewe kwa wenyewe huku wanakijiji wakipambana saana kuondoa uchawi.
Karibu sana kuitizama filamu hii bora na yenye mafunzo kwa jamii yanayo ambatana na burudani ndani yake 🌍 🙏.
MAUDHUI YA FILAMU HII NI YA KUFIKIRIKA NA WALA SIYO YA KWELI.
Follow us on INSTAGRAM 👇 chiebway_tz...
Follow us on TIKTOK 👇
www.tiktok.com/@chiebway_tz?_...
Пікірлер: 23
🎉🎉🎉 Hongereni saana
good work
Wa 3 leo ❤❤
Tunasubiria SEASON TWO bhana 🎉❤
Kazi safi sana nmekuwa wa saba naombeni likes kutoka kenya 🇰🇪
Kaka chiebway... tunasubiri mzigo mpya
Mke wa mwanzo na wa pili tofauti macho yangu au vp jaman
@lizyjustin5153
2 күн бұрын
Nilichoelewa ni kwamba yule mke wa kwanza ni ndoto tu ya sauda
congratulations
💚 🔥 nice like me
Kaz kazi
Sema auuweehhh 😂😂
Mchawi ho hohoho😂😂😂
Kazi nzuri alafu ndefu hadi raha 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
maadili wamekosea mtu mzuma anaishije na kibint kama hcho bla ndoaa
Kipala wanaman
😢
Iv yule aliyekutwa anaoga ni nani na yupo wapi maana nae alitambulishwa kama mama
Iv hizo like huwa mnazifanyia nne kila sku naombeni like like mnakazi gan nazo
@RehemaMemsap
20 күн бұрын
Nawashanga
Ufuo ndo nini jamani
@Kabeya410
24 күн бұрын
UFUO NI SEHEMU AMBAYO HUCHIMBWA NDANI YA CHUMBA NA JUU YAKE HUWEKWA KITANDA CHA KAMBA NA HUOSHEWA MAITI YALE MAJI HUINGIA KWRNYE HILO SHIMO BAADA YA HAPO HUFUKIWA NA HTANDIKWA MKEKA JUU NA WAFIWA HULALA PALE HUO NDO UFUO ILA SIKU HIZI WACHACHE HUFANYA HIVYO MAITI NYINGI HUISHWA HOSPITALI AU MSIKITINI KWENYE ENEO MAALUM LA KUOSHEA MAITI.
@mememe5689
21 күн бұрын
Ni sehemu aliokoshwa. Maiti. Pale. Kwenye shimo la maji machafu yanayo Ingia. Ndo. Ufuo