UFUO | EP 01 - 06 |.

Kundi la wachawi lapambana kuupata ufuo, lakini watageukana wenyewe kwa wenyewe huku wanakijiji wakipambana saana kuondoa uchawi.
Karibu sana kuitizama filamu hii bora na yenye mafunzo kwa jamii yanayo ambatana na burudani ndani yake 🌍 🙏.
MAUDHUI YA FILAMU HII NI YA KUFIKIRIKA NA WALA SIYO YA KWELI.
Follow us on INSTAGRAM 👇 chiebway_tz...
Follow us on TIKTOK 👇
www.tiktok.com/@chiebway_tz?_...

Пікірлер: 23

  • @fpssatanzania2782
    @fpssatanzania2782Ай бұрын

    🎉🎉🎉 Hongereni saana

  • @Masterstevemedia-kb5oc
    @Masterstevemedia-kb5ocАй бұрын

    good work

  • @bongotamuonline3090
    @bongotamuonline3090Ай бұрын

    Wa 3 leo ❤❤

  • @MariamOmary-tt3fo
    @MariamOmary-tt3foАй бұрын

    Tunasubiria SEASON TWO bhana 🎉❤

  • @daina8464
    @daina8464Ай бұрын

    Kazi safi sana nmekuwa wa saba naombeni likes kutoka kenya 🇰🇪

  • @scarfacethesocialist9552
    @scarfacethesocialist9552Ай бұрын

    Kaka chiebway... tunasubiri mzigo mpya

  • @ummialey6391
    @ummialey6391Ай бұрын

    Mke wa mwanzo na wa pili tofauti macho yangu au vp jaman

  • @lizyjustin5153

    @lizyjustin5153

    2 күн бұрын

    Nilichoelewa ni kwamba yule mke wa kwanza ni ndoto tu ya sauda

  • @nyamburimakoye-ox1vl
    @nyamburimakoye-ox1vlАй бұрын

    congratulations

  • @Mwandola1
    @Mwandola1Ай бұрын

    💚 🔥 nice like me

  • @NassaraNassor
    @NassaraNassorАй бұрын

    Kaz kazi

  • @ImmaculateMkhambe
    @ImmaculateMkhambe11 күн бұрын

    Sema auuweehhh 😂😂

  • @HalimaNziku-tg4tv
    @HalimaNziku-tg4tv4 күн бұрын

    Mchawi ho hohoho😂😂😂

  • @user-hn9hd3og8u
    @user-hn9hd3og8u21 күн бұрын

    Kazi nzuri alafu ndefu hadi raha 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @subbyraibrahimu250
    @subbyraibrahimu250Ай бұрын

    maadili wamekosea mtu mzuma anaishije na kibint kama hcho bla ndoaa

  • @MusaEnock-kx6vt
    @MusaEnock-kx6vt17 күн бұрын

    Kipala wanaman

  • @zaiboris9696
    @zaiboris96967 күн бұрын

    😢

  • @eagleculturetv4692
    @eagleculturetv469215 күн бұрын

    Iv yule aliyekutwa anaoga ni nani na yupo wapi maana nae alitambulishwa kama mama

  • @user-hx9to8jv6l
    @user-hx9to8jv6l23 күн бұрын

    Iv hizo like huwa mnazifanyia nne kila sku naombeni like like mnakazi gan nazo

  • @RehemaMemsap

    @RehemaMemsap

    20 күн бұрын

    Nawashanga

  • @user-tj5zs5dj3y
    @user-tj5zs5dj3yАй бұрын

    Ufuo ndo nini jamani

  • @Kabeya410

    @Kabeya410

    24 күн бұрын

    UFUO NI SEHEMU AMBAYO HUCHIMBWA NDANI YA CHUMBA NA JUU YAKE HUWEKWA KITANDA CHA KAMBA NA HUOSHEWA MAITI YALE MAJI HUINGIA KWRNYE HILO SHIMO BAADA YA HAPO HUFUKIWA NA HTANDIKWA MKEKA JUU NA WAFIWA HULALA PALE HUO NDO UFUO ILA SIKU HIZI WACHACHE HUFANYA HIVYO MAITI NYINGI HUISHWA HOSPITALI AU MSIKITINI KWENYE ENEO MAALUM LA KUOSHEA MAITI.

  • @mememe5689

    @mememe5689

    21 күн бұрын

    Ni sehemu aliokoshwa. Maiti. Pale. Kwenye shimo la maji machafu yanayo Ingia. Ndo. Ufuo